<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883</id><updated>2012-02-18T04:57:28.430-08:00</updated><category term='&apos;'/><title type='text'>Free Thinking Unabii</title><subtitle type='html'>Free Thinking Unabii</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>883</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1514803304440705602</id><published>2012-02-15T10:07:00.000-08:00</published><updated>2012-02-15T10:19:42.283-08:00</updated><title type='text'>Rais huyu mstaafu anatufundisha nini kwa anavyoadhirika?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Nani angeamini kuwa baada ya rais kuitumikia nchi kwa miaka minne na kuweka miundo mbinu ya demokrasia bila kuiba hata shilingi moja angejikuta akifadhiliwa na mama &lt;br /&gt;yake kwenye mabanda? Huyu simwingine bali rais mstaafu wa Sierra Leone, Valentine Esegragbo Melvine Strasser aliyetawala tangia mwaka 1992 hadi 1996 baada ya kunyakua madaraka kwa kuangusha Jenerali Joseph Momoh. Je hali hii inatufundisha nini? Je kwanini tunakuwa wepesi kufadhili mafisadi ilhali tukiwasulubu waadilifu? Huyu angekuwa amekwapua asingeteseka. Je nafsi yake ingekuwa huru? Inachanganya na kukera God knows. Kwa habari zaidi,&lt;a href="http://www.africareview.com/Special+Reports/Former+president+thrown+to+wolves/-/979182/1328066/-/14efm49/-/index.html"&gt;BONYEZA HAPA&lt;/a&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1514803304440705602?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1514803304440705602/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1514803304440705602&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1514803304440705602'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1514803304440705602'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/rais-huyu-mstaafu-anatufundisha-nini.html' title='Rais huyu mstaafu anatufundisha nini kwa anavyoadhirika?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6126507976171365722</id><published>2012-02-15T06:48:00.000-08:00</published><updated>2012-02-15T06:49:59.176-08:00</updated><title type='text'>CCM ianguke mara ngapi?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;KWA wanaofuatilia taarifa za vyombo mbali mbali vya habari walishtuka kusikia Rais Jakaya Kikwete akinakiriwa akisema kuwa kama Chama Cha Mapinduzi ambacho yeye ni mwenyekiti kinaweza kuanguka kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. Wengi walishangaa kusikia kuwa kumbe Kikwete hajui kuwa CCM kilianguka miaka mingi iliyopita sema imeinuliwa na mbinu chafu kama vile kuchafuana mingoni mwao kumpata mgombea wa urais kama ilivyotokea mwaka 2005.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine ambacho inaonekana Kikwete amesahau ni ukweli kuwa CCM kama si kuokolewa na tume yake ya uchaguzi kwa kuiruhusu ichakachue uchaguzi na matokeo yake, ingekuwa historia kama UNIP (Zambia), KANU (Kenya), NP (Afrika Kusini) na MCP (Malawi).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, ni kwanini rais wa nchi na mwenyekiti wa chama tawala anakosa habari kama hizi kiasi cha kujua kuwa kumbe chama chake kilianguka miaka mingi tangu kilipobinafsishwa kwa mafisadi na wasanii? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi Rais Kikwete hajui kuwa chama anachokiongoza kilianguka tangu siku kilipozika maadili ya uongozi na kupwakia madili?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi Kikwete hajui kuwa chama chake kilianguka siku kilipotoa ahadi lukuki kisitimize hata nusu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi kwanini Kikwete haambiwi na washauri wake kuwa CCM kilianguka zama zile kiliporidhia kutumia pesa ya wizi kutoka kwenye taasisi za umma kama BoT (ujambazi wa EPA) kuwahonga wapiga kura na kuchakachua matokeo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi kweli kujua haya kunahitaji shahada ya uzamivu kwenye masuala ya siasa? Je, Kikwete na wenye mawazo kama yake wanaishi nchi na dunia gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kujionea rais anavyoishi kwenye dunia ya kufikirika, hebu angalia nukuu hii iliyomnukuu akipokea maadamano ya kuadhimisha miaka 35 ya CCM huko Mwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema: “Haiwezekani tukaendelea kuwa na watu wa hovyo, lazima chama kijipange na kujiweka sawa ili kisipoteze sifa kwa jamii,”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hao watu wa hovyo zaidi anayewavumilia ni nani? Kwanini Kikwete awaone hao watu wake wa hovyo leo na si jana alipokuwa akitahadharishwa kuwa chama kinamezwa na mafisadi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tungeomba Kikwete atutajie hao watu wake wa hovyo kama kweli ameamua kuwa mkweli badala ya kupiga siasa kama kawaida yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi kuna mtu wa hovyo kama aliyeahidi maisha bora kwa Watanzania wote akaishia kuwapa dhidi wote? Hivi kuna mtu wa hovyo kama yule aliyesimama jukwaani mchana kweupe kuwapigia kampeni watu wa hovyo kama watuhumiwa mbalimbali wa ufisadi ambao ni wabunge kwa sasa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu angalia janja ya Kikwete. “Hivi karibuni nikiwa na NEC hapo Dodoma, nilitumia kauli ‘Nyoka Kujivua Gamba’. Usemi huo ulienezwa tofauti kabisa. Kimsingi tulipitisha maazimio mengi, lakini wenzetu wameona azimio moja tu la kujivua gamba.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna jambo baya kama kauli hii isiyo na hata chembe ya ukweli? Kwanini Kikwete hasemi ukweli kuwa baada ya kuambiwa kuwa naye ni gamba hakuona haja tena ya kujivua gamba kwa maana aliyepaswa kuvuliwa kwanza ni yeye kabla ya kuwaambia wengine wenye magamba mepesi kujivua magamba?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Wito wa kujivua gamba haujapewa mwitikio mzuri. Tumetupa mpira huo kwa wanachama kuwawajibisha viongozi hao, maana tunawafahamu. Sasa kazi kwetu sote,” anaongeza Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi Kikwete anataka kumdanganya nani kwa kuwatupia wanachama mzigo wakati wanachama walisharidhia vikao vya chama viwawajibishe magamba ambayo hayakutaka kujiwajibisha? sasa ni nini mantiki ya kupoteza pesa ya umma kufanya vikao iwapo jukumu lenyewe liliachwa kwa wanachama wasio na mamlaka yoyote kikatiba kuwawajibisha viongozi wao mafisadi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, huku ni kuchanganyikiwa au kuishiwa kiasi cha kusema vitu vinavyopingana kwenye jukwaa moja na kwa wakati mmoja? Je, hapa wa hovyo ni nani? Nikijibu watasema Nkwazi Mhango siku zote ni mchochezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile lengo la makala hii ni kutaka kuthibitisha kuwa watu wa hovyo ni viongozi wa CCM, tunatoa nukuu ya Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, ili wasomaji wapime pale alipokuwa akiongelea tuhuma za kujivua gamba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema: “Hata Waingereza wana tabia moja. Wakiona jambo linawasumbua, wanaunda Royal Commission, jambo hilo litachunguzwa kwa muda mrefu. Wakimaliza, watu wameshasahau.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mukama aliongeza: “Kufukuzana si dawa, si unaona jinsi jamii ilivyowageuka NCCR Mageuzi kwa kumfukuza David Kafulila au kufukuzwa kwa Hamad wa CUF? Sisi tumesema, kufukuzana si suluhisho, utakuwa unashughulikia tu dalili wakati ugonjwa wenyewe haujaufikia,”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza ni vigumu kuamini kuwa Mukama anaweza kujipayukia bila kujua anachosema ni nini na kinaweza kutafsiriwa vipi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa kama njama ya CCM ni hii ya kufanya mambo kijanjakijanja ili wananchi wasahau, Rais Kikwete analalamika nini au kutoa ushauri wa nini juu ya kufukuzwa watuhumiwa wa ufisadi. Huu si unafiki? Maana kama uongozi wa juu umeunda CCM royal commission ili kuwasahaulisha wananchi halafu mtu anakurupuka na kusema eti wananchi wataamua, wataamua nini iwapo wakubwa wamekwisha kuamua?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, hapa kama wananchi tufuate ya nani hasa ikizingatiwa kuwa Kikwete ana tabia ya kujipinga?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rejea juzi juzi waziri mkuu Mizengo Pinda na Spika wa bunge Anne Makinda waliporipoti kuwa alikuwa ameidhinisha kulipwa nyongeza ya posho lakini baadaye akawageuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wanaoona CCM inavyozidi kuchanganyikiwa wakati ikipitisha hili na kulipinga hana sababu ya kuhofia kuwa haitaanguka kwenye uchaguzi ujao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Mukama akisema hivi vigogo wengine wanasema vile. Hebu tumalizie kwa maneno ya waziri mkuu mstaafu Frederick Sumaye aliyesema sambamba na Mukama: “Hatuwezi kuwa na chama imara kama hatukuondoa magamba, mwenyekiti wetu wa chama taifa lazima tuyaondoe magamba yanayokipaka chama matope.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kuna kitu kitaiachia makovu ya kudumu CCM si kingine ni dhana ya kujivua gamba ambayo iliuawa baada ya rais mwenyewe kutajwa kuwa ni gamba, tena nene, ukiachia mbali magamba mengine kujua udhaifu wake na kugoma kuachia ngazi kama yalivyotakiwa. Je, kwa namna hii CCM ianguke mara ngapi?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Tanzania Daima Februari 15 , 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6126507976171365722?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6126507976171365722/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6126507976171365722&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6126507976171365722'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6126507976171365722'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/ccm-ianguke-mara-ngapi.html' title='CCM ianguke mara ngapi?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-7288969640621980500</id><published>2012-02-15T06:47:00.000-08:00</published><updated>2012-02-15T06:48:32.288-08:00</updated><title type='text'>Mtaje kijana wa Nyerere aliyebaki na maadili</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NATUNGA kitabu. Najua wengi wakisoma hapa wataanza kucheka na hata kubeua midomo. Watasema mengi hasa wasiojua Mpayukaji ni kiumbe gani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watasema natafuta umaarufu kama jamaa yangu mtunzi mwenzangu na swahiba yangu Pio Kuchekwa aliyezindua buku lake la kujilisha ujiko kuwa alipata ukomavu toka kwa mzee Nchonga mwana wa Musa wakati si kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kuna mwanafunzi mzuri wa Mzee Nchonga si mwingine bali mimi Mpayukaji Nkwazi Nkuzi Mhango mtoto wa mzee Waambie Waipate bin Message Sent aka Mnenahovyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mie ni mwanafunzi msikivu, mkweli na jabali wa mze Nchonga kwa sababu ya nifanyayo na kusema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushahidi wa kwanza ni kwamba licha ya kupayuka mie si fisadi wala kilaza kama wale. Ndiyo maana katika tabu langu nililotunga liitwalo Kuambiana Ukweli sikugusia popote nilivyokuwa mwanafunzi hodari wa mwalimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana huwezi kuwa mwanafunzi wa kweli wa Mwalimu Nchonga ukakubali kujirahisi kulala kitanda kimoja na mafisi, mafisadi na wasanii. Never. Never on my dead body. you cannot be in bed with blood suckers and all hellbent thieves and whatnot as far as corruption is concerned.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Samahani nikichukia huwa naongea kiinglishi. Hivyo, msomaji nisamehe kwa kuzobokwa ung’eng’e sina maana ya kujionyesha kuwa nimechimba sana. Hata hivyo, si vibaya kuongea umombo kuonyesha nilivyochukia kama mwalimu wangu alivyokuwa akifanya akichukia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi hawatakisoma kitabu changu kutokana na wadanganyika kutokuwa na utamaduni wa kujisomea vitabu zaidi ya vya udaku. Kitasomwa na wenye pesa kwa vile kitakuwa ghali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakitafundishwa mashuleni kutokana na wizara ya elimu kuamua kueneza ujinga badala ya elimu kwa kupiga marufuku vitabu mbali mbali kutumiwa mashuleni kama zamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitabu changu hakitapendwa na wengi kutokana na kutumia lugha kali na ya wazi kuwalenga walaji wa kaya hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;kitabu changu kitapigwa marufuku na kama si kununuliwa na wabaya wa kaya na kukichoma moto ili mawazo yangu yasijulikane kwa wale wenye ujasiri na ustaarabu wa kujisomea ingawa si wengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua kitabu changu kitachomwa moto ingawa mawazo yangu hayataungua. Pesa ya ufisadi itatumika kununulia kitabu hiki na kukichoma bila kujua wanachoma pesa yao na si mawazo yangu adhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watashindwaje kukichoma ili watu wetu waendelee kusoma udaku na si mambo ya kuwapanua na kuwakomaza kiakili ili siku moja wajikomboe. Baada ya kutoa tabu hili nililowatajia hapo juu, napanga kutoa kingine kiitwacho Saa Ya Ukombozi. Samahani, msidhani naiba jina kutoka kwa kitabu kingine kama hiki ambacho nilikiona sehemu fulani. Huko mie siko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitabu changu kitazinduliwa kimya kimya na makapuku maana sina pesa nyingi ya kuwahonga wazito kuja kukizindua. Watakizinduaje wakati kinawavua nguo kwa kuuzindua umma kuwafanyia kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitabu changu hakipendwi kwa vile kinafichua siri za uongo usanii na wizi wanaofanyiwa walevi na wale waliowaamini wasijue ni mbwa mwitu na majoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mie sihitaji wazito kuja kukizindua kwa vile najua huwa hawana muda wa kusoma ingawa wana pesa ya kununua vitabu. Wangekuwa wanasoma wasingefanya madudu wanayofanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana madudu mengine yanayofanyika hayahitaji kuwa na digrii kuyajua bali tabia ya kujisomea na kujielimisha. Msiseme nawasingizia. Hivi kujua kuwa kinachoendelea kwenye kaya chini ya uchukuaji unaopambwa kwa kuitwa uwekezaji wakati ni ujambazi kweli kinahitaji kuwa na shahada? Mbona mikataba yote ya kijambazi imesainiwa mbele ya wanasheria tena wenye shahada na mawaziri wao wenye shahada pia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi kujua kuwa na miji michafu ni uzembe wa kupindukia kuna hitaji shahada? Hivi kujua kuwa kaya ina vyanzo vingi vya nishati lakini inazidiwa na vijikaya visivyo na vyanzo hivi nako kunahitaji shahada? Hivi kuwawajibisha wezi wa Kagoda EPA, Richmonduli na Downs nako kunahitaji shahada yarabi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi kujua kuwa kupeleka wagonjwa ugabacholini wakati tuna wataalamu na hospitali ni aibu nako kunahitaji shahada? Kama ni hivyo basi mie sina haja na shahada za namna hii ambazo zinatolewa kama njugu ukiachia mbali kughushiwa kila uchao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Narudia. Mimi Mpayukaji Nkwazi Mhango Nkuzi Msemahovyo sitaki shahada za namna hii. Sihitaji shahada za heshima wakati ni za dharau wala za kughushi kama za wale jamaa ambao walipotajwa wakaweka mkwara kuwa wangemshitaki Keinerugaba wakaishia kunywea. Shitakini mvuliwe nguo hadharani. Kwani nyie si vihiyo hata kama mko kwenye ulaji mliopewa na vihiyo wenzenu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kusahau, inabidi niwaeleze ukweli kuwa ukiniondoa mimi, ima wanafunzi wa mwalimu Mchonga walikufa au kama wapo kiroho ni wafu. Kama wapo basi ni wale ambao hawakumwelewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama wapo ni aina ya kina njomba Tunituni Denjaman Ben che Makapu aliyeishia kumtia aibu mzee Nchonga pamoja na kumbeba tena kwa lawama lukuki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawa ni wengi. Kimsingi, hata kama waliingia kwenye darasa la mwalimu hawakuelewa na kama walielewa ni wakati ule siyo sasa. Nionyeshe mwanafunzi wa Nchonga aliye hai kimaadili zaidi ya mimi nitajinyonga ni mfuate kuliko kuendelea kushuhudia anavyodhalilishwa na kila mchumia tumbo na mpenda sifa kama Pio kuandika mitabu ya kujisifu wakimhusisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ningekuwa na mamlaka mwaka huu ningenyonga mtu kutokana na kuendelea kuwapo wezi wanaotaka kuchuma kupitia mgongoni mwa mzee wetu Musa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Komeni na kama hamna la kufanya basi kauzeni nyanya badala ya kuuza uchafu wenu kwa kuuficha nyuma ya mzee Musa Mungu amweke mahali pema peponi gwiji huyu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ngoja kwanza nilie kidogo nikimlilia gwiji huyu anayedhalilisha na kila kinyamkera kwa kudai eti ni wanafunzi wake. Mngekuwa wanafunzi wake mngelala kitanda kimoja na genge la mafisadi waitwao chama cha mafisadi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mngekuwa wanafunzi wake mngejaza watoto wenu kwenye kazi nzuri ughaibuni kwenye balozi za kaya? Shame on you all. Kwa uchungu na majonzi niliyo nayo siwezi kuendelea. Acha niendelee kulia nikijililia kwanza kwa yatakayowakuta watu wa mzee Nchonga.&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Februari 15, 2012.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-7288969640621980500?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/7288969640621980500/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=7288969640621980500&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7288969640621980500'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7288969640621980500'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/mtaje-kijana-wa-nyerere-aliyebaki-na.html' title='Mtaje kijana wa Nyerere aliyebaki na maadili'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1724002847600747941</id><published>2012-02-07T20:09:00.000-08:00</published><updated>2012-02-07T20:12:12.625-08:00</updated><title type='text'>Wabunge wa CCM wanamdanganya nani?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;KATIKA kikao cha Bunge kinachoendelea mjini Dodama wabunge wa Chama Cha Mapinduzi wamekuja na mpya-eti kuikosoa na “kuikomalia” serikali yao!  Kioja hiki cha aina yake kilianza pale mbunge wa kwanza kuonyesha ‘usanii’ alikuwa Charles Tizeba aliyesema, “Kwanza waziri (Mkulo), angetuambia kwa nini alikaidi ushauri wa kamati na hasara ambayo taifa limepata, wenzangu wamesema ni usikivu, lakini mimi sioni zaidi ya ukaidi, huu si mwenendo mzuri. Ushauri wa wabunge unakuwa na nia nzuri,”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, Tizeba anaishi wapi huyu asiyejua tabia ya chama chake cha kupongeza kila upuuzi? Tukija kwa Mkulo na ‘sanaa’ zake za eti kupunguza ushuru wa maji ya kunywa ya chupa kwa kuwaonea huruma watu wa kawaida, ni vituko mtindo mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu lini makapuku wakanywa maji safi ya chupa iwapo wengi hasa wale wa Dar es salaam wanakunywa maji ya mitoni wayanunuayo toka kwa wauza maji wanaoweza kuchota maji popote bila kujali afya ya mnunuzi? Kama Mkulo hajui basi aambiwe kuwa makapuku wengi hunywa maji ya visima au ya Sumaye na Makamba ambao waliwahamasisha kuchimba visima ambavyo kimsingi si visima kitu bali maji ya chooni yanayonywewa kwa kusingizia kuwa yanatoka visimani wakati huko chini ya ardhi mtandao ni mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliwahi kulalamikia suala hili kwenye mwaka 2001 kiasi cha kukosana na Yusuf Makamba wakati ule akiwa Mkuu wa Mkoa na Frederick Sumaye akiwa Waziri Mkuu. Je, Mkulo amewahurumia watu wa chini au amepewa chochote na wauza maji? Je, maji ya chupa ameona bora kuliko kulanguliwa umeme huku wizara ya Mkulo ikiongoza kutoa misamaha ya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa wakubwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliyefuata kwa vituko ni William Mgimwa (Kalenga) aliyesema, “Kama TRA inakusanya asilimia 102 na kuna upungufu wa fedha, basi kuna tatizo na tunahitaji maelezo maana tuna takwimu za makusanyo, lakini hakuna maelezo ya matumizi,” Je, mkipewa maelezo au kutopewa maelezo mtafanya nini iwapo mnapojifanya kupinga huitwa na kukalishwa chini kama kamati ya chama na kuminywa mbavu kiasi cha kukaidi viapo vyenu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, mmesahau kuwa wananchi wanajua usanii wetu na ushirika wenu na serikali yenu? Kuko wapi kutelekeza dhana ya kujivua gamba ambao kimsingi ndiyo chanzo cha maafa yote ya Watanzania?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu turejee kwa Tizeba tena. Alikaririwa akisema, “Punguzo hilo halitamsaidia mlaji wa kawaida zaidi ya wenye viwanda kama waziri alivyokiri ameandikiwa na wenye viwanda… kwa hiyo itanufaisha wenyewe.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, kama mbunge na wabunge wengine wanajua ukweli kuwa alichotaka kufanya Mkulo ni kufanikisha ‘deal’ lake, wanamchukulia hatua gani  kwa mamlaka waliyo nayo? Maana yake ni kwamba Mkulo analidanganya Bunge jambo ambalo ni kosa linalopaswa kumwajibisha. Lakini nani atamwajibisha nani iwapo na wabunge nao wanawadanganya waliowachagua na kuishia kulala kitanda kimoja na serikali pamoja na mazabe yake yote?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge wetu hasa wa CCM ambao mara nyingi hutumika kutia mhuri kila upuuzi wa serikali wangekuwa wanamaanisha wanachosema, wezi wa Richmond wangekuwa gerezani ukiachia mbali kufuta mikataba ya kijambazi kama ile ya IPTL, Aggreko, Dowans na mingine mingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wangeweza kuja na hoja na miswaada ya kufumua uwekezaji upya na kuusuka upya kwa masilahi ya taifa. Lakini nani anajali iwapo wanapewa ujumbe kwenye kamati na bodi mbali mbali na kupata ulaji wao? Nani anajali iwapo wote wanatenda dhambi ile ile na wana sharubu kama samaki wengine hasa mapapa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge wetu hasa wa CCM wangekuwa wakweli na wawakilishi wa kweli wa wananchi wasingesumbuka kutaka maelezo ya kuridhisha wakati serikali inayojidai kukusanya kodi kwa asilimia 102 ikidai haina pesa ya kulipa malimbikizo ya mishahara na stahiki za walimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wasingeelewa kitu wala kudai maelezo bali uwajibikaji kwa serikali yenye kukusanya kodi kwa 102% lakini ikashindwa kuongeza mishahara ya watumishi wake hadi madaktari kugoma nchi nzima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni ajabu kwa serikali hii inayoweza kukusanya kodi kwa asilimia zaidi ya mia kupata pesa ya kugharimia safari za watawala nje zisizo na umuhimu lakini ikashindwa hata kupeleka huduma kwa wananchi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana kwa wanaojua maana ya kulipa kodi, watakubaliana nasi kuwa wananchi hulipa kodi kwa serikali ili iweze kuwaletea huduma wasizoweza kuzitoa mmoja mmoja. kazi ya kodi siyo kuwalisha watawala na kuongezeana hata posho za makalio bali kurejesha hiyo kodi kwa wananchi waliochanga ili kujiletea maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni bahati mbaya kuwa kwa Tanzania kodi inahimizwa kulipwa ili kugharimia maisha aghali ya watawala na wapambe wao na familia zao. Ni kodi ya kujihudumia na si kodi ya maendeleo kama inavyoitwa. Wananchi wangejua haki zao vilivyo, wangegoma kuilipa kodi serikali isiyo tekeleza ahadi na wajibu wake. Yako wapi maisha bora kwa watanzania yaliyoahidiwa na CCM kwenye uchaguzi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge wa CCM wangejishughulisha na hili wangeleta maana zaidi ya kutafuta sifa. Mwenye kubisha na kunikosoa na kuonyesha udhaifu wa hoja zangu kama anaona upo. Ni mara ngapi wabunge wa CCM wanaikamia serikali na kuwekwa sawa kwenye kamati ya chama na kunywea?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, wabunge wa CCM wanamdanganya nani na nani anaweza kuwa ‘chizi’ awaamini? Tunawashauri waendelee na biashara yao ya kupongezana badala ya kuuhadaa umma kuwa wanaujali. &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Februari 8, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1724002847600747941?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1724002847600747941/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1724002847600747941&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1724002847600747941'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1724002847600747941'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/wabunge-wa-ccm-wanamdanganya-nani.html' title='Wabunge wa CCM wanamdanganya nani?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-593486448285961926</id><published>2012-02-07T20:08:00.000-08:00</published><updated>2012-02-07T20:13:35.160-08:00</updated><title type='text'>Mpayukaji aidhinisha posho na kuzikana</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NI makosa ni vibaya mnafanya wazazi &lt;br /&gt;Ni aibu ni huzuni iyo yoyoo &lt;br /&gt;Iwapo mzazi humpendi mwanao, &lt;br /&gt;Nasi wa pembeni tutampenda vipi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchungu wa mwana aujuaye mzazi &lt;br /&gt;Ni wazi mwaelewa lakini mwafanya hivyo &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni makosa ni vibaya mnafanya walaji &lt;br /&gt;Ni aibu ni huzuni iyo yoyoo &lt;br /&gt;Iwapo mkuu huwajali watibu &lt;br /&gt;Na wagonjwa watawaheshimu vipi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchungu wa kodi aujuaye mlaji eehe &lt;br /&gt;Ni wazi mwaipata lakini mwafanya hivyo &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkuu wajua kila kitu ni hovyo &lt;br /&gt;Lakini wajifanya hamnazo bure &lt;br /&gt;Siku utakapokuja uona ukweli &lt;br /&gt;Utakuwa uso kwa uso na pilatoee &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwezi kuamini mzee Maneno aliingia kijiweni akiimba wimbo huu kunitupia vimondo asijue mie ndiye bingwa wa mipasho na vimondo. Alipoendelea kuimba bila kujali mie nilikuwa pale na namuona na kumsikia niliamua kuuliza ni kwanini alikuwa akinikosea adabu. Mzee huyu mshenzi kweli si alijitetea kwa kusema, ‘No’. ubeti wa pili nimekosea. Nilitaka kumaanisha wazazi na watoto na si wakuu, walaji na wa tiba na wagonjwa. Kwani nani mgonjwa hapa. Anyways, unayesoma, zingatia yote isipokuwa ubeti wa pili. Mzee huyu alipayuka msameheni hajui alilokuwa akifanya. Wakati mwingine njaa yaweza kusababisha kichaa. Hayo tuyaache. Kwanza huu muziki wa Les Wanyika wa zama zetu ushanitibua nyongo. Ngoja niachane na mambo ya kuimba niingie kwenye mada ya rero. Tulimalizanaje na mzee Maneno? Hayakuhusu. Acha umbea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kurejea na hangovers za Davos, nilijikuta nikishauriana na mshirika wa Bedroom kuongeza posho za makalio za wanywa kahawa. Msianze kuhoji kama mimi ni fisadi au fisadi mtoto. Jamani mimi si Rizikione wala sina uhusiano na ulaji wao. Najua matahoji huyu jamaa kapata wapi pesa ya kutoa hata posho ya makalio kwa wanywa kahawa. Msijihangaishe. Mshiko niliopewa kwenda Davos ulitafunwa wote kule. Ninachoiita posho hapa si kingine bali kahawa ya dezo kwa wanywaji kahawa hasa wale wanaowakilisha walevi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikiwa nimetoka zangu kuosha macho kule Davos nilikopiga picha na wazito kama sina akili nzuri, sikujua kuwa kumbe nilikuwa nimerejea Uswekeni kwenye matatizo ya kujitakia na kutakiwa. Sikujua kuwa kumbe Davos ilikuwa ni kisingizio cha muda. Sikujua kumbe matatizo niliyokuwa nimekimbia yalikuwa yamezaliana na kuongezeka kiasi cha kunitia majaribuni. Huwezi kuamini. Niliposhuka toka kwenye pipa na kuwasili nyumbani, nilikuta malalamiko hasa kutokana na wambea waliosoma habari zangu kwenda Davos. Nilijilaumu kwa nini sikuwaonya kuwa baada ya kusoma hawakupaswa kuwaambia watu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, nilikuta mshirika wangu wa bedroom amenuna baada ya kuambiwa kuwa nilikwenda kule kujivinjari na totoz na si kujifunza jinsi ya kuwa na nidhamu ya matumizi kama nilivyoeleza kwenye taarifa yangu ya wiki jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile mie ni bonge la mjanja, hili halikugeuka tatizo. Kwani nilikuwa nimemfanyia shopping ya viwalo ya kuua mtu. Michuchumio na mi-gold nilivyotoka navyo Paris nilikopitia toka Davos vilimlainisha kiasi cha kusahau madai yake. Kilichonikera ni wanoko wa kijiweni kutojali kuwa nilikuwa nimetoka kutumia. Hivyo nilipaswa kupewa muda wa kupumzika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbuka, nilipoondoka kwenda zangu Davos, niliacha mgomo wa wanywa kahawa waliotaka waongezewe nyongeza ya posho ya makalio yaani vikombe na kashata ili kuendelea kuchangia kijiwe. Kadhalika niliacha minung’uniko ya waonja kahawa na mabwana usafi kijiweni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu kina mgosi Machungi niliokwenda nao kutanua Davos wao hawaulizwi kitu isipokuwa mimi kwa vile ni mkuu wa kijiwe. Nasikia hata wapishi wa kahawa nao wana mpango wa kugoma wakidai kuongezewa ujira wao. Watashindwaje kudai iwapo sisi wanywaji tusiofanya chochote tunaongezeana posho na marupurupu ya makalio na makoo hata kuuchapa kijiweni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sikujua kuwa kumbe kukurupuka ni ugonjwa na tabia mbaya sana. Baada ya mshirika wangu wa Bedroom kunishauri kuwa lilikuwa jambo jema kuwaongezea motisha na posho wanywa kahawa, niliona ni jambo bora sana. Niliamua kuandika kimemo na kumpa mzee Machungi atangaze tena bila kupindishapindisha kama yule jamaa wa kupinda anayecheza makidamakida na yule Ana Makimba. Jamaa bila ajizi likatangaza kuwa mzee mheshimiwa Dk Mpayukaji ameongeza posho na ulaji wa wanywa kahawa! Lololo! Kama nilikuwa nimeingiza kidole kwenye kichuguu! Walevi walivyohanikiza kunipinga na kunilaani na wengine kuniita kilaza sina mfano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipoona maji yamezidi unga nikaamua kumruka mgosi Machungi kwa kusema kuwa nilimshauri yeye na mshirika wa bedroom watumie busara kuona kama kulikuwa na haja ya kuongeza ulaji wa wanywa kahawa ambao kijiweni hupenda kuuita posho ya makalio kama ya wale waheshimiwa wanaoongoza kuuchapa usingizi kwenye njengo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Brother Wahasira upo? Ila jamaa zako wa Chakudema wanachapa kazi nzuri wakati wewe ukiutononoa na kupewa posho ya makalio, usingizi, kupayuka, koo hata kuongopa. Kwanza niseme. Genge lenu limeniponza. Kwani walevi waliposoma kwenye magazeti kuwa nanyi mmeongezewa mshiko wa makalio na mkuu wenu nao si wakaanza kudai mshiko au posho ya makalio ingawa wao wanalipwa kahawa na kashata!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasikia hata mkuu wenu amejifunza kuchomoa toka kwangu. Tofauti ya kijiwe nanyi ni kwamba nyinyi mna fweza nyingi ila hamna akili nzuri ya kuitumia zaidi ya ufisi na ubinafsi wenu wa hovyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo pesa mnayotanulia na kuingiza kwenye mifuko binafsi ingeletwa kijiweni tungeweza kuachana na kunywa kahawa na kunywa mvinyo tena ule wa champagne ambao wachovu wengi wameujua kupitia kwenye harusi basi. Hata hivyo mimi niliubwia sana nilipokuwa Davos ndiyo maana nikarudi na hangovers kama mia na ushei hivi. Hayo tuyaache mtamalizana wenyewe na mazabe yenu.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Februari 8, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-593486448285961926?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/593486448285961926/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=593486448285961926&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/593486448285961926'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/593486448285961926'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/mpayukaji-aidhinisha-posho-na-kuzikana.html' title='Mpayukaji aidhinisha posho na kuzikana'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8452085299416750395</id><published>2012-02-07T20:03:00.000-08:00</published><updated>2012-02-07T20:14:09.050-08:00</updated><title type='text'>Senegal: Is Wade Waiting for a Revolution ?</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-eMMvnWFZgV8/TzH1JemMp-I/AAAAAAAABzc/47xxBGYfViE/s1600/Wade56.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 252px; height: 263px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-eMMvnWFZgV8/TzH1JemMp-I/AAAAAAAABzc/47xxBGYfViE/s400/Wade56.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706611746036033506" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;When I heard octegenerian Senegalese president, Professor Abdulaye Wade, saying that he wants to  stand  in the coming elections for the third time in order to complete his “projects”, I got confused and appalled. My first question was: Whose projects, between president and taxpayers, are they?  I was simply confused due to the fact that it's become a norm for presidents to use same words conmen and women use to dupe their clients when it comes to fortunes.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Let's face it. Ironically, the man who wants to complete his “preojects” is but a beggar in an expensive suit as it is for the case of other African rulers! Another question was: Does it mean that Senegal is Wade and family’s personal estate? Interestingly, rumours are rife that Wade is even older than his official age of 86. What can such an old man do differently? If anything, Wade and Robert Mugabe are likely to enter the Guiness book of wonders for striving to die in power. It is even disgusting to learn that such educated oldmen behave goonlier than illiterates. Such a cabal of rulers has become another blow to our continent. Here we are talking of the oldmen who behave like boys. There are those who still believe that without them being in power nobody else can rule their countries. We have the likes of Yoweri Museveni, Meles Zenawi, Theodoro Nguema, Denis Sassou-Ngwesso, and many more who think that they were created to rule. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The far-fetched to-cling-unto- power- to- finish- unknown- and- dubious –projects reason has become another  moniker of democracy many dictators use to get away with it. Do these selfseekers spend their personal fortunes on the so-called their projects or use the said projects to swindle people’s money? Developing infrastructure? Who told him that others cannot develop infrastructure? Others go as far as saying that they want to remain in power to see to it that their revolutions are not tarnished or being booted down as it has always been the case in Uganda. But for how long will Africa remain a captive of hungry individuals in power? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Analysits agree that Wade was grooming his son Karim to inherit his presidency as it was the projects in Libya and Egypt before Jasmeen revolution shattered such dreams. Moreover, when Senegalese openly opposed this plus what happened in Libya and Egypt, Wade decided to bite the bullet and stand himself to save his face. Given that he had not prepared anybody except his son to succeed him, Wade found himself caught between a rock and hard place. So with this vaccum, Wade decided to succeed himself by standing for a third time. Interestingly, Wade was able to manipulate the judiciary and get away with it. Once again, this exposed the weakness of judiciary made of presidential appointees instead of vetted judges as it is in Kenya and South Africa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wade has maintained that he wants to remain in power in order to advance his agenda of development. Many Senegalese do not subscribe to this given that when Wade came to power promised democratic and transparent changes that he did not do. He still maintains that he needs time to change the system. Again, Jonathan Jansen in his book Knowledge in the blood said, “The master’s tool can never demolish master’s house.” Therefore, it is an open secret that Wade still wants to take Senegalese for a ride once again. Will he succeed under all this pressure? Will he end up like Bakili Muluzi (Malawi) and the late Fredrick Chiluba (Zambia) that were stopped by the people or triumph just like Yoweri Museveni (Uganda) and Paul Biya (Cameroun) who got away with it after manipulating their constitutions and electoral bodies? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;After being democratically propelled to power in 2007, Wade promised Senegalese that he won’t appoint anybody minister who did not win elections. His son Karim lost mayoral elections. This forced Wade to lick his vomitese to appoint his son a powerful minister jaggling from ministry to another from State for International Cooperation, Urban and Regional Planning, Air Transport to Infrastructure!   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The guy is approaching ninenty. Many people say that he faked his age in order to cling unto power. Suppose his “projects” are not completed in his third term in office when he actually will e approaching a hundred year, will he run for the fourth term in order to do the same business of project completing? Does this make sense really? &lt;br /&gt;Ironically, Wade a professor of Law does not honor the law he taught for many years. It becomes even murky to note that Wade came to power under the banner of democracy as it was in the case of Muluzi, Chiluba and many others who ended up becoming even more despotic than those they unseated. If anything, this has become another obstacle for Africa’s democratic transition. A few academics enter politics to end up creating more shame than even the less educated they unseated. We will discuss this next time in the need of signing a new social contract in Africa. Suffices to sum up asking Mr Wade: Is Senegal your private estate mr president?&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Source: The African Executive Magazine Feb., 8, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8452085299416750395?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8452085299416750395/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8452085299416750395&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8452085299416750395'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8452085299416750395'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/senegal-is-wade-waiting-for-revolution.html' title='Senegal: Is Wade Waiting for a Revolution ?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-eMMvnWFZgV8/TzH1JemMp-I/AAAAAAAABzc/47xxBGYfViE/s72-c/Wade56.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8726931055324893299</id><published>2012-02-06T07:25:00.000-08:00</published><updated>2012-02-06T20:05:15.704-08:00</updated><title type='text'>Kujivua gamba CCM tushike la nani au ndiyo mwanzo wa mwisho?</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-yykDyrQMHZ4/Ty_x8Vd56UI/AAAAAAAABzQ/_cJBaBkZ9Nk/s1600/is.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 128px; height: 95px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-yykDyrQMHZ4/Ty_x8Vd56UI/AAAAAAAABzQ/_cJBaBkZ9Nk/s400/is.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706045271758727490" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;“Haiwezekanitukaendelea kuwa na watu wa hovyo, lazima chama kijipange na kujiweka sawa ilikisipoteze sifa kwa jamii,” Jakaya Kikwete akiwa Mwanza jana. Anaongeza, "Hivi karibuni nikiwana NEC hapo Dodoma, nilitumia kauli ‘Nyoka Kujivua Gamba’. Usemi huo ulienezwatofauti kabisa. Kimsingi tulipitisha maazimio mengi, lakini wenzetu wameonaazimio moja tu la kujivua gamba.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-9Tn3u6NaP_I/Ty_x8Agwd6I/AAAAAAAABzE/9d0kfSEcN-o/s1600/09sumaye.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 207px; height: 211px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-9Tn3u6NaP_I/Ty_x8Agwd6I/AAAAAAAABzE/9d0kfSEcN-o/s400/09sumaye.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706045266133546914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;“Hatuwezi kuwa nachama imara kama hatukuondoa magamba, mwenyekiti wetu wa chama taifa lazimatuyaondoe magamba yanayokipaka chama matope.” Fredrick Sumaye akiwa Pangani mkoani Jana.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-MUdjfOTNw_U/Ty_x7xor7nI/AAAAAAAABy4/NeuqhKUDNO4/s1600/mukama-top2_thumb.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 145px; height: 132px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-MUdjfOTNw_U/Ty_x7xor7nI/AAAAAAAABy4/NeuqhKUDNO4/s400/mukama-top2_thumb.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706045262140272242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; &lt;br /&gt; “Hata Waingerezawanatabia moja. Wakiona jambo linawasumbua, wanaunda Royal Commission, jambo hilolitachunguzwa kwa muda mrefu. Wakimaliza, watu wameshasahau,” Wilson Mukama katika mahojiano maalum na gazeti la Mwananchi wiki jana. Aliongeza,“Kufukuzana siyo dawa, si unaona jinsi jamii ilivyowageuka NCCR Mageuzi kwa kumfukuza David Kafulila au kufukuzwa kwa Hamad wa CUF. Sisi tumesema, kufukuzana siyo suluhisho.., utakuwa unashughulikia tu dalili wakati ugonjwa wenyewe haujaufikia,” &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; Kwa kauli hizo hapo juu tutegemee nini?&lt;br /&gt; &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8726931055324893299?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8726931055324893299/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8726931055324893299&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8726931055324893299'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8726931055324893299'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/kujivua-gamba-ccm-tushike-la-nani-au.html' title='Kujivua gamba CCM tushike la nani au ndiyo mwanzo wa mwisho?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-yykDyrQMHZ4/Ty_x8Vd56UI/AAAAAAAABzQ/_cJBaBkZ9Nk/s72-c/is.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5923480620284166897</id><published>2012-02-02T04:39:00.000-08:00</published><updated>2012-02-02T04:44:48.593-08:00</updated><title type='text'>Angalia posho zenu zinavyopaswa kupatikana</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-ZOFnUSC177o/TyqEdOb3QQI/AAAAAAAABys/Hc0xVE6bCUk/s1600/posh.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 289px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-ZOFnUSC177o/TyqEdOb3QQI/AAAAAAAABys/Hc0xVE6bCUk/s400/posh.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5704517515644190978" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Angalia mheshimiwa mbunge anavyotengeneza posho ya makalio. Hata hivyo posho hiyo ya makalio haitoshi kiasi cha mheshimiwa kulala na kuota posho ya kuuchapa usingizi. Hawa wanaoidhinisha na baadaye kukanusha sijui kama wana nia nzuri na wananchi.Hata hivo wanakosa nini iwapo mambo yao siku zote yakwenda kama ilivyopangwa?&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5923480620284166897?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5923480620284166897/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5923480620284166897&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5923480620284166897'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5923480620284166897'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/angalia-posho-zenu-zinavyopaswa.html' title='Angalia posho zenu zinavyopaswa kupatikana'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-ZOFnUSC177o/TyqEdOb3QQI/AAAAAAAABys/Hc0xVE6bCUk/s72-c/posh.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2441105051885925440</id><published>2012-02-01T10:44:00.000-08:00</published><updated>2012-02-01T10:46:10.343-08:00</updated><title type='text'>Leon Mugesera Deportation: A Notice to Impunity</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-6rINtr3i8NY/TymIcJHk3zI/AAAAAAAAByg/JNcOOua_5QQ/s1600/Mugesera_real.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 351px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-6rINtr3i8NY/TymIcJHk3zI/AAAAAAAAByg/JNcOOua_5QQ/s400/Mugesera_real.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5704240420106854194" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mugesera: The end of the road?              Photo courtesy &lt;br /&gt;When Rwanda faced genocide in 1994, it was betrayed and forgotten by the international community.  However, Rwanda emerged from the ash, true to what  Joseph Sebarenzi wrote in his piece God Sleeps in Rwanda, when he quoted 1 Samuel 2:8, “He raises the poor from the dust and lifts the need from heaps of ash…..” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leon Mugesera, a long time Rwandan fugitive, was recently extradited from Canada after losing a lengthy legal battle to stay in Canada. A former linguistic professor at Laval University in Quebec, Mugesera is a very controversial figure.  Educated as he is, many thought his knowledge would be the fountain of humanity and justice. Unfortunately though, he allegedly made a speech that acted as a precursor of Genocide.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mugesera was able to juggle the law his way for 16 years before the long arm of justice caught up with him. Mugesera’s legal acrobatics created a headache for Canadian and Rwandan governments. He lost the battle when the government of Canada, after exhausting all legal venues and options, decided that the game was over and time up for Mugesera to be deported and face justice back home. At Montreal's Pierre Elliott Trudeau International Airport where Canadian authorities saw Mugesera off, his family and friends wept. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mugesera’s deportation was not an easy stuff for the government to chew. On the one hand, Rwandan authorities asked Canada to deport Mugesara so that he could be tried back home where he allegedly committed the offences he is charged with.  On the other hand, Canadian authorities were under pressure from Human Rights activists, Mugesera’s friends and sympathizers not to let him be deported. The weak reasons the pro-Mugeseras gave is that he would be tortured. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mugesera’s ordeal stated in 1992, when he gave the hate speech to his party’s members that later acted as a button that triggered genocide in Rwanda a year after Mugesera fled Rwanda. Addressing 1,000 party members, Mugesera allegedly told  the crowd to kill Tutsis and "dump their bodies into the rivers of Rwanda." And truly this happened in the shortest time so as to go even beyond Rwanda. Refer to how Tanzanian authorities became aware of the pogrom after people in Rwanda’s neighboring region of Kagera reported to have spotted so many corpses floating in the river.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;When the father of five arrived in Canada, he concealed his past so as to be issued with a permanent residence status on top of securing a teaching job at Laval University.  After two years, Canadian authorities got wind of Mugesera’s lies and henceforth stripped his permanent resident status off. His tribulations started right away thence so as to cost Canadian taxpayers’ money for 16 years.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mugesera’s deportation though was received with mixed reactions by Canadians. Those who thought Mugesera deserved to answer his call congratulated their government for doing justice for the people of Rwanda. This was seen on the responses online when Yahoo reported the last ditch for Mugesera. Some Canadians who don’t know what actually transpired in Rwanda in 1994 are blaming their government for deporting Mugesera. Those in Quebec where he used to attend mass and sing in the church think Mugesera was an innocent and ideal person. “I personally think that it’s very unfortunate that Canada appears to have washed its hands and is sending Mr. Mugesera to a country which, according to the United Nations and the United States, practices torture,” said Allison Turner, a Montreal lawyer and former defence lawyer at the United Nation’s International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ironically, the pro-Mugeseras seem careless about the rights of those that were butchered in 1994. Instead they care a lot more for the rights of Mugesera. To them, Rwanda is not mature enough to try a fugitive! Again, such people do not dispute the fact that Rwanda has proved many wrong after emerging from genocide to become one of the fastest developing countries in the world! Let us face it. Rwandan government, if anything, has won international recognition after deciding to forge ahead instead of living in the past. Therefore, this can assure us that justice is going to be done in Rwanda as far as Mugesera’s allegations are concerned. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;What is interesting is the fact that neither Mugesera nor his lawyers have ever disputed the charges he is facing. Instead their concerns have always been that Mugesera is going to be tortured. Apart from this, Rwandan authorities assured Canada that they will treat Mugesera according to the letter of the law. Rwandan Prosecutor General Martin Ngoga says: “We are prepared to follow the law to the letter and honour the guarantees we gave the Canadian government.” Ngoga continues, “Everyone is welcome (to observe).” To show how prepared and just the government is, Ngoga assured the international community of due diligence and accountability in dealing with this high profile case. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;At last justice is closing in on Mugesera. Those who commit heinous crimes against humanity with impunity in Africa ought to be put on notice. Justice will one day close in on them.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Source: The African Executive Magazine Feb., 1, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2441105051885925440?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2441105051885925440/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2441105051885925440&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2441105051885925440'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2441105051885925440'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/leon-mugesera-deportation-notice-to.html' title='Leon Mugesera Deportation: A Notice to Impunity'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-6rINtr3i8NY/TymIcJHk3zI/AAAAAAAAByg/JNcOOua_5QQ/s72-c/Mugesera_real.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1152752946351152039</id><published>2012-02-01T10:41:00.000-08:00</published><updated>2012-02-01T10:44:48.100-08:00</updated><title type='text'>Jakaya anajifunza nini davos kila mwaka?</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-Vr7Uqrop7VY/TymIEe6OhBI/AAAAAAAAByU/dATZQDmTeVs/s1600/kik.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-Vr7Uqrop7VY/TymIEe6OhBI/AAAAAAAAByU/dATZQDmTeVs/s400/kik.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5704240013639582738" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kwa mtu anayejua uchumi wetu unavyoharisha huku toboatoba ya mafisadi ikizidi kuuzamisha, anashangaa uwezo wa rais Jakaya Kikwete kujifunza. Tunasema hivi kutokana na mazoea yake ya kwenda Davos Uswisi kuhudhuria mkutano wa kiuchumi wa dunia wenye lengo la kutoa mikakati na mbinu za kuimarisha uchumi duniani. Tunasema hivi kutokana na kutoona tofauti kiuchumi.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila unapofanyika mkutano wa uchumi duniani kule Davos Kikwete na walaji wenzake huwa hawakosi. Inaonekana hii tabia aliirithi toka kwa mtangulizi wake Benjamin Mkapa aliyesifika kwa kupenda kusafiri na kuhutubia mikutano ya kimataifa kuliko hata ya ndani kama alivyowahi kutuhumiwa na akaamua kujibu kwa ubabe. Hii siyo hoja leo. Hoja ni kutafakari nini anachotufanyia na kutuletea Kikwete kwa kwenda Davos kila mkutano huu unapofanyika. Sisi si wa kwanza kuuliza. Gazeti hili lilihoji na ikulu ya Kikwete ikatoa majibu ya kitoto kubwa likiwa ni kutafuta udhaifu wa kitaaluma zaidi ya hoja husika.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali muhimu na kubwa linalotusumbua ni: Je Kikwete hujifunza nini iwapo uchumi wetu ndiyo wa hovyo kuliko zote katika eneo la afrika mashariki? Hebu itazame sarafu yetu. Utazame mfumko wa bei na kupanda gharama za maisha. Kwa wanaokumbuka, wakati Mkapa akiondoka mfumko wa bei ulikua ni asilimia tano. Leo tunaambiwa ni 20%. Sarafu yetu inabadilishwa kwa takribani shilingi 1,500 kwa dola moja wakati mkapa akiondoka ilikuwa ikikaribia kufikia dola moja kwa shilingi 800. Je hapa tatizo ni nini? Je ni muarobaini gani Kikwete anaendea Davos?  Je inakuwaje mtu aende kuogelea kisimani asitoke na tone hata moja la maji? Je tatizo hapa ni kisima au mhusika? Haya ndiyo maswali yanayopaswa kujibiwa na hao wanaomjibia rais kwa kutoa majibu ya kitoto. Wakati mwingine huwa tunashangaa watu kama hawa wanalipwa kwa lipi iwapo hawawezi hata kusoma hoja na kuzitolea majibu yanayoingia akilini! Je ni ile hali ya kupatikana kwa wahusika kwa mbinu chafu kiasi cha kuwa genge la kulipana fadhila?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine kinachomuweka Kikwete msalabani ni ile hali ya kuwa nchi yetu inaongoza barani kwa kuombaomba kiasi cha kuwa nyuma ya Afghanistan na Iraki kutokana na nchi hizi kusumbuliwa na vita.  Swali jingine muhimu ni: Anajifunza nini iwapo tunaongoza katika bara la afrika kupewa misaada ambayo mwisho wake ni kufujwa? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitaki nionekane namkejeli Kikwete. Acha niulize :Je kikwete huenda kujifunza uwekezaji wa kijambazi wa mtangulizi wake ambaye naye alikuwa shabiki wa Davos? Kwa uchumi wetu, hii Davos siyo divorce jamani? Je kama uchumi wetu haufanani na Davos, ina maana Kikwete na wenzake anaoandamana nao wanakwenda kule kutanua kwa kufuja kodi zetu? Nakumbuka  jamaa mmoja toka Sudan ya Kusini aliyerejea nchini mwake baada ya kupata uhuru. Msimuliaji wa kisa hiki ambaye ni rafiki yangu toka huko anasema kuwa siku ya siku kijana aliyekuwa amekaa Marekani kwa zaidi ya miaka kumi aliporejea kwao katika mji mkuu Juba, aliitwa na wazee. Wazee hawa walikuwa kumbe wamemuandalia bonge la ofisi na cha mno kulikuwa na kompyuta. Kwa vile nchi hii ni change na ina kiu ya maendeleo, wazee hawa walidhani kijana wao kwa kukaa nchi iliyoendelea naye alikuwa amepata angalau ujuzi hata uzoefu unaofanana nayo. Hivyo walimpeleka ofisini na kumpa kumkabidhi ofisi yake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamaa alifurahi sana. Lakini kabla ya wazee kuondoka walitaka kijana awaonyesha atakavyotumia ile kompyuta. Bila kujua kuwa katika wazee wale kulikuwapo mmojawapo mtaalamu wa kompyuta, jamaa aliwasha kompyuta na kuanza kubabaisha huku na kule. Mara yule mzee mtaalamu alimwambia kuwa angetaka afungue programu ya  Power Point ambayo si ngumu. Kijana alianza kutoa toa macho. Kufupisha kisa hiki, wale wazee waliamua kumpa kipigo cha mwizi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Somo la kisa hiki ni kwamba lazima mtu afanane na mazingira anayoishi au aliyokwenda kujifunza sawa na rais wetu kuja na mikakati inayofanana na mkutano wa Davos badala ya kuja na picha alizopiga na viongozi mbali mbali mashuhuri duniani. Watanzania hawahitaji kuona sura za viongozi mashuhuri bali kuona mabadiliko katika uchumi na maisha yao. Hili kwao ni muhimu kuliko hizo picha na stori za mara tuliomba hili au tulijadili hili. We need actions not words and photo gallery from Davos.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni jambo la hatari kwa mfano rais kutumia shilingi zaidi ya 300,000,000 kwenda kufanya vitu ambavyo hata haviingii akilini. Tunasema hivi si kwa sababu ya uchochezi au chuki. Tuna sababu. Hivi kulikuwa na mantiki gani kwa mfano kwa rais kwenda zake Davos huku makamu wake akijichimbia mikoani (Lindi na Tanga) akifanya ziara za kupanda miti wakati madaktari wakiwa wamegoma? Je kupanda miti na kuhudhuria mkutano wa Davos ni muhimu kuliko afya za watanzania? Je ni watanzania wangapi walipoteza maisha wakati wa mgomo wakati viongozi wao wakiwa wanatanua nje ya nchi na mikoani? Mbona rais kwa mfano Mwai Kibaki wa Kenya hakwenda kule na badala yake alimtuma waziri mkuu Raila Odinga kutokana na kutaka kusikia wakenya walikuwa wanatafakari vipi hukumu ya Mahakam a kimataifa? Kwani kila mkutano lazima uhudhuriwe na rais au ni ile hali ya kupenda kusafiri na kukimbia matatizo ya msingi nyumbani? Tunamshauri rais Kikwete kubadili tabia na mapenzi yake ya kujali mambo ya nje kuliko ya ndani. Yeye si waziri wa mambo ya nchi za nje tena bali rais. Je kwa kukimbia matatizo ya msingi ya nyumbani, rais Kikwete amekuja na kipi cha mno kwa uchumi wetu uliko chumba cha wagonjwa mahututi (ICU)? &lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Februari 1, 2012.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1152752946351152039?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1152752946351152039/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1152752946351152039&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1152752946351152039'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1152752946351152039'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/jakaya-anajifunza-nini-davos-kila-mwaka.html' title='Jakaya anajifunza nini davos kila mwaka?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-Vr7Uqrop7VY/TymIEe6OhBI/AAAAAAAAByU/dATZQDmTeVs/s72-c/kik.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5384402033718602871</id><published>2012-02-01T05:25:00.000-08:00</published><updated>2012-02-01T05:26:20.630-08:00</updated><title type='text'>Mpayukaji aenda kutanua Davos</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NAJUA wasomaji wengi wanaona kama stori hii ni kamba za kawaida wasijue ni ukweli mtupu. Kwanza mimi si msanii wala mjingamjinga kujipinga au kufanya vitu vinavyoweza kunitokea puani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa taarifa yenu ni kwamba nimeanzisha NGO ya ulaji ambayo iliniwezesha kupata wafadhili kwenda kuhudhuria mkutano wa kiuchumi na ulaji matanuzi na mambo mengine kule Davos Uswisi. Chunga sana ni Uswisi si Uswazi wala Sweden kama baadhi ya magazeti yalivyoandika hivi karibuni. Hivi hata neno dogo Swiss nalo linawashinda waandishi wa siku hizi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaobisha kuwa sikuwa Davos ngoja niwape vipande. Mkutano wetu wa ulaji wa waliwaji ulifunguliwa na dada yangu na mwanafunzi mwenzangu Dk. Angela Merkel, ambaye alinipongeza sana na kusema kuwa huwa ananikumbuka nilivyokuwa kipanga darasani. Tulipiga picha pamoja na kubadilisha business card na kila mtu akaenda zake. Niliandamana na marafiki zangu kama kumi na watano hivi, akiwamo mfotoaji wangu binafsi, Mwidini Michozi &lt;br /&gt;Hayo tuyaache.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya wafadhili kunipa yapata dola kama 250,000 kwa ajili ya matanuzi yangu na watu wangu, tulijitoma kwenye pipa la Katari na kutua zetu kule kwenye kiwinta na kula mikuku na mitotoz. Jina la kampuni iliyonifadhili naweka kapuni kuogopa Matonya wetu wakubwa na wadogo kwenda kule kubomu na kututilia kichumvi. Si unawajua tena Waswahili walivyo na mitima nyongo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika msafara huu ingawa nasema nilikwenda na watu 15 totoz zangu zilikwenda kivyake ili wanoko wasinishtukie na kumpa taarifa bi mkubwa ingawa hawezi kufanya kitu ikichukuliwa kuwa naye ananichuna kwa kutumia mamlaka yangu kijiweni. Kwani yeye hana washikaji wake wanaonilia vyangu? Anadhani sijui?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna kitu kilichonifurahisha kama kwenda kwenye ma fauna na kwa wataalamu wanaoitwa chiropracticians au madaktari wa kuchua mwili. Najua wale washenzi wakisikia neno kuchua wanaanza kufikiri upuuzi. Hapa namaanisha kukandwakandwa na kunyooshwa kila kiungo. Kitu kimoja sitawaambia ni kwamba wale wadada wanaofanya udaktari huu lazima wawe bila ngu… we koma! Wakati jamaa zangu madaktari wamegoma, niliamua kwenda kule kula upepo na kujitibia kwa kukandwakandwa. Kitu kingine, kule Davos hakuna dini wala ushehe. Unakata kilaji kama huna akili nzuri. Hayo tuyaache.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kule Davos nimejifunza mikakati mipya ya kukuza uchumi wa kijiwe hasa kuhakikisha kuwa kila tone la kahawa inayochemshwa linaingizwa kwenye kitabu cha mapato.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na la usimamizi wa mapato, mengine niliyojifunza Davos ni kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mosi, kuondoa au hata kupunguza ofa za hovyo hovyo kwa wale ninaowalipa fadhili kutokana na kunisaidia kuukwaa ukuu. Hapa akina Silvia Rweyependekeza nadhani wananipata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, kufanya kampeni kuhamasisha watu kunywa kahawa na siyo gongo na upuuzi mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatu, kupunguza au kufuta ushikaji na kujuana kwenye kijiwe ambapo watu wamekuwa wakija na kunywa kahawa bila kulipa hata kukopa pesa za kijiwe kwa vile eti wananijua mimi au ni ndugu au marafiki zangu. Huu ni ukupe lazima ufe mara moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nne, kumnyang’anya gabacholi Kanji mraji wa makaa kutokana na kuutumia kuibia kijiwe kwa kuanzisha ujambazi wa mkaa almaarufu Richmonduli, Downs, APITIELO na mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tano, kuchemsha kahawa kwa umeme badala ya mkaa. Maana naona mkaa licha ya kuchafua mazingira umechafua hata maadili kutokana na kashfa tajwa hapo juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sita, kupambana na mgawo wa umeme ili kuwepo na nishati ya kuchemshia kahawa. Hapa najua lisirikali litanichukia kwa vile nataka kuingilia ulaji wao kwa maslahi ya wana kijiwe changu. Hata hivyo nitajaribu. Maana mie simuogopi mtu awe Njaa Shibe au Kapinda mie namvaa tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Saba, kupandisha bei ya kahawa na kuhakikisha wanywaji wanalipwa kwa dola. Hii ni kutokana na madafu kuporomoka kila uchao kama mabua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua ya nane ni kuhakikisha nampiga stop bi mkubwa kuacha kuchota fweza za kashata. Kinachokera sana ni kwamba anachukua na mashoga zake nao wanakuja kuhomola nikimuuliza naye aniuliza kwani watu wangu si walaji? Kitu kingine kinachonitia shaka ni ile ya bi mkubwa kutaka kutumia vita yangu ya kuhakikisha kuna uadilifu kuwa chanzo cha kuvuruga u-house wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa kusema ukweli amenishika pabaya. Hata hivyo napanga kumpa laivu kuwa kama anaona u-house wetu unashikiliwa na kumruhusu kuwa fisadi basi nitaoa mwingine ambaye atakubaliana nami. Mbona mchonga aliishi hadi kufa na mama Mary? Najua wanawake wote si kama Anna Tamaa au Shari Salima wa Njaa Kaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anyway hilo nitalishughulikia nikipata time baada ya kutafakari mikakati yangu ya Davos.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia mbali hiyo mikakati hapo juu na matanuzi mengine, kule Davos kulikuwa na party ya kupiga picha na wakubwa wa dunia hii. Nakumbuka. Hakuna kilichonifurahisha kama kupiga simu na Devil Kameruni, Go- down Brauni, Yakobo Zumaa wa Sauzi ambaye kwa totoz anaonekana kunitoa jasho.  Kuna kipindi niliambiwa nikapige picha na wakuu wa kaya kama Hafkanisheitani na Pakasheitwan nikakataa kwa kujua walivyo matapeli na magaidi. Kama wingi wa picha ungekuwa fweza basi kijiwe kingekuwa tajiri kuliko kaya zote ulimwenguni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua mijitu mingine isiyo na adabu inaposoma ujumbe huu inasema moyoni kuwa ni kamba. Kama mnadhani ni kamba nenda kawaulize wote waliohudhuria ulaji huu wakwambie kama hawakuniona tena nikijinoma mipicha ya madingi wa ulaji wa mataifa mbalimbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unajua? Acha niishie hapa niende kutekeleza mipango kemkemu kutoka Davos. Basi nanyi waulize wakubwa zenu waliounguza kodi zenu kwenda kule wawaeleze walifanya nini na wamekuja na nini cha mno kama mimi. Kama watawadanganya njoo kwangu niwape siri zao. Maana kamera yangu ilikuwa ikimulika kila mchovu aliyekuwa Davos akijinoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nauli yangu na watu wangu kwenda kule Uswisi ilitolewa na Baraka Obamiza. Ila hii ni top secret ya confidential tell nobody except yourself. You know what?&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Februari 1, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5384402033718602871?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5384402033718602871/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5384402033718602871&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5384402033718602871'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5384402033718602871'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/02/mpayukaji-aenda-kutanua-davos.html' title='Mpayukaji aenda kutanua Davos'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2147731472670577444</id><published>2012-01-29T19:23:00.000-08:00</published><updated>2012-01-29T19:28:28.337-08:00</updated><title type='text'>Nimemkumbuka mzee Yusuf Makamba</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-7ybmsQj1RnI/TyYOSQ0aGVI/AAAAAAAAByI/ucI0UhrSdaI/s1600/Makamba.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 267px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-7ybmsQj1RnI/TyYOSQ0aGVI/AAAAAAAAByI/ucI0UhrSdaI/s400/Makamba.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5703261685026527570" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ingawa tulijua kuna siku moja ataachia ngazi, wengi tulipenda katibu mkuu wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mzee Yusuf Makamba (Mpayukaji) aendelee kuwa katibu mkuu ili aendelee kuvurunga na kuidhoofisha zaidi CCM. Tutamkumbuka Makamba, katibu mkuu aliyeondolewa madarakani kwa aibu kama mtu aliyekitia aibu CCM. Makamba atakumbukwa kwa kupwaya kwake kiasi cha kuonyesha udhaifu wa kuteuana kwa ushabiki urafiki. Makamba anakumbukwa kwa kutumia sanaa badala ya sera na taratibu katika utendaji wake akilalia sana kusoma na kuitafsiri vibaya biblia ima kutokana na kisomo kidogo au ajenga zake za siri za kisiasa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanini tumemkumbuka Makamba wakati tukijua hakalii tena kiti muhimu cha mtendaji mkuu wa chama? Tunamkumbuka kwa sababu aliyemrithi, licha ya kufunikwa na kunywea anaonekana kuwa ataleta madhara makubwa kwa chama zaidi ya hata mzee Makamba na vituko na udhaifu wake. &lt;br /&gt;Si uzushi. Katibu mkuu wa sasa wa CCM, Wilson Mukama, aliingia kwa mbwembwe sana madarakani akipania kuwashikisha adabu watuhumiwa wa ufisadi almaarufu magamba. Hawa si wengine bali Edward Lowassa, waziri mkuu wa zamani aliyefurushwa na kashfa ya Richmond, mwanasheria na waziri wa zamani Andrew Chenge almaarufu mzee wa Vijisenti na Rostam Aziz aliyejitoa mwenyewe baada ya kuona ukweli wa shutuma zilizokuwa zikimkabili. Akiwa na siku chache tangu kuteuliwa, Mukama alilihakikishia taifa na dunia akishirikiana na kinara wa vita dhidi ya magamba wakati ule Katibu wa itikadi Nape Nnauye kabla ya kuzimwa, kuwa angewashikisha adabu wahusika. Muulize leo kama amaewashikisha adabu watuhumiwa au kashikishwa adabu yeye. Je Mukama alilazimishwa kujiapiza kuwashughulikia wahusika au alizimwa? Kama alizimwa alizimwa na nani na kwa nini? Je Mukama alitoa kauli hizi ili kutafuta umaarufu kirahisi rahisi au hakujua aina ya maji aliyokuwa akiyavulia nguo? Ni bahati mbaya kuwa sasa CCM imetekwa zaidi na mafisadi hasa magamba kiasi cha kujifanya hamnazo na kutokumbuka kuwa iliwaahidi watanzania kujivua gamba. Chini ya Mukama sawa na Makamba, magamba yanazidi kutuna na kutuna na kutuna na kutuna zaidi hadi kukimeza chama na nchi kwa ujumla. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa Mukama aliikuta CCM pabaya, sasa anaipeleka pabaya zaidi ya alipoikuta mikononi mwa Makamba hasa kutokana ima na ukimya wake au kuramba matapishi yake kwa kushindwa kushinikiza watuhumiwa wa ufisadi wawajibike kwa kuachia nyadhifa zao kama walivyotakiwa na vikao vya juu vya chama anachoongoza Mukama.  Kama Makamba asingekuwa na maslahi na jamaa hawa, nimjuavyo angewabutikia angalau kulinda hadhi yake. Mukama hili limemtoa knockout maskini! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jaribio rahisi lililoonyesha kuwa CCM ilikuwa pabaya wakati Mukama akiingia ni ile hali ya kuona aibu kumwangukia Philip Mangula katibu wa zamani wa CCM aliyekiimarisha chama, kwenye uchaguzi wa Igunga ambapo CCM iishinda kwa mbinde. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wanaojua mikiki mikiki na nafasi ya katibu mkuu wa chama tawala wanashangaa ukimya na kupwaya kwa Mukama kiasi cha kumkumbuka Makamba pamoja na udhaifu wake wa kufanya mambo kienyeji na kukurupuka. Je CCM inangoja nini kutafuta mtu mwingine wa kumrithi Mukama ambaye ameonyesha kupwaya tena kwa muda mfupi hasa wakati huu ambapo chama kinahitaji uongozi dhabiti? Kwa wapenzi wa mageuzi, hata hivyo, kama ilivyokuwa kwa Makamba, wanaomba Mungu Mukama aendelee kukalia kiti cha katibu mkuu wa CCM ili avuruge zaidi. Hii itarahisishia upinzani kunyakua dola kwenye uchaguzi ujao. &lt;br /&gt;Wengi wanashangaa. Yule Mukama wa jiji la Dar es salaam aliyeteuliwa na Charles Keenja ametimkia wapi? Je ni yale yale ya siasa na umaarufu wa msimu kama wa akina Augustine Lyatonga Mrema, maalim Seif Shariff Hamad na Keenja mwenyewe? Je Mukama amezibwa mdomo baada ya kuwagusa wasioguswa au amelainishwa kama alivyosema hivi karibuni mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi kuwa wapambanaji dhidi ya ufisadi wamenyamazishwa kiasi cha kutosikika? Yuko wapi Mukama atupatie japo jibu au maelezo? Amezidiwa na Nape ambaye pamoja na kujitoa kimasomaso kwenye vita yake dhidi ya ufisadi angalau amekuwa akijitokeza mara chache kutoa ufafanuzi juu ya mambo muhimu! Ningekuwa Mukama ningejitokeza na kuondoa kiwingu hiki. Maana ukiachia mbali kuonekana juzi akiwa nchini Ujerumani, Mukama kwa sasa ni sawa na hayupo. Hii si kawaida ya mtendaji mkuu wa chama kilichoko madarakani ambaye lazima mara kwa mara atoe ufafanuzi kuhusiana na sera na mipango ya chama chake na serikali yake.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mukama amepwaya sana kiasi cha kuzidiwa hata baadhi ya wenyeviti wa CCM wa mikoa ambao siku za hivi karibuni walifikia kukipasua chama wakiwapigia debe “mabwana” zao yaani watuhumiwa wa ufisadi. Ajabu Mukama hakujitokeza kuwashikisha adabu. Angewashikishaje adabu iwapo amewashindwa watu wao ambao hawana hata mamlaka zaidi kwa sasa ikilinganishwa na wenyeviti hawa?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa Makamba alisifika kwa vitu vidogo kama vituko na mambo mengine ambayo hayakuwa muhimu kwa nafasi yake, kwa udhaifu wa Mukama, tuna kila sababu ya kumkumbuka komredi Mgosi Yusuf Makamba almaarufu mzee wa biblia.&lt;br /&gt;Chanzo; Dira Januari 2012.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2147731472670577444?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2147731472670577444/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2147731472670577444&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2147731472670577444'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2147731472670577444'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/nimemkumbuka-mzee-yusuf-makamba.html' title='Nimemkumbuka mzee Yusuf Makamba'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-7ybmsQj1RnI/TyYOSQ0aGVI/AAAAAAAAByI/ucI0UhrSdaI/s72-c/Makamba.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-497370940251828209</id><published>2012-01-28T06:08:00.000-08:00</published><updated>2012-01-28T06:10:23.857-08:00</updated><title type='text'>Neema toka Davos</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-v6HHpU7rxg4/TyQBr--8NuI/AAAAAAAABx8/DXc5vNntuUE/s1600/kik.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-v6HHpU7rxg4/TyQBr--8NuI/AAAAAAAABx8/DXc5vNntuUE/s400/kik.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702684883310884578" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Bill and Melinda Gates Foundation Bw. Bill Gates wakati wa Kongamano la Uchumi Duniani mjini Davos, Switzerland&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-497370940251828209?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/497370940251828209/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=497370940251828209&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/497370940251828209'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/497370940251828209'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/neema-toka-davos.html' title='Neema toka Davos'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-v6HHpU7rxg4/TyQBr--8NuI/AAAAAAAABx8/DXc5vNntuUE/s72-c/kik.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4064620987795014219</id><published>2012-01-26T14:38:00.000-08:00</published><updated>2012-01-26T19:35:03.110-08:00</updated><title type='text'>Kumbe maisha bora Tanzania yanawezekana!</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-dkdximvwCxE/TyIbWAfG3BI/AAAAAAAABxw/Nc_2ITlbTfE/s1600/ki.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 288px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-dkdximvwCxE/TyIbWAfG3BI/AAAAAAAABxw/Nc_2ITlbTfE/s400/ki.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702150143106014226" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Kibonzo hicho cha Kipanya nadhani kinaweza kuwa na tafsiri nying. Sijui wewe unakitafsirije? Tafsiri yangu ni kwamba watawala wetu wanajali raha zao badala ya maisha yetu- hawatupendi na wanatudharau sana. Yanayotukuta hayawashughulishi na kama yanawashughulisha basi ni kwa kuombea misaada ya kutanulia zaidi na zaidi kwa gharama yetu na vizazi vijavyo. Je kwa mtaji huu kuna haja ya kuwa na watawala wanaokula watu badala ya kuwatumikia?&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4064620987795014219?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4064620987795014219/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4064620987795014219&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4064620987795014219'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4064620987795014219'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/kumbe-maisha-bora-tanzania-yanawezekana.html' title='Kumbe maisha bora Tanzania yanawezekana!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-dkdximvwCxE/TyIbWAfG3BI/AAAAAAAABxw/Nc_2ITlbTfE/s72-c/ki.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6690338881039802507</id><published>2012-01-25T05:19:00.000-08:00</published><updated>2012-01-25T05:23:44.706-08:00</updated><title type='text'>Is Libya Safe Under Mustapha A. Jalil?</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-RHYxM5QDJzk/TyACXKO3RcI/AAAAAAAABxY/QRDZCKrMIZ4/s1600/jal.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-RHYxM5QDJzk/TyACXKO3RcI/AAAAAAAABxY/QRDZCKrMIZ4/s400/jal.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701559725157991874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;When former Libya tyrant, Muammar Gaddafi was toppled and later summarily felled, the world went frenzy crazy with the sigh of relief.  Dictators in western countries who pretend to be the tutors of democracy congratulated each other for getting rid of undemocratic dictator. Was it right or wrong? Time will surely tell.   Now that months have lapsed and news is breaking those rebels who toppled Gaddafi had different aims and agendas altogether.  Mistrust and confusion are high. This secret was revealed by the capture of Seif al Islam, who is believed that he was groomed by Gaddafi to take over had anything happened as it was the case in Syria, Togo, DRC, Gabon and North Korea where sons of former presidents took over after their fathers died.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mistrusts and division forced donor countries to not give frozen Libya’s money to the new regime as it was recently revealed. "The Libyan money is not yet liquid and useable. The donors don't want to give more. Are we going to wait three months to deal with these emergencies?" Georg Charpentier, UN Humanitarian Coordinator, posited at a meeting of heads of agencies in Tripoli in November.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Many Libyans are concerned and they don’t know what is going on. "We're now selling over a million barrels a day - that's $100m (£64m) a day," says Sami Zaptia, the managing director of consultancy firm Know Libya.  He adds, "It's a question of where is the money going? Is Libya paying off some debts? Are we paying NATO? What's happening? It's big money."   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Since this secret of animosity and division among the rebels came to the agora, the west has kept mum thanks to the doubt this situation create. Will Libya end up becoming another Iraq or Afghanistan? Who knows?  Before concluding or passing verdict, we need to examine the current dictator who is running Libya. This is none other than former Prosecutor and minister for justice who is currently the head of National Transition Council, Mustapha Abdul Jalil.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Abdul Jalil was born in 1952 and he is a lawyer by trade. From 2007 to 2011, Abdul Jalil was Minister of Justice or officially, the Secretary of the General People's Committee of Justice under Colonel Muammar Gaddafi. In a simple language, Abdul Jalil was doing Gaddafi’s laundry when it came to apply law. Therefore, his hands are dirty full of filth and the so-called nasty past that shaped Gaddafi and his notorious regime as it is defined by western notorious regimes. In other words if you hate Gaddafi, you must, so too, hate his laundryman Abdul Jalil. What a type that is Abdul Jalil who used his profession to amuse the person he blackmail and now calls dictator? What hypocrisy for such a laundryman to stand on the agora and start throwing stones at his master? This is a very question many thinkers are asking with regard to the future of Libya. Will Libyans overlook this dirty and stinking legacy of their current leader? If they do, what next after the euphoria of getting rid of Gaddafi is over? Will they turn all stones or ignore the reality for their peril?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Like current Egyptian strongman, Field Marshall, Mohamed Hussein Tantawi, will Abdul Jalil get away with it and save his skin or being booted out like Mohamed Ganouchi in Tunisia? If Gaddafi was a butcher, Abdul Jalil was his henchman.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Like abul Jalil who dogedly serving Gaddafi, Tantawi obstinately served Mubarak and Ghanouchi, Zine El Abidine Ben Ali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;More on Abdul Jalil, before even toppling Gaddafi, he had already proved how he was going to follow the trend of the person he was demonizing.  He killed Major General Abdul Fattah Younus former Gaddafi Minister of Interior who goofed and defected to join rebels who later killed him. Up to this moment, Abdul Jalil has nary bothered to provide any explanations regarding the death of such a senior person in his struggles!  Even the death of Gaddaffi speaks volumes about the man in Tripoli. Will he get away with it? Will Libyans turn tables against him as Egyptians are currently trying to against Marshall Tantawi? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Is Abdul Jalil a new crop of coup d’ etats in Africa? Those who remember how many African junta leaders came to power, are aware that they were created and supported by western countries who found that democratic or the regimes they toppled did not safeguard their vested interests. Likewise, the big question with regards to Abdul Jalil is, did west create him to safeguard their interests that Gaddafi endangered? If not, why then don’t western powers talk about dealing with all those that helped Gaddaffi to commit alleged atrocities? Is Abdul Jalil a good boy before west and therefore a traitor against Libyans? Britain helped Idd Amin to topple a democratically elected government so as to stage dictatorship that would safeguard Britain’s interest. Will Abdul Jalil accomplish this or turn inot a mad dog like Idd&lt;/strong&gt; Amin?&lt;br /&gt;Source: The African Executive Magazine Jan. 25, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6690338881039802507?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6690338881039802507/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6690338881039802507&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6690338881039802507'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6690338881039802507'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/is-libya-safe-under-mustapha-jalil.html' title='Is Libya Safe Under Mustapha A. Jalil?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-RHYxM5QDJzk/TyACXKO3RcI/AAAAAAAABxY/QRDZCKrMIZ4/s72-c/jal.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-976399482133925654</id><published>2012-01-25T05:18:00.000-08:00</published><updated>2012-01-25T05:19:20.545-08:00</updated><title type='text'>Maskini CUF, fupa la CCM limeisambaratisha!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Kwa mtu anayejua tabia za mbwa, hatapingana nasi kuwa, hata awe mjanja, mwenye nidhamu na mafunzo kiasi gani, mbwa akitupiwa fupa usahau kila kitu. Ukitaka kumuibia mbwa hasa anapokuwa kwenye lindo, njoo na fupa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo, ndivyo ilipotokea kwa Chama Cha Wananchi (CUF) mbacho kilichozolea umaarufu mkubwa kwa kuitikisa serikali na nchi kutokana na harakati zake za kudai haki hasa kwa upande wa visiwani. Kwa wanaokumbuka historia ya chama hiki watakubaliana nasi kuwa, licha ya historia yake chafu ya kufukuzana, kilileta changamoto ya kutosha kuanzia miaka ya 1992 ulipoingia mfumo wa vyama vingi nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa tangu kuanzishwa kwake, CUF ilionyesha wazi kimatendo na kimkakati ilivyokuwa imeegemea upande mmoja, si haba ilileta changamoto kwa nchi nzima. Sasa hii imebakia historia baada ya Katibu wake mkuu Seif Sharriff Hamad kupewa umakamu wa kwanza wa rais. Ingawa wengi wanachukulia mvurugano unaondelea kwenye chama cha CUF kama suala la ndani, ukweli ni kwamba mchawi ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichobuni njia rahisi ya kuepuka madhara makubwa visiwani baada na kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Baada ya CCM kugundua kuwa isingeweza kushinda kihalali na CUF wasingekubali matokeo ya kupikwa, kilikumbuka kitu kimoja-CUF imejengwa kwenye jina la mtu na si sera wala mikakati. Na mtu huy si mwingine bali Seif ambaye kimsingi ndiye CUF na CUF ni yeye. Kwa kujua alivyoachwa nje kwa muda mrefu na kuanza kuishiwa kulhali, CCM walimzuga na kumwingiza kwenye mazungumzo yaliyokuwa yamekwama kwa miaka mingi. Kwa kujua kuwa Seif alikuwa anakabiliwa na shinikizo la wanachama kumuona kama hafanikiwi, hakuwa na jinsi bali kukidakia chambo ili aweze kufaidi lau binafsi hata kama ni kwa kukiua chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya Seif kuingia ubia au tuseme kufunga ndoa ya mkeka na CCM, kuna baadhi ya wana CUF waliona kama wanasalitiwa hata kuuzwa kwa ajili ya maslahi ya mtu mmoja. Huu ni upande mmoja. Upande wa pili ni pale Seif alipokikabidhi chama mikononi mwa mtu mwingine ili aweze kutumikia nafasi yake mpya. Hili lilisababisha kuibuka maswali mengi kuhusu utendaji wa Seif. Seif kuona hivi akaamua kuwa mkali na kumshughulikia yoyote aliyehoji ndoa yake na CCM au kukasimu chama mikononi mwa watu wake wa karibu. Kimsingi hiki ndicho chanzo kizuri cha kuvurugana na kufukuzana kwa CUF ambako bila shaka utakidhoofisha chama.&lt;br /&gt;Kitu kingine kilichomtia motisha Seif kufunga ndoa na CCM ni ile hali ya kudhani kuwa anaweza kujaribu tena akashinda urais wa Zanzibar iwapo rais wa sasa atapendekezwa kugombea kiti cha muungano kama mambo yasiyo ya kikatiba ya zamu za pande za muungano yataruhusiwa badala ya vyama kuteua wagombea wanaofaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mahesabu ya haraka, kama rais wa sasa wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein atasimama kwenye uchaguzi wa muungano CCM haitakuwa na mtu mwenye kuweza kushinda urais wa Zanzibar kama mmojawapo atapitishwa na CCM. Hebu fikiria watu kama Dk Hussein Mwinyi ambaye baba yake alishakuwa rais wa Zanzibar na muungano, nani anaweza kuruhusu utawala wa kurithishana na kufuata majina? Maana ni juzi tu mtoto wa rais wa kwanza wa Zanzibar Aman Karume amemaliza kipindi cha miaka kumi. Wengine wanaotajwa na Shamsi Vuai Nahodha ambaye alikuwa waziri kiongozi kwa miaka kumi. Huyu hana ubavu visiwani ingawa aliwahi kushika nafasi ya juu. Mwingine ambaye bila shaka anaweza kuingia kwenye kinyang’anyiro na kutoa upinzani mkubwa wa Seif hata kumshinda ni makamu wa pili wa sasa balozi Idd Seif ambaye chati yake inapanda kwa kasi ya ajabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu nyingine iliyosababisha mvurugano ni kuchokwa kwa Seif ambaye amekuwa akigombea miaka mingi bila kufanikiwa ukiachia mbali kuongoza kwa staili moja ya muungu mtu. Zama za chama kumtegemea mtu zimepitwa na wakati. &lt;br /&gt;Kitu kingine ambacho tumeishakiongelea ni ile hali ya CUF kuwa CCM B. Hili limeelezwa wazi wazi na waliofukuzwa na jinsi lilivyowakera. Shoka Khamis ambaye alikuwa Mbunge wa Micheweni, Kaskazini Pemba alikririwa akisema, “Nimejifundisha mengi sana CUF mazuri na mabaya, lakini leo kwa sababu wamenifukuza ngoja niseme mabaya, CUF sisi ni CCM B kama wanavyosema wenzetu. Chama kina sifa mbaya ya kufukuza watu, lakini anayefukuza wenzake, Seif Sharif Hamad yeye anajiona kama mungu hafanyi makosa,”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu ya mwisho ni historia chafu ya kufukuzana au kujenga mazingira ya kuwalazimisha wasiotakiwa kwa kukosoa uongozi wa juu kuhama chama kama ilivyotokea kwa James Mapalala mwanzilishi wa CUF, Maiko Nyaluba, Slivesta Kasulumbai (mbunge), Geoge Shambwe, Shaibu Akwilombwe, Richard Hiza Tambwe,Wilfred Lwakatare, Othman Dunga, Asha Ngende,Khamisi Katuga na Ashura Amazi ambao wallifukuzwa kutoka upande wa bara wakati upande wa visiwani waliotimuliwa au kujiondoa baada ya kuhoji ulaji wa wakubwa au kutofautiana nao kimwazo ni pamoja na Naila Jidawi,Fatuma Magimbi,Juma Othuman, Salumu Msabaha na Hamad Rashid.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je watafukuzwa au kunyamazishwa wangapi na lini? Hakuna anayeweza kutabiri ingawa hali inaonyesha kuwa ushindi wa Seif ni wa muda. Maana unaweza kuwadanganya watu wote kwa wakati fulani. Pia unaweza kuwadanganya watu fulani kwa wakati wote lakini huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote. Kuna haja ya kuwashauri wana-CUF kubadilika na kuanza kupigania maslahi ya chama badala ya kulinda maslahi uchwara ya watu binafsi wanaowatumia kama nyenzo za kushibisha matumbo yao.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Dira Januari 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-976399482133925654?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/976399482133925654/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=976399482133925654&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/976399482133925654'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/976399482133925654'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/maskini-cuf-fupa-la-ccm.html' title='Maskini CUF, fupa la CCM limeisambaratisha!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3191640167270395076</id><published>2012-01-25T05:17:00.000-08:00</published><updated>2012-01-25T05:18:12.721-08:00</updated><title type='text'>Mpayukaji kuhamia Kenya</title><content type='html'>&lt;strong&gt;ZAMANI ungeniambia kuhamia nchi kama Kenya ningekufikisha mahakamani kama si kukunyotoa roho. Hata hivyo, nikiri. Imani na mawazo uchawara ya namna hiyo sina tena. Wazungu husema to make a U-turn. Nami nimefanya hivyo. Nimejipiga mtama kweli kweli baada ya kuchoshwa na ujambazi na upuuzi ninaoshuhudia kila siku na kila mahali kwenye kaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa zamani tuliwaita ndugu zetu wa Kenya wakora, nyang’au na majina mengine mengi tusijue sisi ndiyo manyang’au, kwa sasa wana nafuu kimaisha kuliko sisi.  Mzee Mchonga mwana  Musa alizoea kuwaita man eats man bila kujua atarithiwa na man eats everybody and everything.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakujua kuwa kutazaliwa Kiwila thieves na EPA thugs! Uliza: sasa tuko wapi zaidi ya kuwa na manyang'au squred? Wakati sisi tukipiga mbio kwenda nyuma wao wanapaa kwenda mbele. Wana uwezo wa ku-export hata wafanyakazi uchwara kuja kwetu kufanya kazi nzuri na kuondoka na mshiko wa haja wakati sisi tukiangalia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wajua siri yao nini? Kujituma, ubunifu na Kiingereza chao cha I dhink mbus has many more passangers than its capacity. Hamkumsikia jamaa kutoka huko ambaye alinyakwa Manyara akifanya kazi ya kupaka rangi milango na madirisha ilhali aliingia nchini kama TX? Mpo hapo waliwa? Hayo tuyaache.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenzenu nimeamua kuhamia Kenya kutokana na sababu za maana sana hasa kushindwa kuishi kwa kubangaiza au kudokoa toka kwa umma. Siko tayari kuishi maisha ya shilingi milioni moja wakati mshahara wangu ni laki mbili. Siko tayari kuishi kwa kutegemea jinai au kubomu kama lisirikali lenu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nahama kwa sababu Kenya: Umeme ni bei nafuu si kama hapa ambapo kundi la majambazi limeamua kwenda nje na kuleta wachukuaji na kuwaita wawekezaji halafu linawatumia kutuibia pesa yetu na kutupandishia umeme kila siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mie siyo taahira kuendelea kununua hata kiza tena kwa bei ya kulanguliwa. Inatisha sana kuona nchi yenye vyanzo vingi vya maji kulangua umeme wakati Kenya ambayo inanunua umeme kutoka Uganda inauza umeme huo huo wa kununua kwa bei nafuu kuliko wetu wa kuzalisha wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu nyingine inayonihamishia Kenya ni kuepuka kulanguliwa mafuta wakati Kenya ni bei nafuu. Huwa nashangaa. Je, Kenya wananunua mafuta wapi ambapo sisi hatujui kiasi cha kuendelea kuchezeana namna hii? Sina uhakika hata gesi itakuwa bei mbaya ingawa tunaichimbua wenyewe huko Songosongombingo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, ni wangapi wanajiuliza swali kama hili? Kenya hawana WEKULA kama shirika la kudhibiti bei ambalo hapa kwetu kazi yake si kudhibiti bei bali kuzipandisha hovyo hovyo. Sababu nyingine inayonipeleka Kenya ni ile hali ya uchumi wao kukua huku wetu hapa tunaukalia tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kivutio kingine ni kwamba Kenya wana katiba mpya inayohimiza haki na usawa. Wakati wao wakivuna na kufaidi kuwa na katiba mpya sisi tunaendelea kuzungushana na usanii wa kipumbavu kutetea masilahi uchwara na ya kipuuzi ya kikundi cha wezi wachache wasiosoma alama za nyakati.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na katiba ya Kenya kuweka usawa, nahamasika kuhamia huko. Naamini nitatendewa haki kiasi cha kuwa na uhakika wa maisha. Hivyo nikiugua sitaambiwa kwenda kwenye mahospitali yasiyo na dawa wakati wao wakihudumiwa kifalme huko Apollo India. Isitoshe hospitali yao ya rufaa ya Kinyatamanyata iko fiti kichizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kivutio kingine kinachonikimbizia Kenya ni ile hali ya rais kutokuwa juu ya katiba. Nakumbuka. Hata baba Dave hawaruhusu kina Dave na wenzake kuibia Kenya kwa kisingizio kuwa dingi wao ni mdosi na mkubwa wa goverinoma. Noma kuibia Wakenya. Hawana mchezo, hata uwe mkubwa kama tembo watakugadafi hata kabla hujatanua pesa yao. Hamuoni pesa yao inavyopaa wakati madafu yakizama utadhani yamefungiwa nanga?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na Rahisi kutokuwa juu ya katiba, hata haja ya kuwa na FFU hakuna. Hivyo hakuna wanyanyasaji na wauaji watumiao virungu wanapoamrishwa na wauaji wenzao kuua wale wanaowaonyesha kweli ili iwaweke huru. Kwa nilivyo na kidomodomo, nimeona nijihamie mapema kabla ya wanoko hawa kunishukia kama walivyowashukia Chakudema kule AR mwaka juu na kunyonga watu kama hawana akili nzuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia nahamia Kenya ambapo majaji wanaheshimiwa na kutenda haki. Ni juzi tu rafiki yangu Jaji mkuu msaidizi Nansi Barasa alijikuta kitanzini baada ya kukataa kupigwa sachi na mlinzi kiasi cha kuudhika na kumvuta pua ambayo sasa imesababishwa naye avutwe ukuu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia napenda sana majaji wa Kenya ambao huchaguliwa na si kuteuliwa na mtu mmoja tena asiyejua sheria ambaye mara nyingi anaweza kuathirika na ushawishi kiasi cha kuendekeza udini, ukabilia na ushoga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia nahamia Kenya ili siku moja niteuliwe kuwa balozi ughaibuni nami nijisikie kinoma. Maana mabalozi wa Kenya umangani si kama wa Danganyika ambao wengi ni re-cycled ukiachia mbali balozi zetu kujaa watoto wa vigogo na magogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anayebishia tuhuma hizi aiulize serikali orodha ya wafanyakazi wa balozi zenu muone kama hamtapasuka kwa presha. Mie hainihusu! Kazi yangu ni kuronga na kuwafumbua macho. Sasa kama mtaridhia kuendelea kuliwa hiyo ni shauri yenu. Narudia, tumieni akili badala ya masaburi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine kilichonivutia kuhamia kwenye nchi ya nyayo, ni ile hali ya uchumi, sarafu na mambo kufanyika kitaalamu kuliko hapa ambao mambo si mambo bali mambo hovyo hovyo. Cha mno nakwenda kuwekeza Kenya kwenye Kayanite na kuutangaza Mlima Kimaranjaro maana vyote viko huko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo, msijedhani nimeishiwa na uzalendo. Hasha! Kenya ni wazalendo kuliko nyinyi kwa sababu wameweza kuimarisha hata mabenki yao kiasi cha kuweza kuja kuwekeza humu wakati yenu mmeyachinjilia mbali na EPA zenu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo nikiwekeza Kenya nitakuwa na uhakika wa biashara yangu. Hii ikichangiwa na gharama nafuu za umeme na bei ya kuingia kichwani ya wese, ndiyo usiseme. Huenda one day nitakuja kuwekeza huku baada ya kaya kukombolewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwa kuwapa nyuzi. You know what? Kumbe ule mradi wa Kiwila umeishauzwa tena kwa Tunituni na rafiki yake Dani son of Jonah wake zao na watoto zao bila kusahau hata wakwe wa kike, kiume na jinsia zote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ama kweli wabongo ndiyo waliwao! Habari nilizo nazo toka FBI ni kwamba dili hili likikamilika wezi hawa wakubwa wataiibia kaya zaidi ya madafu 1, 0000, 0000, 0000 na ushei.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha niwahi kwenye mazishi ya kaya. &lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Januari 25, 2012.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3191640167270395076?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3191640167270395076/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3191640167270395076&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3191640167270395076'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3191640167270395076'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/mpayukaji-kuhamia-kenya.html' title='Mpayukaji kuhamia Kenya'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-702085592258658206</id><published>2012-01-23T05:33:00.000-08:00</published><updated>2012-01-23T05:44:07.637-08:00</updated><title type='text'>Hatimaye ICC yathibitisha kesi dhidi ya vigogo wa Kenya!</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-ruuQaeeCNr0/Tx1j3j8ByMI/AAAAAAAABxM/-3u81HRP8dY/s1600/kenyata.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-ruuQaeeCNr0/Tx1j3j8ByMI/AAAAAAAABxM/-3u81HRP8dY/s400/kenyata.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700822509511887042" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-58D0dDXdO5Y/Tx1j3GdG8NI/AAAAAAAABxA/8vjYMkcjRS0/s1600/ruto.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 209px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-58D0dDXdO5Y/Tx1j3GdG8NI/AAAAAAAABxA/8vjYMkcjRS0/s400/ruto.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700822501597573330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-5AgHtqzRfeg/Tx1j2_b3pCI/AAAAAAAABww/sPR1YLHwci4/s1600/francis-kirimi-muthaura.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-5AgHtqzRfeg/Tx1j2_b3pCI/AAAAAAAABww/sPR1YLHwci4/s400/francis-kirimi-muthaura.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700822499713328162" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-pOjEvtUhAn0/Tx1j2t4vbOI/AAAAAAAABwo/R9qBzpB7AFk/s1600/sang.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 250px; height: 306px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-pOjEvtUhAn0/Tx1j2t4vbOI/AAAAAAAABwo/R9qBzpB7AFk/s400/sang.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700822495002586338" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Wakenya wana msemo, "kimeumana" wakimaanisha hatari au mgongano. Kwa takribani mwaka na ushei, dunia imekuwa ikishuhudia mikiki na vituko kuhisiana na na kesi dhidi ya watuhumiwa wa mauaji ya kinyama ya baada ya uchaguzi nchini Kenya mnamo mwaka 2007-2008. Sambamba na kipute hiki, kulikuwa na mikiki ya kujipanga kugombea urais wa Kenya baada ya rais Mwai Kibaki kumaliza muda wake kikatiba mwaka huu. Hili lilifanya kesi hii kuwa na mvuto zaidi hasa ikichukuliwa kuwa vigogo wawili waliothibitishiwa tuhuma yaani Uhuru Kenyatta na William Ruto walikuwa mstari wa mbele kutaka kuwania urais.&lt;br /&gt;Mbali na watajwa hapo juu, kigogo mwingine aliyethibitishiwa mashtaka ni Katibu mkuu kiongozi Francis Kirimi Muthaura na mwandishi wa habari Joshua arap Sang.&lt;br /&gt;Katika mashitaka hayo yaliyohusishwa watuhumiwa sita, wawili hawakukutwa na hatia baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthitibisha kwa ushahidi wa kutosha. Hawa ni aliyekuwa mkuu wa polisi wa zamani (PIG), Maj Gen Hussein Mohamed Ali na waziri wa zamani Henry Kosgei ambaye ni mwenyekiti wa chama cha Orange Democratic Movement cha waziri mkuu wa sasa Raila Odinga. Kwa wachambuzi wa mambo, kunusurika kwa Kosgey ni ushindi kwa Odinga ambaye anategemea kumrithi Kibaki. &lt;br /&gt;Kwa habari zaidi,&lt;a href="http://www.nation.co.ke/News/-/1056/1312504/-/yx4xk8z/-/index.html"&gt; BONYEZA HAPA.&lt;/a&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-702085592258658206?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/702085592258658206/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=702085592258658206&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/702085592258658206'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/702085592258658206'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/hatimaye-icc-yathibitisha-kesi-dhidi-ya.html' title='Hatimaye ICC yathibitisha kesi dhidi ya vigogo wa Kenya!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-ruuQaeeCNr0/Tx1j3j8ByMI/AAAAAAAABxM/-3u81HRP8dY/s72-c/kenyata.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4816884871086862347</id><published>2012-01-22T19:23:00.000-08:00</published><updated>2012-01-22T19:26:42.395-08:00</updated><title type='text'>Hii picha inakufundisha nini?</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-wmYZbOwheSk/TxzTagV_f-I/AAAAAAAABwc/RsdHFrOvaLU/s1600/CATERS-LIZARD-HELP-03_181614.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 268px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-wmYZbOwheSk/TxzTagV_f-I/AAAAAAAABwc/RsdHFrOvaLU/s400/CATERS-LIZARD-HELP-03_181614.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700663680656441314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4816884871086862347?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4816884871086862347/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4816884871086862347&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4816884871086862347'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4816884871086862347'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/hii-picha-inakufundisha-nini.html' title='Hii picha inakufundisha nini?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-wmYZbOwheSk/TxzTagV_f-I/AAAAAAAABwc/RsdHFrOvaLU/s72-c/CATERS-LIZARD-HELP-03_181614.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-580926923145453381</id><published>2012-01-18T09:53:00.000-08:00</published><updated>2012-01-18T09:57:18.324-08:00</updated><title type='text'>Uganda LRA: Who is Fooling Who?</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-yij13JFN8g8/TxcH-Z3CKGI/AAAAAAAABwQ/uqVTEt9iwjo/s1600/Kony.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 364px; height: 372px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-yij13JFN8g8/TxcH-Z3CKGI/AAAAAAAABwQ/uqVTEt9iwjo/s400/Kony.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699032622135650402" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Although atrocities and barbarities Lord Resistance Army (LRA) and government forces commited cannot be condoned, something needs to be done a tad differently and urgently.  A gory and cataclysmic war between LRA and the government has take long and caused a lot of mayhem in northen Uganda. Those who have been keen to dig into this unremunating war will agree with us that something urgent needs to be done.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;When we look at the history of crises in Africa, there have been other atrocities with even higher magnitude than the one going on in Uganda. Conflicts in Mozambique and South Africa, for instance, claimed many more lives than the conflict in Uganda. Brutality, if compared, for instance, between Boer South Africa and Joseph Kony’s megalomania, chances are that tha latter shed more blood and committed many atrocities than the former. Taliban in Afghanistan also brutalized and killed many.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;But again, the conflicants found that power of arms did not work. They decided to sit down and talk it out and brought stability and tranquility in their country. Afghanistan government is currently talking to Talibans despite all. So far as Uganda is concerned, the problem is that gross power hunger and power play are worsening the situation. Another problem is tha fact that Uganda, just like other bellicose states, groups, persons and whatnot, is the enemy within, but not without. So to solve the problem and do away from impasse and mayhem Uganda and the region have been in is look within but not outside. Somewhat, gross power greed and abuses should be vectored above everything. No violent person or warmonger can surely expect the realization of peace if at all what he does is war. How can he if at all he kills his kith and kin that he says he is fighting for? Is the situation different from this anology? No death can result into life except under religious dogma. We’re mortal human beings who must think likewise whether obversely or reversely.  Gandhi said that means to be means must always be within our reach. The means of war and manipulation Uganda is using is not means even if it goofs to think this means can justy the end which by all account is going to be problematic given that it does not follow proper procedures.  What has Uganda attained by means of war and this behindhandedness? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;What is obvious is that even if Ugandan authorities for long used top-to-toe-armed units, it did not and won’t attain anything worthy mentioning except creating more calamities. What do you expect when two madmen confront each other? Like blind horse making circles, they’ll deceive themselves thinking they are making development while they actually are but stranded. Let us face it; conflicants in Uganda are stranded between Scylla and Charybdis. They need to be helped out.  If the protagonists had a gist of love for their country and people, they surely would embark on dialogue. Mahatma Gandhi once said; Force of love and pity is infinitely greater than force of arms.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Again, why was it possible for Mozambique and South Africa to forgive forge ahead; but the same-unfortunately though, is impossible to Uganda? Somewhat, there is power play in this conflict whereby the government is using the conflict to cling to power.  For Museveni, Northern Uganda conflict is but an extravaganza bonanza. Those who know how bellicose rulers use wars, pretexts and threats as it is in this case, have an inkling of what the upshot is.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;So, to solve the conflict in northen Uganda won’t come by the way of the barrel of gun or political machinations that are going on causing mayhem or conjuring up Philip. Instead, through peaceful inititives, this conflict can be put to rest shall the protagonists act seriously and committedly instead of politics. I understand. Joseph Kony is a wanted person after being indicted by the International Criminal Court after president Museveni wanted to. But again, why listening did ICC work exparte in the first place instead of pilloring Museveni by ordering nonbias investigation into the conflict? Why favoring the explanations of one conflicant against another instead of listening to both or devising another mechanism to rid Uganda of the quangmire it has been in for longtime? Does it mean that Museveni did not commit atrocities in Northen Uganda prior and after coming to power? Who wants to bring this to the international séances dealing with the conflict in northen Uganda?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;If anything, Uganda needs to form a true Truth and Reconciliation Commission (TRC) as it was the case in South Africa if it really wants to forge ahead. What should be underscored is the fact that means used to attain something decided the results. Peace reached by force is as good as violence because it will create a good breeding groud for violence and revenge.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Conflict in Northen Uganda has become a sort of gismo Museveni has always depended on to gain popularity and legality to foster his illegal regime over Ugandans the same Kony uses it to stay afloat in his criminality and barbarity. It is an open secret that there in no democracy in Uganda. Human rights are violated openly and nobody is taking Museveni to task. Instead Ugandans have been kept at tenterhooks when it comes to when they will be free.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;So we need to stalwartly demand that the parties to conflict in Uganda come to the round table and solve their problems instead of hanging on destructive means that have always destroyed the lives of innocent and poor people in the region. Refer to the overflow of the conflict to DRC and CAR. We need to chop the hydra heads of atrocities in the region by facing the truth instead of subscribing to political machinantions. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In sum, the protagonists must be reminded to consider the problems their standpoints are causing to the economy and security of the region instead of their grip on power. They rust for power deos not even help them.  It time for Ugandans to deal with their demons. &lt;/strong&gt;Source: The African Executive Magazine Jan. 18, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-580926923145453381?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/580926923145453381/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=580926923145453381&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/580926923145453381'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/580926923145453381'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/uganda-lra-who-is-fooling-who.html' title='Uganda LRA: Who is Fooling Who?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-yij13JFN8g8/TxcH-Z3CKGI/AAAAAAAABwQ/uqVTEt9iwjo/s72-c/Kony.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-9049049182064635430</id><published>2012-01-18T09:47:00.000-08:00</published><updated>2012-01-18T09:52:55.474-08:00</updated><title type='text'>Kibanda anaongelea Mwalimu Seif yupi?</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-5VzQNN-chGE/TxcG4Tm12YI/AAAAAAAABwE/XBKoaMS4fWM/s1600/6537399385_6133cf8e91.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-5VzQNN-chGE/TxcG4Tm12YI/AAAAAAAABwE/XBKoaMS4fWM/s400/6537399385_6133cf8e91.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699031417866279298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;INGAWA mwandishi Absalom Kibanda, kwa sababu anazojua mwenyewe pamoja aliyempamba, makala yake imenivutia kwa kunitoa mafichoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makala hiyo ilitoka kwenye gazeti la Tanzania Daima Jumatano la Januari 11, 2012 ikiwa na kichwa, “ Zama za Maalim hazijakoma Zanzibar.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nampongeza kwa hili ingawa sikubaliani na alichoandika kuhusiana na rafiki yake mpya, Seif Sharrif Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Japokuwa hoja za Kibanda si nyingi kiasi cha kushughulisha akili sana, amefanikiwa kumpamba “mtu” wake kiasi cha kusahau ukweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, si kweli kuwa Maalim Seif ni mwanasiasa ambaye amefanya mengi kuliko yeyote aliyewahi kutokea visiwani. Hii ni kumkosea heshima hata kumchukia, kwa mfano, aliyewahi kuwa rais wa Zanzibar na muungano mzee Ali Hassan Mwinyi ambao viatu vyake vyaweza kummeza maalim Seif ukiachia mbali mentor wake, mzee Aboud Jumbe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, sijui Kibanda kama alisoma historia. Na kama aliisoma basi huenda hakusoma ya Tanzania na kama alisoma historia ya Tanzania basi alisoma iliyokuwa imepotoshwa kwa makusudi sawa na ile ya kina Rebman, Carl Peters, Mungo Park, Bathromew Diaz na wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama amesoma historia ya kweli ya Tanzania basi hakuielewa na kama aliielewa basi ameamua kuipotosha kwa sababu anazojua mwenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika makala hii sitapoteza muda wala mwelekeo kumlinganisha Seif na mzee Mwinyi kwa vile hana hata chembe moja ya sifa wala uzito kukaribia hata nusu yao acha kuwa sawa nae. Ingawa kusifia au kutosifia mtu ni haki ya mtu binafsi, kuna haja ya kuepuka kupindisha ukweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo makala hii itaaangalia upande wa maanguko na kupwaya kwa Seif. Tunafanya hivyo kutokana na Kibanda kumaliza kazi ya kupamba na kuficha haya tutakayodurusu bila kupendelea wala kuonea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwezi kumlinganisha Seif kwa mfano, na Mwinyi hata kwa chembe kwani Mwinyi hajawahi kuuza chama chake na kuingia mikataba ya siri kwa kutaka maslahi binafsi yaani kupewa uongozi kama ilivyotokea kwa Seif.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cha mno Seif ametumia chama kutafuta riziki binafsi bila kujali sera na malengo ya chama kiasi cha kuamsha ari ya uasi unaokiandama chama kwa sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anajiona yu bora kuliko chama na wanachama wake kiasi cha kuwafukuza wanaomkosoa na kumtaka arudi kwenye mstari. Hii siyo sifa nzuri kwa kiongozi hasa wakati huu wa demokrasia na mabadiliko makubwa kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiongonzi wa kupigiwa mfano, kwa mfano, hawezi kufanya mambo hovyo hovyo hadi kufikia hata kudharau amri ya mahakama na mawazo tofauti na yake. Kibanda aliogopa kulisema hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CUF,  kwa madudu iliyoifanya juzi, imejiondoa hadhi ya kuwa chama cha wananchi zaidi na kugeuzwa nyenzo ya  viongozi wawili yaani Katibu wake mkuu Maalim Seif Shariff Hamad ambaye kimsingi ndiye CUF na CUF ni yeye kwa sasa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kuusaka ulaji hata kwa kusaliti malengo na dira vya chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madudu aliyotenda Seif kwa kuwafukuza wakosoaji amefuta mpaka baina yake na viongozi waliokwishaonyesha wazi wasivyo madarakani kwa ajili ya chama bali wao kuendelea kuongoza kama James Mbatia, Augustine Mrema na John Cheyo kutaja kwa uchache. Kiongozi wa namna hii hana cha mno cha kutoa kwa jamii hata tumpende na kumpamba vipi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia mbali watajwa hapo juu kutumia chama kama NGO na kampuni yao, wamekaa kwenye madaraka muda mrefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chukulia mfano Hamad, amekuwa akigombea urais wa Zanzibar tangu mwaka 1995 hadi sasa huku Lipumba akigombea nafasi hiyo sambamba kwa upande wa bara huku wote wawili wakibwagwa na CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wale waliogombea nao toka CCM walishakaa madarakani na kustaafu wakati wawili hawa wakiendelea kung’ang’ania usukani wa chama. Seif kwa kulijua hili vilivyo aliamua kupwakia umakamu wa rais ili angalau asiondoke mikono mitupu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kibanda ameliona hili ingawa amelipindisha. Hebu angalia nukuu hii: “Ingawa ndani CCM na hata akiwa CUF hajapata kutawazwa kuwa Rais wa Zanzibar kwa sababu za kufitiniwa kisiasa, Maalim Seif ameendelea kuwa mwanasiasa mwenye mvuto mkubwa na wa kipekee kisiasa na kiuongozi ndani na nje ya visiwa hivyo.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama alifitiniwa bila shaka na CCM, imekuwaje akajirejesha huko huko na baada ya kuzawadiwa cheo? Je, alifitiniwa au wenzake wa CCM walimjua alivyo na tamaa ya madaraka kiasi cha kumhonga madaraka kirahisi na akaachia kile alichokuwa akidai?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ziko wapi ahadi zake kuwa kama kura zake zingeibiwa Zanzibar kusingekalika? Hii maana yake ni kwamba hakuna kura iliyoibiwa kiasi cha Seif kukosa pa kushika na kisingizio akaridhia kupewa umakamu wa rais wakati alikuwa akiutaka urais.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu tuangalie nukuu nyingine ya Kibanda, “Heshima aliyojijengea kama kiongozi wa watu aliye na ushawishi na nguvu kubwa kwanza katika Kisiwa cha Pemba na kisha Unguja ndiyo ambayo kwa upande mwingine imemfanya ajikute akizalisha maadui wengi wa kisiasa.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, kama Seif ni kiongozi wa watu tena mwenye nguvu kama Kibanda anavyosema, ni kwanini hajawahi kuchaguliwa kuwa rais wa watu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua atasema ushindi wake umekuwa ukiibiwa. Kama kweli umekuwa ukiibiwa, hao watu wake wanaompenda na kumheshimu walifanya nini kuondoa dhuluma hii kama kweli ipo zaidi ya kuwa sanaa za CCM na Seif mwenyewe?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kawaida unapoongoza chama kuelekea kwenye uchaguzi, unaposhindwa unawaachia wengine waingie na mawazo na mipango mipya ya kuwezesha chama chako kunyakua madaraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiwauliza wawili tajwa hapo juu hili sana sana, kwa upande wa Hamad, amefanikiwa kuingia madarakani si kwa nguvu za chama wala wananchi bali kukiweka chama rehani. Maana ukiuliza mantiki ya kuteuliwa kuwa makamu wa rais wa Zanzibar zaidi ya ulaji binafsi hana jibu la maana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wale wanaokumbuka wale waliopoteza maisha wakipigania haki ya Wazanzibari hasa wapemba, wanashangaa alikopata mshipa na jeuri kukalia kiti hicho akikitosa chama kwa maslahi binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii maana yake ni kwamba damu ya ndugu zao ilimwagika kwa ajili ya kupalilia ulaji binafsi wa Hamad. Kwa msingi huo, baadhi ya wanachama wa CUF wameona mbali kiasi cha kustukia usaliti uliofanywa na viongozi wao na kupanga kuwaengua ili kuepuka kuua chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vurugu na umwagaji damu vilivyoshuhudiwa hivi karibuni kule Manzese vinaonyesha ni kwa kiasi gani viongozi husika walivyoishiwa kwa kila hali chamani mwao. Je, wanangoja nini? Je hawa wanaweza kuleta demokrasia kitaifa wakati wameshindwa kuitekeleza chamani mwao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile makala husika ilikuwa wimbo wa sifa, leo tunaachia hapa kwa kushauri mhusika afikiri upya upande wa pili wa wimbo wake wa sifa.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Januari 18, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-9049049182064635430?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/9049049182064635430/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=9049049182064635430&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/9049049182064635430'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/9049049182064635430'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/kibanda-anaongelea-mwalimu-seif-yupi.html' title='Kibanda anaongelea Mwalimu Seif yupi?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-5VzQNN-chGE/TxcG4Tm12YI/AAAAAAAABwE/XBKoaMS4fWM/s72-c/6537399385_6133cf8e91.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8433573121144063833</id><published>2012-01-18T09:45:00.000-08:00</published><updated>2012-01-18T09:47:17.003-08:00</updated><title type='text'>Kumbe na vyama vya upingaji vinatuogopa!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;SISI pamoja na kujadili mada zetu chini ya uhuru wa kaya wa kila mwanakaya kuwa na haki ya kusema atakalo ilimradi asivunje sheria, hatukujua kuwa kumbe mada zetu zinavilaza baadhi ya vyama vya upingaji bila usingizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasikia hata lisirikali huwa halipati usingizi hasa likisoma haya ninayoandika toka kijiweni kutokana na kuwa ukweli mtupu. Naona yule anaguna. Kamuulize Njaa Kaya kama hanijui wala kunijadili kwenye vikao vyao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku moja alitaka tukutane anilipe fadhila nikamtolea nje. Mie sibabaishwi na pesa ya wizi wala madaraka yatokanayo na uchakachuaji na kuchafuana. Anyway, hapa leo si pake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ngoja nijongee kwenye mada ya rero. Leo sitaki kuzungusha kwa vile na wao hawakuzungusha. Nani alijua kuwa kumbe vijiwe vyetu vya kahawa vinakisumbua chama cha calf au ndama ambacho wengi hupenda kukiita CCM namba mbili yaani Chama Cha Magamba B? ukweli sasa umefichuliwa na vyombo vya habari kuwa kumbe kijiwe chetu siyo moto kwa Njaa Kaya peke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni umeme kwa vyama vya upingaji hasa calf ambayo imeamua kuwafungulia baadhi ya vigogo wake mashitaka ya kuongelea mambo ya chama kwenye vijiwe vya kahawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maskini ng’ombe hawa hawakujua kuwa nasi ni chama tosha hata kama hatuna usajili. Tofauti yetu na Kaf ni kwamba mimi mzee Dk, Profesa, Al Haj Mchungaji Mtume Mpayukaji Msemahovyo wa Mpakazaji siyo changu kama made… wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitishwi na vi-ofa uchwara iwe vya urahisi au hata umakamo. Mie siyo ngangala wala ngungule bali msomi wa Harvard University. Mie ni kijigoo na si changu kama mtu wao hata kama ana kichaka cha made...&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sina haja ya kumuandama changu huyu aliyewekwa kinyumba na Chata la Mafisadi wa magamba. Nimuandame wa nini wakati mwisho wake umeishakaribia hasa baada ya mjumbe machachari toka Ginigi na Wawe ameishafanya kazi hiyo? Nimuandame wanini wakati aibu aliyojiingiza inamtosha? Nyie ngojeni muone maajabu ya Mwajabu kukosa adabu bila sababu hasa pale made… atakapofuliwa kama Kafulia ingawa alitaka kuwambatia wenzake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatizo la siasa za matumbo ni kila mmoja kutaka kumnyotoa mwenzie roho ili ale yeye. Mtakapoendelea na upuuzi huu hawa walevi wetu watatetewa na nani? Ajabu na walevi walivyo wa hovyo wezi wakitimuana wanakwenda kwao na kuwaongopea nao wanaiingia mkenge kuwatetea kama ilivyotokea kwa Dave Kafulia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hamkusikia walevi wa kule mwisho wa reli wakisema eti watahama naye wasijue jamaa hawawakilishi wao bali tumbo lake?  Ya Kafulia kufulia tuyaache maana alishaonyesha asivyo na maana pale alipolialia na kumshika miguu Ku-Mbatia akimwaga michozi hadharani kama kichanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa calf wamechemsha na kujivua nguo, tunakubaliana nao kuwa vijiwe vya kahawa vinatisha.  Badala ya wao kuangalia wapi wamejikwaa wanakazania kushutumu waliokoangukia!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani alijua kuwa ni vijiwe vya kahawa vilivyofichua nyumba ndogo za watawala hata akiwamo mkuu? Nani anabisha kuwa vijiwe vya kahawa ndiyo vimevichua yaliyokuwako nyuma ya pazia kuhusiana na jamaa wa mabondeni ambao hawataki kuhama kwa sababu ya kulinda biashara yao haramu ya gongo na unga?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata Richmonduli, kwa taarifa yenu, ilifichuliwa toka kwenye vijiwe vya kahawa amini usiamini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawa jamaa badala ya kushughulikia matatizo yao wanabaki kuviandama vijiwe. Hivi kweli, kwa mfano, kuna mantiki na haja ya kuvilaumu vijiwe kwa uroho na upuuzi unaofanywa na vyama kama calf?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wanaiba mali za chama halafu wakisemwa kijiweni wanaanza kugeuza hili kuwa kosa la jinai kuliko wizi wanaofanya! Watu wanaanzisha vyama bila sera halafu wakinangwa wanaanza kunung’unika! Kuna kipindi nashindwa kutofautisha vyama vya upingaji na chama twawala. Maana wanapingana huku wakiwala wanachama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi mwanakijiwe wetu tuliyekuwa tumempandikiza kwenye chama cha Calf, Amri Kirungu alituletea taarifa kuwa ameshitakiwa mbele ya kamati ya nidhamu feki iliyoundwa kumdhibiti Hamada wasijue itawakotea puani kuwa anazungumza mambo ya chama kwenye vijiwe vya kahawa! Ebo! Walitaka aongelee mambo ya calf kitandani au chooni? Stupid all of those who accuse other for what they actually do more than those they accuse.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Samahani. Nimepandisha Mwenembago hadi kuongea kisodoma! Ingawa wametutupia lawama kwa kufichua mambo yao ya aibu, wangoje sasa wakione cha moto kwa kuchezea hata mahakama baada ya kuwapiga stopu wao wakaendelea na ujinga ujinga wasijue zao zinahesabika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbatia alimfulila Kafulia sorry, Mariam Sefu Sahaulifu anataka kumnyotoa roho jamaa wa Ginigi na Wawe eti kwa vile alikuwa akija kijiweni kwetu na kumwaga siri za ulaji wake na wezi wengine waliotamalaki kwenye vyama vya ulaji viitwavyo vya upingaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata Rushid Amadi akitimuliwa na ile nyumba ndogo ya chama cha mafisadi na siri za kufanywa nyumba ndogo kwa chama cha Calf zimeishamwagwa tena kwenye vijiwe vyetu vya kahawa na sasa tunamwaga kwenye vijiwe vyetu vya magazeti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wao wamewafukuza nasi tumewapokea kijweni kwetu. Kwa sasa Hamada na Kafulia ni wanakijiwe wetu wapya wanaotupa hata siri za mjengoni na jinsi yule mama wa kucheza makidamakida anavyowaburuza na kuwatisha kiasi cha mjengo kugeuka genge la kutetea ujambazi na ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi kama rais na mwenyekiti wa vijiwe vya kahawa, natoa mwaliko kwa wanasiasa wote watakaofukuzwa waje vijiweni wamwage stori ili tuzisambaze kwa walevi na wanywa kahawa tuone hawa wanaojiandaa kugombea ukuu kama watapata kura.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hawa jamaa wanaolangua umeme na wese tumeishapata taarifa zao na tunapanga kuwatokea siku moja na kuwagadafi kama siyo kuwamubaraka siku moja. Tuna mpango kamambe wa kuhakikisha tunawaleta walevi toka vijiwe vya jirani hasa kule kwa wakora Nairobbery waje waeleze ni kwanini kwao bei ya umeme na wese viko chini wakati sisi viko juu kama hakuna mkono wa watu wanaoleta wachukuaji wao kama yule Richmond na Downs wanaolipana nyuma ya pazia kwa kuwaibia walevi maskini. Shame on them! Hii kaya imeharibika kiasi cha kustahili kukameroniwa.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt; Chanzo: Tanzania Daima Januari 18, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8433573121144063833?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8433573121144063833/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8433573121144063833&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8433573121144063833'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8433573121144063833'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/kumbe-na-vyama-vya-upingaji-vinatuogopa.html' title='Kumbe na vyama vya upingaji vinatuogopa!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5275801632565484952</id><published>2012-01-16T05:48:00.000-08:00</published><updated>2012-01-16T09:23:38.629-08:00</updated><title type='text'>Kuna harufu ya kujuana kwenye balozi zetu</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-9HQNPgB8Tv8/TxQrc4r7TNI/AAAAAAAABv4/SktMf1UyYXc/s1600/mindi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-9HQNPgB8Tv8/TxQrc4r7TNI/AAAAAAAABv4/SktMf1UyYXc/s400/mindi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698227203783478482" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mindi Kasiga aliteuliwa hivi karibuni kwenda kwenye ubalozi wetu Washington. Huyu anasadikiwa kuwa na uhusiana na Rahma Kharoos Kasiga anayedaiwa kuwa nyumba ndogo ya bwana mkubwa na mkurugenzi wa kampuni ya mafuta iliyoibuka baada ya bwana mkubwa kuwa madarakani. Wengine wanasema ni mtoto wa dada yake Anna Mkapa. Mindi anaonekana akiwa na wadau wake mmojawapo akiwa Adam Gile. Hatujui kama huyu Gile ana uhusiano na Gile wa Richmond.&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;Kwa sasa tatizo la ajira nchini ni kubwa kuliko wakati wowote katika historia ya nchi yetu. Sambamba na hili ni kutamalaki kwa vitendo vya rushwa, kughushi, kujuana na kubebana katika ajira hasa zile nono. Kuna maeneo yanayopigiwa kelele na wananchi wa kawaida kwa sababu wao hawahusishwi katika ajira nono kwenye maeneo haya.  Miaka mitatu iliyopita kuliibuliwa uoza wa kutishwa kwenye ajira za Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Kuligundulika majina mengi ya watoto au jamaa wa karibu au watoto wa marafiki wa vigogo kwenye ajira ya BoT kiasic ha kuliamsha taifa kuanza kujiuliza wahusika waliajiriwaje kule kwa wingi vile. Katika majina ya vigogo ambao watoto wao wameajiriwa BoT yalikuwamo majina kama Mwinyi, Lowassa, Mungai na mengine mengi tu. Hata hivyo, sijui ni kutokana na uzito wa majina na nafasi za wazazi wa waajiriwa kwenye jamii, suala hili liliachwa lijifie huku wahusika wakiendelea kuhomola. Hata ukienda kwenye taasisi nyingine zinazolipa vizuri au kuwa na nafasi nzuri ya rushwa kama vile Mamlaka ya Mapato, Uhamiaji, Utalii na madini, mbuga za wanyama, na kwingineko, utakuta mchezo ni ule ule. Watu wachache wenye majina wamepandikiza watoto wao kwenye maeneo haya huku watoto wa maskini wakiendelea kuteseka bila ajira.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Eneo jingine ambalo halikuwa likijulikana kuwa kichaka cha ajira za watoto wa wakubwa ni kwenye balozi zetu nje ya nchi. Ajira za nje zimekuwa siri kubwa ambayo si rahisi kwa mwananchi wa kawaida kujua au hata kufikiria. Hapa hatujaongelea nafasi mbali mbali yaani scholarship zinazotolewa na nchi marafiki ambapo wanufaika wengi ni wale wale-watoto wa vigogo, watoto wa marafiki wa vigogo na hata vigogo wenyewe.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika pita pita yangu kwenye vyombo vya habari mbali mbali nilikuta na kitu kilichonistua kidogo kiasi cha kusumbua akili yangu na kujenga dhana hata shaka na ajira za watanzania walioko kwenye balozi zetu nchi mbali mbali. Katika matukio mawili matatu kwenye habari, nilikutana na majina makubwa matatu haraka haraka. Hii ilinifanya nijiulize: je wapo watoto wa ngapi wa vigogo au hata vigogo wenyewe kwenye balozi zetu nje ambapo bila shaka wanalipwa vizuri? Je wameteuliwa au kuajiriwa kwa sifa za kitaaluma au kujuana au vyote? Je watanzania wamejulishwa na kuridhika na hili lililonistua au nao watastuka kama mimi?   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majina makubwa matatu niliyopambana nayo ni kwenye balozi mbili, yaani ule wa Umoja wa Mataifa na ubalozi wa Tanzania nchini Kanada. Majina haya ni ya Rose Mkapa afisa utawala wa ubalozi New York. Mkapa jina la familia ya rais mstaafu Benjamin Mkapa.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwenye ubalozi wa Ottawa Canada, nilikutana na majina kama Richard Tibandebage ambaye ni afisa ubalozi. Kwa wenye kumbukumbuku, marehemu Andrew KajunguTibandebage alikuwa Balozi wa zamani wa Tanzania nje kwa muda mrefu chini ya awamu ya kwanza.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Joseph Sokoine, ni naibu balozi wa Tanzania nchini Kanada.  Je huyu ni mtoto wa aliyekuwa waziri mkuu katika awamu ya kwanza, Edward Sokoine? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yupo mwingine mwenye jina kubwa; naye ni Salome Sijaona balozi wa Tanzania nchini Japan. Je huyu ana uhusiano na Lawi Nangwanda Sijaona alikuwa mmojawapo wa mawaziri wa mwanzo? &lt;br /&gt;Majina mengine ya vigogo ni ya Jaka Mwambi balozi Urusi ambaye alikuwa mkuu wa mikoa mbali mbali na naibu katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) bara na Adadi Rajab ni balozi Zimbabwe kamishina wa makosa ya jinai wa zamani.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jina jingine kubwa ni la Maura W. Mwingira ni afisa ubalozi New York. Je huyu Mwingira ana uhusiano na kigogo mwingine, Augustine Mwingira mmojawapo wa mawaziri kwenye serikali ya awamu ya kwanza na mkuu wa mkoa kwenye serikali ya awamu ya pili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia yupo Mindi Kasiga afisa habari wizara ya mambo ya nchi za nje. Kasiga ni jina linalohusiana na Rahma Kharoos Kasiga ambaye wengi wamemjua alipoibuka baada ya rais Jakaya Kikwete kuingia madarakani. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Orodha haikamiliki bila jina Msekwa. Jacob Msekwa ni naibu balozi wa Tanzania nchini Sweden. Je huyu ana uhusiano na Pius Msekwa ni makamu mwenyekiti wa CCM. Jacob hayuko peke yake. Wapo Msekwa wengine ambao ni Erick Msekwa na marehemu Julius Msekwa. Msekwa wawili walio hai bado wanaishi ulaya.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kigogo mwingine ni Ali Karume balozi wa Tanzania nchini Italia. Huyu anajulikana kuwa mtoto wa rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume Pia Ali ni mdogo wa rais mwingine wa zamani wa Zanzibar Amani Abeid Karume. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Radhia Msuya balozi Afrika Kusini analo jina kubwa la Msuya. Hata hivyo, hatuna uhakika kama Msuya huyu na Cleopa David Msuya waziri mkuu wa zamani wana uhusiano.  Uchunguzi mwingine unaonyesha kuwa Radhia Msuya ni mdogo wake Asha Rose Migiro ambaye kabla hajawa balozi kamili alikuwa London kwenye ubalozi wetu akiwa afisa ubalozi msaidizi. Inasemekana Radhia Msuya ana ndugu yake mwingine Fatma Mtengeti ambaye anafanya kazi kwenye ubalozi wetu huko Uingereza.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwingine ni Joyce Kafanabo ubalozi wa Tanzania Marekani. Kwa kumbukumbu ni kwamba Peter Kafanabo alikuwa kigogo wa CCM aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa mbali mbali nchini. Pia yupo mama Mnanka kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Je huyu ana uhusiano na Bhoke Mnanka ambaye alikuwa mmoja wa mwaziri wa kwanza wa Tanzania huru. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ufupi, maswali ni mengi kuliko majibu. Hivyo tungeshauri wahusika lau wajibu huku wananchi wa kawaida hasa waathirika wenye habari kuhusiana na mchezo huu wazianike angalau umma ujue kinachoendelea.  Kinachopaswa kupigwa vita ni kuhakikisha huu mchezo wa kujihudumia na kurithishana madaraka unakufa. Leo tumeongelea walioko nje ubalozini. Bado wale waliomo kwenye ngazi za uwaziri kama vile Hussein Mwinyi na Adam Malima. &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt; Chanzo: Dira Januari 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5275801632565484952?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5275801632565484952/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5275801632565484952&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5275801632565484952'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5275801632565484952'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/kuna-harufu-ya-kujuana-kwenye-balozi.html' title='Kuna harufu ya kujuana kwenye balozi zetu'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-9HQNPgB8Tv8/TxQrc4r7TNI/AAAAAAAABv4/SktMf1UyYXc/s72-c/mindi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6972609518653943956</id><published>2012-01-11T16:12:00.000-08:00</published><updated>2012-01-11T16:26:02.469-08:00</updated><title type='text'>Boko Haram: What Must Nigeria Do?</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-zp5yC7a3VsA/Tw4ogkhom3I/AAAAAAAABvs/hKrCQde79hU/s1600/Boko_haram.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 358px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-zp5yC7a3VsA/Tw4ogkhom3I/AAAAAAAABvs/hKrCQde79hU/s400/Boko_haram.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5696535118695930738" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Jama'atu ahlis Sunna lidda'awati wal-jihad or Boko Haram in Hausa is but haram in Arabic as its name denotes. Haram in Arabic means something illegal even dirty. I don’t know the meaning of Boko in any language that can show it as something illegal or otherwise. Again, Boko Haram can be translated as “Western education is sacrilege in Hausa.” Is it real western education sacrilege or Wild education in the name of Islam? If western education is sacrilegious as Boko Haram and the like-minded cronies think, what is an altenative education to it? Is it Arabic or Quranic one? Methinks, those saying western education is sacrilegious either do not know the meaning of education or, if they know, they have but a hidden agenda so to speak. Such assertion is not only horrible but it is horribly wrong and misleading. It is ludicrous and ridiculous. Again, why do Islamic academics allow their faith to be easily and cheaply abused by stooges such as Boko Haram with all ruckus and rumpus? Though in law silence does not plea of guilty, in a layman interpretation it means the contrary.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;More on Boko Haram, by all standards including Nigerian laws, Boko Haram is illegal. Therefore, wiping it out of the surface of earth is legal.  Many  analysts ask: how was Nigerian government be able to vanguish  groups such as The Movement for the Survival of the Ogoni People (MOSSOP) and Niger Delta People Salvation Front (NDPSF) but fail to eradicate terrost group Boko Haram?   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Though it is against human rights to punish a person or persons without being heard or being tried by the court, when it comes to terrorist groups such Boko Haram, this prerequisite is not available.  For they are not ready to follow proper channels put in place. For Boko Haram and the likes such as al Shabaab, all legal channels that are not put in place or being manned by them or likeminded, regard them as illegal entities.  Therefore, such standpoint makes it difficult to consider such terrorist groups under the prerequisite of human rights where things such as natural justice, the right to be heard before being judged, presumption of innoncent and the like apply. How can you presume a person innocent while he is saying loudly and openly that he committed this and that just to fulfill the requirements of his religion? If anything, this is a challenge to human rights lawyers and the whole legal profession without forgetting even the parliaments the world over. In essence, what Boko Haram and the likes do by priding themselves that they committed atrocities like that that was committed on Christmas Eve whereby over 40 innocent people were felled, is self-inculpating. Therefore, such assertions and pleas wave the right to be heard or presumed innocent until the court of law decides otherwise or altogether.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Another precedent can be drawn from how Osama bin Laden was summarily killed by the US. Though the US has been criticized for killing bin Laden without bringing him to justice, what he used to do and say were nothing but self-inculpatory save that the US goofed by not condemning him to death before attacking his hidden posh residence in Abbotabad in Pakistan.  It was simple. Charge him in absentia before the court of law and make sure you secure a death sentence then take on him and kill him legally. So, what Nigeria authorities even Kenyan can do now with regards to Boko Haram and al Shabaab respectively, is firstly, declare them legally to be terrorist groups under the law. Secondly, they must obtain the names of the ringleaders and charge them legally and officially and let the court, using already availabele pleas of committing atrocies alleged to have been committed by them as evidence to convict them. This is possible given that the jurisdiction of courts have expanded especially in dealing with atrocities and terrorism internationally.  We therefore need to be nippy and steadfast; and thereafter, it will be legal, under all laws and presumpitions, to hunt down these terrorists and kill them without facing the wraths or allegations of violating human rights activists as it was in the case of bin Laden.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Another important thing to do is keep an eye on the source of income for Boko Haram. Where do they get money from? Who are their financiers? It is clear and obvious that such ragtag group cannot survive without being financed especially by foreign entities whose agenda is always what it carries out just like al Shabaab in Somalia.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Although Boko Haram, just like al Shabaab, has been priding itself to fight for Islam, this shebang shouldn't be subscribed to.  The truth is: they are but copycats thanks to ignorance, dogma, brainwash and poverty.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;As for Nigerian public, people should take on Boko Haram instead of waiting for the government while they are perishing unnecessarily. To do this, in areas where they suspect Boko Haram has sympathizers or agents hiding among them, they should apprehend them and hand them over to the government.  Public eye, in this situation, is powerful and can have a corner in everything on the market as far as suffocating and stamping Boko Haram out is concerned. Again, Nigerians should not be fooled and be taken for the ride by Boko Haram’s razzmatazz and circus to believe that war against Boko Haram is war against Islam. It is war against terrorists who want to destabilize the country. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;As for Nigerian government, it seems to sleep on the wheel. Otherwise, Boko Haram would have been history.&lt;/strong&gt;Source: The African Executive Magazine Jan. 11, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6972609518653943956?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6972609518653943956/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6972609518653943956&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6972609518653943956'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6972609518653943956'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/boko-haram-what-must-nigeria-do.html' title='Boko Haram: What Must Nigeria Do?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-zp5yC7a3VsA/Tw4ogkhom3I/AAAAAAAABvs/hKrCQde79hU/s72-c/Boko_haram.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2380595958282393309</id><published>2012-01-11T16:10:00.000-08:00</published><updated>2012-01-11T16:12:20.960-08:00</updated><title type='text'>Utabiri wa mwaka 2012</title><content type='html'>&lt;strong&gt;Salaam aleikum waarahmatullahi wabarakatuhu. Alhamdulilah Wasalatu Wasalaam Ala Rasulullah Wa-ala-alihi Wa-as-habihi Ajmain.&lt;br /&gt;Wapendwa wasomaji walevi na wanywa kahawa wote duniani na hasa nchini Daganyika bin Bongolalaland, mnajimu wenu mkuu Shehe Mpayukaji Msemavyo Mpakazaji wa Waambie anawaletea utabiri wa mwaka 2012 kama unavyoonyeshwa na nyota.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, niweke wazi; sitabirii njaa wala umaarufu uchwara. Nimesomea haya madudu kuanzia Clairvoyance, poltegeistry, vampireology, psychometry, thouthtography, astronomy, astrology, cosmology, astrophysics, stigmata, dogmata, doppelganger, bilocation na madude mengine mengi ya kutisha ambayo nikiyaorodhesha yanatosha kuwa makala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinyota, mwaka mpya unaonekana utakuwa mwaka wa ongezeko la matatizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni kutokana na nyota kuonyesha kuwa matatizo yatazidi ilhali wanaopaswa kuyatatua wakigeuka kuwa tatizo kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nyota iliyotawala mwaka huu ni nge ikiuma kila kitu kuanzia maisha ya mtu binafsi hadi jamii kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama nge, wenye mamlaka watawala wasio na mamlaka kiasi cha waliwa kuanza kujitambua na kujaribu kupinga uliwaji huu unaofanywa na hawa majahir murakhab.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadhalika, nyota zinaonyesha kutakuwa na ongezeko la vimbunga na mafuriko mbali mbali kuanzia maofisini hadi baharini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vimbunga hivi vitawakumba baadhi ya waliomo maofisini kiasi cha kujikuta kwenye hali ambazo hawakutegemea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadhalika, ufisadi utaongezeka kutokana na ile hali ya kila mtu kujifanyia atakavyo na muda mwingi kupotezwa kwenye kusaka ngawira badala ya kuhudumia wahudumiwa. Mahospitalini, mahakamani, vituo vya polisi hata kwenye ofisi za ajira kutaongezeka rushwa kiasi cha kutisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itafikia mahali, mwaka huu, haki kuuzwa kama njugu kutokana na mkanganyiko na mvurugano huu wa kinyota.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuongezeka kwa ufisadi kutasababisha ughali wa maisha na umaskini vitu ambavyo, kama vitatumika vizuri, kinyota, vinaweza kuleta ukombozi wa walio wengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii itategemea na wahusika watakavyojitambua na kutambua matatizo yao ya kweli ambayo ni watu na mfumo wanaousimamia kujitajirisha kwenye migongo ya maskini walio wengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuongeza chumvi kwenye kidonda, mwaka huu utashuhudia makapi mengi kuzidi kurudufiwa (recycling) ambapo wanasiasa waliokataliwa na wapiga kura majimboni mwao, watapewa ulaji kiasi cha kuwaacha waliowakataa vinywa wazi kwa hasira na mshangao na mfadhaiko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nyota pia zinaonyesha kuwa kukuwapo na ongezeko la vita ya mitandao ya ulaji na kumalizana katika kuusaka ukuu ambao siku hizi umegeuka dili hasa kutokana na kuwa nyenzo ya wanaoukwaa kula wao ndugu zao, familia zao hata wapambe zao hata bila kunawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku hizi ukuu si utumishi bali utumikishaji ambapo mwenye kuwa nao ni muungu mtu hapa duniani kutegemea na watakaomrithi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama akiwa na bahati mbaya akarithiwa na watu wenye usongo na kaya yao basi humsweka lupango hata kumnyotoa roho kutokana na madhambi yake ya ukuuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama akipata vibaraka au marafiki zake basi hutanua maisha yeye na ukoo wake. Hamjaona wakuu wa zama zile ambao watoto wao nao wanatesa kiasi cha kuota hata kuwarithi wakuu wengine? Leo siwataji kwa majina ingawa hata kuku anawajua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na kuongezeka kwa mitandao, usanii pia utaongezeka kiasi cha kuongezeka kwa viongozi wa kiuroho wenye uroho wakisingizia Mungu wakifanya miujiza hata kufikia kukufuru kuiombea kaya badala ya kuiambia ukweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hamkuwasikia wale nilio waonya kwao kuwa ni mbwa kwenye ngozi ya kondoo? Narudia, shauri yenu mtaliwa mwajiona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Natabiri kuwa ataibuka mzee mwingine sawa na yule wa Loliyondo awalize wengi wenye kutaka mafanikio bila kutoa jasho ua kuficha magonjwa wanayougua kwa kuogopa kuambiwa ukweli kuwa wengine wameikwaa miwaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Atatokea mkoa gani? Atatokea katika mkoa mmoja kati ya pande za mashariki, magharibi, Kaskazini, Kusini na Kati. Atatokea muda gani toka sasa? Atatokea wakati ujao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia natabiri kuwa vigogo watano watakufa mwaka huu. Kwa vile sitaki kuwatisha, sitataja majina yao wala vyeo vyao leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ila watarudisha namba kati ya mwezi wa tatu hadi wa 11. Pia, wengine wataaanguka anguka hovyo mara kwa mara. Ingawa mvua zimenyesha na kusababisha mafuriko, mgao wa umeme utaongezeka sambamba na bei za umeme na nauli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia natabiri kuwa ndoa ya chama cha Convention of Unreasonable Fellas (CUF siyo Chama cha Wananachi) na Convention of Conmen and Mafioso (CCM-siyo Chama cha Mapinduzi) itakuwa hatarini kiasi cha kugeukana kwa kushuku kutuhumiana kufikia malengo fichi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wawili hawa watashikana uchawi na kushutumiana kutapeliana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia nyota zinaonyesha kuwa kutakuwa na poromoka zaidi la uchumi na thamani ya madafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii itatokana na kuongezeka kwa wezi wa madafu karibu kila mahali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nyota zinaonyesha kuwa pamoja na pigo hili kiuchumi, wakuu wataendelea kujisifia kuleta maendeleo huku wakiongezeana ulaji kuanzia kupandisha mishahara yao na kuongeza walaji hasa makapi, wana familia marafiki na waramba viatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutakuwa na ongezeko la wanachama wenye kidomo wanaopinga ulaji wa wakuu wa Vyama vya unoko na ulaji na hawa watatimuliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Misiba midogo itaongezeka kiasi cha mkuu kupata fursa nyingi za kwenda matangani kuliko hata safari za kwenda ughaibuni ambazo nazo zitaongezeka chini ya visingizio mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadhalika ajali za barabarani zitaongezeka kutokana na kuongezeka kwa haraka za kutafuta njuluku kufidia kulanguliwa mafuta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho kabisa kuna marais wanne wa muda mrefu wataangushwa kwa aibu kwa sababu nyota zao wote ni mizani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mizani itaanza kuelekea upande wa umma huku ikiwaacha wakiporomoka kama masuke.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watawala hawa watakaoanguka nchi zao ziko upande wa kaskazini mwa nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa kusini, rais mmoja bishololo mpenda mabibi ataumbuka na kuwa kwenye mgogoro mzito na waliomweka madarakani hasa vijana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia katika nchi jirani na rais huyu bishololo mfalme mpenda kuoaoa ataingia kwenye matatizo ya kiuchumi kutokana na kuzidisha mabibi na matumizi huku wananchi wake wakiendelea kuwa maskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ufupi huo ndiyo utabiri wa mwaka mpya 2012. Kuhusu utabiri wa kijiwe, hii ni chiri yangu.&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Januari 11, 2012.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2380595958282393309?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2380595958282393309/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2380595958282393309&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2380595958282393309'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2380595958282393309'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/utabiri-wa-mwaka-2012.html' title='Utabiri wa mwaka 2012'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3193413844736413570</id><published>2012-01-08T20:25:00.000-08:00</published><updated>2012-01-08T20:28:15.764-08:00</updated><title type='text'>Likitokea la kutokea tuseme kazi ya Mungu hapa?</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-mpfjSq_toQI/Twpsu0PUDiI/AAAAAAAABvg/RTOV0Zs4Q4k/s1600/picha.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-mpfjSq_toQI/Twpsu0PUDiI/AAAAAAAABvg/RTOV0Zs4Q4k/s400/picha.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5695484230316068386" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Picha kwa hisani ya Michuzi blog.&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ingawa watu wetu ni maskini, tukubaliane kuwa umaskini wa kichwani ndiyo unaanza kutawala. Maana picha hii inatisha hata kuangalia acha kutokea lolote? Je wahusika hapa likitokea la kutokea, tuanze kumlaumu Mungu kweli au njaa zetu vichwani na ujinga wa kupita kiasi? Je watawala wetu waliotuahidi maisha bora wanajifunza nini hapa? Je hapa wa kulaumiwa si wote? Du jamaa wanavyojiamini utadhani wanateka maji!&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3193413844736413570?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3193413844736413570/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3193413844736413570&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3193413844736413570'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3193413844736413570'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/likitokea-la-kutokea-tuseme-kazi-ya.html' title='Likitokea la kutokea tuseme kazi ya Mungu hapa?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-mpfjSq_toQI/Twpsu0PUDiI/AAAAAAAABvg/RTOV0Zs4Q4k/s72-c/picha.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6493588573120034516</id><published>2012-01-06T05:00:00.000-08:00</published><updated>2012-01-06T05:01:41.471-08:00</updated><title type='text'>What a year that 2011 was!”</title><content type='html'>&lt;strong&gt;December is a time when writers, editors, analysts and all who make news what it is, are busy researching on what to write to wind up the year. Likewise, all media houses and outlets are busy hunting for a sound summary of the year. This is what this article is all about today.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Truly, the year 2011 was a year that empowered hoi polloi against hoit toity in many countries, especially in Africa. Time Magazine named “The Protester” as its Person of the Year. Indeed, thanks to tireless efforts and fearless heart of the protester, we evidenced strong men cascading like a cardhouse. It all started in Tunisia where on 14 January 2011, when a desperate young man Mohamed Bouazizi set himself on fire after being fed up with police harrasments. Just two weeks of the commencement of the year, Zine Abdeen Ben Ali was forced to flee to Saudi Arabia after demonstrators toppled his government under what was later known as Jasmine Revolution.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;The Jasmine Revolution became a political meme. It did not end up in Tunisia. A month thereafter, it swept Egypt where a longtime strong man, Field Marshal Mohamad Hosni Mubarak became another casualty. On 25 January 2011 all major Egyptian cities caught on fire of revolution that culminated on 11 February when Mubarak stepped down after noting that the wind of changes was not on his favour.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;While new development was registering on Maghreb, Africa south of Sahara was not spared. One of its democrat-turned-dictator president Laurent Gbagbo was at it with his arch foe, current president, Allasane Ouattra who defeated him in polls. The capture of Laurent Gbagbo on 6 April 2011 and handing him over to The Hague on 29 November to face the music was something that marked some changes in SSA, which has defied logic by not being gutted down by Jasmine Revolution. It remains as the place with many stinking dictators that are still safer thanks to lacking enlightened population.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Going back to the year and some of its breakthrough, on 2 May 2011 the world was awaked by the news that the head of al Qaida Osama bin Laden was killed by American seals. The saying “Jeronimo EKIA” or “Jeronimo the Enemy Killed in Action” as it was coined by the Seals, became a hit of its own.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Before long, the wind of change was still blowing in Maghreb. For on 15 February 2011, it started pounding Libya as demonstration commenced in Benghazi. Ever since fierce fighting ensued between the soldiers of the government of the long time ruler Muammar Gaddafi. Gaddafi coined the saying “zanga zanga”, namely surround them everywhere and kill them and the rebels in Benghazi. It took months to bring down the regime in Tripoli. On 20 October Gaddafi along with his son and chief of security were summarily killed as they were trying to escape after their convoy being attacked by NATO jets.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;The year 2011 had another side of loss and gains in other circles. For it is in the same year on 25 September 2011 Kenya lost her beloved iconic daughter Nobel Laurete Wangari Maathai, who bravery fought cancer and later succumbed. That was a loss. The gains for Kenya in 2011 were immense.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;The ruling about arresting Sudanese strong man, Omar Bashir, should he set foot on Kenya soil by a Kenyan judge, Nichola Ombija on Nov. 28, 2011, brought reliefs to Human Rights activists the world over, so as to uplift Kenya’s name internationally. Also the response of the judiciary to stick to its guns was a breakthrough.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2011 also saw Kenya entering Somalia to flush out al Shabaab. This occurred after thugs from Somalia entered Kenya and abducted three people, two Britons and a French woman who later died in the hands of her captors. This provoked Kenya so as to decide to take on al Shabaab under operation Linda Nchi or Protect the Country.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;South of Kenya, it was all jubilations in Zambia, when on 23 September 2011 the opposition swept an incumbent president out of power. This was the second time for this nation to do so.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;North of Kenya, in the Middle East, things were not so good. For the former president of Israel, Moshe Katsav was found guilt of rape and on 6 Dec 2011 he started to serve his seven year jail term in Maasiyahu prison. A week thereafter, former French president Jaques Rene Chirac (Bulldozier) was bulldozed before the court and found guilt thence, convicted for misappropriation of public funds save that, different from Katsav, he received a two years suspended sentence. Despite all, this was slap on the face.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;The year wound up with the death of North Korean strong man Kim Jong Il on December 17th, 2011 at the age of 69 like Gaddafi. A day after, on 18 December 2011 the world lost a great son Vaclav Havel the former president of Czechoslovakia (1989–19920 and Slovak (1993-2003).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Economically, the year 2011 evidenced turmoil in the Eurozone whereby three countries were on the verge of collapsing economically. These are Italy, Greece and Spain.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Tanzania wound the year with very heavy and brutal floods that claimed the lives of over 40 lives.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;As for Uganda, it was relatively calm save that there were some sparks regarding gay rights and the death of Rwandan exiled Journalist Charles Ingabire, who was gunned down on November 30, 2011.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;In sum, generally speaking, the year 2011 was intaglioed with many imbroglios and scenarios for my crystal ball. It was but a potpourri. It was not easy to define so to speak.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Source: AfroSpear&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6493588573120034516?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6493588573120034516/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6493588573120034516&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6493588573120034516'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6493588573120034516'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/what-year-that-2011-was.html' title='What a year that 2011 was!”'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8951377346443972306</id><published>2012-01-04T07:06:00.000-08:00</published><updated>2012-01-04T07:07:07.815-08:00</updated><title type='text'>Tumemaliza mwaka kwa kumalizwa</title><content type='html'>&lt;strong&gt;INGAWA kila mmoja, kwa wale waliobahatika kuumaliza mwaka 2011, ana furaha kuumaliza, ukweli ni kwamba: tumeumaliza kwa kumalizwa hasa kiuchumi, kisiasa na kijamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Al Haj, Profesa and what not true and false, Mpayukaji nilikuwa na mpango wa kwenda kijijini kuhiji. Lakini nilishindwa kutokana na ughali wa maisha hasa kupanda kwa wese kiasi cha kuwapa kisingizio fisi watu wetu kupandisha nauli kiasi cha kutisha. Kilichonishangaza ni ile hali ya wenye madaraka kuwa bize na ulaji wao badala ya kushughulikia jinai hii ambapo wauza wese waliunda serikali ya kijambazi ndani ya kaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia mbali ughali na ulanguzi wa wese uliotusababishia mateso makubwa akina yakhe kwa kuishi kwenye nchi yetu kama wapangaji na wakimbizi, kulikuwa na tatizo jingine kubwa tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala ya kutatua matatizo ya walevi, wahusika walipoteza pesa nyingi kujinoma na sherehe za miaka 500 ya udhuru walioupachika jina la uhuru. Mabilioni ya madafu yaliliwa kwa kisingizio cha adhimisho hili la aibu. Unawezaje kuadhimisha aibu ukajisifu kuwa nawe si mtoto riziki?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine kilichoupamba mwaka uliokwisha ni mafuriko ya kujitakia kutokana na uvunjaji wa sheria na miundo mbinu mbovu na kichwa ngumu nayo yaliongeza pigo kwa walevi. Wengi walisombwa na kuuawa na maji huku wengine wengi akiwamo mgosi Machungi kuishia kwenye makambi ya wakimbizi wa mafuriko wakipokea misaada utadhani waliistahiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu eti wajanja hawa wameisharejea mabaondeni tena wakidai kuwa hawako tayari kuhama! Yaani wao wanataka kila mwaka tupoteze pesa na muda kushughulikia matatizo ya kujitakia siyo? Iko wapi nguvu ya serikali hapa? Nenda kule kamata weka ndani na ikiwezekana tupa rupango wale wote watakaojifanya hawataki kuhama ili kulinda biashara zao za gongo na bwimbwi. Nini hasira nao hawa jamaa. Na bahati yao mie serikali yangu ni ya kijiweni tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile nafasi haitoshi, sitachonga sana. Mwaka 2011 ulishuhudia vituko vya wakubwa hasa pale marafiki wa damu walipogeuziana kibao na kuvalishana magamba baada ya kuvuana nguo mchana kweupe. Jikumbushe kipute baina ya Ewassa na Njaa Kaya kule kwenye kamati ya NECK au shingo la chama kilichogeuka kiama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 2011 pia kujuana kulizidi kiasi cha makapi yaliyosusiwa na wapiga kula ya kura kudufiwa na kupewa ulaji kwenye vijiwe vya nje. Nani mara hii kawasahau akina Bat (Popo)ilda Kwaherini, Phil Mammal, Dolorous Kamaliza, Mwanatunu Mainzi, Stela Ma-tomatoes na makapi mengine mengi? Kuna watu wamekosa aibu. Yaani unawapelekea watu makapi halafu unajisifu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mwaka 2011 wakuu walizurura sana duniani kiasi cha kuitwa Vasco da Gama wa kizazi hiki. Wakati wenzenu wakizurura tena kwa kutumia njuluku zenu, mwenzenu nilisafiri kikazi kwenda Tunisia, Masri, Libya, Cote de Voire, Syria na Yemen kushuhudia maimla walivyokuwa wakifurushwa na kuadhibiwa kama vibaka kama ilivyotokea kwa Kashafi baada ya kumshauri akaniona hamnazo kama hawa ninao washauri kila siku wao wakaishia kunichukia na kutaka hata kunibambikizia kesi za uchochezi na uhaini. Mie sitaacha kusema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisiahadi ndiyo usiseme. Mwaka 2011, kama kawa, njuluku ziliendelea kuibiwa huku wahusika wakijifanya hamnazo wala hayawahusu. Nani mara hii kasahau ujambazi wa UDAR ambapo wahusika wanajulikana na bado wako kwenye ofisi za kijiwe wakitanua wakati walipaswa kwenda rupango?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama siyo kufikiri kwa masaburi wahusika wangeishafikishwa kwa pilato na kukatiwa mvua zao mchana kweupe. Lakini nani amfikishe nani kwa pilato wakati wote ni akina Yuda Iskarioti? Hivi kweli ni halali nyani kumuadhibu ngedere wakati wote mchezo wao ni uleule? Je, hawa wajinga wanaowafuga nyani nao kweli si nyani maradufu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 2011 haukuishiwa vituko. Huko mjengoni nako kulikera baada ya wezi waitwao wadharauliwa kujiongezea madafu ya makalio ilhali wakiwaacha walalanjaa wakihaha kufukuzia njuluku ili wasukume muda. Nani anawajali wananchi iwapo wananchi wanaowakilishwa na ngulu mbili hawa ni matumbo yao na nyumba zao ndogo? Nani awajali wafu wasiojijali? Je, hapa mwenye kosa ni nyani au hata wale wamleao kwa kumuengaenga wakati walipaswa kumfanyia kweli bila kumuangalia usoni kama walivyofanya walibya kwa Kashafi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukija kijiweni, uchumi wa kijiwe ulizidi kuporomoka kutokana na kutokuwa na uongozi makini na wenye akili zaidi ya uroho na roho mbaya. Ila good news kwa waroho wenye uongo ngozi ni kwamba kipato chao kiliongezeka kutokana na kuwageuza walevi shamba la bibi nao wasifurukute.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa taarifa za kijasusi nilizopata ni kwamba kaya ilizidisha umatonya kiasi cha kutaka kugeuzwa shoga na hao wanaotupa sarafu kwenye bakuli. Nasikia baada ya kwa Mulla Omar na Iraki, tunafuatia sisi kwa kumwagiwa njuluku ingawa hakuna la maana tunalofanyia hiyo pesa zaidi ya kurejeshwa ughaibuni kwa mlango wa nyuma kutokana na ujuha wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia mwaka 2011 ulishuhudia watasha wakitaka kutu-cameron. Ingawa tulifaragua kukataa ushoga, je, sisi si mashoga kiuchumi? Maana, hiyo misaada tunayopewa inatokana na kodi za hao hao mashoga. Unakula pesa ya kiti moto halafu unasema huli kiti moto siyo? Ni utoto na ujuha kiasi gani? Mie nshasema. Mtu hata awe mtasha au nani akinijia na hoja zake za ushoga nachomoa panga langu na kumkatilia mbali kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili. Hata hivyo tujisute. Inakuwaje kaya yenye kila rasilimali kuwa kapuku kiasi cha mkuu wake kujisifia ujuha na uhodari wa kutembeza bakuli? Acha jamaa watudhalilishe. Maana tunajidhalilisha wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna kipindi najikuta ni kicheka kwa huzuni kutokana na kushuhudia ushoga wa kisiasa tunaofanya. Nani mara hii kasahau kwa mfano Madevu kuwekwa kule Zaainzibaa baada ya kumwaga damu za wafuasi wengi waliodhani anawapigania kumbe wasijue alikuwa anawatumia kufukuzia ulaji? Je, hawa nao si mashoga wa kisiasa kama yeye?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lo! Kumbe ni mwaka mpya! Herini ya mwaka mpya wa bundi. Sii yuu. &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Januari 4, 2012.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8951377346443972306?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8951377346443972306/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8951377346443972306&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8951377346443972306'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8951377346443972306'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/tumemaliza-mwaka-kwa-kumalizwa.html' title='Tumemaliza mwaka kwa kumalizwa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4670509256756936719</id><published>2012-01-01T16:21:00.000-08:00</published><updated>2012-01-01T16:23:11.734-08:00</updated><title type='text'>Jaji Bomani: Wageni wanaimaliza nchi</title><content type='html'>&lt;strong&gt;MWENYEKITI wa Tume ya Kufuatilia Kampuni za Madini Serikalini (TEITI), Jaji Mark Bomani alikaririwa hivi karibuni akiishauri serikali kubadilisha sheria za madini ili kuepusha utoroshaji wa fedha na madini unaofanywa na wageni waitwao wawekezaji. Ingawa asemayo jaji Bomani ni kweli, wa kulaumiwa si wageni bali watawala wetu vibaka waliotanguliza matumbo badala ya uzalendo na uwajibikaji bila kuwasahau wananchi wanaovumilia au kufumbia macho upuuzi huu.  &lt;br /&gt;Tujiulize maswali rahisi: kama wahusika ndiyo hao hao walioasisi na kutekeleza ujambazi kama Richmond, IPTL, Dowans, EPA, CIC, TICT na mwingine mwingi ambapo pesa iliyokwisha kutengenezwa tena ikiwa kwenye benki kuu iliibiwa na hakuna aliyewajibishwa, watahangaika na madini ambayo yanawaletea ten percent bila kutoa jasho? Huwezi kutawaliwa na watu ombaomba tena wakijisifu kwa uhodari wa kuomba ukategemea haya yasitokee. Tatizo siyo sheria mbaya bali wanaozisimamia na kuzitunga kupitia chama chako ambapo hoja hupitishwa kwa kuunga mkono chama badala ya sheria na hoja. &lt;br /&gt;“Hakuna mfanyabiashara anayeweza kusema ukweli juu ya faida gani anayoipata kutokana na kuchimba madini, haiwezekani Tanzania tuendelee kuwa masikini wakati madini yetu yanayotoka yangeweza kusukuma mbele maendeleo yetu,” alisema Bomani. Hii pia ni kweli na ahitaji kuwa jaji au profesa wa uchumi au sheria kujua kuwa huu ni wizi uliohalalishwa. Je wahusika wanafanya hivyo kutokana na ujinga au wanajua sema matumbo yao hayawaruhusu kuona ukweli huu. Hawa si wajinga: wengi ni wasomi tena wenye PhD lakini ni wa hovyo na waroho. &lt;br /&gt;Je wageni wanaoimaliza nchi yetu ni wawekezaji tu hata wengine? Je mchezo huu mchafu ulianza jana au umekuwapo kwa miongo mingi hasa bada ya awamu ya kwanza iliyojitahidi kuziba kila miayanya ya udokozi na ujambazi wa wazi wazi? Baada ya kuondoka kwa awamu ya kwanza, wizi ulibarikiwa wazi wazi. Wakati huu tulikuwa na wahindi wakifanya udukawallah ulioficha madhambi mengi kama uhujumu wa uchumi, ulanguzi wa bidhaa, ukwepaji kodi na utoroshaji wa fedha za kigeni. Nani wamekuwa wanawasaidia kukwepa kodi, kupata vibali feki na kuingia na kuishi kinyemela ukiachia mbali kutorosha pesa yetu? &lt;br /&gt;Nani hajui kuwa mabohari mengi ya wahindi siku hizi yameficha wageni haramu toka India ukiachia mbali ubaguzi katika ajira ambapo wahindi huletwa kufanya kazi za hovyo wakijidai ni wataalamu. Kwani hili halijulikani?  Rejea  kashfa maarufu kama vile Chavda, Somaia, vithlani na wengine wengi waliohujumu nchi hii kupitia ujuambazi mbali mbali wakishirikiana na wakubwa wetu lakini hawakufikishwa mahakamani. Je tatizo ni wao au walikuwa makuwadi tu? Idd Simba  waziri wa zamani wa biashara aliwahi kudai kuwa uchumi wa Tanzania umo mikononi mwa  wahindi  wapatao 10. Nani alihoji au kustuka? Nani angestuka wakati wahusika wanajua ukweli kuwa wao ndiyo wanufaika wa zahama hii kwa taifa na watu wake? &lt;br /&gt;Nani hajui kuwa kuna wageni wanaokuja Tanzania wakijidai wataalamu toka nchi jirani wakati si wataalamu kitu?  Je wanaingizwa na kuajiriwa na nani kama si watanzania wenyewe ambao wamejigeuza shamba la bibi kutokana na ufisi na ubinafsi? &lt;br /&gt;Wageni wanaopata uraia wetu kinyemela hadi wanakuwa hata viongozi waandamizi kama ilivyogundulika miaka michache iliyopita huko Kagera ambapo mwenyekiti wa CCM wa mkoa aligundulika kutokuwa mtanzania. Mpaka leo, CCM haitaki kueleza ni kwanini mtu ambaye si raia alikubaliwa chamani na kufikia kuwa kiongozi mkubwa bila mamlaka kustuka.  Hapa hakuna cha kuficha wala kuzungusha. Wageni hawa haramu walitumia uroho na upogo wa CCM kujipatia uraia hata uongozi tena wa juu. &lt;br /&gt;Sababu nyingine itakayoimaliza Tanzania ni kuwa na mipaka iliyo wazi ikisimamiwa na watu waroho wanaoitumia kama duka lao la kutengenezea pesa kwa kuwatoza rushwa wageni na kuwaruhusu waingie nchini na kufanya watakavyo. Kwani hili halijulikani? Anayetilia shaka hili aende mipakani aone maafisa uhamiaji wanavyokusanya pesa kama makondakta wa daladala na kutokea kuwa matajiri wasijue wanachezea maisha ya vizazi vijavyo.   Kwa ufupi ni kwamba mipaka yetu haina ulinzi wala udhibiti wa kutosha. Tarehe 22 Desemba 2011, nchini Kenya kwenye bandari ya Mombasa mamlaka ya bandari ilikamata pembe za ndovu zaidi ya mia moja na zote zilitokea Tanzania kutokana na viroba vilivyokuwa vimehifadhi pembe hizo kuwa na nembo ya Kilombero Sugar. Na hii haikuwa shehena ya kwanza. Ukiachia hilo, nani hajui kuwa soko la madini ya Tanzanite ambayo yanapatikana Tanzania pekee duniani liko Kenya na Afrika ya Kusini? Lakini ajabu nchi bado inajisifia kwa uombaomba ikielezwa kuwa nchi ya tatu baada ya Irak kupokea misaada mingi duniani lakini pia ikiwa mkiani kiuchumi! &lt;br /&gt;Kitu kingine kitakachoimaliza Tanzania ni ile hali ya watanzania kutokuwa na vitambulisho vya uraia. Ajabu ni miaka sasa tangu serikali itoe pesa ya kutengeneza hivyo vitambulisho. Wahusika wametia pesa mfukoni na vitambulisho havionekani zaidi ya kupiga kalenda kila uchao. Nani anahoji au kujali iwapo kila mtu ameshika lake? Viongozi wanafukuzia ten percent wakati wananchi wanafukuzia pesa ya kula. Njaa ya ubongo na tumbo vimechanganyikana kiasi cha kuiacha nchi iibiwe kana kwamba wakazi wake ima ni mataahira au wanyama na hayawani wasio na akili. &lt;br /&gt;Pia kuna tatizo la kuajiriana na kuteuana kwa kuangalia uanachama, urafiki, kujuana na mambo mengine kama hayo ambapo wahusika hujifanyia madudu bila kuchukuliwa hatua kutokana na wanaopaswa kuwashughulikia kuwa jamaa zao. &lt;br /&gt;Tumalizie kwa kusema kuwa tatizo la Tanzania kwa sasa si wageni bali watanzania wenyewe hasa viongozi makuwadi wa wageni wanaowatumia kama mawakala wao. Haiwezekani nchi yenye kila idara na nyenzo za kiserikali isijue kinachoendelea. Wahusika wanajua kila kitu lakini kwa vile wao ndiyo wanufaika, hata hizo sheria tunazosema wabadili wanazitunga wao na hawatazibadili. Maana kufanya hivyo ni kuharibu ulaji wao haramu. &lt;br /&gt;Chanzo: Dira Desemba, 2011.&lt;br /&gt; &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4670509256756936719?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4670509256756936719/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4670509256756936719&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4670509256756936719'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4670509256756936719'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2012/01/jaji-bomani-wageni-wanaimaliza-nchi.html' title='Jaji Bomani: Wageni wanaimaliza nchi'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4962757668639422151</id><published>2011-12-31T07:36:00.000-08:00</published><updated>2011-12-31T10:54:07.903-08:00</updated><title type='text'>Heri ya Mwaka Mpya 2012</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-BEN95mWuMhA/Tv9aSSo3rvI/AAAAAAAABvU/KA5NW8HmAbw/s1600/Nkwazi%2BFamily%2B065.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 225px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-BEN95mWuMhA/Tv9aSSo3rvI/AAAAAAAABvU/KA5NW8HmAbw/s400/Nkwazi%2BFamily%2B065.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5692367724307001074" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-HepOTJFWVvQ/Tv9ZjIV-QYI/AAAAAAAABvI/JAbVgp548Jc/s1600/new-year-wallpaper-2012-i.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-HepOTJFWVvQ/Tv9ZjIV-QYI/AAAAAAAABvI/JAbVgp548Jc/s400/new-year-wallpaper-2012-i.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5692366914089533826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Wapendwa mashabiki, wasomaji na wageni wa blog hii, tunachukua fursa hii kuwatakieni heri ya Mwaka Mpya 2012. Tunaamini mwaka 2012 utakuwa ni mwaka wa kurekebisha makosa pale tulipokosea na kuongeza bidii pale tulipofanikiwa. Kumaliza mwaka si jambo lililo chini ya uwezo wetu. Ni neema na baraka za Mwenyezi Mungu aliyetujalia kuumaliza mwaka 2011, pamoja na mazonge yake, na kuuona mwaka 2012. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata kama kuvuka toka mwaka kwenda mwingine ni suala la kubadili namba na tarakimu, bado kuna haja ya kujiwekea malengo binafsi kama watu binafsi na taifa na kuwa tayari kuyafanikisha. Kimsingi, mwaka 2011, kwa taifa la Tanzania ulikuwa mwaka mgumu. Kwani, licha ya serikali yetu kuendelea kulegalega na kufanya madudu,watanzania wameweza kupambana na kufanya kila walichojaliwa kufanya. Mwaka 2011 ulishuhudia kuongezeka kwa ufisadi hata utapeli. Rejea chama tawala  na serikali yake kushindwa kukuza uchumi na kupambana na ufisadi. Rejea kuibuka kwa matapeli wengi wa kidini na kiroho kubwa likiwa ni babu wa Loliondo aliyehadaa ulimwengu kuwa ana dawa ya kutibu kila kitu wakati si kweli bali utapeli wa kitoto. Mwaka 2011 ulishuhudia mauaji ya kinyama yakitekelezwa na polisi huku serikali ikikaa kimya. Rejea mauaji ya Arusha na mengine mengi.&lt;br /&gt;Tukio la mwisho wa mwaka la mafuriko jijini Dar es salaam haliwezi kupita bila kuongelewa. Ingawa waathirika walijitakia kuishi mabondeni kwa kisingizio cha umaskini na ukosefu wa umakini kwa serikali, bado ni pigo kwa taifa kutokana na kupoteza watu wasio na hatia hasa watoto ambao hawana uwezo wa kujipangia wapi wazaliwe au kulelewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa Afrika, mwaka 2011 ulikuwa mwaka wa mapinduzi na kujikomboa hasa kwa wenzetu wa Maghreb ambapo tawala chafu na kandamizi nchini Tunisia Misri na Libya zilianguka huku baadhi ya watawala wakifungasha virago kwenda kuishi ugeni, wengine kufunguliwa mashtaka na wengine kuawa kinyama kama wezi wa kuku kama ilivyototeka kwa Muammar Gaddafi imla wa zamani wa Libya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimataifa mwaka 2011 ulikuwa na mambo mchanganyiko kubwa likiwa ni kuzorota kwa uchumi wa Ulaya ambapo nchi za Ugiriki na Hispania ziliokolewa na mataifa mengine ya Ulaya. Kingine cha mno ni kusakwa na kuawa kwa Osama bin Laden kiongozi wa Al Qaida aliyelingaisha taifa la Marekani kwa muda mrefu hapo Mei 2, 2011.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si rahisi kuvinjari matukio yote ya 2011. Hivyo, kwa ufupi tumalizie kwa kuwatakieni heri ya Mwaka Mpya 2012.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4962757668639422151?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4962757668639422151/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4962757668639422151&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4962757668639422151'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4962757668639422151'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/heri-ya-mwaka-mpya-2012.html' title='Heri ya Mwaka Mpya 2012'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-BEN95mWuMhA/Tv9aSSo3rvI/AAAAAAAABvU/KA5NW8HmAbw/s72-c/Nkwazi%2BFamily%2B065.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-383473694827095046</id><published>2011-12-30T04:49:00.000-08:00</published><updated>2011-12-30T05:03:50.803-08:00</updated><title type='text'>Je taifa linahitaji kuambiwa au kuombewa?</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-4g_Xe4YSios/Tv22srA3dGI/AAAAAAAABuM/uqF0kg8wCH4/s1600/praying-bronze-buddha_%257Ex14633355.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 233px; height: 370px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-4g_Xe4YSios/Tv22srA3dGI/AAAAAAAABuM/uqF0kg8wCH4/s400/praying-bronze-buddha_%257Ex14633355.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5691906382643033186" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-owxWUkgvrEM/Tv21w5Ug74I/AAAAAAAABto/mhF3Cmdu8z0/s1600/k8179659.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 170px; height: 113px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-owxWUkgvrEM/Tv21w5Ug74I/AAAAAAAABto/mhF3Cmdu8z0/s400/k8179659.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5691905355691388802" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-eu1WvhJUB64/Tv21wmZSNKI/AAAAAAAABtM/I2WOTigS1xQ/s1600/kuo.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 157px; height: 170px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-eu1WvhJUB64/Tv21wmZSNKI/AAAAAAAABtM/I2WOTigS1xQ/s400/kuo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5691905350611121314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-KGLvKlY8F7c/Tv21wZqglSI/AAAAAAAABtE/vAvpc1FmoX4/s1600/stock-photo-muslim-praying-hands-40885498.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 284px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-KGLvKlY8F7c/Tv21wZqglSI/AAAAAAAABtE/vAvpc1FmoX4/s400/stock-photo-muslim-praying-hands-40885498.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5691905347193705762" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Kuna mchezo wa ajabu umeanza hivi karibuni ambapo wajanja fulani huaandaa eti mkesha wa kuombea taifa. Hivi kweli  inahitaji kuombewa au kuambiwa ukwelinaviogozi wa dini na wale wote wenye udhu kusisitiza uwajibikaji na ku-deliver. Kwanini watu wengi wanatumia njia ya utapeli ya kujifanya wanalipenda taifa hili wakati wanakwepa ukweli? Tatizo la Tanzania si mikosi wala nini bali ufisadi, ukosefu wa maadili na uongozi wenye visheni. Yeyote anayetaka kujificha nyuma ya Mungu anajindanganya na kudanganya na kupoteza muda. Hivi kupambana na ufisadi kweli kunahitaji miujiza au utashi? Mjengwa, najua unachukia ufisadi na umekwenda shule, kama siyo kutoa nafasi kwa kila mtu kutoa mawazo yake, kweli namda kama hii ingeona jua la leo? Hawa kwanini hawasemi kuwa ni wasanii wanaotumia mateso ya jamii kujiweka karibu na watawala? Nawashauri wasome kitabu changu cha Saa Ya Ukombozi. &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-383473694827095046?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/383473694827095046/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=383473694827095046&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/383473694827095046'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/383473694827095046'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/je-taifa-linapaswa-kuambiwa-au-kuombewa.html' title='Je taifa linahitaji kuambiwa au kuombewa?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-4g_Xe4YSios/Tv22srA3dGI/AAAAAAAABuM/uqF0kg8wCH4/s72-c/praying-bronze-buddha_%257Ex14633355.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-7362348105110842455</id><published>2011-12-27T19:16:00.000-08:00</published><updated>2011-12-27T19:21:30.294-08:00</updated><title type='text'>Xenophobia: Will it Feed Hungry South Africans?</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-39uj0VeXPrE/TvqLLDoDPiI/AAAAAAAABs4/hTUA-7C4TV8/s1600/Xenophobia_dowse.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-39uj0VeXPrE/TvqLLDoDPiI/AAAAAAAABs4/hTUA-7C4TV8/s400/Xenophobia_dowse.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5691014101204155938" /&gt;&lt;/a&gt;Are Africans being saved against themselves?        Photo courtesy &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Recently, a Tanzanian residing in Johannesburg received a very spooky letter ordering him and nationals of Ethiopia, Kenya, Somalia and Tanzania to leave South Africa or risk being killed by the South African Black Association (SABA). The letter alleged that the mentioned people were the source of all sufferings and miseries for black South Africans, such as disease, poverty and failure.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The letter shows how blind and ignorant some South Africans have become. Instead of looking at the real enemy, they are trying to create fake one as it was recently evidenced in Libya when the rebels were fighting to topple Muammar Gaddafi. They branded any colleague from South of Sahara a mercenary! How sick is this? Some targeted every dark skinned person little knowing Libya has over one-third of the same people.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I agree with SABA that black people in South Africa still lag behind economically. However, this is  not because of other Africans living there but systemic rot left behind by the apartheid regime. Those conversant with Conflict Resolution Studies are aware how South Africa’s reconciliation under South African Truth Commission (TRC) that was chaired by Archbishop Desmond Tutu, did reconcile the country politically but not economically.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Julius Malema, former president of African National Congress (ANC) Youth wing once wanted President Jacob Zuma to nationalise South Africa's rich mines and seize white-owned land. The real step is to change the system. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Despite the fact that I do not subscribe to racially inspired ideas, if we face it, the wealth in the hands of white South Africans is totally incomparable to the little money refugees make in South Africa. Anybody who asserts that African refugees rake big money and are therefore the cause of miseries for black South Africans must be out of his mind. Even if you compare the wealth South African Indians own to peanuts African refugees make in South Africa, you’ll find allegations that there are obstacles, are but baseless and ridiculous. It is like comparing an apple and a higgs boson.  It is easier to predict that after South African xenophobics are done with refugees, they will turn against, Indians and whites before they turn to each other (zulu, thembu xhosa and what not) till the last person. Once they are done with refugees from neighboring countries and found that their problems are still the same and  even bigger according to time, they will turn against their colleagues. If this succeeds, the same perpetrators of xeonophobic atrocities will end up becoming refugees for the second time after tearing their country apart. This time, they will nary get warm welcome as the one they were accorded when they were fighting apartheid.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;It is sad to find Africans crossing discriminating against each other as it happened in Libya and once in South Africa itself. It is sad too that the same African refugees who are threatened hail from countries that sacrificed a lot to see to it that South Africa attains independence. What an irony!&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Though the letter in point may be ignored or regarded as mere desperation, if one looks back at what transpired on 23 May 2008 in Johannesburg, the authorities need to take steps before SABA wreaks havoc. In 2008 at least 42 people were killed, 23 of whom were Mozambican nationals. More than 17,000 people were displaced and more than 400 suspects arrested. What is important here is not to hate each other but to embark on dialogue with all efforts focused on the real enemy-economic entropy. This does not need someone to be astrophysist or a guru in mathematic to comprehend. South Africans affiliated with SABA are shying away from the real issue and creating a bigger problem. Economic poverty is less tormenting than the mental poverty SABA is displaying. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;All refugees threated must report the incident to the authorities and their embassies. Wherever there is smoke, there is fire. Ironically, the rainbow nation does not look like the rainbow itself. Is it because the rainbow does not have the black colour in its colours? Is it because desperation and ignorance have been allowed to be the modus operandi of destitute South Africans? Indeed, they need to be helped out of this malady-xenophobia.  It is important to note that hate begets hate. &lt;/strong&gt;Source: The African Executive Magazine Dec. 28, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-7362348105110842455?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/7362348105110842455/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=7362348105110842455&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7362348105110842455'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7362348105110842455'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/xenophobia-will-it-feed-hungry-south.html' title='Xenophobia: Will it Feed Hungry South Africans?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-39uj0VeXPrE/TvqLLDoDPiI/AAAAAAAABs4/hTUA-7C4TV8/s72-c/Xenophobia_dowse.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-179515393963073781</id><published>2011-12-27T19:15:00.000-08:00</published><updated>2011-12-28T05:45:24.400-08:00</updated><title type='text'>Helikopta za uokozi hatuna, za kuchungulia waathirika zipo</title><content type='html'>&lt;strong&gt;MWENZENU nina uchungu sana kutokana na mazonge  yaliyomkuta mwenzetu mwanakijiwe maarufu mzee mheshimiwa Mgosi Machungi Makambale ambaye ni rafiki mkubwa wa mwenyekiti na rais wa kijiwe alhaji Mpayukaji Msemahovyo mjukukuu wa mtume Waambie yamemfika makubwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si alikumba na zahama ya mafuriko yaliyofurisha jiji la Bandar Salaam ambayo imegeuka Bandar furika kutokana na miundo mbinu ya kishikaji na sheria zinazofuata kura badala ya sheria. Kwa sasa kama siyo kufukuzia riziki hapa kijiweni, Mgosi alipaswa kufikiria kurejea kwao ima Vuga Mashindei au Mtibwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka, siku hiyo ambapo mafuriko yalifurisha jiji la Bongo, nilikuwa nimetoka kukutana Mgosi kijiweni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulikuwa tumejadili zahama iliyokuwa imemkuta mchumia tumbo Kafulia na kuandaa mikakati ya kutumia kanuni hizi za chama kuwatia adabu wote wanaoleta mdomo kutaka kuingilia ulaji wetu kijiweni. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadhani kwa yaliyomkuta Kafulia baada ya kufulia na kufuliwa, akina Edhard Ruwasha, Sam Sixx, Endelea Chenga na wengine wanaotaka kupimana msuli nami watashika adabu na kutulia kama watoto wazuri kabla hawajanyolewa bila maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mie sitajali kuwa watatoboa siri zangu wala nini. Nitawavua uwanachama. Ingawa alichofanyiwa Kafulia ni kitu mbaya, ni somo kwa jamaa wa magamba wanaoshindwa kuvuana magamba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kama siyo ushikaji na ushirika wa mkuu, Chama Cha Magamba ni hodari wa kutumia karata hizi na zana za maangamizi ya wajivuni na mafisadi. Mambo ya Kafulia na alivyofulia tuyaache.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kupokea taarifa toka radioni baada ya mitandao hii ya kishikaji ambapo wawekezaji wanakula na wakubwa na kuweka mimashine mibovu kugoma, niliamua kutumia radio kupata habari kuhusiana na nakama hii. Nilianza kupata wasi wasi na jamaa zangu waliokuwa nje ya nyumba zao kutokana na mibarabara yetu inayojengwa na washirika na washikaji wa mafisadi kubomoka hovyo kutokana na kutokidhi viwango. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Kwanza nilianza kumlaumu Machungi kwa kupanga mabondeni ilhali akijua matokeo yake hata kama kodi alidhani ni nafuu asijue mafuriko yataifanya iwe aghali. Baada ya kufikiri kwa muda mrefu niliachana na lawama baada ya kugundua kuwa na lisirikali lililowanyamazia wakajenga na kuwapa umeme huku likikusanya kodi ya pango nalo ni la kulaumiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuona lawama zangu hazisaidii, niliamua kuomba lau dua ili Mgosi Machungi na mshirika wake wa bedroom, kuku, paka hata panya wapone. Maana sikuwa na jinsi ya kumsaidia wakati ule hasa ikizingatiwa kuwa wagawaji wa kiza walikuwa wamepata sababu ya kuendelea kutukatia umeme.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Nikiwa natafuta jinsi ya kuondoa ngoa niliyokuwa nimeipata kutokana na wenye madaraka kuyatumia vibaya nilijisuta na kuachana na lawama. Maana nilisikia sauti ndani yangu ikisema: Kama si kukiibia kijiwe na kujenga hekalu lako Msa… sorry sana. Sitaji maana majambazi na wachawi wanaweza kunivamia na kuninyotoa roho bure. This is a national top secret after Kagoda and Dowans… nawe si ungekuwa kwenye msambwe kama Mgosi Machungi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo niliachana na lawama na kuanza kupanga mikakati ya kutumia janga hili kupata ulaji. Maana kwa kaya za wezi na mafisadi, kila kinachotokea hatukiangalii kwa kuzuia kisitokee huko baadaye wala kujifunza bali kutafuta jinsi ya kuwashawishi wafadhili wamwage mipesa nasi tujifaidie. Upo hapo mshirika? Mezea basi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutesa kwa zamu. Huna haja ya kuwa na nkungukwa. Siku yako ikifika utatesa. Au siyo? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua wasomaji walioathirika na mafuriko kwa sasa wananiona kama nawachuria na kuwakoga. Hapana ila bado niseme. Siwezi kuogopa kuuona ukweli hata kama mchungu. You know what? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi unapojenga bondeni kwa kusingizia umaskini unategemea nini hasa usawa huu ambapo kwa mfano hakuna helikopta za kuokoa isipokuwa za kuwachungulia waathirika? Unajenga ukitegemea nini iwapo kuna polisi wengi wa kutwanga watu virungu na wanajeshi wa kuonyesha gwaride lakini si wa uokozi? Shauri yako! Use your bloody brain madala ya kufikiri kwa makario. Hayo ni mambo ya Masumburi, si mimi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua masahibu ya umaskini hasa kwa wale wasio na nafasi ya kula bure na kuhomola kama mimi na wapambe zangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua wengi wajiuliza mantiki ya kuwa Meya hasa yule anayetumia ‘makalio kufikiri’ ambaye siku zote anafukuzia ulaji badala ya kutoa huduma na kutimiza majukumu yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anayesema hivi si mimi. Maana baada ya mitandao feki kurejea angani na kupata fursa ya kuwasiliana na mgosi Machungi kitu cha kwanza nilichosikia ilikuwa ni lawama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema, “Meya hatikumuona, mbunge hatikumuona. Kwani makosa ya kuishi bondeni yetu peke yetu. Shi ni wao waliotufumbia macho tukaendeea kuishi Jangwani?” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea, najua sasa mibaka inaandaa mipango ya kuvuna misaada huku vibaka nao wakitihangaisha kana kwamba hakuna siikai.” &lt;br /&gt;Ingawa sikupenda lugha  ya matusi kwa watu wakubwa kama mimi, malalamiko ya Mgosi yalinifumbua macho kuanzisha mfuko wa kuchangia waathirika wa mafuriko ili mimi na bi mkubwa wangu na watu wetu tuvune fweza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana kufa kufaana ati. Hivyo, wewe unayesoma unabii changia mfuko wa wahanga wa mafuriko kupitia akaunti AA 1277890005JK777 TZ000 iliyofunguliwa kwenye benki ya Bank of Tufaane. Onyo, mchango wako unapaswa kuanzia madafu laki moja ili kuonyesha uchungu kwa kaya yako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Hebu tuache mambo ya ulaji. Mgosi amepoteza magodoro mawili, simu mbili za kiganja, kuku wanne na mkataba wa upangaji huko apangako Luhanga mwisho. Ni mali nyingi hizi hasa kwa mlalanjaa kama Mgosi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, tunamshukuru Mungu Mgosi amebaki na pa kushika kwa kubakiwa na mshirika wake wa bedroom bi mkubwa mama Kidume. Magodoro yamekwenda, hata mshirika wa bedroom kama siyo kunasa kwenye mti na Mgosi kuyapiga maji na kumnyofoa, lololo tungekuwa tunaongea mengine! Mgosi angekuwa sasa analiasa kisambaaa, tate nane tate nage kaita mgima mgima sijui angelalia nini yarabi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mgosi ana hasira na watawala walioruhusu waroho wachache kujenga nyumba mabondeni na kupangisha wakati wao hawaishi huko. Ingawa alifarijiwa na mkuu pamoja na walaji wenzake kuja kumjulia hali, bado hajawasamehe kwa kupinda sheria kutokana na masilahi yao ya kisiasa ya kutafuta kura ya kula kwa watu wa mabondeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumalizie kwa kuwapa pole waathirika &lt;/strong&gt;wa &lt;strong&gt;mafuriko hata kama walijitakia. Sorry walilazimishishwa na ukapa.&lt;/strong&gt;Chanzo: Tanzania Daima Desemba 28, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-179515393963073781?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/179515393963073781/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=179515393963073781&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/179515393963073781'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/179515393963073781'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/helikopta-za-uokozi-hatuna-za.html' title='Helikopta za uokozi hatuna, za kuchungulia waathirika zipo'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3606874431107071482</id><published>2011-12-26T05:48:00.000-08:00</published><updated>2011-12-26T05:50:00.384-08:00</updated><title type='text'>Petroli, dizeli yauzwa kwa Sh10,000 kwa lita na nchi bado inakalika</title><content type='html'>Juddy Ngonyani,Sumbawanga&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;BAADHI ya wamiliki  na madereva wa  vyombo vya usafiri vinavyotumia mafuta katika Manispaa ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, wameuomba uongozi wa Serikali mkoani humo kuingilia kati tatizo la  upatikanaji wa nishati hiyo ikiwa ni pamoja na kujua bei halali wanayopaswa kuuziwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakizungumza na gazeti hilo kwa nyakati tofauti baadhi  ya wamiliki na madereva walisema kuna tatizo la kukosekana kwa mafuta katika vituo mbalimbali vya mji wa Sumbawanga.Waliolalamikia tatizo hilo ni pamoja na Issa Lubega, Justin Mballa, Chacha Mwita na Zacharia Nsangazila.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wamesema kwa sasa mafuta a petroli na  dizeli yanauzwa kwa bei ya kati ya Sh6,000 na Sh10,000 kwa lita moja na kwamba yanauzwa na wachuuzi ambao inaaminika kuwa wanayapata katika vituo vya mafuta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliiomba Serikali kuingilia kati tatizo hilo na kuhakikisha kuwa bei zinashuka hadi kufikia kati ya Sh3,000 na Sh5000 kwa lita.&lt;br /&gt;Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya  aliwataka watumiaji wa nishati hiyo kuwa na moyo wa subira wakati Kamati ya Ulinzi na Usalama ikiendelea na uchunguzi kuhusu tatizo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Manyanya pia aliwaasa wafanyabishara ya mafuta kuwa  wakweli kwa  wateja wao, ili kuepuka malalamiko na usumbufu.&lt;br /&gt; &lt;/strong&gt; Chanzo: Mwananchi Desemba 26, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3606874431107071482?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3606874431107071482/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3606874431107071482&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3606874431107071482'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3606874431107071482'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/petroli-dizeli-yauzwa-kwa-sh10000-kwa.html' title='Petroli, dizeli yauzwa kwa Sh10,000 kwa lita na nchi bado inakalika'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-728447641986755059</id><published>2011-12-24T14:10:00.000-08:00</published><updated>2011-12-24T14:12:34.399-08:00</updated><title type='text'>Nawatakia heri ya X-mas na Mwaka Mpya 2012</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-hDnomizLsWI/TvZOSyy0YKI/AAAAAAAABss/kjWdHdu2HLo/s1600/Christmas-Greetings.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 253px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-hDnomizLsWI/TvZOSyy0YKI/AAAAAAAABss/kjWdHdu2HLo/s400/Christmas-Greetings.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5689821264008732834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ingawa huku tuna X-mas wanayoita Green one kwa sababu ya kutokuwapo theluji, kwa waswahili kama mimi tunashangilia. Maana hakuna cha kusafisha njia ziingiazo na kutoka majumbani mwetu wala baridi ya kukera ukiachia mbali utelezi.&lt;br /&gt;Tunachukua fursa hii kuwatakia Noel njema na heri ya Mwaka mpya 2012. &lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-728447641986755059?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/728447641986755059/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=728447641986755059&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/728447641986755059'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/728447641986755059'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/nawatakia-heri-ya-x-mas-na-mwaka-mpya.html' title='Nawatakia heri ya X-mas na Mwaka Mpya 2012'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-hDnomizLsWI/TvZOSyy0YKI/AAAAAAAABss/kjWdHdu2HLo/s72-c/Christmas-Greetings.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1466705929906088365</id><published>2011-12-23T13:15:00.000-08:00</published><updated>2011-12-23T13:22:25.332-08:00</updated><title type='text'>vituko vya viongozi wetu na maafa yake! mafuriko siasa mafuriko siasa!</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-mm4KqmG4K-g/TvTvs8P09rI/AAAAAAAABsg/qHlXHSBtuc4/s1600/bilal.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 269px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-mm4KqmG4K-g/TvTvs8P09rI/AAAAAAAABsg/qHlXHSBtuc4/s400/bilal.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5689435784641574578" /&gt;&lt;/a&gt;Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Bi. Monica Luis, Mkazi wa Jangwani aliyeathirika na mafuriko ya Mvua kubwa iliyonyesha jijini kuanzia majuzi, wakati makamu alipotembelea katika Kambi ya Shule ya Sekondari Azania jijini Dar es Salaam leo Desemba 23, kwa ajili ya kuwapa pole waathirika wa mafuriko hayo. Picha toka Mjengwa Blog.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;W&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;atawala wetu wakishapata hugeuka miungu kiasi cha kuogopa hata kuwakaribia wapiga kura yaani waliowapa huo utukufu. Huyo juu eti anaongea na mhanga wa mafuriko! Hivi kwa umbali huo mrefu kweli wawili hawa wanaweza kuongea lugha moja tena wakaelewana? Huu ni udhalilishaji tosha ambao wananchi wanapaswa kuuona na kuufanyia kazi kwa kukinyima kura Chama Cha Mapinduzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari zilizolipotiwa ni kwamba wakazi wa mabondeni wameapa kutohama makazi yao kama alivyoagiza rais Jakaya Kikwete. Kwani wao kilichotokea wanaona ni kama ajali tu. Hivyo wataendelea kukaa mabondeni. Je serikali itaufyata kwa kuogopa kupoteza wapiga kura? Je serikali, kama ilivyojiingiza kwenye matatizo, itaendelea kuwaandalia makazi mapya kana kwamba makazi wanayoishi ni halali? Je hawa wakazi wa mabondeni wamejua udhaifu wa serikali kujiingiza kwenye tatizo ambalo si lake? Je wakazi wa mabondeni wanajua jinsi serikali isiyoaminika? Je serikali kuahidi kuwatafutia maeneo mapya ni halali zaidi ya kuunga mkono vitendo vya kuvunja sheria? Kesho tutasikia wamachinga wanaofanya biashara kwenye barabara na maeneo ya wazi nao wakitaka wapewe maduka!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi tatizo la mafuriko ni matokeo ya utawala wa kubabaisha na kujuana na utokanao na rushwa, kuchafuana na wizi wa kura.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1466705929906088365?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1466705929906088365/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1466705929906088365&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1466705929906088365'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1466705929906088365'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/vituko-vya-viongozi-wetu-na-maafa-yake.html' title='vituko vya viongozi wetu na maafa yake! mafuriko siasa mafuriko siasa!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-mm4KqmG4K-g/TvTvs8P09rI/AAAAAAAABsg/qHlXHSBtuc4/s72-c/bilal.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5700336232659369983</id><published>2011-12-21T11:43:00.000-08:00</published><updated>2011-12-21T11:45:58.246-08:00</updated><title type='text'>Tubadili jeshi la polisi kabla ya kutupeleka kuzimu</title><content type='html'>Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la kuwabambikizia kesi waandishi wa habari hasa wale wanaolikosoa jeshi la polisi au kufichua ufisadi na maovu mengine katika jamii ili ima kuwatisha au kuwanyamazisha au kuwasumbua. Jeshi tulilodhani ni letu, taratibu limegeuka kuwa lao na mlinzi na muhimili wa uovu, uonevu, ufisadi hata rushwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka huu tumeshuhudia waandishi wa habari wawili wa gazeti moja wakibambikiziwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Kabla ya hapo, mwandishi mwingine wa habari wa runinga alibambikiziwa kesi kabla ya mahakama kutomkuta na hatia na jeshi la polisi kuishia kuaibika kimya kimya.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo tutajaribu kurudusu hali halisi ya jeshi letu la polisi na nini kifanyike ili kulifanya liwe la wananachi badala ya kuendeshwa na kikundi kidogo cha watu kinachojificha nyuma ya madaraka ambayo nayo pia ni ya wananchi. Kwa mtu anayejua ni kiasi gani jeshi la polisi limechafuka na kupoteza imani kwa wananchi, anashangaa mantiki ya kuwepo kwake. Anashangaa hata hao wakubwa zake wanalipwa kwa lipi iwapo wanashindwa kujenga nidhamu na jeshi la kisasa hasa karne ya 21 ambayo imeshuhudia kuanguka kwa utawala mchafu na wa kikale katika nchi mbali mbali ambapo polisi na vyombo vingine vya dola vilikuwa vikitumiwa na kundi dogo la walevi wa madaraka kuwanyanyasa wananchi huku likishindwa kutambua kuwa kama si kodi za wananchi, hakuna cha jeshi la polisi wala watawala vinavyoweza kuishi.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Historia ya jeshi letu tangu kuingia mfumo wa vyama vingi ni chafu na yenye kukera. Tangu 1992 Tanzania ilipolazimishwa kuingia mfumo wa vyama vingi, chama tawala na jeshi la polisi hawakubadilika. Waliendelea na mawazo mgando ya wakati wa utawala wa chama kimoja. Nani mara hii kasahau mwaka 2000 wakati inspekta jenerali wa polisi wa wakati huo aliyestaafu na kuzamishwa na kashfa ya kutembea na mfanyakazi wake wa ndani, Omar Mahita, alipowaambia wanachama wa chama cha wananchi kuwa kama wao ni ngangari yeye na jeshi lake ni ngunguri? Ajabu Mahita alipojigeuza mwanasiasa kinyume na sheria na kanuni za utumishi wa umma, hakuna aliyekuwa na busara wala ujasiri kumuonya hata kumshauri aache kuvunja sheria. Nani angemuonya wakati aliokuwa akiwakingia kifua ni chama tawala? Nani angemkamata iwapo yeye ndiye alikuwa mkuu wa jeshi la polisi? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya Mahita kujisahau na kujichafua kiasi hicho, wengi walidhani watawala wangejifunza kufikiri na kukomesha mchezo huo.  Lakini wapi! Nani mara hii kasahau mauaji ya Arusha ya Januari 5 ambapo watu watatu waliuawa mmojawapo akiwa raia wa Kenya?  Mauaji ya watu wasio na hatia hayakuishia kwenye maandamano ya kisiasa. Nani mara hii kasahau mauaji ya jana ya raia asiye na hatia wilayani Kasulu mnamo Agosti 8 ambapo askari polisi walimuua kinyama Festo Andrea tena kwa kumuingiza vijiti kwenye sehemu za siri mbele ya baba yake marehemu? Mauaji ya raia wasio na hatia nchini ni mengi. Nani mara hii kasahau polisi walivyommiminia risasi raia ambaye walikataa kutaja jina huko Runzewe wilayani Bukombe mwezi huo huo wa Agosti alipouawa Andrea? Nani mara hii kasahau mauaji ya raia huko Ubaruku Mbeya wakati wananchi wakipinga kuingia kwenye eneo lao kwa lori lenye uzito zaidi ya unaoruhusiwa ambapo mtu mmoja aliuawa? Mifano hiyo ni tone kwenye bahari ya mauaji ya kinyama yanayofanywa na jeshi la polisi wale wale tunaowalipa mishahara kwa kodi zetu.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia mbali mauaji na kushiriki siasa kwa kubeba chama tawala, polisi wetu wanasifika kwa rushwa kiasi cha kuwa taasisi inayoongoza nchini katika rushwa. Kuhusu hili Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU) ilitoa taarifa kuwa jeshi la polisi linaongoza kwa rushwa mwaka huu. Taarifa ilisema, “ Inonesha kuwa asilimia 62.7 ya wananchi hao hawana imani na jeshi hilo kwa kuwa halizingatii maadili, huku asilimia 44.6 wakisema kuwa maofisa wa polisi ndiyo vinara wa kupokea rushwa, asilimia 55 walisema kuna uhusiano mzuri kati ya jeshi la polisi na wao katika kuwakatama wahalifu,” Taarifa hii haina utata. Ni ukweli usiopingika kuwa askari wetu licha ya kuwa wauaji ni wala rushwa wakubwa. Kama ingeundwa tume ya kuchunguza mali zao, wao na wafanyakazi wa mamlaka ya mapato na uhamiaji, wanaongoza kwa kuwa matajiri.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia mbali kula rushwa, polisi wetu wana sifa moja kubwa chafu ambayo ni kuwabambikizia watu kesi ili ima watoe rushwa au wawakomoe. Ukienda kila mkoa hiki ndicho kilio cha wananchi.  Wananchi wanajiuliza. Kama kweli polisi wetu wangetumia akili ya kawaida biashara ya mihadarati, ujambazi ambao umegundulika kuwa unafanywa na baadhi ya polisi ama kwa kukodisha bunduki au kusindikiza mizigo ya wizi, ufisadi, rushwa na madhambi mengine yasingetamalaki kiasi cha kumlazimisha rais kuunda tume.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu, waandishi wa habari tunapofichua uchafu kama huu tunaandamwa kwa kubambikiziwa kesi ili kututisha, kutunyamazisha hata kutusumbua kama ilivyotokea hivi karibuni kwa waandishi wa habari wa gazeti hili Mhariri mtendaji Absalom Kibanda na mwandishi Samson Mwigamba. Jamani, kwanini polisi hawataki kukubali ukweli kuwa tatizo si wakosoaji bali wao wenyewe? Kilicho wazi ni kwamba waandishi wa habari ni kama nyuki. Ukiua mmoja wanaibuka wengine wengi. Tunatoa taarifa kwa serikali na jeshi lake la polisi kuacha uonevu, ufisadi, rushwa, ubabaishaji na mauaji ya raia wasio na hatia. Madaraka yana mwisho. Hata hao polisi wanaotumika kama nepi kuna siku watastaafu na kuonja adha ambayo wananchi wenzao wanaonja. Nchi hii ni yetu sote kwa sawa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tusidanganywe na madaraka ambayo siku zote hulevya. Wako wapi akina Muammar Gaddafi na wapambe wao?  Inatisha kuona tunaposherehekea miaka 50 ya uhuru, bado kuna taasisi tena za umma zinatenda madudu ambayo hata mkoloni hakutenda! Nchi huru lazima iwe na jeshi huru lenye kujua na kutenda haki, kulinda wananchi na si watawala, kuwajibika na kuelimika na siyo jeshi la maguvu na unyanyasaji kama tulivyoonyesha hapo juu. Kama watabishia hili tutakuja na ushahidi mwingine zaidi. Je wahusika wanataka tuanze kuwaripoti Human Rights Watch ndipo wajue wanafanya madudu? &lt;br /&gt;Tumalizie kwa kushauri: tubadili jeshi la polisi kabla ya kutupeleka kuzimu. &lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Desemba 21, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5700336232659369983?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5700336232659369983/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5700336232659369983&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5700336232659369983'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5700336232659369983'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/tubadili-jeshi-la-polisi-kabla-ya.html' title='Tubadili jeshi la polisi kabla ya kutupeleka kuzimu'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8777779476292380347</id><published>2011-12-21T11:42:00.000-08:00</published><updated>2011-12-21T11:43:48.722-08:00</updated><title type='text'>Kijiwe chagawa nishani kama njugu</title><content type='html'>JUZI kijiweni kwetu kulikuwa na shughuli bab kubwa. Dk, profesa, Al Haj, Mwalimu, Field mashall, shehe, ulamaa,maulana, Man and a half,  askofu, Mpayukaji mkuu wa kijiwe niliamua kutoa nishani kwa washirika zangu kwa uvumilivu na kufumba macho niendelee kuhomola na kina Mbwa Mwitu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtu wa kwanza kupewa nishani alikuwa ni mgosi Machungi kwa ikiwa ni shukrani yangu kwa kujikomba vilivyo na kuhakikisha mzee mzima siguswi hata ninapofanya mazabe. Amehakikisha anawanyamazisha vidomodomo wanaotaka kugusa ulaji wangu. Machungi ambaye wanakijiwe humtania kuwa ni spika wa kijiwe al maarufu Baba Makidamakida kutokana na lugha yake ya kucheza makidamakida. Mgosi alichukua nafasi ya msomi Sam Sixx Mkatatamaa. Kupewa nishaku kulizua utata ni kwanini alipewa nishani huku nikimnyima Sam Sixx.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wengine wagonjwa kweli kweli. Wakiniona nachekacheka wanadhani kicheko changu na tabasamu ni vya kweli. Kwa taarifa ya msionijua, mimi ni bingwa wa kulipiza visasi hasa kwa viherehere wanaotishia ulaji wangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi niliwaambia jinsi   Eddie alivyoniadhiri kwenye sakata la kuvuana gamba kijiweni. Adhabu yake ya kwanza kama utangulizi ni kumnyima nishani ili baadaye nimtoe nishai. Anadhani nilishindwa kumpa nishani kama ningeamua?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua ananilaumu kwa sasa bila kujua kuwa anapaswa alaumu domo lake na woga wake. Hata kama kwenye kashfa ya Richmonduli ya wizi wa pesa ya mkaa kwa kumpa gabacholi tenda ya upendeleo wakati ni tapeli tulikuwa wote kwanini asije nyumbani tukayamaliza badala ya kwenda kunianika? Hopeless kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Halafu mpuuzi huyu eti ana mpango wa kutaka kurithi nafasi yangu nitakapoachia ukanda wa kuibia kijiwe!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliyefuata kwa kupewa nishani ni loh! Nimesahau jina lake!  Anyways, majina ya waliopata nishani si muhimu zaidi ya wale walionyimwa. Maana waliopewa hawalalamiki ingawa wanalalamikiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliyenyimwa nishani si Eddie Ewassa  tu bali hata brother Johhnnie Sam Mali-sera ambaye kijiweni hujulikana kama mzee Maneno kutokana na maneno yake ya kufyatua na lafudhi yake ya ki-Idodomya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu bwana nilimnyima nishani kutokana, kwanza, kutaka kushindana nami kwenye uchaguzi wangu wa kwanza wa kuwa mkuu wa kijiwe miaka kama nane sita iliyopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia mke wake bi mkubwa Hana Mali-sera ana tabia ya kunikosoa kosoa hasa akimuunga mkono Sam Sixx na wenzake wanaposhambulia utawala wangu kijiweni. Huyu mama ametokea kuwa mwiba kiasi cha kunifanya nikose usingizi. Hata hivyo kwa kumnyima mshirika wake wa bedroom nishani, nadhani message sent. Atachagua kusuka au kunyoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  Ukiachia mbali niliowanyima nishani kutokana na kuwalipizia visasi na kuwapa taarifa kuwa mie siye yule wamtaniaye, kuna wengine niliwasahau kiasi cha kujisikia vibaya ingawa hapo baadaye nitawapa nishani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawa ni Endelea Chenga na Rosti Tamu Laazizi ambao nitawapa nishani kutokana na kufanikisha mikakati yangu ya kuukwaa ukuu. Pia ndugu yangu Petero Nonyi wa Noni naye nitamkumbuka kipindi hiki. Hivyo, nawataarifu wasikate tamaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kipindi hiki nikiwapa nishani nitahakikisha na mshirika wangu wa bedroom mama Kidume Riziki anapata pamoja na kidume chenyewe Riziki. Hawa watapata nishani kutokana na kufanikisha ulaji kwenye familia yetu hasa mke wangu mpendwa mwalimu Salima ambaye pia ni rais wa wanawake wote kijiweni chini ya chata lake la MAWAWA, yaani Wake za Wakubwa na Maulaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rizi nitampa kutokana na kufanikisha kuwagawanya vijana kijiweni pale wanapotaka kuingilia ulaji wa mshua. Ikumbukwe kuwa yeye pia ni rais wa vijana kama ambavyo Halfa ni rais wa chipukizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia nitahakikisha nasuka mpango na vyuo vikuu vya kule Ulaya nilikosomea kuhakikisha naye anapewa shahada ya Udaktari tena wa Uchumi na Sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia napanga kutoa nishani kwa mgambo wa kijiwe al maarufu Polishi wa kijiwe. Hawa wamefanikiwa kuwatia adabu wote wanaopinga ulaji wangu. Wamekuwa wakifanya kazi kubwa hasa kuwapiga wanywa kahawa wanaotaka kuanzisha mada za kunipinga au kuandamana kwa midomo kupinga maulaji yangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nisiwachoshe na zoezi la kutoa nishani. Baada ya kuhitimisha zoezi hili niliteua wawakilishi wa wanywa kahawa kwenye vijiwe marafiki huko nje ya nchi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pale kwenye kijiwe cha River Road Nairobi nilimteua shoga wa mke wangu, Batinda Kwaherini kuwawakilisha walevi na wanywa kahawa pale Nairobi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia nimemteua daktari mwenye shahada kwenye kuzuia jinai ya kughushi (PhD in faking) Dolorous Kamaliza kuwa mwakilishi wetu kwenye kijiwe cha kahawa cha Udachini ambako nasikia kahawa inanywewa sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sikuishia hapo, kwa mamlaka niliyopewa na kijiwe, nimemteua bwana Phil Zilipendwa Mammie kuwa mwakilishi wetu kwenye kijiwe cha   kwa akina Huaa Guo Feng ambako nako kutokana na baridi nasikia kahawa inanyweka vilivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi hawa washirika wangu nilitaka kuwapa nishani. Lakini baada ya kusikia minong’ono kuwa kama wanakijiwe waliwapiga teke wanapewa nishani za nini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hasira niliamua kuwaudhi hawa waliowapiga teke kwa kuwapa ulaji mkubwa tu. Waende kule waniwakilishe na si wanakijiwe wambea wasio na shukrani hata ukiwapa takrima wakakuchagua bado wanataka eti uwakomboe wakati hukuchaguliwa kuwakomboa bali kurejesha takrima yako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo sitasema mengi kutokana na kuwahi kwenda kupanda pipa kwenda kutanua na bi mkubwa baada ya kujihakikishia kuwa tumeshinda zoezi la kuvuliwa magamba. Najua hapa wasomaji wameishaanza kutoa mimacho wakidhani nimechanganyikiwa kupanda pipa wakati hata nauli ya dala dala yenywe ni mbango.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninaposema kupanda pipa namaanisha kupata lift kwenye shangingi la fisadi fulani ambaye anataka kunitumia kumsafisha. Upo hapo mshirika?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla sijasahau. You know what? Msianze kuchanganyikiwa kwa maulaji niliyoelezea pale juu mkadhani nimewatosa baadhi ya washirika zangu wa karibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ufupi huo hapo juu ni mhutasari wa mipango yangu ya mambo nitakayofanya siku nikigombea urais nikaupata. Hivyo, msihangaike kwenda kwa vigagula bure kuniroga.  Pia muelewe kuwa haya yaliyoandikwa yaliandikwa nikiwa kitandani naota.&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Desemba 21, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8777779476292380347?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8777779476292380347/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8777779476292380347&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8777779476292380347'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8777779476292380347'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/kijiwe-chagawa-nishani-kama-njugu.html' title='Kijiwe chagawa nishani kama njugu'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6984513184628227440</id><published>2011-12-18T09:08:00.001-08:00</published><updated>2011-12-18T09:11:37.595-08:00</updated><title type='text'>Kafulila asipoacha tamaa na papara atafulia kila aendako</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-ZxIf7MIcbk0/Tu4eOGF6ldI/AAAAAAAABsU/BvtUlYhKRd0/s1600/kafulila-bungeni1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 271px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-ZxIf7MIcbk0/Tu4eOGF6ldI/AAAAAAAABsU/BvtUlYhKRd0/s400/kafulila-bungeni1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5687516606917940690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ingawa kuvuliwa uanachama kwa mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini NCCR-Mageuzi, David Kafulila si haki, kulitarajiwa kutokana na tabia ya mhusika. Kafulila alipoingia kwenye siasa za upinzani alijiwekea malengo makubwa kupita uwezo wake. Kwa wanaokumbuka kilichomtoa CHADEMA, watakubaliana nasi kuwa Kafulila hajatulia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bahati mbaya sana kwa Kafulila, anataka kufikia malengo yake kwa njia ya mkato ambayo ni kuanzisha vurugu zisizo na sababu kwenye vyama. Wapo wanaomuona kama mganga njaa na mtu mwenye tamaa. Wengine wanamuona kama Uvuruge wa kawaida wakati wengine wakimshuku kuwa pandikizi la CCM. Yote yawezekana. Je Kafulila atarejea CHADEMA? Je CHADEMA, kwa alivyowachafua, watakuwa dhalili kiasi hiki kumpokea? Je Kafulila yuko tayari kuramba matapishi yake ili angalau apate nyenzo ya kurejea kwenye ulaji? Je Kafulila ni mwanasiasa makini au mleta fujo na mtafuta riziki kwa mgongo wa kisiasa? Je Kafulila atarejesha kiti chake? Je atakwenda CCM?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, pamoja na Kafulila kufukuzwa na mtu mchafu kuliko yeye yaani James Mbatia ambaye anasemekana kuwa pandikizi na kuwadi wa CCM, anapaswa kujiulaumu kwa kutaka kuukata mkono uliokuwa ukimlisha yaani chama. Na hapa ndipo anapoteza umakini na upambanaji aliokuwa akivishwa wakati si mpambanaji kitu. Kama kweli alilia asamehewe na Mbatia tena mbele za watu, basi hana lolote zaidi ya kubangaiza. Kama alikuwa akiamini alichokuwa akisimamia na kupigania, hakupaswa kulialia kama kichanga. Hata hivyo, kutimuliwa kwa Kafulila kuna somo kuwa CHADEMA ni chama makini. Kwani wao hawakumtimua zaidi ya kumvua uongozi kwa faida yake na chama. Bahati mbaya Kafulila hili hakulipata akaamua kufunga virago kumkimbia mjusi na kumkumbatia mamba. Ama kweli wahenga walinena kuwa ngoma ya watoto haikeshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kafulila anapaswa akae ajifue na atulie kama kweli ana ajenda ya maana na yenye mashiko katika siasa zaidi ya kutafuta uheshimiwa ili kuhomola. Wenye akili tieni akilini siasa si lelemama wala nyenzo rahisi ya kutafutia neema miongoni mwa mafisi na mapapa kama ilivyotokea kwa Kafulila. Yetu macho kuona nini kitafuata.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6984513184628227440?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6984513184628227440/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6984513184628227440&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6984513184628227440'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6984513184628227440'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/ingawa-kuvuliwa-uanachama-kwa-mbunge-wa.html' title='Kafulila asipoacha tamaa na papara atafulia kila aendako'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-ZxIf7MIcbk0/Tu4eOGF6ldI/AAAAAAAABsU/BvtUlYhKRd0/s72-c/kafulila-bungeni1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2307332586806653102</id><published>2011-12-15T13:46:00.000-08:00</published><updated>2011-12-15T15:16:40.593-08:00</updated><title type='text'>Rais mwingine atupwa jela ni Chirac (Bulldozier)</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-cQVaRpWEhFw/Tupr3k0Qw2I/AAAAAAAABsI/McC_jvWON0Q/s1600/a134025777.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-cQVaRpWEhFw/Tupr3k0Qw2I/AAAAAAAABsI/McC_jvWON0Q/s400/a134025777.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5686476082028528482" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mwezi Desemba unaingia kwenye kumbukumbu kama mwaka wa uwajibishaji. Mwaka 2011, kadhalika unaingia kwenye vitabu vya historia kuwa mwaka wa mapinduzi. Siku chache baada ya rais wa zamani wa Israel Moshe Katsav kutupwa gerezani kwa ubakaji, mwenzake wa Ufaransa Jacques Rene Chirac amepewa kifungo cha nje kutokana na kupatika na hatia ya matumizi mabaya ya fedha za umma. Ulaya na mashariki ya kati wamefungua pazia. Je wezi wetu watanusurika iwapo rais wa taifa fadhili kama Ufaransa anaweza kuhukumiwa kifungo. Kwa habari zaidi, &lt;a href="http://globalspin.blogs.time.com/2011/12/15/former-french-president-jacques-chirac-convicted-on-corruption-charges/#ixzz1gcZ4O8sh"&gt;BONYEZA HAPA.&lt;/a&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2307332586806653102?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2307332586806653102/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2307332586806653102&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2307332586806653102'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2307332586806653102'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/rais-mwingine-atupwa-jela-ni-chirac.html' title='Rais mwingine atupwa jela ni Chirac (Bulldozier)'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-cQVaRpWEhFw/Tupr3k0Qw2I/AAAAAAAABsI/McC_jvWON0Q/s72-c/a134025777.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-7765727556306121176</id><published>2011-12-14T10:08:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T10:11:22.128-08:00</updated><title type='text'>Omar Bashir Traps Kenya in Political Cubism</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-wpaAGPxsxIU/Tujmb08PImI/AAAAAAAABr8/ZthHacQbOO8/s1600/Bashir%252520kenya_1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 354px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-wpaAGPxsxIU/Tujmb08PImI/AAAAAAAABr8/ZthHacQbOO8/s400/Bashir%252520kenya_1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5686047895297401442" /&gt;&lt;/a&gt;Bashir in Kenya for constitution promulgation         Photo courtesy &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;The wrangles evidenced recently between Kenya’s Judiciary and the Executive over the ruling that Sudanese strongman, Omar Bashir, be apprehended shall he visit Kenya, left many analysts flabbergasted. One judge, Nicholas Ombija, made a historical ruling when he ordered the Minister for Internal Security to see to it that should  Bashir set foot on Kenyan soil, he must be  apprehended and handed over to The Hague. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;We used to read about such rulings made by European judges, famous ones being those that were made by Spanish Judge Fernando Andreu, and French judge Jean-Louis Bruguière, who in April 2008 and November 2006 respectively, indicted Rwandan President, Paul Kagame. When these two judges indicted Kagame, many people wrongly thought that this was a venue for only European judges. Now that Ombija has opened the Pandora’s Box for our bigwigs, who will be safe?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;According to Kenya’s Minister for Foreign Affairs, it is difficult for the Kenya government  to abide by the ruling of its own court. What a dangerous stance! The Minister holds that Kenya will abide by the AU position that opposes the indictment of Bashir. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;How can a free country endanger its freedom for the sake of an individual who is not its citizen? Legally and logically, the constitution of Kenya is above that of AU. Whatever Kenyans do, Kenya comes first. Why is Kenya upholding AU’s non-binding decision whilst it violates the Rome Statutes that it signed voluntarily? Why does Kenya want to abuse its own new constitution before even it marks a year? Why doesn’t Kenya do like Uganda that distanced itself when Bashir was invited to a  conference in Kampala? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;It is shocking and sad to note that  Kenya’s Minister for Foreign Affairs who was dispatched to Khartoum to mend fences, does not realise that the AU has lost its legitimacy by supporting illegitimate regimes, even when they have committed atrocities against their people. If anything, though the government in Nairobi is still flexing its muscles, the dent… deep and humongous one… has already been made. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Will the  Kenya government  taint its image in defence of a dictator? Will Kibaki uphold the constitution and serve the Kenyans that voted for him or trample over it and serve the Sudanese strong man? For what reasons and gains?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kenya’s Executive  arm is waging a losing battle,  thanks to the fact that the judge made his decision based on the provisions of the new constitution. Therefore, whoever advises the Executive should be wise to underscore the fact that, under the new constitution, nobody is above the law. If the Executive is still thinking that it is operating in the past when the president was above the law and the Executive above judiciary, they need  to be told that things have long changed.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kibaki spoiled the party at the promulgation of new constitution by inviting Bashir. Will he add salt to injury?  Thanks to the euphoria Kenyans were in, he got away with it. Will he get away with it  again? The answer is nope. Logically, it doesn’t make sense for Kibaki  to dent his image by siding with a dictator indicted for committing genocide against his own people. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dr. Willy Mutunga, the Chief Justice  has already weighed in heavily and categorically so to speak. Responding to rants that the executive were not thinking about complying with the ruling, Mutunga was quoted as thus: “The Judiciary and its officers shall not be intimidated to bend the law.” To make his message clear, Mutunga added that Kenya must choose between anarchy and the rule of the law. Suppose the executive stick on their guns, will the judiciary allow itself to be cowered or stiff its neck and therefore create a crisis especially at this time Kenya is at war with Al-Shabaab? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kenya has nothing to lose by dumping Bashir. Kenya is a major economic and political player in South Sudan. Shall it keep on thinking it can serve two masters namely Bashir and South Sudan? It should not wonder when South Sudan decided to part ways with it. The French sages say:“les amis des mes sont mes amis.” That is, the friends of my friends are my friends. What of the enemies of my friends? Doing Bashir’s laundry will leave Kenya messy and stinky.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Source: The African Executive Magazine Dec. 14, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-7765727556306121176?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/7765727556306121176/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=7765727556306121176&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7765727556306121176'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7765727556306121176'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/omar-bashir-traps-kenya-in-political.html' title='Omar Bashir Traps Kenya in Political Cubism'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-wpaAGPxsxIU/Tujmb08PImI/AAAAAAAABr8/ZthHacQbOO8/s72-c/Bashir%252520kenya_1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2033536394525876363</id><published>2011-12-14T10:05:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T10:08:38.060-08:00</updated><title type='text'>BARUA YA WAZI KWA KIKWETE NA LOWASSA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-qbDz2LmDnq0/TujmGuB6LXI/AAAAAAAABrw/87Cc97GZi80/s1600/ewaki.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 160px; height: 110px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-qbDz2LmDnq0/TujmGuB6LXI/AAAAAAAABrw/87Cc97GZi80/s400/ewaki.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5686047532664892786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;W&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;aheshimiwa, salamu zenu, &lt;br /&gt;Nitangulize samahani kuwasumbua kutokana na shughuli na yaliyowakuta hivi karibuni hasa kwenye zoezi zima la “kujivua gamba” ambalo hata hivyo halikuvuka zaidi ya kutuna. Maana watani wenu wanasema kuwa badala ya kulivua gamba mmevishana gamba kiasi cha kuchanganyana na kuuchanga nya umma. Wengi hawakuamini kuwa marafiki ambao hawakukutana barabarani wangevuana nguo badala ya gamba kama ambavyo vyombo vya habari vilikuwa vimetangaza.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haya si maneno yangu; ni ya wengi ninaosikia mitaani, majumbani, kwenye vituo vya daladala, baa hata vijiweni wakisema kuwa kuvuana gamba kumbe kumeishia kwenye kuvuana nguo! Wengi wanasema kuwa hawashangai. Kwani walilitegemea hilo kutokana na kutoka matamshi yanayogongana hasa ikizingatiwa kuwa kila mtu aliweka wasemaji wake kwa chati. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia nichukue fursa hii adimu kuwapa pole kwa mfarakano wa mawazo unaoanza kujionyesha kati yenu. Najua hapa wasiojua siri ya siasa kuwa ni mchezo mchafu ambapo hakuna adui au rafiki wa kudumu bali maslahi ya kudumu wamehanikiza kushangaa hili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, jambo moja ni dhahiri. Mmetoka mbali na bado mwendako ni mbali hasa legacies zenu hapo baadaye. Good wine needs no bush walisema wazungu. Nanyi mlikuwa mvinyo mzuri kabla ya kuchacha na kuchakachuka kiasi cha kuanza kustukiana. Je tatizo ni nini? Je hamna wasaa wa kukutana kutokana kuwa bize au mnawaongopa wambea wasifichue njama zenu?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna shaka. Nyinyi ni marafiki na washirika wa muda mrefu mna mengi mliyoshirikiana yawe mazuri mabaya ya wazi na ya kificho. Nakumbuka maneno ya Lowassa kuwa urafiki wenu si wa kukutana barabarani bali mahali fulani tena kupanga mikakati ya kutimiza malengo yenu kwa gharama yoyote bila kujali nani anapinga au kuunga mkono mipango yenu. Hivyo, urafiki huu hauwezi kuvunjwa na wambea au vyombo vya habari wala kuvishana magamba ingawa mnayo tangu enzi za mwalimu. Je nini kimewasibu kiasi cha kuruhusu wambea wa kisiasa wawatenganishe haraka na rahisi vipi? Je ni arobaini ya mwizi au kutimia usemi kuwa kila kilicho na mwanzo sharti kiwa na mwisho? What is the problem? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna maswali ambayo leo ningependa niulize kwa utii na taadhima.  Kwanza, kama kumbe hamna ukaribu na siri kiasi hiki, Bwana Kikwete, ni kwanini ulimteua kuwa waziri mkuu wakatiukijua kuwa akizidiwa anaweza kukugeuzia kibao kama alivyofanya hivi karibuni kule Dodoma tena mbele ya vikao ambayo kila jicho la watanzania lilikuwa pale? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, kama jamaa mwenyewe ni gamba kiasi hiki ni kwanini ulimpigia kampeni wakati ukijua kuwa wakati ukifika utamtosa? Una habari kuwa kama asingekung’ang’ania angekuwa historia? Je umekubali kurejesha majeshi au unafanya kile wazungu husema: retreat in order to advance?  Je umefanya hivyo baada ya kuona ni zigo zito lisilobebeka au tuseme nanga shingoni mwako?  Je alimaanisha nini aliposema kuwa aliachia ulaji kuokoa chama na serikali yake? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Barua hii ni ya watu wawili. Hivyo, tutakuwa tukiuliza mmoja baada ya mwingine. Sasa ni zamu ya bwana Lowassa. Je Bwana Lowassa una uhakika njia uliyotumia ni salama kwako na kwa rafiki yako au ni yale ya kama mbaya mbaya acha wote tukose?  Wapo wanaosema kuwa jamaa yako na rafiki yako ni bingwa wa kuvizia na kulipiza visasi kama ilivyotokea kwa akina Samuel Sitta, je umejiandaaje kama hii ni kweli ingawa sisi tunaona kama umbea wa kawaida tu? Je akiamua kutumia shutuma za marehemu baba wa taifa huoni patachimbika bila jembe kutokana ukweli kuwa jamaa anakubalika ingawa alishaondoka zamani?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilisahau kusema mapema kuwa mie ni shabiki wenu nyote wawili kufa. Hivyo, siandiki haya ili mniwekee alama ya X halafu mnitumie mifedha kama vyangudoa wa kimaadili na madili wanavyofanya. Nauliza kutokana na mapenzi yangu kwenu hasa nikizingatia kuwa tangu mwaka 1995 nawajua kama mapacha ingawa upacha wenu wakati mwingine hubadilika hasa mnaposhutumiana na kutaka kutoana magamba kabla ya kuvisha hayo magamba.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bwana Lowassa, je ni kwali kuwa una ndoto ya urais? Je unadhani rafiki yako tena wa chumbani Jakaya anaweza kukusaidia tena iwapo watu wanakusakama na hawakemei ukiachia mbali ukweli kuwa aliwateua wao kwa kazi hiyo maalumu?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna swali jingine ambalo wengi kwenye mabaa na cite kama ile ya Makongoro wamekuwa wakijiuliza: “Kwanini umemgeuka sasa na si wakati wa kushutumiwa na si wakati ule ulipoambiwa upime na kuamua mwenyewe? Halafu kuna swali moja nilitaka kusahau. Nasikia wakikuita waziri mkuu mstaafu, je ni kweli kuwa ulistaafu au uliachia ngazi? Je wanafanya hivyo ili kuepuka umma kujua kuwa ukustaafu halafu kuhoji kama ukustaafu kwanini unalipwa kama mstaafu wakati wewe si mstaafu?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalize kwa kuwauliza wote wawili kama mlivyotajwa hapo juu, je mnaona kuwa mipango yenu ya kukaa madarakani kweli inawezekana hasa wakati huu ambapo mnamalizana wenyewe kwa wenyewe? Je ukweli ni upi, nyote ni Richmonduli au kuna mmoja anampakazia au kumtumia mwenzie? Juzi nilisikia umoja wa vijana ukikoroma kuwa wazee ndiyo wanakwamisha chama chenu. Je nyie bado ni vijana au mmezeeka baada ya 1995?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie waraka huu kuzidi kuwahakikishia kuwa nitaendelea kuwaunga mkono katika mabaya na mazuri. Ila naomba kitu kimoja: msome alama za nyakati na mawazo ya watanzania hasa kipindi hiki ambapo wamechoka na usanii.  Kwa heshima na taadhima nahitimisha nikiwatakia mapambano mema yak u-survive. Maana tulipofikia hakuna cha rafiki wala nini bali kunusuru sura hata ziwe nzuri au mbaya kiasi gani. Nawatakia mapambano kwa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya na matokeo mapya.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Desemba 14, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2033536394525876363?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2033536394525876363/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2033536394525876363&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2033536394525876363'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2033536394525876363'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/barua-ya-wazi-kwa-kikwete-na-lowassa.html' title='BARUA YA WAZI KWA KIKWETE NA LOWASSA'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-qbDz2LmDnq0/TujmGuB6LXI/AAAAAAAABrw/87Cc97GZi80/s72-c/ewaki.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5064093764325388720</id><published>2011-12-14T10:03:00.000-08:00</published><updated>2011-12-14T10:13:02.922-08:00</updated><title type='text'>Kijiwe toka Abidjan na The Hague kwa Ocampi</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ninapoandika niko mjini the The Hague Uholanzi nikila mikuku. Ila huku ni winter baridi usiambiwe. Tunavaa mikoti mirefu hata glovu mikononi ili kuepuka baridi kutuuma kama wasemavyo wazungu. The cold bites wanasema.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nisiwacheleweshe mkaanza kusonya na kutukana gazeti utadhani ni mimi.  Baada ya Lwisi Mreno Ocampi kutaka rais wa zamani wa Cote di Vwaa, Profesa Laurent Gba-gboy aletwe hapa The Hague, kwa vile nami ni mwanasheria mwenzake tuliyesoma pamoja na kufundisha pamoja pale Harvard, alinipa mwaliko kuja kushuhudia  kimbembe.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kilichotusikitisha mimi na Ocampi ni ile hali ya kugundua kuwa kumbe Gbad- boy in profesa mwenzetu tena wa historia ila asiyejua kuisoma hiyo historia anayofundisha! Tulishangaa sana kugundua kuwa kumbe na mkewe Simone ni daktari lakini asiye na busara wala visheni ya kumshauri mumewe vizuri. Naye kwa ujuha wake alijifanya rais kwa vile mumewe alikuwa rais asijue madaraka hutoka kwa watu na si mali ya aliye naye. Maskini Simone hakujua kuwa madaraka ni kama koti! Hata kale ka msemo kuwa cheo ni dhamana hakakuwa na nafasi kwenye ubongo wake mfinyu kama panya.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulipoingia kwenye korokoroni au cell ya Gbad-boy alimofungiwa kama fisi tunduni, tulimkuta Gbad-boy ametoa mimacho kama panya aliyenaswa na mtego.  Ingawa alivaa suti, hakuwa sopu sopu kama tulivyozoea kumuona alipokuwa madarakani akipambwa na kupambika. Suti ilikuwa inampwaya na ndevu zake hazikuwa zimenyolewa vizuri. Kwa ujumla alikuwa shagrabagra. Kwa wanaokumbuka picha nzima ya siku aliponyakwa, wanakumbuka mkewe Simone alivyokuwa kachoka na kuzeeka tofauti na kimwana first lady tuliyezoea kumuona baada ya kuupara kwa vipodozi na vikodozi kama wafanyavyo wajilishaji pepo wetu madarakani.  Usingeamini kuwa kiumbe huyu aliwahi kuitwa mtukufu rais. Alikuwa amekonda na kuchakaa haraka huku akionyesha wazi kuchanganyikiwa akiishi kwenye kale na si leo. Maana nilipomuuliza kwa kifaransa: comment allez vous monsieur le president? Alijibu kwa kutabasamu akidhani kuwa bado yu rais na kusema: “Waliniogopa hadi kunileta huku kwa kunihadaa kuwa walikuwa wakinipeleka Abdjan kukutana na wanasheria wangu.” Ce tres mauvais alisema kwa kifaransa chake cha hovyo.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipiga swali jingine la kuuliza alipo mkewe. Alizidi kuchanganyikiwa asijue la kujibu. Ma femme? Yaani mke wangu, aliuliza? Baada ya kuona hili swali halina faida kwa wasomaji, nilibadilisha kibao na kumuuliza ni kwanini hakusoma alama za nyakati. Hili alilijibu vizuri. Kwani alikiri kuwa wapambe na waramba viatu wake walimchuuza na kumtumia asijue walikuwa na lao. Alisema: “Kaka Mpayukaji uliniambia ulipopita kwangu ukitokea Misri na Tunisia. Bado nakumbuka ushauri wako jadidi kuwa madaraka ni tunda la msimu hivyo nisiyachukulie kama urithi. Nakumbuka sana mon frère.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea: “Naomba ukitoka hapa uwambie wote wanaoringia na kutumia madaraka vibaya wajue kuna mwisho. Tena waonye wawaonye wake zao wasipende kutumia madaraka yao kama mali ya familia wakiiba na kunyanyasa watu kana kwamba hakuna mwisho. Wakumbuke sana walipokuwa bado hawajaingia madarakani ili wasifanye kama tulivyofanya.”  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilimuuliza kama ameishaonana na Chaz Teila. Alijibu kuwa yeye si mtu huru sawa na Teila hivyo kuonana si rahisi ingawa wamefungwa kwenye mahabusu jirani.  Wakati akiendelea kuongea Ocampi alinionyesha sero iliyondaliwa kwa ajili ya Omari Bishkir wa Sudani atakapotiwa mbaroni. Hawa jamaa kweli wanajua kukomoana. Maana hiyo sero unayoambiwa ni chumba kimoja kidogo, kitanda kidogo, choo ndogo na meza ndogo kwishnei. Huwezi kuamini kuwa rais aliyewahi kujinoma kwenye ikulu ya mamia ya vyumba angeishi kwenye tundu kama bundi. Badala ya kulindwa na ma-body guards, sasa Gbad-boy analindwa na askari magereza tena wanoko kama nini? Ule wakati wa kubebewa kila kitu kuanzia kalamu hata kitabu umepita. Gazeti lenyewe analipata likiwa limechelewa na maafisa magereza wanamchagulia asome nini na si kama zamani ambapo alikuwa na washauri wa mambo ya kipuuzi kama avae au kusoma nini na kwa wakati gani.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuongea na Gbad-boy nilishika pipa kwenda zangu Abidjan kuomba kibali cha kumhoji Simone Gbad-boy. Baada ya kukubaliwa kwa sharti la kutotaja aliposhikiliwa, nilipanda chopa na kwenda kumfanyia mahojiano mama huyu aliyedanganywa kwa kuitwa Hillary Clinton wa Tropiki yaani Hillary Clinton des tropiques. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo, nilipofika kwenye jela ambalo siwezi kutaja, nilimkuta bibi kizee tofauti na kwini niliyezoea kumuona kwenye runinga na magazeti aking’aa kama taa. Mvi zilikuwa zinashindana kujitokeza huku uso wa Simone ukijaa kunyanzi.kwanza nilishangaa. Kumbe hawa jamaa wenye madaraka wanatuhadaa! Kumbe sura za kuvutia tuonazao si zao bali mikorogo ya kawaida! Sikuamini macho yangu kuwa yule niliyekuwa nimepelekwa kumuona ni shemeji first lady Simone Bbad-boy daktari wa lugha na historia kusema ukweli.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sikuongea mengi na first lady huyu wa zamani kutokana na kuonekana alivyokuwa amepigika, hivyo nilimuuliza swali moja tu. “Una ushauri gani kwa ma-first ladies wengine wa Kiswahili?” Alitabasamu kwa shida na kujibu, “Wambie: madaraka yana mwisho na unaweza kuwa mbaya.” Nilimuuliza swali jingine kuhusu alivyokuwa akimtukana rafiki Barry Obby rais wa kwa Joji Kichaka akisema shame on you alimaanisha nini? Hakujibu. Nilimtolea picha yake akiwa amevaa matenge yaliyoshonwa mshono wa mwanamke nyonga. Aliziba uso wake kwa aibu na akaanza kulia kwa kwikwi na ukawa mwisho wa mahojiano yangu na Simone. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wanaojua vimbwanga vya wakubwa, huyu mama alikuwa na mamlaka kuliko hata rais wakati wa utawala wa mumewe. Alikuwa na biashara karibu kila kona kupitia NGO yake ya FPI. Aliiba kweli kweli. Lakini swali lililobakia, atakulaje hizo alizokwapua wakati yeye na mumewe wataozea gerezani huku mtoto wao mmoja akihukumiwa naye kwenda jela kwa kutumia madaraka ya dingi yake kama yake. Je wapo wangapi kama hawa huko vijiweni? Don’t quote me please when you name names.&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Desemba 14, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5064093764325388720?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5064093764325388720/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5064093764325388720&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5064093764325388720'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5064093764325388720'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/kijiwe-toka-abdjan-na-hague-kwa-ocampi.html' title='Kijiwe toka Abidjan na The Hague kwa Ocampi'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1179204341371143521</id><published>2011-12-12T18:33:00.000-08:00</published><updated>2011-12-12T20:06:31.673-08:00</updated><title type='text'>Kwetu wanapeana na kulilia nishani Chinua anazikataa!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-can2UvcFd6Y/Tua7T7lpahI/AAAAAAAABrk/GZKwtbiPdjE/s1600/chinua.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 225px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-can2UvcFd6Y/Tua7T7lpahI/AAAAAAAABrk/GZKwtbiPdjE/s400/chinua.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5685437530689333778" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika, rais Jakaya Kikwete aliwatunukia watu mbali mbali wakiwamo wanaofaa na wasiofaa nishani, nchini Nigeria gwiji wa fasihi Chinua Achebe amekataa nishani kama hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati kwetu watu wanahoji kwanini kwa mfano Spika wa bunge la sasa Anna Makinda amepewa nishani wakati hafai, nchini Nigeria mambo ni tofauti. Achebe alikataa nishani ya Commander of the Federal Republic award-nishani ya rais kwa madai kuwa mhusika hajashughulikia mambo muhimu ambayo Achebe ameataka yatekelezwe ambayo ni kupambana na ufisadi, umaskini na vurugu havijashughulikiwa. Achebe alitoa changamoto mwaka 2004 alipokataa nishani kama hii. Je ni nani ana ubavu wa kukataa nishani Tanzania ambapo nishani, shahada za kupewa na kughushi, kujuana katika ulaji na udugu ni madhambi yaliyohalalishwa. Waulize waliotoa na waliopokea nishani kama kuna mwenye udhu na ubavu wa kuhoji kama Achebe. Je Kikwete aliyeingia madarakani kupitia wizi wa EPA na Richmond ana udhu wa kuweza kutoa nishani yenye kuweza kuitwa nishani na kuheshimika? Kama anao basi anaweza kutoa nishani si kwa maana ya nishani bali kituko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa Achebe kitu muhimu si nishani bali matendo. Kwake rais mharifu ni mharifu sawa na kibaka. Tieni akilini na mtafakuri kwa kina. Je waliopewa nishani wamepewa nishani na mamlaka yenye udhu au wamepewa dharau na aibu? Inashangaza ni kwanini Rostam Aziz na Andrew Chenge hawakupewa nishani hizi zenye maana kinyume na tunavyoelezwa. Aibu ni kwamba marehemu Mwalimu Julius Nyerere amepewa nishani hii chafu na mikono michafu iliyoitoa! Kweli simba akifariki ngozi yake yaweza kugugunwa na panya. Imetokea tena Tanzania.Kwa habari zaidi, &lt;a href="http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-16048190"&gt;BONYEZA HAPA&lt;/a&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1179204341371143521?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1179204341371143521/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1179204341371143521&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1179204341371143521'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1179204341371143521'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/kwetu-wanapeana-na-kulilia-nishani.html' title='Kwetu wanapeana na kulilia nishani Chinua anazikataa!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-can2UvcFd6Y/Tua7T7lpahI/AAAAAAAABrk/GZKwtbiPdjE/s72-c/chinua.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2832826189495015321</id><published>2011-12-10T06:29:00.000-08:00</published><updated>2011-12-10T06:51:53.169-08:00</updated><title type='text'>Havuliwi mtu nguo wala gamba hapa</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Let me sing ye a song Lord &lt;br /&gt;Let me glofy ye Lord &lt;br /&gt;Kumbaya &lt;br /&gt;Oh Lord Kumbaya &lt;br /&gt;Let me sing ye a song Lord &lt;br /&gt;Let me show ye’re that great Lord &lt;br /&gt;Greater than any one in the world &lt;br /&gt;The world is thy Lord &lt;br /&gt;Everything is thine Lord &lt;br /&gt;Oh lord my Lord &lt;br /&gt;Kumbaya &lt;br /&gt;Kumbaya &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nisameheni jamani. Nimekumbuka zama zile nafundisha chuo kikuu cha Havard ambapo niliwafundisha watu kama Joji Kichaka (alikuwa kibonde sana), Toni Big Liar (alikuwa kipanga huyu), na wengine mashuhuri. Hayo tuyaache. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anyway, jana nilikunywa ulabu toka Uingereza nikiwa najipongeza kunusurika kuvuliwa gamba na nguo ukiachia mbali kuchomwa moto. Hivyo, kila saa naongea kiingereza. Najua wambea weshaanza kusema mashauzi na kujipa ujiko. Kwani kosa? Raha jipe mwenyewe na gamba uvae mwenyewe. Wanadhani naongea broken kama jamaa wa mjengoni. No, believe ye me. Nimepiga shule hadi nikakuta kibao kisemacho no more class, go home and drink coffee, dude.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa taarifa yenu niko serious. Hebu tuwe serious kidogo. Kwa haya mauzauza yaliyotokea juzi kwenye kijiwe ambapo mwenyekiti nilivishwa gamba na Ewassa mbwamwitu sijui kama wanywa kahawa wangekuwa na common sense wasingenyotoa roho tena kwa kunichoma moto au kunitia madole kama Kashafi kule Libiya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua kina mzee Machungi wakisoma hapa wataanza kuapa kwa miungu ya kisambaa wakijua wataninyotoa roho. Hapa utasikia miungu ya Zumbe Kimwei, Shekuza, Shehoza, Sheshatani na mazaga zaga mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wajua walevi walikuwa wamepania kumvua gamba Mbwamwitu. Kilichomsaidia si alinitaja kuwa ule wizi wa pesa ya makaa al maaruf Richmonduli uliasisiwa nami kupata pesa ya kuwahonga wanichague. Nilipoona jamaa kataka kumwanga mboga baada ya kutaka kummwagia ugali, ikabidi nimlinde ili wote tunusurike japo roho inauma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamaa alinichefua na kunichafua sina mfano. Hata hivyo, nilistuka japo sikuongopa kutokana na kujua wapinzani wangu nao njaa tupu. Kosa walilofanya ni kutojua kuwa kambale wote wana sharubu. Laiti wangejua hili wasingepoteza imani na muda kudhani mwenyekiti - gamba nene na kuu- ningemvua gamba mwenzangu. Walipoteza muda mwingi kumtafuta mchawi wakati mchawi anayewamaliza ni mimi. Walitaka kumsaka na kumchoma moto mwizi wasijue mwizi mwenyewe ni mimi niliyeshika kibiriti!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuondoa udhia, kabla ya kufanya kigwena chetu kilichofanyika Idodomya muhula huu, nilimtwangia simu Mbwamwitu na kupanga jinsi ya kuwatosa vidomodomo kina Mchunguliaji, maarufu Mapepe Ninaye na shoga yake Joni Chill. Tuliamua kuwa ili kuwakomesha wasichezee ulaji wetu tena, tuwageuzie kibao. Ili wasijue, tulikubaliana niue hoja ya kujivua gamba japo Mbwamwitu aliamua kunigeuzie kibao. Hata kama ni noma, sina mpango wa kugombea tena uenyekiti wa kijiwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile tunawajua walevi walivyopigika kiasi cha kuwa majuha, wangekubaliana na sanaa zetu bila kikwazo. Na kweli ndivyo ilivyotokea. Hata hivyo Mbwamwitu ameniumbua. Bahati nzuri, hata wale wapinzani wetu kijiweni, hawakukusikika wakitoa lau karipio na tamko la kulaani zaidi ya kuufyata. Isitoshe, tofauti ya vyama vyetu ni majina maana chama changu cha Nyama Ugali na Maharagwe (UNM), hakina tofauti na Chama cha wapinzani wangu kijiweni cha MT yaani Misheni Town au Mshiko Tosha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyama vyote ni vya ulaji. Na isitoshe wote ni wanachama wangu sema hupiga kelele njaa ikizidi. Ukiwamwagia kahawa na kashata wanaachia kila kitu na unajifaidia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanywa kahawa ni watu wa ajabu sana. Juzi ungewasikia wakihanikiza kuwa mie mwenyekiti wa kijiwe mzee mzima Mpayukaji wa Msemahovyo wa Waambie wa Watieakilini eti ningewatosa washikaji zangu wawili yaani Mbwamwitu al-maarufu Ewassa na Mkwapuaji maarufu Endelea Chenga, ungedhani walikuwa na hoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka majina mengi yalitajwa kuwa nyuma ya msukumo wa kuwavua gamba jamaa zangu. Nilisikia majina kama Msomimkatatamaa maarufu Sam Sixx na mengine makubwa kijiweni. Walichonga we wasijue mie mwenyekiti ni bingwa wa sanaa kuliko hata Njaa Kaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msianze kuchanganyikiwa bure na kuchanganyana kusema maneno ya nabii Mpayukaji ya kinabii sana kiasi cha kujaa mafumbo na lugha za kitume. Siku hizi kijiweni tunavuana gamba kama chama twawala chenye magamba mazito na manene.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha niwamegee mikakati yetu ya kuhakikisha havuliwa mtu nguo wala gamba. Kwanza, ili kuwapata walevi, tuliazimia kwenye vikao vyetu vya siri kuwa lazima tutengeneze adui ambaye atawachanganya kiasi cha kutotushughulikia. Adui tuliyemtengeneza ni kudai kuwa kijiwe chetu kinakabiliwa na upinzani mkubwa toka kwa wanywanywa wetu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo, badala ya kushughulikia ufisi, tulikuja na sanaa ya kudai mshikamano. Na hili lilipita bila kupingwa. Maana kama walevi wangejua tulivyokuwa tunawachezea mahepe, baada ya kugundua kuwa kumbe mimi mwenyekiti ndiye gamba kuu, wangeazimia kunitimua tena kwa kunivua gamba na nguo na kunizomea hata kunichoma moto kama kibaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mana kwa niliyowafanyia sina tofauti na kibaka. Walivyo wa hovyo, hata Mbwamwitu aliposema kuwa nilikuwa nyuma ya ujambazi wa Richmonduli, hawakutaka kujua zaidi zaidi ya kutoa toa mimacho kama kunguru aliyenaswa na mtego! Hawa kweli wazima?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo stori ni fupi sana. Kigwena chetu kiliisha kwa kuwafunga kamba walevi kuwa tutavuana magamba kupitia utaratibu wa kijiwe. Hakuna kitu kama hicho. Sana sana tutalipana pesa zaidi ya kahawa kujiandaa kumtawaza Mbwamwitu Ewassa kuwa mwenyekiti wa kijiwe baada ya mie kuachia ngazi hapo baadaye. Hivyo, kwa taarifa yenu ni kwamba walevi mtaendelea kuliwa na sisi wale wale.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile mimi ni bonge ya mjanja, ngoja nimtwangie Mbwamwitu simu aje tuzidi kukamata manywaji tukijipongeza kwa kuwaingiza walevi mkengeni kwa mara nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sappy tearjecker may be a creep or spooky drama; it all depends on you guys. What a tug-along that this thing is! Mizengwe sure.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kina Mapepe Ninaye, Sam Sixx, Braza Joni Chill na mashambenga wote mkome. Sisi chata la Mizengwe nambari wani ati! Kulaleki ninasepa! Mungu ibariki Danganyika wazidi kudanganyika. Kafu mshirika upo hapo? Nasema havuliwi mtu gamba wala nguo.&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Desemba 7, 2011.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2832826189495015321?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2832826189495015321/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2832826189495015321&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2832826189495015321'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2832826189495015321'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/havuliwi-mtu-nguo-wala-gamba-hapa.html' title='Havuliwi mtu nguo wala gamba hapa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8820572673807581547</id><published>2011-12-08T13:29:00.000-08:00</published><updated>2011-12-08T15:35:54.215-08:00</updated><title type='text'>Wanaopenda kupeleka watoto kusoma Kenya na Uganda mmeliwa na soma hapa</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Utafiti uliofanyika hivi karibuni umeonyesha kuwa mfumo wa elimu wa Tanzania si mbaya kama wengi wetu wanavyoamini. Katika utafiti uliofanywa kwenye nchi za Afrika Mashariki na Kusini umegundua kuwa Mauritius inaongoza na kufuatiwa na Kenya kwenye Hisabati lakini inazidiwa kwenye kusoma na nchi za Tanzania, Seychelles, Mauritius na Swaziland mtawalia kwenye sanaa za usomaji.&lt;br /&gt;Hivyo, wale wanaofuja watoto na pesa zao kuwapeleka watoto wao Kenya na Uganda wajue wameliwa haswa. Katika utafiti huu nchi za Zambia, Malawi, Namibia, Lesotho na Uganda mtawalia, zimeonyesha kufanya vibaya katika nyanja zote.&lt;br /&gt;Hivyo, tunaweza kuhitimisha tukiwashauri wenye imani mfu kuwa elimu yetu ni mbaya na inazidiwa na ile ya Kenya na Uganda kufikiri upya.&lt;br /&gt;Tuliwahi kuandika kuwa wakenya wengi hupeleka watoto wao Uganda huku watanzania wakipeleka kote Kenya na Uganda. Sasa wahusika mnataka nini zaidi? Kwa habari zaidi &lt;a href="http://www.nation.co.ke/News/Kenyan+pupils+top+in+Africa+/-/1056/1286490/-/c3v3tpz/-/index.html"&gt;BONYEZA HAPA.&lt;/a&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8820572673807581547?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8820572673807581547/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8820572673807581547&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8820572673807581547'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8820572673807581547'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/wanaopenda-kupeleka-watoto-kusoma-kenya.html' title='Wanaopenda kupeleka watoto kusoma Kenya na Uganda mmeliwa na soma hapa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3629259902108215395</id><published>2011-12-07T06:13:00.001-08:00</published><updated>2011-12-07T06:19:14.959-08:00</updated><title type='text'>Breaking News Rais aanza kutumikia kifungo gerezani</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-IiG56ULx5Ro/Tt911K8PFBI/AAAAAAAABrY/a6eDLqRHe_Q/s1600/thumbnailCAIRG1IS.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 194px; height: 112px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-IiG56ULx5Ro/Tt911K8PFBI/AAAAAAAABrY/a6eDLqRHe_Q/s400/thumbnailCAIRG1IS.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5683390811095372818" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-mjrPlpVfEyU/Tt910xYKwII/AAAAAAAABrM/inKfAD1iuHM/s1600/thumbnail.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 168px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-mjrPlpVfEyU/Tt910xYKwII/AAAAAAAABrM/inKfAD1iuHM/s400/thumbnail.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5683390804233207938" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-ylvWeEwpKEM/Tt910vl-kYI/AAAAAAAABrA/gI5LTB-v2eA/s1600/kat.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 278px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-ylvWeEwpKEM/Tt910vl-kYI/AAAAAAAABrA/gI5LTB-v2eA/s400/kat.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5683390803754258818" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;R&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;ais wa zamani wa Israel Moshe Katsav (66) ameanza kutumikia kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la kubaka. Katsav alifikishwa kwenye gereza la Maasiyahu jana kuanza kutumikia adhabu yake hiyo. Kwa habari zaidi,&lt;/span&gt; &lt;a href="http://http://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-16064840"&gt;BONYEZA HAPA.&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3629259902108215395?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3629259902108215395/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3629259902108215395&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3629259902108215395'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3629259902108215395'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/breaking-news-rais-aanza-kutumikia.html' title='Breaking News Rais aanza kutumikia kifungo gerezani'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-IiG56ULx5Ro/Tt911K8PFBI/AAAAAAAABrY/a6eDLqRHe_Q/s72-c/thumbnailCAIRG1IS.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3999178751610061379</id><published>2011-12-05T09:43:00.000-08:00</published><updated>2011-12-05T09:45:18.372-08:00</updated><title type='text'>Muuza gongo avishwa gamba Lake</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wenzenu baada ya kuona wenzetu kule Idodomya wakidanganyana na kuudanganya umma kuwa wanaweza kufua nguo zao na kuosha miili yao watakata na harufu iwatoke, sisi wanywa gongo tuliamua kufanya kweli.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na kuonekana kama hatuna akili kutokana na ulevi, muuza gongo wetu mama Betty na Mumewe Baba Jaki wamekuwa wakuibia pesa kila uchao. Mtu akishapiga kanywaji na kukamatika wao wanapiga sachi. Yesu! Utamsikia mama Betty akijisemea utadhani ana dini. Kweli siku za mwizi arobaini. Ikifika ya arobaini na moja ananaswa kama alivyonaswa baba Jaki hivi karibuni pale walevi tulipoamua kumvisha gamba.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa tunawashuku wauza gongo kuwa wezi wetu, tulijua fika mlevi mwenzetu aitwaye Edhard Ruwasha alikuwa ndiye mshirika mkuu wa baba Jaki. Maana, licha ya kuwa marafiki wa muda mrefu, wote wanasifika kuwa na tabia ya udokozi. Hivyo, basi, kumkamata baba Jaki, tulitishia kumchoma moto Edhard baada ya kugundua wizi mkubwa wa pombe zetu. Purukushani iliyofumka pale usiambiwe. Sikujua kuwa walevi kuna kipindi wanakuwa na akili kuliko hata walokole. Maana jeuri waliyo nayo si kutokana na gongo tu bali hata aina ya maisha wanayoishi.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Edhard akiwa hana hili wala lile, si Mzee Jongomeza akalianzisha. Alianza kwa kusema, “Jamani, mmesikia  Chama Cha Magamba na Makobe (CCMM).” Hii ni CCMM. Tafadhali msiichanganye na kile chama tawala tusije kutoana macho bure. Najua ukikitaja kila mandata yatavamia kambi yetu na kuvuruga kila kitu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea, “Nasi hapa tuna magamba lazima leo yavuliwe piga ua.” &lt;br /&gt;Mlevi Kambwiriri aliungana na wazo la Mzee Jongomeza. Alisema, “Mwanangu umenena hapa. Maana nasi hapa kambini tuna magamba manene kama ya CCMM. Lazima leo yavuliwa na kuchomwa moto ili tuanze kula vyetu kwa usalama na raha zetu.”  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ufupi ni kwamba, baada ya kusikia Chama Cha Makobe au Magamba kuja na mkakati wa kisanii wa kuvishana magamba na kuvuana nguo kwa kisingizio cha kuvua gamba, nasi walevi tuliona hii ndiyo nafasi adimu ya kuvuana magamba kwenye manywaji yetu. Tulipania wadokozi wote wa mapupu na utumbo pale mezani wapewe vipande vyao bila kumsaza baba Jaki anayetumalizia vyetu akishirikiana na Ruwasha. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulipoanza kupiga zegere si baba Jaki kajiingiza akijifanya mtu mwema kutaka mhusika achomwe moto asijue naye ni mmoja wapo. Baada ya Ruwasha kuona anaweza kuwashwa akaamua kumwaga mtama. Alisikika akisema, “Jamani mnanionea na mtaninyotoa roho bure. Mei huwa natumwa na baba Jaki mwenye mali zake. Mie kweli ni kibaka lakini mipango yote ya kuwachomolea vijisimu na fedha hufanywa na baba Jaki mwenyewe.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alimgeukia baba Jaki na kusema, “Baba Jaki, kweli tunafanyiana hivi ndugu yangu wakati vyote nichomoavyo huvichukua wewe na kuishia kunipa gongo kidogo?” &lt;br /&gt;Baba Jaki anainama chini akitafuta jinsi ya kujitetea.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kujibu, Ruwasha anaendelea, “Baba Jaki hujui kama siyo mimi kutunza siri zako ungeishakufa zamani? Kumbuka mwaka jana ilipoibiwa simu ya mlevi wa kizungu ya bei mbaya walevi walikushuku na kama si mie kuuchuna unadhani ungekuwa hapo zaidi ya kaburini?”   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wote tulipigwa butwaa kwa ufunuo wa Ruwasha ambaye mara zote alipotuhumiwa alikuwa akikaa kimya tusijue ana mengi. Nakumbuka kipindi kile ilipoibiwa simu ya bei mbaya ya mtasha, Ruwasha alipigwa nusu kufa. Nakumbuka walevi walisema kuwa alipokea kipigo chote hicho na kuhimili ili kumlinda baba Jaki ambaye kumlipa fidia alikuwa akimpa mapupu kila alipokuja kupata kanywaji. Kutokana na tabia ya Ruwasha kumlinda baba Jaki, walevi walifikia kutoa hitimisho kuwa hata baba Jaki akiamua kumchukua mke wa Ruwasha asingemfanya kitu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa juzi Ruwasha alipoamua kuzoboka mbona wengi tulipigwa na kihoro si kawaida ingawa tulijua baba Jaki ni kibaka lakini hatukutegemea Ruwasha amvishe gamba lake kirahisi na haraka hivi hasa ikichukuliwa kuwa Ruwasha siku zote alikuwa akionekana mdumizi wa kawaida. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati kimbembe kikiendelea, si baba Jaki akataka kutuingiza mkenge, aliamua kuweka muziki wa Katitu ili midundo yake ituchanganye tusimdunde.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo haikufua dafu. Kwani  mlevi Mgigisi  aliamua kuanza kumtwisha baba Jaki mandoo na mitama kama hana akili nzuri. Jamaa alimkwida na kuanza kumtembezea kichapo si kawaida. Mkewe mama Betty kuona hali imechafuka, alikusanya pesa aliyokuwa keshapata na kuishia mitini huku akiacha mmewe anapigwa kama kibaka. Na kama si busara za mzee Mburuma, basi baba Jaki angekuwa maiti. Maana walevi walishaamua kumtia moto baada ya kumvisha gunia ambalo lilichukua nafasi ya gamba. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama si baba Jaki kuapa na kuahidi kuwa hatarudia na ataendelea kutupa gongo bure walevi, angekuwa marehemu au mwendazake kwa lugha za kimambasa.  Amshukuru Mungu kuwa walevi wakiona gongo akili zao huruka kichwani na kubakia wapwakiaji wa kawaida kama ilivyotokea. Hata hivyo, kwa adhabu na kipigo alichopata baba Jaki, nadhani wote wenye tabia kama yake popote walipo wamepata somo. Hata kama wapo wenye tabia chafu kama zake wanaoendelea kupeta kutokana na waathirika wao kuwa majuha, arobaini yao ikifika watachapwa vilivyo. Kipopo chawangoja. Kunusurika kipigo na kuvishwa gamba na gunia ni kuachana na ujanja wa kizamani wa mbuni kumuona adui akafutika kichwa ubawani akidhani na adui atakuwa juha kama yeye. Je wako wangapi wanaowafanyia walevi wao vitu kama hivi? Naona yule anasoma na kusonya kutokana na chama chake kuwa na tabia kama hiyo. Hapa dawa si kusonya au kumchukia mlevi bure. Dawa ni kutia akili na kujua watu wanabadilika. Mwenye masikio na asikie na mwenye akili na atie akilini mapema kabla hajavishwa gamba na kutwishwa mindoo huku akikatwa mtama. Tena wengine ni  waheshimiwa. Yakiwakuta haya watakufa kwa ugonjwa wa moyo kama baba Jaki ambaye tangu aumbuliwe anaonekana mwenye mawazo mengi. Hata zile bashasha zake zimetoweka na nafasi yake imechukuliwa na aibu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile nimechonga sana, ngoja nikapate lau chupa moja nizimue akili. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Dira Desemba 5, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3999178751610061379?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3999178751610061379/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3999178751610061379&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3999178751610061379'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3999178751610061379'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/muuza-gongo-avishwa-gamba-lake.html' title='Muuza gongo avishwa gamba Lake'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3992285258870812106</id><published>2011-12-03T09:34:00.000-08:00</published><updated>2011-12-03T09:44:36.446-08:00</updated><title type='text'>Picha za karne kwa Blog hii</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-DImF96DStXo/TtpfbWxmZTI/AAAAAAAABqo/-Xwi-PFGLkA/s1600/gba.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 202px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-DImF96DStXo/TtpfbWxmZTI/AAAAAAAABqo/-Xwi-PFGLkA/s400/gba.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5681958803456025906" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-cayvDnbFiIY/Ttpf8xakxQI/AAAAAAAABq0/S-RWDxf6VV0/s1600/Gaddafi_violentimage_AFP.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 229px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-cayvDnbFiIY/Ttpf8xakxQI/AAAAAAAABq0/S-RWDxf6VV0/s400/Gaddafi_violentimage_AFP.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5681959377542890754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Laiti walioko kwenye foleni ya kumfuata Gbagbo wangeangalia picha hii mara kwa mara na kutafakari mara kwa mara. Ni upuuzi kiasi gani kufikiri kama Gbagbo aliyetawaliwa na mkewe asijue anapotoshwa. Nyerere aliwahi kuonya juu ya marais kutawaliwa na wake zao. Yuko wapi mr Clean Ben Mkapa aliyeishia kuwa mr Filth? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye mwendazake Muammar Gaddafi alipoambiwa ya Misri na Tunisia yaja alicheka sana na kusema, "Hii ni Libya." Alimaanisha haya hayawezi kumkuta asijue yatamkuta tena baada ya muda mfupi na kwa namna ya kutia aibu na kusikitisha. Tieni akilini wakati tukimaliza mwaka huu.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3992285258870812106?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3992285258870812106/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3992285258870812106&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3992285258870812106'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3992285258870812106'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/12/picha-za-karne-kwa-blog-hii.html' title='Picha za karne kwa Blog hii'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-DImF96DStXo/TtpfbWxmZTI/AAAAAAAABqo/-Xwi-PFGLkA/s72-c/gba.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1382567878079643482</id><published>2011-11-30T08:40:00.001-08:00</published><updated>2011-11-30T08:40:56.860-08:00</updated><title type='text'>Lowassa kajivua gamba, kamvika mwenye gamba</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HAKUNA ubishi kuwa Rais Jakaya Kikwete alipokuja na dhana ya kujivua gamba, alilenga kutua mizigo ambayo imemwia mizito tangu alipoingia madarakani.&lt;br /&gt;Kwa mawazo yake, alidhani mizigo hiyo ni swahiba wake, Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge. Lakini kwa kadiri Rais Kikwete alivyoutega mtego wake, umemnasa hata kabla wale aliowalenga hawajanaswa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Kikwete akiandaa mtego alisahau kitu kimoja. Alisahau kuwa alioutega kwenye njia moja hiyo hiyo ambayo alitaka kupitia kurejea salama nyumbani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, angeleaje nyumbani kupitia njia hiyo hiyo asiutegeu mtego au asinaswe nao? Sasa si siri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lowassa amemvisha gamba Rais Kikwete kiasi cha kushindwa kuelewa gamba ni nani na nani si gamba. Ingawa Lowassa amejitetea kuhusiana na Richmond, bado hawezi kukwepa kunaswa na mtego wa marehemu baba wa taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wanaofuatilia hali ya mambo na jeuri ya akina Richmond hadi walipojibadili jina na kuitwa Dowans, wamepata siri ya jeuri yao. Kwa maneno ya Lowassa, hakuna shaka yoyote Richmond-Dowans ni Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu tunukuu baadhi ya maneno yake. “Mwenyekiti utakumbuka kwamba mimi nilishaamua kuvunja mkataba wa Richmond mapema, lakini baada ya kukupigia simu ukiwa katika safari nje ya nchi ulisema tusubiri, kwani ulikuwa umepata ushauri wa makatibu wakuu wa wizara, sasa leo hii ninahukumiwa nakuitwa fisadi kwanini?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, Rais  Kikwete aliingilia mchakato mzima bila faida binafsi? Je, anayevunja kanuni na kuvuruga utawala wa sheria anafaa kuendelea kuongoza nchi ambayo kimsingi anaikwamishwa kwa sababu zake binafsi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa hakuna shaka kuwa kitendo cha Rais Kikwete kumzuia Lowassa kuvunja mkataba kililenga kulinda masilahi fulani ya rais ambayo hata hivyo hayatajwi kwenye utetezi huu jadidi wa Lowassa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, tujiulize swali moja, kwanini utetezi huu haukutolewa mapema? Jibu analitoa Lowassa kuonyesha kuwa la Rais Kikwete na Lowassa ni moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anasema,  “Nilijiuzulu kuwajibika kwa ajili ya kuilinda serikali yangu na kwa heshima ya chama changu, sasa kwanini leo nahukumiwa kwa jambo hili, tena natukanwa na wana CCM wenzangu na si wapinzani nchi nzima kwamba mimi eti fisadi?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa jinsi Lowassa alivyoyapanga maneno yake, kwanza anataka aonewe huruma kama mbuzi wa shughuli tuseme alitolewa kafara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, anataka kumkumbusha Kikwete kuwa asingejitoa kuubeba msalaba wake naye Rais Kikwete kwa pamoja wote wangekuwa msalabani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia ni taarifa kwa Rais Kikwete wakati wake naye kubeba msalaba wa Lowassa ni huu. Na kweli, Lowassa amefanikiwa kuzima harakati na shinikizo la kuvuliwa nyadhifa zake na kuadhirika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Laiti Rostam Aziz asingefanya papara, naye angegoma. Maana mgomo na ushawishi na siri vya Lowassa havikumwokoa peke yake bali hata mwenzake Chenge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, hoja ya Lowassa ina mashiko kuwa magamba ndani ya CCM si mawili wala matatu bali wote. Hali inakuwa mbaya zaidi gamba kuu linapokuwa rais na mwenyekiti wa CCM ambaye kwa kiasi fulani anaweza kuonekana mnafiki kuanzisha harakati hii bila kujua kuwa naye ni sehemu ya gamba tena nene kuliko yote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, Lowassa amefanikiwa  kuvua gamba lake na kumvisha mwenye gamba. Tumesema. Lakini hatukusikilizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine ambacho Lowassa amefanya ni kuthibitisha ukweli wa madai ya Dk. Willibrod Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA aliyetoa orodha ya mafisadi kule Mwembe Yanga ikiongozwa na Rais Kikwete mwenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete alijitahidi kutojibu tuhuma za Dk. Slaa akidhani zitajifia na kuwang’ang’ania wenzake, asijue ikifika siku ya kifo kila mtu atapambana kuokoa nafsi yake kama alivyofanya Lowassa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo tuhitimishe kwa kusema kuwa mchawi aliyekuwa akitafutwa na CCM kumbe ni mwenyekiti wao! Je, Rais Kikwete ameelewa amedhalilika kiasi gani kwa kuwahadaa watu wake kuwa anaweza kupambana na ufisadi wakati yeye pia ni kati ya watuhumiwa wa ufisadi huo huo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumalizie kwa maneno mengine ya Lowassa. Anasema, “Mwenyekiti nikukumbushe mwaka 1997 kule Zanzibar, kina mzee Daudi Mwakawago walikuja na mafaili yakiwa na tuhuma dhidi ya mtizamo hasi wa jamii dhidi yako, kwa hiyo wakati ule kama si busara za kina mzee Mkapa (Benjamin) leo usingekuwa hapo ulipo.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hii ina ujumbe mahususi kuwa Rais Kikwete asijisahau. Pili, ni kumkumbusha kuwa, licha ya kuchafuka kiasi cha kutotamanika, bado ana rungu la urais ambalo anaweza kutumia kumwokoa Lowassa ili aweze kuendelea na mbio zake za kuusaka urais mwaka 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli huu umo kwenye maneno haya ya Lowassa, “Mwenyekiti nikukumbushe jambo jingine, kule Zanzibar mwaka 1997 walipoleta tuhuma za mtizamo wa umma dhidi yako, ulisema kwamba kuwa rais ni mipango ya Mungu.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wanangojea kuona kitu gani kingine atafanya Kikwete kuepuka aibu hii. Pia hapa ndipo siri ya kuenguliwa kwa spika wa zamani na Waziri wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samuel Sitta inapojulikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana, kimsingi, Bunge ilipaswa likae na kuangalia kashfa ya Richmond upya pamoja na ukweli kuwa rais na Lowassa (waziri) mkuu licha ya kulidanganya Bunge na taifa, walificha ukweli kwa faida zao binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika, huu ni mtihani mwingine kwa Spika wa sasa Anne Makinda na tuhuma kuwa alipachikwa pale kufua nguo chafu za serikali.  Ajabu ya maajabu, bado magamba haya yanawafuatafuata kina Sitta kutaka kuwaadhibu pale ambapo wanapaswa kuadhibiwa wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, wabunge wetu nao watakubali kugeuzwa nepi za vigogo Ikulu? Pia kuna haja ya kuangalia upya hata haya malipo ya Dowans bin Richmond. Maana kutokana na shutuma hizi mpya ni kwamba anayelipwa ni mwenzetu na watu wake na ndiyo maana hataki kutetea wananchi dhidi ya ujambazi huu wa mchana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika Kikwete naye tuseme ni gamba. Anapaswa kujiwajibisha au kuwajibishwa mara moja kutokana na tuhuma hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ndipo upinzani unapopaswa kuachana na majadiliano na kuingia mitaani ili haki itendeke - kieleweke. Kazi kwetu.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Nov. 30, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1382567878079643482?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1382567878079643482/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1382567878079643482&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1382567878079643482'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1382567878079643482'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/lowassa-kajivua-gamba-kamvika-mwenye.html' title='Lowassa kajivua gamba, kamvika mwenye gamba'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6130166599675435454</id><published>2011-11-30T08:37:00.001-08:00</published><updated>2011-11-30T08:40:09.074-08:00</updated><title type='text'>Mwenye Richmond kafunuliwa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-YprzwjAr2aw/TtZcQOhrM0I/AAAAAAAABqY/QaucnMh_5Kk/s1600/is.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 128px; height: 95px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-YprzwjAr2aw/TtZcQOhrM0I/AAAAAAAABqY/QaucnMh_5Kk/s400/is.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5680829413821461314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-i-LGP5Dr3xE/TtZcQAMffRI/AAAAAAAABqQ/D3YCIpPeJnk/s1600/Katuni%2B8.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 319px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-i-LGP5Dr3xE/TtZcQAMffRI/AAAAAAAABqQ/D3YCIpPeJnk/s400/Katuni%2B8.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5680829409974517010" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BAADA ya kuomboleza kifo cha rafiki, kipenzi na ndugu yangu Ya Mlamali bin Mohammad bin Abdussalaamu bin Humahidi bin Abu Minyaaaar bin Humahid bin Nairal al Fusso  Kashafi, sasa umefika wakati wa kusoma hitma yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo wiki hii wanywa kahawa watakunywa kahawa na kula kashata bure ili kumkumbuka mwenzetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo katika kumkumbuka ndugu yetu huyu, nitatumia fursa hii kujirekebisha na kurekebisha baadhi ya mambo kuhusiana na ninavyotawala kijiwe. Hivyo, huu utakuwa ni wakati mkubwa wa kutafakari mustakabali wa kijiwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kufanya tafakuri jadidi nitafanya baadhi mambo ambayo nataka kila mwanakijiwe ajue.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mosi, nitakomesha kuendesha kijiwe kama mali ya familia au shamba la bibi. Mke wangu na kitegemezi changu na walamba viatu wote kijiweni nimeishawaambia kuwa nitawavua magamba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mie sitaogopa kama wale wanyama wenye magamba wanaoogopa kuvuana magamba.  Niseme wazi. Hata gamba liwe nene kiasi gani nitalivua bila woga wala kuzungusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna cha gamba kugomea kiunoni wala urafiki wa chumbani wala barabarani kama wale. Maana nimejifunza kuwa kutawala kwa kutumia ukoo, kujuana, udini, uanachama na kulipana fadhila hauna tija na kama tija ipo si nyingine bali mauti tena ya aibu kama yaliyomkuta rafiki yangu Kashafi ya kuuawa kama kibaka mwizi wa kuku wakati alikuwa mtu mkubwa tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimeamua vitegemezi vyangu vijitafutie kama nilivyojitafutia badala ya kuniganda mgongoni kama kupe.  Mbona vitegemezi vya mzee Mchonga vimejitafutia na vinaheshimika? Hakuna haja ya ukupe bila sababu tena kwa mgongo wa wanywa kahawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata bi mkubwa nimempa wazi kuwa ukupe mwisho. Niko tayari hata kumtaliki kama hatataka kubadilika na kuachana na ukupe. Mbona bi mkubwa Mary Mchonga anaishi tena kwa heshima? Kwani yeye ni nani aishi kama kupe wakati kupe mwenyewe anategemea damu ya ng’ombe. Bila ng’ombe kupe hana damu. Ng’ombe akiamua kukanyaga na kumsagasaga kupe hana wa kumzuia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine ambacho nataka kieleweki ni kwamba nitawapuuzia waramba viatu wangu ambao wengi ni vibaka tu wanaonitumia. Maana likibumburuka na siku yangu ikitimia  hawatabeba msalaba wangu nami zaidi ya kunigeuka kama akina Jibirili walivyomgeuka Kashafi na sasa kuula wakati wao hao hao ndiyo waliokuwa wakimtukuza na kumwambia uongo asijue walikuwa wakimchuuza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa kina Ewassa wangu na Endelea Chenga nasema mlie na mliwe tu. Lazima niwavua magamba bila kuoneana aibu. Nitatumia staili ya kumuua nyani bila kuwaangalia usoni ili nisiwasamehe. Nasema muelewe. Mie si mwoga wala msanii. Nitafanya kweli potelea mbali liwalo na liwe-lazima magamba yavuliwe hata kama ni kwa kuchana ngozi ya mtu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na katika hili sitaitisha vikao vya woga na upotezaji pesa za umma wa wanywa kahawa. Nitaamka kama chizi nakwenda kijiweni na kutangaza kuwa fulani na fulani na fulani na fulani nimewatimua uanachama wa kijiwe. Finish. Nisikie mtu akifanya fyoko atajua kama kahawa ni mma au maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine ambacho nimejifunza toka kwa Kashafi ni kuishi kwa kujilisha pepo na kupuuzia ukweli nisijue hautanipuuzia wala kunisamehe. Avumaye baharini papa nimegundua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikiendelea kujilisha pepo wakati wanywa kahawa wakizidi kuishi kwa upepo kama magurudumu ya gari na baiskeli wataninyotoa roho siku moja tena kama kibaka. Aku! Singoji yanikute kama Kashafi mie.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine ninachoapa kuachana nacho ni usanii na ubabe. Hauna tija zaidi ya kuwafundisha wanywa kahawa ubabe halafu wanigeuzie kibao kama alivyofanyiwa Kashafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine ambacho nimejifunza toka kwa Kashafi na ninakitafakari kwenye hitma yake ni ukweli kuwa kila chenye mwanzo shurti kiwe na mwisho. Isitoshe, nimegundua kuwa unaweza kuwafanya watawaliwa mafala nao wakazuga kwa kujifanya mafala kumbe wanapanga kukunyotoa roho tena kinoma kama walivyomfanyia swahiba na ndugu yangu Kashafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Singoji yanifike. Heri nionekane mwoga nipone kuliko kujifanya jabali na mbabe nikaishia kunyotolewa roho nikimwaga michozi kama kichanga kama alivyofanya Kashafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi nilimsikia mwanae akiongea habari za ki-al-Qaida akisema eti alijeruhiwa na makafiri na si wapendwa wake wa Libya! Kweli za mwizi zikifika-utasikia kila kitu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anadhani Walibya ni mafala wa zama zile za dingi wake. Too late dear, those guys are going to send you to the gallows just soon son. Zamu yenu ya kutesa kwishnei bwana mdogo Sefu al Islaaaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine nilichojifunza ni kwamba ngurumbili hawatabiriki wala kuaminika. Ni makosa kuwatabiri na kuwaamini kiasi cha kuwafanyia utakavyo ukidhani ni wanyama kumbe wanadeku kila kitu na kukuchora na kukusanifu hasa siku wakikupata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuwa muwazi na mdemokrasia Kung’atuka kama mzee Mchonga ili nising’ang’anie na kuishia kunyotolewa roho kama kibaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumalizie na kutoa somo kuwa katika hitma hii tumejifunza kuwa kumbe Richmonduli wapo wawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzee mzima hatimaye amefichuliwa kuwa ndiye kila kitu na kama ni kuvuana magamba basi avuliwe yeye kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana ushahidi wote umemwingiza na kumbana vilivyo. Kwa vile jamaa ni bingwa wa sanaa na wadanganyika ni wapenzi wa sanaa huenda atanusurika. Ila hali ilivyo, enough is enough.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haiingii akilini kama watanusurika badala ya kukashafiwa tena kwa aibu zaidi ya Kashafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha niishie nijiandae kwenda Tahrir Square kudai Njaa Kaya na Ewassa na hata Makidamakida wao wawajibishwe kwa kutiwa kitanzini na kuzomewa kuliko hata Kashafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasikia ving’ora vyake. Acha nianze kuzomea. Hilo, hilo, gamba kuuu,  kubwa. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo:Tanzania Daima Nov. 30, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6130166599675435454?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6130166599675435454/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6130166599675435454&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6130166599675435454'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6130166599675435454'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/mwenye-richmond-kafunuliwa.html' title='Mwenye Richmond kafunuliwa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-YprzwjAr2aw/TtZcQOhrM0I/AAAAAAAABqY/QaucnMh_5Kk/s72-c/is.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4741362808130484735</id><published>2011-11-29T13:11:00.000-08:00</published><updated>2011-11-29T13:14:36.105-08:00</updated><title type='text'>Siku kanisa lilipomuasi bwana na kudondokea mfukoni</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-YZtnhuqKkyg/TtVLNuOVzEI/AAAAAAAABqE/u_hEdVtArIk/s1600/askofu.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-YZtnhuqKkyg/TtVLNuOVzEI/AAAAAAAABqE/u_hEdVtArIk/s400/askofu.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5680529204116311106" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Edward Lowassa mtuhumiwa mkuu wa ufisadi chamani mwake, amebadili mbinu ya kuusaka urais. Ameamua kuwatumia viongozi waroho na vipofu wa kidini walioishiwa roho  mtakatifu na kujaa roho mtakakitu.&lt;br /&gt;Kama kondoo, wanaswagwa kwenda wasikojua isipokuwa matumbo yao. Bahati mbaya sana, mbwamwitu hawa wanataka na kuwaburuza kondoo huko kwa mafisi? Je anachofanya Lowassa si udini wa wazi wazi? Mbona hatumuoni akichangia misikiti? Je makanisa yamefilisika kiakili na kiuchumi kiasi cha kujengwa kwa kutegemea pesa chafu? Tunaipeleka wapi jamii iwapo wanaodhaniwa kuwa viongozi wa kiroho wamegeuka kuwa viongozi wa uroho? Kesho Kikwete akianza kumwaga pesa misikitini maaskofu waanze kumshambulia wakati wako kitanda kimoja na udini na ufisadi vinavyonuka hakuna mfano?&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4741362808130484735?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4741362808130484735/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4741362808130484735&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4741362808130484735'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4741362808130484735'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/siku-kanisa-lilipomuasi-bwana-na.html' title='Siku kanisa lilipomuasi bwana na kudondokea mfukoni'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-YZtnhuqKkyg/TtVLNuOVzEI/AAAAAAAABqE/u_hEdVtArIk/s72-c/askofu.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-9096164301279437606</id><published>2011-11-28T07:05:00.000-08:00</published><updated>2011-11-28T07:07:53.950-08:00</updated><title type='text'>Mlevi akata rufaa kwa papa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-ObYQwKWn_as/TtOjs6MHQLI/AAAAAAAABp4/xvKB-C64FwQ/s1600/pope"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 270px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-ObYQwKWn_as/TtOjs6MHQLI/AAAAAAAABp4/xvKB-C64FwQ/s400/pope" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5680063546973962418" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Barua kwa mheshimiwa sana papa Benedicto wa 16, &lt;br /&gt;Kwanza nakusalimia kwa jina la Yesu. Naamini hujambo pamoja na watu wako hapo Vatikano. Wenzako huku Uwanja wa Fisi na Bongo kwa ujumla hatuna hali hata hivyo gongo tunapata ingawa polisi wanatusumbua kwa kututoa upepo.  Mambo yamezidi kutubana kama mikanda huku wanaotwambia tufunge mikanda wakifungua hata zipu. Wanaitana magamba, mafisi, mafisiahadi na majina mengine ya ajabu ajabu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kukueleza kilichonisibu na kunisukuma kukuandikia waraka huu, ngoja kwanza nikueleze kuwa mie ni msomi lakini asiye na kazi wala hali bali kujinywea gongo lau nipunguze mateso na mawazo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa papa nisamehe. Ngoja kwanza nielezee uzoefu wangu na hali ilivyo kwangu kama kielelezo cha walio wengi katika kiza na mateso yasiyomithalika.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuzisahau na kuzishit shahada zangu nilizopata baada ya kuzisotea siyo kupewa wala kughushi toka chuo kikuu cha Harvard, makufuru yaliyofanywa na kanisa kuu la Kirumi la Mwanza yalinifanya nizikumbuke. Kumbe kila shari ina heri na kila heri yaweza kuwa na shari. Wajua nini? Si nilikuta panya wameishaanza kuzinyea. Kumbe ningechelewa wangeweza hata kutafuna shahada zangu na kuzitumia kutengenezea viota vya kuzaliwa panya wengine. Huu nao ni ufisadi wa mapanya so to speak. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasisitiza kuwa sikughushi shahada zangu. Nilizihenyekea kula Harvard na aliyenilipia karo na pesa ya kutanua bia wakati ule na kuotesha kirimba tumbo tena majuu si mwingine ni mzee Mchonga mwenyewe na awamu yake ya kwanza ya kila kitu kwa watanzania. Wakati huo Bongo ilikuwa bongo kweli na siyo Danga ya Nyika kama ilivyo sasa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je mheshimiwa sorry ndugu papa unajua kuwa huku Danganyana ya Danganyika kanisa lako limeingia kwenye kashfa ya ajabu? Kashfa yenyewe ni kuanza kuwasafisha mafisadi pale wanapotoa pesa. Kinachoendelea hakina tofauti na kile alichokuwa akikifanya muuza mibaraka wa zama za kiza  wa kanisa lako kule Ujerumani aitwaye Johann Tetzel ambaye alisema kuwa kadri sarafu idondokavyo kwenye kishubaka cha kukusanyia pesa mwenye roho ya mwenye dhambi hutoka motoni na kuingia peponi.  Nadhani unamkumbuka tapeli huyu ambaye makufuru yake yalichochea watu kama Martin Luther, Menno Simmons, Conrad Grebel, Wycliffe John, Melchior Hoffman, John Hut, Balthazar Hubmeier  na wengine kuasi kanisa lako na kuunda madhehebu yaliyogeuka tishio baadaye. Anyways, huko kwenye mambo ya radicals and reformation leo siendi nisije nikakuudhi kama hawa walitenda makufuru huku Mwanza. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu katika Kristo mheshimiwa Papa, &lt;br /&gt;Kwa niaba ya wanywa kahawa wa Danganyika nakuandika mtukutu sorry mtukufu kuwa hekalu la kanisa lako la Kirumi katika jimbo kuu la Mwanza liligeuzwa kuwa pango la wezi pale lilipomkaribisha Eddie Ewassa ambaye huku huitwa gamba kuu namba mbili eti kulichangishia pesa ya kujenga kanisa jingine. Wajua kanisa lako limeuzwa kwa bei gani? Huwezi kuamini lakini ndiyo ukweli-madafu milioni 200. Najua hujui madafu ambayo si kama Lira. Dola moja ni madafu 1900 kwa bei za kilanguzi ambazo zimeanza kuhalalishwa kutokana na wakubwa kuchota pesa za kigeni zilipo na kuzipitisha mlango wa nyuma kuchuma faida.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu Papa, &lt;br /&gt;Machukizo haya makuu yaliasisiwa na kufanywa na askofu Rulanchi akisaidiana na wadogo zake katika jimbo lake. Baada ya kufanya makufuru hayo, huwezi kuamini eti alifunga safari kwenda kwenye nchi ya voodoo ulipokuwa kukutana nawe wakati huko nyuma aliacha amechafua hekalu! Najua alipofika huko hakukueleza ukweli. Maana hakujua jinsi umma wa walevi ambavyo ungechukulia haya makufuru ya hekalu la bwana kuchangiwa na wezi huku kanisa lako likiwekwa mifukoni mwa watu wezi waroho na wachafu ambao Rulanchi aliwamwagia sifa ambazo hata hajawahi kukumwagia wewe. Hakuna aliyetegemea kuwa vipande thelathini kama vile alivyopewa Yuda kumsaliti Bwana Yesu vingeweza kutumika tena kipindi hiki cha maendeleo makubwa na utajiri wa kutisha wa kanisa lako tukufu. Inashangaza na kukatisha tamaa hadi wanywa kahawa wameamua kukuandikia waraka. Hii ni baada ya kugundua kuwa mamlaka husika huku zimo kitanda kimoja na mafisi wawalao watu ambao sasa wamejipenyeza kwenye hekalu la Bwana. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku Uwanja wa Fisi kwenye kijiwe chetu cha kula gongo nasikia maneno machafu yakipita kila mtaa. Wapo wanaosema eti roho mtakatifu siku hizi amepinduliwa na roho mtakakitu. Wengine wanasema kuwa hekalu la Bwana kwa sasa ni halali kuwa pango la wezi ili mradi watoe mshiko. Wapo wanaosema etiuna mpango wa kuanzisha utaratibu wa ubinafsishaji wa Kanisa ili kuongeza mtaji wa kwendea mbinguni.  Hali inatisha. Kama wewe au mdogo wake Porikapu Peng’o hamtamchukulia hatua huyu Rulanchi, msichanganye kujikuta mkivuna magugu badala ya mpunga kwenye shamba la Bwana. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ufupi habari nilizo nazo ni kwamba kuna waamini wa kanisa lako wengi wanaopanga kujiengua na kujiunga na madhehebu mengine na wengine kujinyonga kama hutamwajibisha Rulanchi na genge lake la mafisadi wa kiroho wanaotumia uroho kama roho mtakatifu wakati ni roho mtakachafu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwa kukushauri kuwu umwajibisha yeyote mwenye kuvaa ngozi ya kondoo ili kuwahadaa kondoo wa Bwana. Wengi wanashangaa ni dini gani inayoweza kulala kitanda kimoja na mafisadi?  Ningeshauri Vatikano isikubali kurejeshwa kwenye enzi za akina Paul Mackincus yule habithi wa kimarekani aliyechafua benki ya Mungu (Banco Ambrosiano) kwa kushikiana na mafia, “Uomini di fiducia”kama akina Licio Gelli, Michele Sindona, Umberto Ortolani, Roberto Calvi na majambazi wengine waliomuua papa John Paul I (Albino Luciano). Kaka papa, nakuomba usiruhusu akina Edwardo Roberto Calvi Ewassa na Andrea Michele Sindano Chenga wa Danganyika waliteke kanisa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile tulivyoheshimiana na Albino Luciani, nguvu zimeniishia na siwezi kuendelea. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabanikiwe walioliuza kanisa kwa mafisadi huku waliolinunua wakilaaniwa milele na milele aaamini. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Dira Novemba, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-9096164301279437606?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/9096164301279437606/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=9096164301279437606&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/9096164301279437606'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/9096164301279437606'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/mlevi-akata-rufaa-kwa-papa.html' title='Mlevi akata rufaa kwa papa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-ObYQwKWn_as/TtOjs6MHQLI/AAAAAAAABp4/xvKB-C64FwQ/s72-c/pope' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2163874970577458190</id><published>2011-11-24T17:32:00.000-08:00</published><updated>2011-11-24T17:38:19.683-08:00</updated><title type='text'>Siku Lowassa alipomvisha gamba mwenyewe (Kikwete)</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-Vta4VV0Mo7A/Ts7xha3eZbI/AAAAAAAABps/hnqjowoTG6w/s1600/_49601633_kikwete-lowassa.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 304px; height: 171px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-Vta4VV0Mo7A/Ts7xha3eZbI/AAAAAAAABps/hnqjowoTG6w/s400/_49601633_kikwete-lowassa.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5678741736610751922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-iSuSfeOUHuU/Ts7xhIcwOJI/AAAAAAAABpc/_Dei68OV-3c/s1600/195777_169763686408708_4835361_n.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 180px; height: 220px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-iSuSfeOUHuU/Ts7xhIcwOJI/AAAAAAAABpc/_Dei68OV-3c/s400/195777_169763686408708_4835361_n.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5678741731666835602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-groXH52xv34/Ts7xg9wmpKI/AAAAAAAABpU/iH22mpBOnx8/s1600/images.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 162px; height: 121px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-groXH52xv34/Ts7xg9wmpKI/AAAAAAAABpU/iH22mpBOnx8/s400/images.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5678741728797303970" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hakuna ubishi kuwa rais Jakaya Kikwete alipokuja na dhana ya kujivua gamba, alilenga kutua mizigo ambayo imemwia mizito tangu alipoingia madarakani. Mojawapo ya mizigo hiyo ni Edward Lowassa na Andrew Chenge ambaye alimrithi toka kwa mtangulizi wake. Lakini kwa kadri Kikwete alivyoutege mtego wake, umemnasa hata kabla wanyama aliwalenga hawajatia guu mtegoni. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Kikwete akiandaa mtego alisahau kitu kimoja. Alisahau kuwa aliutega kwenye njia moja hiyo hiyo ambayo alitaka kupitia kurejea salama nyumbani . je angereaje nyumbani kupitia njia hiyo hiyo asiutegeu mtego au asinaswe nao? Sasa siyo siri. Lowassa amemvisha gamba Kikwete kiasi cha kushindwa kuelewa gamba ni nani na nani si gamba. Ingawa Lowassa amejitetea kuhusiana na Richmond, bado hawezi kukwepa kunaswa na mtego wa marehemu baba wa taifa.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wanaofuatilia hali ya mambo na jeuri ya akina Richmond hadi walipojibadili jina na kuitwa Dowans, wamepata siri ya jeuri yao. Kwa maneno ya Lowassa, hakuna shaka yoyote Richmond-Dowans ni Kikwete. Hebu tunukuu baadhi ya maneno yake. “Mwenyekiti utakumbuka kwamba mimi nilishaamua kuvunja mkataba wa Richmond mapema, lakini baada ya kukupigia simu ukiwa katika safari nje ya nchi ulisema tusubiri kwani ulikuwa umepata ushauri wa makatibu wakuu wa wizara, sasa leo hii ninahukumiwa nakuitwa fisadi kwanini?” Je Kikwete aliingilia mchakato mzima bila faida binafsi? Je rais anayevunja kanuni na kuvuruga utawala wa sheria anafaa kuendelea kuongoza nchi ambayo kimsingi anaikwamishwa kwa tamaa zake? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa hakuna shaka kuwa kitendo cha Kikwete kumzuia Lowassa kuvunja mkataba kililenga kulinda maslahi fulani ya rais ambayo hata hivyo hayatajwi kwenye utetezi huu jadidi wa Lowassa. Je tujiulize swali moja, kwanini utetezi huu haukutolewa mapema? Jibu analitoa Lowassa kuonyesha kuwa la Kikwete na Lowassa ni moja. Anasema,  “Nilijiuzulu kuwajibika kwa ajili ya kuilinda Serikali yangu na kwa heshima ya chama changu, sasa kwanini leo nahukumiwa kwa jambo hili, tena natukanwa na wana CCM wenzangu na siyo wapinzani nchi nzima kwamba mimi eti fisadi?,”  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa jinsi Lowassa alivyoyapanga maneno yake, kwanza anataka aonewe huruma kama mbuzi wa shughuli tuseme kafara. Pili anataka kumkumbusha Kikwete kuwa asingejitoa kuubeba msalaba wake Kikwete wote wangekuwa msambweni. Pia ni taarifa kwa Kikwete kuwa wakati wake naye kubeba msalaba wa Lowassa ni huu. Na kweli, Lowassa amefanikiwa kuzima harakati na shinikizo la kuvuliwa nyadhifa zake na kuadhirika. Laiti Rostam Aziz asingefanya papara, naye angegoma. Maana mgomo na ushawishi na siri vya Lowassa havikumwokoa peke yake bali hata mwenzake Chenge. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, hoja ya Lowassa ina mashiko kuwa magamba ndani ya CCM si mawili wala matatu bali wote. Hali inakuwa mbaya zaidi gamba kuu linapokuwa rais na mwenyekiti wa CCM ambaye kwa kiasi fulani anaweza kuonekana mnafiki kuanzisha harakati hii bila kujua kuwa naye ni sehemu ya gamba tena nenen kuliko yote.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi, Lowassa amefanikiwa  kuvua gamba lake na kumvisha mwenye gamba. Tumesema. Lakini hatukusikilizwa.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine ambacho Lowassa amefanya ni kuthibitisha ukweli wa madai ya Dk Wilibrod Slaa katibu mkuu wa CHADEMA aliyetoa orodha ya mafisadi kule Mwembe Yanga ikiongozwa na Kikwete mwenyewe. Kikwete alijitahidi kutojibu tuhuma za Slaa akidhani zitajifia na kuwang’ang’ania wenzake asijue ikifika siku ya kifo kila mtu hpambana kuokoa nafsi yake kama alivyofanya Lowassa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo tuhitimishe kwa kusema kuwa mchawi aliyekuwa akitafutwa na CCM kumbe ni mwenyekiti wao! Je ni kudhalilika kiasi gani kwa Mwenyekiti wa chama tawala na rais wa nchi kuwahadaa watu wake kuwa anaweza kupambana na ufisadi wakati yeye ndiye fisadi nambari wani?   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumalizie kwa maneno mengine ya Lowassa. Anasema, “Mwenyekiti nikukumbushe mwaka 1997 kule Zanzibar, kina Mzee Daudi Mwakawago walikuja na mafaili yakiwa na tuhuma dhidi ya mtizamo hasi wa jamii dhidi yako, kwa hiyo wakati ule kama si busara za kina Mzee Mkapa (Benjamin) leo usingekuwa hapo ulipo”. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hii ina ujumbe mahususi kuwa Kikwete asijisahau. Pili ni kumkumbusha kuwa, licha ya kuchafuka kiasi cha kutotamanika, bado ana rungu la urais ambalo anaweza kutumia kumwokoa Lowassa ili aweze kuendelea na mbio zake za kuusaka urais hapo 2015. Ukweli huu umo kwenye maneno haya ya Lowassa, “ Mwenyekiti nikukumbushe jambo jingine, kule Zanzibar mwaka 1997 walipoleta tuhuma za mtizamo wa umma dhidi yako, ulisema kwamba kuwa Rais ni mipango ya Mungu,” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wanangojea kuona ni usanii gani mwingine atafanya Kikwete kuepuka aibu hii. Pia hapa ndipo siri ya kuenguliwa kwa spika wa zamani Samuel Sitta inapojulikana. Maana, kimsingi, Bunge ilipaswa likae na kuangalia kashfa ya Richmond upya pamoja na ukweli kuwa rais na Lowassa (waziri) mkuu licha ya kulidanganya bunge na taifa, walificha ukweli kwa faida zao binafsi. Hakika, huu ni mtihani mwingine kwa spika wa sasa Anna Makinda na tuhuma kuwa alipachikwa pale kufua nguo chafu za serikali.  Ajabu ya maajabu, bado magamba haya yanawafuatafuata akina Sitta kutaka kuwaadhibu pale ambapo wanapaswa kuadhibiwa wao. Je wabunge wetu nao watakubali kugeuzwa nepi za rais na watu wake? Pia kuna haja ya kuangalia upya hata haya malipo ya Dowans bin Richmond. Maana kutokana na shutuma hizi mpya ni kwamba anayelipwa ni Kikwete na watu wake na ndiyo maana hataki kutetea wananchi dhidi ya ujambazi huu wa mchana. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika Kikwete naye ni bomu au tuseme gamba. Anapaswa kujiwajibisha au kuwajibishwa mara moja kutokana na mateso taifa linayopata kutokana na tamaa zake. Hapa ndipo upinzani unapopaswa kuachana na majadiliano na kuingia mitaani ili haki itendeke-kieleweke. Kazi kwetu.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2163874970577458190?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2163874970577458190/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2163874970577458190&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2163874970577458190'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2163874970577458190'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/siku-lowassa-alipomvisha-gamba-mwenyewe.html' title='Siku Lowassa alipomvisha gamba mwenyewe (Kikwete)'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-Vta4VV0Mo7A/Ts7xha3eZbI/AAAAAAAABps/hnqjowoTG6w/s72-c/_49601633_kikwete-lowassa.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5920927098975586889</id><published>2011-11-23T06:03:00.000-08:00</published><updated>2011-11-23T06:04:40.178-08:00</updated><title type='text'>Hoja ya Kikwete kuhusu katiba ni dhaifu</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; Hivi karibuni rais Jakaya Kikwete alivunja kimya chake cha muda mrefu ingawa kufanya hivyo, hata hivyo hakukuwa na tija yoyote. Wengi walidhani penye kimya kingi kungekuwa na mshindo kiasi cha Kikwete kuja na angalau jambo moja jipya kuhusiana na hali inayolikabili taifa hasa kuzorota kwa uchimi na kuporomoka kwa sarafu yetu. Akiongea na wazee wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa PTA, Sabasaba juu ya hali ya uchumi nchini na mchakato wa Katiba, Rais Kikwete alisema atatia saini sheria ya mchakato wa kuunda katiba mpya ambayo inatokana na muswada uliopitishwa na hivi karibuni baada ya kususiwa na wabunge wa upinzani. Hakutaka kugusia uchumi akijua fika atazidi kujipalia mkaa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikwete alikaririwa akisema: “Siku zote katika mchakato wa Katiba, tume huundwa na Rais, sasa iweje sasa?... Rais amepungukiwa sifa kikatiba?” Haieleweki Kikwete alimaanisha nini aliposema siku zote tume huundwa na rais. Kwani lazima rais afanye kila kitu? Kama watawaliwa wanataka katiba mpya kwanini rais aingilie kati utadhani naye ni mtawaliwa. Inaonekana Kikwete bado anafanya mambo kwa kufuata mazoea na mawazo mgando ya kale; badala ya sheria na alama za nyakati. Kama Kikwete angekuwa mweledi wa sheria na mwenye kusoma alama za nyakati vilivyo, asingejidhalilisha kwa kujitetea na kuonekana kung’ang’ania kuwa lazima rais aunde “tume yake” ya kuandika katiba badala ya kuacha umma ufanye kazi hiyo ambayo ni yake kisheria. Inasikitisha; kwani Kikwete ameshindwa kujiuliza swali rahisi- kama awamu tatu zilizopita ambapo marais waliunda katiba- walifanya nini cha mno iwapo hatuna katiba inayoendana na maslahi ya watanzania- hadi kuhitaji katiba mpya. Laiti Kikwete angeelewa suala rahisi kuwa tumo kwenye mchakato wa kuandika katiba mpya inayoendana na mazingira ya sasa baada ya watangulizi wake kufanya mizengwe kwa kuunda tume ambazo hazikufanya lolote la maana zaidi ya kutafuna pesa ya umma na kupokea maelekezo toka kwa walioziunda ili kulinda maslahi yao ya wakati ule na baadaye. Rejea, kwa mfano, rais mstaafu Benjamin Mkapa kuvunja katiba na kuhujumu nchi lakini akaendelea kulindwa na katiba viraka tunayotaka kuipiga teke. Kama tume husika zilizoundwa na marais waliomtangulia Kikwete zingefanya la maana basi tungekuwa tunapoteza muda, pesa na nafasi kuandika katiba mpya.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alichopaswa kuelewa Kikwete ni kwamba kutia katiba viraka na kuandika katiba upya ni vitu viwili tofauti. Awamu ya kwanza ilitia katiba viraka ili kuendana na mahitaji ya chama kimoja wakati ule baada ya kuunganisha vyama viwili kuwa kimoja. Awamu ya pili iliweka viraka mara tatu mojawapo ikiwa kuvunja na kuua Azimio la Arusha jambo ambalo limetuletea madhara makubwa kijamii kisiasa na kiuchumi. Maana huu wizi tunaoshuhudia ukihalalishwa, ulizaliwa wakati ule. Hata hawa mafisadi wanaotukoga kila uchao wakiiba kila mahali na kulindwa ni zao la viraka vya awamu ya pili. Hili si jambo la kujivunia kwa rais mwenye nia njema na taifa. Je Kikwete anajivunia hili kutokana naye kuwa mnufaika wa ‘mabadiliko” haya ya katiba yaliyowezesha ujambazi kama EPA kufanyika na wahusika kuendelea kuwa kwenye ofisi za umma?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukija kwenye awamu ya tatu, kadhalika hamna la maana lililofanyika baada ya serikali kuja na white paper. Serikali ilifanya hivyo kuogopa mawazo ya wananchi yaliyokinzana nayo.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wanaojua kanuni za uundaji na uandikwaji wa katiba mpya ni kwamba kinachounda katiba si bunge wala kamati teule ya rais bali mkutano wa katiba au constitutional convention ambao hujumuisha asasi mbali mbali na wadau mbali mbali nchi nzima. TumeonaAfrika Kusini na Kenya zilivyoandika katiba zao kutokana na kongamano la kikatiba la umma na si bunge wala tume ya kufinyangwa jikoni mwa rais. Rais anayeng’ang’ania kuandika katiba licha ya kuwa imla ni mwoga wa kushughulikiwa hapo baadaye. Kama kweli Kikwete ametimiza wajibu wake vilivyo anaogopa nini? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kisheria, katiba ni mkataba kati ya watawaliwa na watawala na ni mali ya umma. Hata kama mamlaka ya rais ni kuunda tume ya katiba kama anavyotaka Kikwete lakini si kuingilia tume husika kama ambavyo imekuwa ikitendeka hapa nchini. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi Kikwete na magwiji wa katiba na sheria kama Profesa Issa Shivji na Joseph Warioba tumsikilize nani? Je kati ya Kikwete na wananchi nani anapaswa kusikilizwa? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 1991 na 1992, alisema iliundwa tume nyingine iliyoongozwa na Jaji Francis Nyalali ya kukusanya maoni ya Katiba ya kutoka mfumo wa chama kimoja kwenda vyama vingi. Ajabu maoni ya tume hayakutekelezwa yote au tume haikufanya kazi vilivyo. Maana tusingeendelea kuwa na katiba ya chama kimoja kwenye mfumo wa vyama vingi. Kikwete alikaririwa akisema “Tume hii ilipendekeza sheria 40 zifutwe, zilifutwa na nyingine zinaendelea kufutwa ikiwemo sheria ya kumweka mtu kizuizini,” Huu ni ushahidi wa usanii wa marais. Maana kama suala ilikuwa ni kufuta sheria 40 za kikandamizaji, basi zingefutwa pale pale siyo kwa mdomdo kama ilivyo sasa hata baada ya kupita miaka zaidi ya kumi.  Huu ni ushahidi mwingine kuwa tume zinazoundwa na rais badala ya kongamano la katiba ni upotevu wa muda na fedha na usanii wa kawaida ingawa unafanywa na watu wenye madaraka makubwa.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa Kikwete ametumia muda mwingi kuwashambulia na kuwatisha CHADEMA, tunawashauri wasikubali kutishwa kwa maslahi ya kikundi kidogo cha watu.  Kikwete amegeuka imla kwa kupora haki na stahiki ya wananchi na kujiamria la kufanya kuhusiana na mstakabali wao. Rais yupo na atapita lakini umma hautapita. Utakuwapo siku zote. Kikwete hana jipya kwani anatetea tabia ya kuweka katiba viraka ili kulinda maovu ya watawala. Hivyo, umma unapaswa kumpuuzia na kuhakikisha unapambana kupata katiba mpya itokanayo na umma na si rais na wakwasi wenzake wachache.  CHADEMA na upinzani kwa ujumla hakikisha mnasimamia hili. Vinginevyo tutaendelea kuchezewa mahepe na CCM kama ambavyo imefanya kwa miaka zaidi ya 50. &lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Nov. 22, 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5920927098975586889?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5920927098975586889/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5920927098975586889&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5920927098975586889'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5920927098975586889'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/hoja-ya-kikwete-kuhusu-katiba-ni-dhaifu.html' title='Hoja ya Kikwete kuhusu katiba ni dhaifu'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-950299933351490509</id><published>2011-11-23T06:01:00.001-08:00</published><updated>2011-11-23T06:03:05.775-08:00</updated><title type='text'>Siku ahadi hewa zilipotaka kunitokea puani</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mwenzenu nawahabarisha lakini uhai wangu umo hatarini sana. You know what? Si wanakijiwe wamenitolea uvivu na kuniita msukule! Wanadai mimi sina maana wala sababu ya kuendelea kuwa mkuu wao. Kilichonisibu ni vigumu kuelezea hasa baada ya kugundua kuwa walevi wameanza kuzinduka kwenye ulevi na usingizi niliokuwa nikitumia kuwaibia. Sikujua kuwa kumbe walevi nao wana kumbukumbu! Maana, walivyoanza kunizodoa kwa kunipa historia ya jinsi nilivyochaguliwa kwa kishindo cha Tsunami na seiche- (sauti kuu ya Tsunami kwa wale wasiojua seiche). Walinirejesha mwaka 2005 wakati wa uchaguzi ulioniingiza kwenye ulaji wa kijiwe. Walinikumbusha jinsi nilivyoaahidi manywaji na matafunaji ya kahawa na kashata na kunenepeana kama kiti moto au shosti wa kimakonde yule mke wa jamaa yangu anayenenepa kiasi cha kutaka kujaa kwenye ramani ya kaya.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bado nayakumbuka maneno ya msomi. Alisema, “Nilikuwapo kwenyekampeni ya Mkiti Mpayukaji. Huu ulikuwa ni wakati wa walevi kutwishwa mkenge uliokuwa umetengenezwa na vyombo vya habari vya uchochoron na udaku hasa vya umbea. Vilichonga msukule wetu na kuupa kila aina ya sifa kiasi cha walevi kuuingia mkenge na kuuchagua msukule.” Nilimkata jicho nusu limtoboe ili aache kuniita majina ya ajabu kana kwamba mie ni marehemu.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Yeye hakujali. Aliendelea: “You know what; this msukule did all his flim flams and ended up becoming CEO of walevi.” Mzee Maneno alimkumbusha kwa kuvunja kanuni ya maazimio ya kijiwe. Alisema: “Kimbombo hicho kaka! Hukumbuki tulivyoazimia wiki jana kususia lugha hii hadi jamaa watuombe msamaha?” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Msomi alijitetea haraka na kusema, “Sorry jamani.Lololo! Nimerudia yale yale kama jamaa wa mjengoni wanaobangaiza kimombo na shahada zao za kughushi!” &lt;br /&gt;Alikohoa kidogo na kutupa kipisi chake cha sigara kali na kuendelea: “Samahani jamani. Nilimkumbuka Prince Charles kiasi cha kujikuta naongea kimombo nisijue tumeamua kukisusa hadi watuombe msamaha kwa kutaka kutulazimisha kupitisha sharia za kushikishana ukuta. Si wakawaambie wamanga ambao ni mabingwa wa kamchezo haka au wataliano?” &lt;br /&gt;Kabla ya kumaliza Mbwamwitu alichomekea: “Msikonde wazee. Mei nina mpango wa kwenda kukutana na mama Chazi ili aniombe msamaha kwa niaba yenu au siyo?” Kijiwe hakina mbavu hasa kwa jinsi anavyomtaja mama utadhani ni rahisi kumkaribia kwini!  Utani mwingine bwana! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuona hivyo Mgosi Machungi alikula mic na kuzoza: “Tinapaswa kurejea kwenye mada ya leo ambayo ni kujadili msukue uliotiingiza mkenge na sasa kuendelea kutitesa bila kutipa kahawa na kashata ulizotuahidi.” Nilimkata jicho Mgosi Machungi hasa nikizingatia kuwa ndiye alikuwa mpamba wangu ambaye alikwenda kuwahonga akina shangingi la Kinshomile Silvia Rweyema, sorry, Rwependekeza kuniandika vizuri.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuona hata wale niliokuwa nikila nao kwa muda mrefu, nilitamani kwenda kwa rafiki yangu Tosh na kuomba aniazime vijana wake wa gesi la kuanzisha fujo liitwalo  Fanya Fyoko Ubondwe (FFU) ili liwatie adabu wanywa kahawa kama linavyowafanyia matching guys wanaopinga lisirikali kuwafukuza ili wapishe wale wa kichainizi na kigabacholi. Nilitamani niende mara moja ili wanachopata matching guys wanaoambiwa watafute kwao pa kwenda na kuwaacha wageni wa wateule wanaokula nao kiwapate wanywa kahawa ambao wanaanza kuzibuka kama matching guys na kunikosea adabu kama wanavyokosewa adabu na wale waliowahadaa wakawapa kura za kula. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipokuwa nawaza ni njia gani ya kujinasua na kuhakikisha viherehere wanatia adabu si Mpemba akazidisha maudhi. Alisema: “Si Pemba zama zile kabla ya kufunga ndoa na wabaya wetu tulikuwa na maruhani yakhe.  Lakini baada ya maalimu kupata ulaji walahi maruhani yote yametoweka na twaishie raha mstarehe.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwa anajiandaa kuendelea Mchunguliaji aliingilia kati na kukwanyua mic: “Ami unataka kumdanganya nani? Sema madevu wenu alipowekwa kimada na mafisiahadi kwa kumpa makombo akatulia nanyi mkaingizwa mkenge kama wa Msukule wetu.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kuendelea nilimuonya. “Mchunguliaji  nakuheshimu sana. Chunga ulimi wako ohooooo!” nilimpiga mkwara nisijue kuwa kumbe Mpemba alikuwa na bomu lake! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana alikwanyua mic tena na kunena: “Wajua? Heri sie tulipata lau hicho kipande cha ukubwa kuliko huu msukule unokula peke yake nasi tusiambulie hata hicho kipande.”   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nami sikujivunga. Nilizidi kutetea meli yangu isizame. “Msinilaumu bali mjilaumu kwa kuingizwa mkenge. Jilaumuni kwa kupenda hongo. Kwani mie mlinichagua bure? Mara hii mmesahau takrima zangu za kahawa na kashata? Ama kweli hamna adabu wala shukrani.”  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ngonja nitie msisitizo ili mnielewe.  Hivi hamkujua kuwa nyie ni watani zangu siyo? Msijeninyotoa roho kama FFU wanavyowanyotoa roho machingas bure.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya kuendelea Msomi aliingilia: Mkiti hatutaki siasa za ki-Njaa Kaya hapa. Ukubali umeshindwa.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Nami kujiokoa nadandi pwenti ya Msomi na kusema, “ Ni kweli kaya yenu nanyi mnaliwa. Mijitu inaingia kwenye kaya na kujisonda kwenye mabohari na wale watu wa Taasisi ya Kushamirisha Rushwa wanaambiwa. Wakishapata dili wanakwenda kuwatoa upepo na kaya inazidi kujaa mivamizi hadi mjengoni!”   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najifanya hamnazo na kuongea bila kituo: “Mjengoni nako wameishiwa tangu aingie yule mama. Badala ya kujadili maslahi ya walevi wanaonyesha ulevi na ujuha wao! Waulize wadharaulika. Tangu wajifungie mjengoni zaidi ya kulipana marupurupu na posho za makalio wamefanya nini cha maana? FFU inaendelea kunyotoa roho wanywa kahawa wanaoitwa wamachinga wa mawazo na hakuna jamaa wa mjengoni anayelaumu ukiachia wale jamaa wa upingaji ambao wametimiza wajibu wao ingawa wanazidiwa na inzi wa kijani waliojazana huko kutokana na uchafu uliozagaa kila mahali. Yale mainzi yamechana kama malkia wao ambaye amechana kiasi cha kutaka kupasuka!”  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Loh! Kumbe kweli nimemix! Basi washikaji mezeeni ilmradi message sent. Ngoja niwahi zangu Idodomya kuona mafisadi wanavyotimuana. See ya guys.&lt;/span&gt; &lt;br /&gt;Chanzo:Tanzania Daima Nov. 23, 2011&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-950299933351490509?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/950299933351490509/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=950299933351490509&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/950299933351490509'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/950299933351490509'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/siku-ahadi-hewa-zilipotaka-kunitokea.html' title='Siku ahadi hewa zilipotaka kunitokea puani'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8450050384613677241</id><published>2011-11-19T20:39:00.000-08:00</published><updated>2011-11-19T20:46:49.813-08:00</updated><title type='text'>Breaking News Saif-al Islam Gaddafi akamatwa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-7Ta61oFeKCc/TsiGFuec90I/AAAAAAAABpI/4gRyA0LDUzc/s1600/Saif-al-Islam-gaddafi-cap-007.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-7Ta61oFeKCc/TsiGFuec90I/AAAAAAAABpI/4gRyA0LDUzc/s400/Saif-al-Islam-gaddafi-cap-007.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676934763233736514" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kila chenye mwanzo kina mwisho. Hatimaye Ridhiwan sorry Saif al Islam Gaddafi mtoto wa imla wa zamani wa Libya aliyeuawa mwezi mmoja uliopitwa amekamatwa na kuashiria mwisho wa utawala wa kimla wa Gaddafi na ukoo wake. Je maimla wanaotumia familia zao kama nguzo ya utawala hasa katika Afrika Mashariki, wamejifunza nini? Kijana mwenye miaka 39 aliyetikisa dunia si kwa sababu ya juhudi zake bali, baba yake kuwa rais hadi yeye kuwazia kuwa rais siku moja, kama baba yake, ameisha kwa aibu ya mwaka, mwezi mmoja baada ya kuuawa kwa baba yake. Tieni akili wahusika.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8450050384613677241?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8450050384613677241/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8450050384613677241&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8450050384613677241'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8450050384613677241'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/breaking-news-saif-al-islam-gaddafi.html' title='Breaking News Saif-al Islam Gaddafi akamatwa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-7Ta61oFeKCc/TsiGFuec90I/AAAAAAAABpI/4gRyA0LDUzc/s72-c/Saif-al-Islam-gaddafi-cap-007.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1665661102269016219</id><published>2011-11-17T18:38:00.001-08:00</published><updated>2011-11-17T21:02:33.808-08:00</updated><title type='text'>CCM kuzikwa au kufufuliwa Dodoma?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-g3qdfIz4khw/TsXMFX5zwZI/AAAAAAAABos/NeBbmAL4dnk/s1600/images.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 243px; height: 136px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-g3qdfIz4khw/TsXMFX5zwZI/AAAAAAAABos/NeBbmAL4dnk/s400/images.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676167298058273170" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-xg2wiaYnEJY/TsXMFZpTr2I/AAAAAAAABok/ltQT3f2epyM/s1600/kisita.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 268px; height: 188px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-xg2wiaYnEJY/TsXMFZpTr2I/AAAAAAAABok/ltQT3f2epyM/s400/kisita.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676167298525933410" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-7Rlj5yZQATs/TsXMzqDNulI/AAAAAAAABo8/25kz3uumgmM/s1600/27523_140302809330485_5192_n.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 180px; height: 257px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-7Rlj5yZQATs/TsXMzqDNulI/AAAAAAAABo8/25kz3uumgmM/s400/27523_140302809330485_5192_n.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676168093203544658" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-vWCj4fENJu8/TsXL7IEjz8I/AAAAAAAABoU/pjdfPEUYcw4/s1600/chenga.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 261px; height: 193px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-vWCj4fENJu8/TsXL7IEjz8I/AAAAAAAABoU/pjdfPEUYcw4/s400/chenga.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676167122009706434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-ZWXiC3N7sPw/TsXL69yLmMI/AAAAAAAABoM/NwlS25850aQ/s1600/mwakyembe.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 220px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-ZWXiC3N7sPw/TsXL69yLmMI/AAAAAAAABoM/NwlS25850aQ/s400/mwakyembe.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676167119248267458" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-wAM63bDT0gQ/TsXL6jd0F8I/AAAAAAAABn8/Rk3uom5jPD0/s1600/john-chiligati.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 250px; height: 218px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-wAM63bDT0gQ/TsXL6jd0F8I/AAAAAAAABn8/Rk3uom5jPD0/s400/john-chiligati.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676167112183519170" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-SGv76FUEQ8w/TsXL6jnINmI/AAAAAAAABnw/qbCx5WWbf0s/s1600/send.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 84px; height: 118px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-SGv76FUEQ8w/TsXL6jnINmI/AAAAAAAABnw/qbCx5WWbf0s/s400/send.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676167112222586466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-k7Cr-nj3n5g/TsXL6fzGcCI/AAAAAAAABno/4Gt7qqxXMGo/s1600/41637_1848240359_9274_n.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 200px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-k7Cr-nj3n5g/TsXL6fzGcCI/AAAAAAAABno/4Gt7qqxXMGo/s400/41637_1848240359_9274_n.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5676167111199060002" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Habari zilizofikia vyombo vya habari ni kwamba kwenye vikao vijavyo vya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), (NEC) na Kamati kuu ya CCM (CC) ambavyo vitaongozwa na Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete vitawavua uanachama makada wake sita kutokana na makosa mbali mbali makubwa yakiwamo kujivua gamba na kuvuruga chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; cha Hakika hii ni kesi ya mfalme Suleiman. Kikwete na NEC wanapaswa kuwa makini wasije wakakiua chama kilichokwishagawanyika vibaya. Kimsingi, kinachopaswa kufanywa siyo kuongeza namba ya watu wa kufukuza. Maazimio ya kikao kilichokuja na falsafa ya Kikwete ya kujivua gamba yalilenga kuwavua uongozi wanachama watatu yaani Rostam Aziz aliyejivua na Edward Lowassa na Andrew Chenge. Hawa wanne wanaozushiwa tuhuma mpya za kukigawa chama wakati chama kimegawanywa na ufisadi wanatoka wapi? Yetu macho kushuhudia CCM ikiuawa na wale walio wake.&lt;br /&gt;Si vibaya kwa CCM kuongeza idadi ya mafisadi kwa vile inao wengi hata hawa wanaosimamia vikao. Lakini kuwafukuza wale wanaopinga ufisadi itakuwa ni kujipalia mkaa. Upinzani uombe Mungu sana hili litokee unufaike na kuichukua nchi mwaka 2015 ili yale niliyotabiri kwenye vitabu vyangu vya SAA YA UKOMBOZI na NYUMA YA PAZIA yatimie.&lt;br /&gt;Upinzani pia ujitahidi sana kama hili litatokea kuwakataa magamba wanaojulikana. Maana kama watafukuzwa chamani upinzani ukawapokea utakuwa umeruka mkojo na kukanyaga manonihino.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1665661102269016219?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1665661102269016219/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1665661102269016219&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1665661102269016219'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1665661102269016219'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/ccm-kufa-au-kufufuka-dodoma.html' title='CCM kuzikwa au kufufuliwa Dodoma?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-g3qdfIz4khw/TsXMFX5zwZI/AAAAAAAABos/NeBbmAL4dnk/s72-c/images.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1279067734813989647</id><published>2011-11-16T05:02:00.000-08:00</published><updated>2011-11-16T05:03:40.741-08:00</updated><title type='text'>Ubadhirifu umechukua nafasi ya uadilifu</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TULIPOPATA uhuru mwaka 1961 Watanzania wengi walijenga matumaini kuwa tutasonga mbele na kuondokana na matatizo tuliyokuwa tukikabiliwa nayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara nyingi, watu waliamini kuwa matatizo kama vile ujinga, umaskini, dhuluma na Maradhi vilikuwa vikisababishwa na utawala wa kikoloni. Hivyo ujio wa utawala wa watu weusi wenyewe ulileta matumaini ingawa hayakudumu kwa muda mrefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali ya awamu ya kwanza ilijitahidi kupambana kero tajwa hapo juu chini ya dhana ya maadui wakuu wanne wa taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu Julius Nyerere, kwa uadilifu na juhudi vya hali ya juu alipambana na vitu hivi kwa dhati. Mwaka 1976 alitangaza Azimio la Arusha ili kuweza kupata mtaji wa kupambana na maadui wetu wakuu wanne.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alianzisha Chuo Kikuu cha Dar es salaam na kutaifisha shule zilizokuwa zikiendeshwa na madhehebu ya dini ili kuhakikisha kila Mtanzania anapata elimu tena bure. Alijenga hospitali na kuhakikisha kuwa huduma za afya zinapatikana bure na kuwafikia Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kiasi kikubwa alifanikiwa ikizingatiwa kuwa idadi ya wasomi iliongezeka kiasi cha nchi kuanza kujitosheleza kwa wasomi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati mwalimu Nyerere akihangaika kupambana na maadui wakuu wanne alikabiliwa na vikwazo kutoka kwa wakoloni wa zamani na mataifa ya kibepari. Lakini hakukata tamaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alifanya alichoweza hadi alipong'atuka mwaka 1985 baada ya kugundua kuwa mambo yalikuwa hayaendi kama alivyotegemea. Kimsingi, mwalimu alituachia mtaji hasa raslimali ambazo alizilinda kwa ajili ya vizazi vijavyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kumbukumbu ni kwamba chini ya Mwalimu, dhahabu tunayochimba na kuuza kwa tani haikuwa imeguswa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya mwalimu kuondoka na kuja serikali za shaghalabaghala za ruksa na upuuzi mwingine, ombwe na utapiamlo wa mawazo na sera viliibuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kulianza kuzuka matajiri wa kulala maskini na kuamka wakwasi. Ajabu hakuna aliyeuliza wala kustuka isipokuwa mwalimu aliyehimiza watu kufuata maadili badala ya madili kama ilivyokuja kuzoeleka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taratibu taifa letu liliwekwa rehani kwenye mikono ya wezi wa kimataifa walioshirikiana na wale wa nyumbani. Ghafla Watanzania wakajikuta wapweke na wakiwa wasio na wa kuwatetea hasa pale Mwalimu alipoaga dunia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taratibu siasa zilianza kutegemea mfuko na uongo wa mtu badala ya sifa na uadilifu. Ubadhilifu ulichukua nafasi ya uadilifu na jinai zikaanza kuhalalishwa chini ya dhana mbali mbali kama vile kukuza uchumi, ubinafsishaji na kasi na ari mpya na mambo mengine kama hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala ya wahusika kujenga taifa, walianza kulibomoa kwa kasi ya ajabu kiasi cha taifa letu kuzidi kuwa tegemezi huku uchumi ukiwekwa kwenye mikono ya genge la watu wachache.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rejea kauli ya aliyekuwa waziri wa viwanda Idd Simba kuwa uchumi wa Tanzania ulikuwa kwenye mikono ya Wahindi wasiozidi kumi. Bahati mbaya tena, Simba alipotoa kauli hii hakuna aliyeshtuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulianza kuwaona matajiri wakijazana Ikulu hadi mwalimu akaonya kuwa Ikulu ni mahali patakatifu pa patakatifu na si pango la wezi. Nani angemsikiliza wakati alishawapa madaraka?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara watawala wakaanza kuuza kila kitu kuanzia rasilimali hadi utu wa watanzania. Ibada za mali na vitu zilianza kushamiri huku uchumia tumbo na utapeli vikahalalishwa kama njia halali za kuupata utajiri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara tukaanza kuona ujio wa marais wadogo watokanao na ukoo wa rais aliyeko madarakani. Mambo yalizidi kuharibika kiasi cha nchi kuwa kama shamba la bibi hadi wafadhili kutuwekea masharti ya kipumbavu kama vile kuridhia ushoga ili tupewe makombo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, hali ikoje? Taifa letu ni kama liko likizoni kiasi cha kila tapeli ajae kuchuma na kuondoka. Rejea wizi kama ule wa Chavda, EPA, Richmond, Dowans, Meremeta, Tangold na mwingine mwingi. Nani anajali iwapo anapata chake cha juu? Je namna hii tutafika au tutalikoroga kama wasemavyo Waswahili kiasi cha kujimbika bila jembe na pakawa hapatoshi? Je, ni kwanini haya hayajatokea?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu kubwa ni utapiamlo wa wananchi kuishi kwa matumaini yasiyokuwepo. Tutoe mifano, ni wapi na lini uliwahi kuona nchi ikikaa kizani kwa zaidi ya mwaka na vurugu za kudai haki hii muhimu zisitokee? Bila shaka ni Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni wapi sarafu ya nchi iliporomoka kama inaharisha huku gharama za maisha zikipanda na waongo fulani wakaendelea kuhubiri amani waipatayo na kuwawezesha kuhujumu? Bila shaka ni Tanzania pekee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni wapi ambapo watu waliosoma bure walipata madaraka na kuchezea rasilimali za umma huku wakiwauzia watoto wa wananchi waliopigania uhuru na kujenga taifa wanalobomoa kwa kasi ya vichaa na vurugu za kutaka hujuma hii isiendelee zisitokee? Ni Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania Tanzania kila upuuzi na wananchi wanaona na kunyamaza huku wakiishi maisha ya udokozi na jinai nyingine ili bora liende.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taifa la bora liende ni taifa lenye ombwe na utapiamlo wa kila kitu cha maana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo wanaosema kuwa taifa letu limechakachuliwa. Karibu kila kitu kimechakachuliwa. Ukweli umechakachuliwa na uongo kuchukua nafasi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huduma zimechakachuliwa kiasi cha walaji wetu kulishwa uchafu na sumu badala ya huduma. Mfano mdogo ni ulanguzi wa simu ambapo taarifa za hivi karibuni zimeonyesha kuwa ni Tanzania pekee katika Afrika Mashariki kiasi cha kuwalazimisha watanzania waishio nje kupitishia simu zao nchi za jirani hasa Kenya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bahati mbaya kuonyesha ombwe na utapiamlo wa sera na mawazo, hili liliporipotiwa si serikali wala mamlaka husika zilitoa maelezo yenye mashiko zaidi ya kunyamaza ama kutupiana mpira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hamuwezi kutolea maelezo kero za wananchi mnafanya nini madarakani? Kibaya zaidi ni kwamba Watanzania badala ya kukabili matatizo yao ya kutengenezwa na kundi la wezi wachache, wameamua kutumia njia za panya kuendelea kuishi kwa kubangaiza na kusukuma siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtaishi lini iwapo kila uchao hali inazidi kuwa mbaya? Je, kuna mjomba atakayekuja kuwapigania zaidi ya nyinyi wenyewe? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu kila siku tunaambiwa kuwa nchi yetu ni shamba la bibi lakini hatuchukii na kuchukua hatua. Badala yake tunanyamaza au kuchekelea. Je, nani alituroga hadi kuwa wa hovyo kiasi hiki na kutendewa mambo ya hovyo na tusichukie. Msemo wangu maarufu ni tuguswe wapi tushituke? &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Novemba 15, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1279067734813989647?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1279067734813989647/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1279067734813989647&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1279067734813989647'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1279067734813989647'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/ubadhirifu-umechukua-nafasi-ya-uadilifu.html' title='Ubadhirifu umechukua nafasi ya uadilifu'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6782268687992945036</id><published>2011-11-16T05:01:00.000-08:00</published><updated>2011-11-16T05:02:34.708-08:00</updated><title type='text'>Heri nife njaa, ushoga hapana</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JUZI nilitaka kuua mtu hivi hivi. Kwanza niwataarifu. Siku hizi nimebadili jina. Naitwa Nkwazi Mhango. Why? Nitawaambia next time.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si ilitoka habari kuwa Watasha wanataka kutupa misaada kwenye kijiwe lakini kwanza tushikiane ukuta wenyewe kwa wenyewe kijiweni. Kweli akutukanaye, hakuchagulii tusi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza mghoshi Machungi aliapa kuua mtu. Maana zilipotoka habari nilimsikia mwenyewe akiongea kisambaa akisema, “Ho tate nane, Mghoshi ndie andose ntambidiza.” (Tafsiri, mie lazima nimmalize atakayenifuata).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila mtu alisema lake. Maana kama ni ukoloni huu wa midume kuonana wenyewe kwa wenyewe kisa misaada yao, hapana, tuwaache waendelee wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukiwa tunatafakari si Mbwamwitu naye katoa mpya eti waziri mkubwa wa Utasha aliyetoa pendekezo la ushoga kumbe naye ni shoga ndiyo maana jina lake anaitwa Davida Kinyonga. Anavaa suti kumbe ni kinyonga ambaye nyuma ya pazia ni shoga la kawaida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya habari hii kuibuka, ilizua taharuki na mitafaruko kibao. Msomi Mkatatamaa anasema eti habari hiyo ilifika kijijini kwake ikiwa imechakachuliwa kiasi cha wanakijiwe kuitafsiri eti wameambiwa kuwa wazungu wamemwambia mkuu kuwa wasiporuhusu ndoa za mashoga, hawatapewa misaada.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpemba mshenzi kweli. Si alikwenda mbali na kusema, “Wajua, nasikia kuna rahisi wa nchi fulani alikwenda kuomba msaada, akaambiwa ati ashike ukuta.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kachokoza nyuki! Kujikomba mwana kijiwe mpya mshabiki wa Chata la Mafisadi alidhani anarushiwa yeye hilo dongo. Alisema, “Uongo mkubwa. Washenzi wakubwa nyie.” Hata kama mkuu wetu wa kijiwe ni ombaomba, nisiwasikie mkisema eti alitaka kuolewa. Laanatullillahi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hivi hawa watasha wana akili kweli?” alihoji mzee Ndevu na kuendelea, “Kwanini wanapenda sana mambo ya kishoga shoga?” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzee Maneno alidaki, “Sasa kijiwe kimeazimia kuwasusia. Kuanzia leo hatutaongea kitasha ambacho wajinga wengi hukichukulia kama lugha ya usomi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni hatua moja ya kuwasusia hadi watuombe msamaha. Kama wataendelea, basi tutawatuma vijana wetu waende huko huko wamzomee na kumtaka Kinyonga aende akaishi Mombosa, akafanye ushenzi wake aone.” Kijiwe hakina mbavu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anaendelea, “ Kama wanadhani huo ni mchezo mwema si watoe wao kwanza waone cha moto kama wanaona mchezo huu mwema, lakini hapa kwenye kaya yetu hapana, tena wakome.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yaani sipati picha kaya nzima watu wachakachuane kimasomaso kweli? Hii siyo kutengeneza Sodoma na Gomora nyingine?” alimalizia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzee mzima nami nakula mic, “Hata juzi mwanae alipokuja Bongo kuwahadaa wabongo akiwa na kimada wake nilimtokea na kama si polisi kunizuia huenda ningepata kesi kwa kumnasa mtu mbanta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anayedhani namfunga kamba ajue siyo. Maana wakati Chaz alipokuwa akitaka kuvuka kwenda zake Kigamboni kushangaa kwanini shilingi inazama na meli inaelea nilikuwa kwenye pantoni ya kwenda Kigamboni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kumuona haraka haraka niliwahamasisha wananchi wamshit. Hata alipopunga mkono wake hakuna aliyejibu. Uliza kama unadhani nadanganya. Nidanganye ili iweje. Nilikuwa nimechukia siku hiyo na kama si jamaa zangu kwenye feri kunikamata ningekufa maji au ningemtia mbanta na kuishia kufungwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua ningefungwa. Maana pamoja na kuwatukana watu wetu bado baadhi ya wenzetu wenye masilahi naye walimkaribisha kwa bashasha kana kwamba kweli wao si watoto riziki kama alivyowadhania!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Laiti ningekuwa mkuu wa kaya mbona ningemsusa na hata nisingeruhusu dege lake kutua wala kumpa viza ya kuingia nchini. Dhiki nyingine mnaziendekeza hadi kujidhalilisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huu nao ni ushoga wa kisiasa na kimsimamo na mkakati. Chaz alikuwa na jipya gani zaidi yakuja kutalii kwa bei nafuu na kupima maji kuhusiana na kushauriwa tuwape ulaji mashoga kisheria?” Naongea bila kituo ili asitokee mtu akanipoka mic.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati kijiwe kikiwa kimehanikiza kulaani hizi kampeni za kueneza ushoga si Mchunguliaji aliingia na kutufunga macho?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yeye alisema kuwa amependa sana tusi hili kwa vile wanene wetu wamezidi kuombaomba kiasi cha kutakiwa kulipa eti kwa njia hiyo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchunguliaji alikuwa na furaha utadhani naye alikuwa shoga! Kumbe alikuwa akishangilia jamaa kuumbuliwa kutokana na u-Matonya wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisikika akisema, “Kaya ina midini kama haina akili nzuri. Mnagawa midini kwa wachukuaji halafu mnakwenda kujidhalilisha kwa kuomba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha wawaombe nanihino mkome.” Pamoja na lugha yake kuwa ya maudhi, kila mtu alishikilia mbavu zake kwa kicheko kiasi cha kuyeyusha hasira iliyokuwa imetawala kijiweni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchunguliaji alikuwa seriyasi kweli. Aliendelea. “ Watasha si wapumbavu kama nyinyi. Wamekuwa wakiwatukana na kugundua kuwa hamstuki. Sasa wameamua kutukana mitusi mizito ili mtie akilini.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alikatua kashata yake na kuendelea, “Baada ya kuwatukana tusi la kupamba na miwaya kwa kutangaza ngono mkidhani mnaizuia nanyi kama mataahira mkalishabikia na kuhujumu mila zenu, sasa wameona wawashike pabaya ili mstuke. Maana ukitaka kumpata Mswahili muite shoga.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alikunywa kahawa kidogo na kuendelea. “ Hata kama yuko shimoni au darini atatoka na kuja juu hata kama ni shoga kweli.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchunguliaji aliendelea, “Nyie mlishaliwa na kuchakachuliwa sana sema hamjitambui.” Mghoshi aliamka na kutaka kumnasa kibao Mchunguliaji ambaye naye alijitetea. “Mgosi huna haja ya kupandisha ingawa najua wewe bado hujashikishwa ukuta.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mgosi alijibu, “Hapo umenena mghoshi. Yaani unatiambia eti wametufanyia ushoga!” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchunguliaji hana mbavu anaendelea, “Tuseme ukweli. Tushaliwa sana na kuchakachuliwa sasa wanataka tuchakachuane wenyewe kwa wenyewe tena kiza na hiki we acha tu.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mzee mzima nilikuwa nacheka na kuhuzunika kwa pamoja. Niliamua kukwanyua mic na kuwatuliza wanakijiwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Msemayo ni kweli hata kama yanauma. Kaya imechakachuliwa kila kitu. Umeme, kura, madawa, mafuta, bei za vitu, ulaji, hata na nyinyi wenyewe.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikao kilivunjika baada ya jamaa kutaka kuninyotoa kwa kusema eti waliliwa zamani na kuchakachuliwa.&lt;br /&gt;Naona dege la Kameruni linatua. Acha niwahi kumzomea japo kiduchu. Kwa heri!&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Novemba 15, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6782268687992945036?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6782268687992945036/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6782268687992945036&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6782268687992945036'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6782268687992945036'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/heri-nife-njaa-ushoga-hapana.html' title='Heri nife njaa, ushoga hapana'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5624313101138575590</id><published>2011-11-11T05:45:00.001-08:00</published><updated>2011-11-11T07:23:56.930-08:00</updated><title type='text'>African gay Penguins! Africa must enact pro-gay laws!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-c2Rd1U9_-A0/Tr0nGe0Y-3I/AAAAAAAABm8/IO6ZXHaEQGU/s1600/2011-11-08T225110Z_01_MDB08_RTRIDSP_3_CANADA.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 277px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-c2Rd1U9_-A0/Tr0nGe0Y-3I/AAAAAAAABm8/IO6ZXHaEQGU/s400/2011-11-08T225110Z_01_MDB08_RTRIDSP_3_CANADA.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673734097862196082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;African penguins Pedro (R) and Buddy interact with each other at the Toronto Zoo in Toronto November 8, 2011. The Toronto Zoo announced they will separate the penguins after zookeepers noticed behaviour denoting a gay relationship between the two, and pair them with females to help preserve the endangered species. Pedro and Buddy will be reunited after mating with other female penguins.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;re these Penguins real African Penguins or they have became African after the zookeepers noticed that they have some gay behaviours just the same way the British Government wants African government to behave? I am wondering if at all this is the way of exporting homosexuality to Africa or just mere cultural attacks.&lt;br /&gt;After telling African government to enact laws favouring gays, thereafter, the pressure will be exerted to telling African governments to enact law prohibiting dogs to sleep outside houses.&lt;br /&gt;God, where on earth are we heading for? Colonialism? Imperialism? Nihilism? Mental slavery? Sexism? Megalomania? Bulimia? Someone help me out there.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5624313101138575590?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5624313101138575590/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5624313101138575590&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5624313101138575590'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5624313101138575590'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/african-gay-penguins-africa-must-enact.html' title='African gay Penguins! Africa must enact pro-gay laws!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-c2Rd1U9_-A0/Tr0nGe0Y-3I/AAAAAAAABm8/IO6ZXHaEQGU/s72-c/2011-11-08T225110Z_01_MDB08_RTRIDSP_3_CANADA.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1609818371781900386</id><published>2011-11-10T14:12:00.000-08:00</published><updated>2011-11-10T14:15:25.075-08:00</updated><title type='text'>David Cameron and the West's Perception of Africa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-7yG7G4wJytA/TrxM6_145hI/AAAAAAAABmk/ocSjvEsLpEs/s1600/David%252BCameron%252BPrime%252BMinister%252BDavid%252BCameron%252BF9naVESZA7Zl.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 330px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-7yG7G4wJytA/TrxM6_145hI/AAAAAAAABmk/ocSjvEsLpEs/s400/David%252BCameron%252BPrime%252BMinister%252BDavid%252BCameron%252BF9naVESZA7Zl.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673494207033566738" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;British PM, David Cameron’s warning that his country will not give aid to African countries that don’t favour homosexuality has generated heat amongst Africa countries. According to Zambia, Ghana and Tanzania, this stand is an abuse of high order. In Tanzania, people in rural areas have mistaken the pro-gay edict to mean that Britain wants Africans to embark on homosexuality so as to be given money by donors!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Africans have themselves to blame for this high handed dealing by Britain. African countries have turned donors into a cure-all remedy for their problems, real and unreal. Tired of Africa’s dependence and begging, they have opted for such stupid conditions to cause us thinking on how to emancipate ourselves by utilizing our resources and brains for our good future. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A beggar is a beggar even if he is in a suit or is President.  While I do not defend homosexuality, we need to trace the genesis of such unacceptable conditions. When the donors forced us to change our economies for their benefit by embarking on Paris-New-York-London-made deceptive policies that ended up failing, they discovered that we can take any order from them. They thus decided to take us for a ride.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In Tanzania for example, under Structural Adjustment Programs, the government sold all public investment at a throw-away price, worsening the economy. Former president Benjamin Mkapa’s promise that Structural Adjustment Programs would create a modern economy was never realized in Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Why should a country like Tanzania that mines gold in tons go cup in hand begging from the same guys it threw gold away to? This is worse than homosexuality so to speak. This is the reason why donors are telling us to do stupid things. They know we are somewhat stupid. They want us to learn. But do we learn?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Begging and dependence has become the means of survival of most African countries. Currently, Tanzania’s budget is 40% dependent on donor aid. Even when we think of unifying East Africa, we still sheepishly go to the donors to fund the venture, the very donors who are afraid that the unity will weaken their influence. We have enough resources to realize the East African Community dream but our lopsided policies, short term thinking and corruption are our undoing.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;If we do not put our act together, we have not seen anything yet from our so called ‘development partners.’ The British government must respect Africa and avoid using human rights as a pretext to impose its values on Africa. Why be vocal on  pro-gay laws but  be silent about other human rights such as worthy education, nutrition, democracy and economic wellbeing that the majority of Africans lack? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Africa ought to know that Western countries are looking for a pretext to stop supporting African countries due to the fact that they have their own burdens at home- the Eurozone crisis. Refer to economic turmoils going on in Greece and Iceland and soon or later Italy. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Africa must urgently identify and address vices that curtail its development. Donors are not smarter than we think. What has brought power to them is nothing but accountability. If Africa embarks on true accountability for whatever governments do, it won’t take time for her to forge ahead and do away with begging. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;By giving us stupid conditions, donors are telling us to use our brains instead of stomachs. So who is to blame for such stupid conditions attached on donor money? Our governments that sit on huge resources which they abuse and use as personal property are to blame.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Source: The African Executive Magazine November 9, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1609818371781900386?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1609818371781900386/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1609818371781900386&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1609818371781900386'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1609818371781900386'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/david-cameron-and-wests-perception-of.html' title='David Cameron and the West&apos;s Perception of Africa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-7yG7G4wJytA/TrxM6_145hI/AAAAAAAABmk/ocSjvEsLpEs/s72-c/David%252BCameron%252BPrime%252BMinister%252BDavid%252BCameron%252BF9naVESZA7Zl.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2643605024472318652</id><published>2011-11-10T14:05:00.000-08:00</published><updated>2011-11-10T14:06:51.300-08:00</updated><title type='text'>Anayeivuruga CCM kati ya hawa ni nani?</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;HIVI karibuni gazeti hili liliripoti kisa cha wenyeviti wa mikoa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugawanyika kuhusiana na dhana nzima iliyokwama ya kujivua gamba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dhana hii ambayo, kimsingi, ilianzishwa na rais Jakaya Kikwete ama kwa makusudi au bahati mbaya, inaanza kumvua nguo baada ya kuonyesha wazi asivyo na ubavu wa kuwavua gamba watuhumiwa wawili yaani Andrew Chenge, waziri na mwanasheria mkuu wa zamani wa serikali na Mbunge wa Bariadi Mashariki na Edward Lowassa, waziri mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matamshi ya baadhi ya wenyeviti wa mikoa wa CCM yanatia kinyaa ukiachia mbali kuacha swali kama kweli bado CCM ina sera na udhu hata mshikamano. Maana huwezi kuamini kuwa mwenyekiti wa mkoa angeamka na kusema hadharani kuwa waziri fulani afukuzwe uanachama eti kwa vile alimtukana rais.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tusi lenyewe eti ni kulumbana na spika. Kwanini kwa mfano waziri wa Jumuia ya Afrika Mashariki Samuel (EAC), Sitta atuhumiwe kumtukana rais badala ya spika aliyekuwa akijadili jinsi upatikanaji wake ulivyokuwa mizengwe mitupu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa gazeti hili la Novemba 2, mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga Hamis Mgeja alitaka Sitta atimuliwe kwa vile kwa mujibu wa Mgeja, Sitta alimtukana Rais Kikwete na wajumbe wa CC, kupitia kipindi cha dakika 45, kinachorushwa na kituo kimoja cha TV, akilalamika kwamba waliweka kigezo cha jinsi kwa shinikizo la mafisadi kumuengua kwenye kinyang’anyiro cha uspika ambacho kilijenga mazingira kwa Mama Anna Makinda kupita kirahisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, si kweli kuwa kigezo hiki walikiweka wao bila kutoa sababu na maelezo ya kufanya hivyo zaidi ya kumzuia Sitta?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, kama Sitta ni muongo au alimtukana Kikwete, kwanini Kikwete hakumwajibisha. Hapa anayemtukana Kikwete ni Sitta au Mgeja anayezusha mambo na kutoa ushauri wa uongo na usio na maana? Je Mgeja katumwa na nani kama si mafisadi hao hao ambao wanajulikana walivyo na mitandao nchi nzima. Kwanini kwa mfano Mgeja aone kosa la “kumtukana” rais alilotengeneza kuwa kubwa kuliko anaowatetea ambao, kama ni kumtukana Kikwete wamemtukana matusi ya nguoni kwa kukataa kujivua gamba wakiendelea kushikilia msimamo kuwa hawakukutana na Kikwete barabarani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, ni uongo kuwa Makinda hakuchaguliwa kwa mizengwe ili kumzuia Sitta? Mbona akina Mgeja na wenzake wanakuwa kama hawajui kusoma na kuandika ambapo katiba imeweka wazi kuwa ubaguzi hauruhusiwi nchini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nini maana ya binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja ambayo ni mojawapo ya ahadi za mwana-CCM. Au ni kwa vile CCM imeegemea wenye nazo kiasi cha kuabudia madili badala ya maadili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kumalizana Sitta ambaye ameishaanza kuwa majeruhi kutokana na kile kinachoeelezewa kuwa ni kula huku na kule, kina Mgeja waliamua kumgeukia Nape Nnauye kuwa anakivuruga chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nape anakivuruga vipi chama? Anataka mafisadi wavuliwe magamba. Wapo wanaoona kama Nape anatimiza maagizo ya bosi wake yaani rais Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa CCM. Pia wapo wanaoona kama Kikwete anaogopa kuwakabili watuhumiwa wa ufisadi wanaopaswa kujivua gamba kwa kuogopa wasimvue kofia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili limethibitishwa na maneno ya hivi karibuni ya mtuhumiwa mmojawapo wa ufisadi ambaye alisisitiza kuwa yeye na Kikwete hawakukutana barabarani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa wanaojua siasa za nchi hii zilivyo chafu walijua kuwa huu ujumbe ulilenga kuwafikia wananchi ili wakate tamaa huku ukimkumbusha Kikwete kuwa ajue rafiki yake anamjua kuliko tunavyomjua. Hivyo apunguze mwendo kwenye kasi yake mpya na ari mpya na nguvu mpya ya kumwagiza Nape awashambulie.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusiana na Nape ni bahati mbaya kuwa Kikwete hajawahi kukanusha madai kuwa anamtumia kuwashambulia marafiki zake ambao hana ubavu wa kuwaambia “uso kwa uso kuwa tokeni mmechafuka na kuchafua chama.” Wapo wanaoona kama Kikwete hana jinsi na anachofanya ni sawa kwa vile naye alitajwa kwenye orodha hiyo hiyo iliyowazaa hao magamba ya chama chake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, kuna ukweli nyuma ya dhana hii kuwa Kikwete anawagwaya akina Lowassa na hivyo kumtumia Nape? Yote yawezekana. Jiulize Nape anapata wapi jeuri ya kuwakabilia hawa watuhumiwa wakati wengine wamenywea? Yuko wapi Wilson Mukama aliyeingia ofisini na viapo kuwa atakisafisha chama asijue kitamchafua na atanywea kama alivyofanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali kuu ni je nani wanakivuruga chama kati ya akina Mgeja, Nape, Sitta, Lowassa na Kikwete? Je, kwa wanachama wa CCM kujiweka rehani na kando wasiingilie kunusuru chama chao nao hawakivurugi? Maana inaonekana wanatumika kama kondoo kuswagwa wasipojua wala kutaka bali mswagaji.&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Novemba 9, 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2643605024472318652?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2643605024472318652/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2643605024472318652&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2643605024472318652'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2643605024472318652'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/anayeivuruga-ccm-kati-ya-hawa-ni-nani.html' title='Anayeivuruga CCM kati ya hawa ni nani?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6648839365420736198</id><published>2011-11-10T14:04:00.000-08:00</published><updated>2011-11-12T12:37:19.027-08:00</updated><title type='text'>Mpayukaji aanzisha CCM</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-IFlnhwH2xEo/Tr7Y-oHMwvI/AAAAAAAABnc/6bAa_AXmCCo/s1600/pope"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 270px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-IFlnhwH2xEo/Tr7Y-oHMwvI/AAAAAAAABnc/6bAa_AXmCCo/s400/pope" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5674211150964507378" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;NAJUA fika kichwa cha habari kitakong’ota wengi hasa wapenzi wa chama twawala. Pia kichwa cha habari kitaaacha hoi kwa mstuko huku viroho vikitweta kudhani nina mpango mchafu wa kukigaddafi kiama tawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sina mpango huu wakati huu na si kwa njia hiyo ingawa kinafaa kufanyiwa hivyo. Kwa taarifa ya walevi ni kwamba nimeanzisha Chama Cha Mahangaiko au Mparaganyiko yaani CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni baada ya kuona migongano kwenye Chama Chetu cha Magambagamba kuwa na misukosuko na kutaka kunyotoana roho, kuchafuana hata kutumiana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi hamkuwasikia akina Mjega wakitaka kina Sammy Sixx watimuliwe kwenye kiama wakati wasijue ni wadau wakubwa waliouza kaya kwenye kashfa ya Richmonduli ili wapewe uwaziri wa ulaji baada ya kunyimwa umicrophone.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Turejee kwenye CCM ya Mpayukaji inayochukua nafasi ya TLP yaani Timua Linda Personality yako. Baada ya kusifika kwa kuwafukuza wenzangu Kiarawaarawa, nimeamua kuanzisha zana nyingine ya kuusaka ulaji. Najua wengi wanaguna kusikia kuwa kuna CCM nyingine. Onyo: hii CCM yangu si ya mafisadi wala wasanii wala haina uhusiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM). NLangu ni chata la ukombozi wa walevi na wadaganyika toka kizani na kwenye mporomoko wa njuluku na upuuzi mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekuja na mikakati ya karne ya 21 ambapo badala ya kwenda kwenye majukwaa ya siasa nitatumia misikiti na makanisa kaya nzima kujitangaza na kujenga msingi wa kushinda uchaguzi utakapofika. Kwa vile nimeishachota pesa nyingi ya kahawa na kashata, nitahakikisha wale watu wa “Mungu” waliojazwa roho mtakakitu badala ya roho mtakatifu nawapa misaada kwenye miradi yao ya ulaji ili wanipigie debe na kunisafisha tokana na uchafu niliopakwa na kashfa ya wizi wa pesa ya kahawa na kashata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo msishangae kuona siku hizi naingia kwenye nyumba za ibada kama sina akili nzuri. Nani mwenye jeuri ya kuikataa pesa iwapo ana njaa tena aliyoificha nyuma ya joho na jina zuri la mtumishi wa God?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wa God nanyi nawaambia kuwa mchungaji lazima anywe maziwa ya hao awachungao hata kula nyama ya kondoo. Hivyo, msijivunge kuwatumia kondoo wenu kutengeneza ulaji binafsi. Wale ambao wanaendelea kujivunga nawashauri wajiunge nami ili niwatajirishe kwa vijisenti vya kahawa. Pia nasisitiza kuwa kondoo mnaowachunga ni mali yenu binafsi mkimwakilisha “Mungu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msiwaogope wale wanaowaita wapakwa mafuta wa shetani na mbwa mwitu wawararuao kondoo. Kama wanasiasa wanawararua wapiga kura wao kwanini iwe kosa kwenu kuwararua kondoo? Hamuoni akina Katortoise, Gamanyua, Mwakasengesenge, Rwakatarehe na wengine wanavyowararua kondoo na kuwa mabilionea?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile mie ni mjanja na si fala wa kutumia masaburi, nimeamua kuanza kampeni mapema. Hivyo kila siku za ibada msishangae kuniona nimezungukwa na mbwamwitu sorry wachungaji wa kondoo wa Bwana. Akina Masikasika na Mokiii wa mwanipata vile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua kuchanganya siasa na dini inakatazwa katika kaya hii. Lakini kwa sisi ambao hatukukutana barabarani na mkuu na kufanya naye urafiki, hili si tatizo. Lazima kulindana. Si mnajua tena. Waarabu wa Pemba. Hivyo msichonge midomo kuanza kuzoza eti jamaa anatumia sehemu za ibada kufanya siasa tena chafu inayoendeshwa na pesa za ufisadi wa kahawa na kashata. Mtajisumbua bure. Mie na jamaa ni damu damu na tumesomea usanii kaya nzima hakuna wa kutufikia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi nilisikia maadui zangu wakiongozwa na Msomi mkatatamaa aka Sam Six Mwakiwembe kuwa ninatumia fedha za kifisadi kwenye majumba ya Mungu. Ujinga mtupu. Nani si fisadi katika kaya hii? Hata hao wanaoibiwa pesa yao yaani walala kiza si kwamba wanauchukia ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanatamani ni lini wapate nafasi waufanye. Je, namna hii ufisadi utakwisha? Acha sasa tuupeleke kwenye nyumba za ibada ili ugeuke dini na mungu awe njuluku baada ya yule aliye juu. Mimi sikatai ni fisadi. Je wao si mafisadi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama si mafisadi wanangoja nini kwenye kijiwe iwapo kijiwe kizima kinanuka ufisadi na ufisidunia? Kumbaff nyote mafi ya mbuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kupeleka njuluku kwenye &lt;br /&gt;mahekalu ya Bwana nasaidia madafu yetu yanayoporomoka kama mgonjwa wa kuharisha kuimarika. Kwa taarifa yenu, kumwaga vijisenti kwangu kunalenga kuimarisha lishiringi lenu linaroporomoka kama ndege iliyozimika injini huku wapuuzi fulani wakizidi kuwaaminisha kuwa haya ni matokeo ya kuvurugika uchumi dunia nzima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si kweli, kinachoporomosha madafu yenu ni mipango mibovu, sanaa, ufisadi na matumizi na matanuzi ya wakubwa. Huwezi ukawa na mkuu mzururaji, (Vasco da Gama) njuluku yenu na uchumi vikawa na nguvu. Huwezi kuwa na mafisadi na vidokozi kila kona huku watu wakikwepa kodi wakisaidiwa na waajiriwa wa lisirikali kaya ikasongoa mbele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwezi ukawa na kaya inayowazawadia wezi malipo na marupurupu baada ya kuibia nchi isishuke thamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aloo! Ngoja niwahi chachi nikasuke mipango na wale maaskofu na nikotoka pale nikafanye mikakati na wenyeviti wa mikoa wa CCM yangu. Mpo hapo waliwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naona gari la msajili wa vyama. Acha nimuwahi anisajilie chama chap chap mradi hakitishii maslahi yake binafsi.&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Novemba 9, 2011.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6648839365420736198?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6648839365420736198/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6648839365420736198&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6648839365420736198'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6648839365420736198'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/mpayukaji-aanzisha-ccm.html' title='Mpayukaji aanzisha CCM'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-IFlnhwH2xEo/Tr7Y-oHMwvI/AAAAAAAABnc/6bAa_AXmCCo/s72-c/pope' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-1412208433008871293</id><published>2011-11-09T17:22:00.000-08:00</published><updated>2011-11-09T17:27:53.725-08:00</updated><title type='text'>Je huu si unyanyasaji wa wanyama?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-KByNPJmgrzU/Trsn-dmsqhI/AAAAAAAABmU/JzCQFd-Bu7M/s1600/Rhino3_182411.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 223px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-KByNPJmgrzU/Trsn-dmsqhI/AAAAAAAABmU/JzCQFd-Bu7M/s400/Rhino3_182411.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673172109655583250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-WdzOtG97oW8/Trsn-P8MAKI/AAAAAAAABmM/rLkkjfut8kQ/s1600/Rhino4_182411.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 223px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-WdzOtG97oW8/Trsn-P8MAKI/AAAAAAAABmM/rLkkjfut8kQ/s400/Rhino4_182411.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673172105987621026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mswahili akimning'iniza kuku anakamatwa na kushitakiwa kwa kosa la jinai. Hivi karibuni waziri mhusika alitangaza kuwa atakayewatesa wanyama atafungwa au kutozwa faini kwa maelfu si haba.Ajabu ya maajabu waziri mhusika na serikali yake hakuonyesha kujali kueleza atakachotendwa anayewatesa wanadamu hasa kwa ufisadi na uzembe! Anyway, kuna kipindi wanyama wanakuwa na thamani kuliko binadamu kama mashoga walivyo na haki na thamani kuliko mamilioni ya watu maskini. Turejee kwa wanyama. Picha hiyo hapo juu ni mnyama aina ya kifaru akisafirishwa kwa helkopta umbali wa kilometa 1,500 kama kutoka Dar es salaam hadi DRC tukisie. Zoezi hili lilifanyika huko nchini Afrika kusini. Je kwa kumning'iniza hata kama amekuwa sedated bado si kumnyanyasa? Sina la kusema.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-1412208433008871293?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/1412208433008871293/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=1412208433008871293&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1412208433008871293'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/1412208433008871293'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/je-huu-si-unyanyasaji-wa-wanyama.html' title='Je huu si unyanyasaji wa wanyama?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-KByNPJmgrzU/Trsn-dmsqhI/AAAAAAAABmU/JzCQFd-Bu7M/s72-c/Rhino3_182411.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6892902528205452647</id><published>2011-11-06T05:22:00.000-08:00</published><updated>2011-11-06T05:48:43.098-08:00</updated><title type='text'>EID MUBARAK NJEMA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-crECH8h3RM0/TraOmSwJLRI/AAAAAAAABmA/wcFswvF9Cic/s1600/i128449566014507272.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 180px; height: 270px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-crECH8h3RM0/TraOmSwJLRI/AAAAAAAABmA/wcFswvF9Cic/s400/i128449566014507272.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5671877569239657746" /&gt;&lt;/a&gt; Kapuku akiwa kwenye vazi la "kidini"&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-ILY1UyVpTVM/TraLRXiaNpI/AAAAAAAABlw/_C8eF9RcW8c/s1600/talal.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 292px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-ILY1UyVpTVM/TraLRXiaNpI/AAAAAAAABlw/_C8eF9RcW8c/s400/talal.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5671873911212095122" /&gt;&lt;/a&gt;Prince Al-Waleed bin Talal Al-Saud na mkewe Ameerah Al Tawaleel&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-7zvtBsy0M94/TraLRD1UkdI/AAAAAAAABlo/4sFqrnsoJ5o/s1600/walid.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 218px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-7zvtBsy0M94/TraLRD1UkdI/AAAAAAAABlo/4sFqrnsoJ5o/s400/walid.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5671873905922707922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Jakaya Kikwete na mkewe na Al Waleed na Ameerah Al-Tawaleel&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Pamoja na kuwatakia Idd Mubarak njema waumini wa kiislam, tunawaletea picha za viongozi wao hasa kutoka Uarabuni na vivazi vyao. Wakati wenzetu wanwavisha mahema wake na dada zao, waarabu wanapiga pamba kinoma. Mmeipata hiyo wajameni? Kwa wenye madaraka ninja kwa wake zao haramun! Tufakari na kujifunza. Unaweza ukaachwa ukaadhini umengojewa.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6892902528205452647?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6892902528205452647/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6892902528205452647&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6892902528205452647'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6892902528205452647'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/eid-mubarak-njema.html' title='EID MUBARAK NJEMA'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-crECH8h3RM0/TraOmSwJLRI/AAAAAAAABmA/wcFswvF9Cic/s72-c/i128449566014507272.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4742975168630245864</id><published>2011-11-04T20:38:00.000-07:00</published><updated>2011-11-04T20:39:13.806-07:00</updated><title type='text'>Mpayukaji kwenda kuchunguza afya India</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BAADA ya kuona wazito wote wanaougua wanapelekwa India, Mpayukaji naye ingawa ni mzito wa wanywa kahawa, ameamuru achangiwe madafu kiasi fulani aende kuchunguza afya yake. Sababu nyingine iliyomsukuma Mpayukaji kwenda India ni ile ya maadui zake kwenye kijiwe hasa wale wanaotaka afe wachukue ukuu kudhamiria kumnyotoa roho ima kwa sumu, nondo, kabari au mshale.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari za kiintelijensia ambazo Mpayukaji anazo ni kwamba pale kijiweni kuna wabaya wake wanaoongozwa na Mbwamwitu almaarufu akishirikiana na mwenzake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shushu wake mkuu mzee Machungi wa Mgosi ametoka Tanga hivi karibuni kutafuta zindiko la uchawi. Kwa vile wabaya wake wanataka kumlisha sumu na juzi amejisikia kuwashwa washwa na ukurutu sehemu za nonihino, ameamua kwenda zake India naye aonje huu ubora unaowapeleka wagogo na vigogo kwenda kutibiwa kule.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu ya tatu ni kwamba kwa vile Mpayukaji anapanga kugombea ukuu wa Kaya, anaenda kule kuona hizo hospitali za kihindi zinazomaliza njuluku za Wadanganyika zimejengwa kwa ubora gani ili akiukwaa azijenge hapa na kuokoa pesa ya walala kizani wa Bongolalaland.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu nyingine inayomfanya Mpayukaji kwenda huko Ugabacholini ni kwenda kuangalia miradi inayoweza kuwa imefichwa kule na wezi wenye maulaji wanaoweza ima kwenda kwenye mahospitali yao au kusuka dili ya kuingiza midawa ya hovyo kama ambayo mamlaka ya midawa inavyolalamikia kutamalaki kwa midawa fweki ambayo mingi inatoka kule na kule kwa Wala kila kitu wa kwa mzee Mao Zedongo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwenda kwa Mpayukaji Ugabacholini ni suto kwa watawala wasiojali masilahi ya kaya zao wakiishia kuzurura na kuficha mifweza nje kama kashafi aliyenyotolewa roho kama kibaka hivi karibuni. Nami nina mpango wa kuwahamasisha walevi na wanywa kahawa tuwanyotoe roho wezi wetu saizi ya Kashafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, mpango wangu wa kwenda kujichunguza afya yangi imayokabiliwa na kuwashwawashwa na ukurutu Ugabacholini haukupita kirahisi. Wanywa kahawa walichachamaa wakidai nakwenda kule kula maraha badala ya kutibiwa kwenye hospitali za hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenzao naumwa kweli. Wao, umaskini wao, walidhani nakwenda kujichana mikuku kule. Kuku gani wawe Ugabacholini iwapo magabacholi wenyewe wanakimbilia Bongolaland wanapokuja mikono mitupu na kuondoka mabilionea kama Chavda? Kule kuna kuku au dhiki tupu na viwanja vya jinai ya kutengeneza ufisadi. Hayo tuyaache kwa leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo walioona kama nazusha masahibu ya kutaka kunyotolewa roho ili nipate ujiko na ulinzi wa chee. Waliuliza ni kwanini sikulipoti kwa mandata hasa mkubwa wao yaani PIG. Msisme natukana. Kwa wasiojua kirefu cha PIG ni Police Inspector General na si nguruwe kwa kimombo. Nami niliwajibu kuwa Daktari mwenzangu Mwakiwembe aliporipoti kwa PIG nini kimefanyika zaidi ya kuonekana mzushi hadi yalipomkuta? Nani anajali?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata kutoa maelezo hawataki zaidi ya kuahidi kufanya hivyo na kuja na misifa badala ya maelezo. Mwenzenu anaumia nyie mnaleta mashauzi ya kike? Kumbafuni nyote mnaochezea uhai wa wenzenu mkijifanya kuwajali wanapokufa kwa kuwaita mashujaa ambao mapengo yao hayawezi kuzibika wakati mmewazika nyinyi na uovu wenu. Kwani haya hayafanyiki?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msidhani masihara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenzenu nawindwa kuuawa ili watu wapate ukuu. Kuna watu wamekwenda hadi urusini na kununua sumu aina polonium ambayo inaua kwa haraka na mateso usiambiwe. Yote haya yanafanyika na hakuna anayejali! Hawa usalama wa Kaya kazi yao nini au kutisha tisha watu na kuchakachua kura za kula? Senzi sana Usalama wa Kaya hamna hata maana. Nyie ni nepi za mafisadi na wauaji mtake mistake. Kumbafuni sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wamegeuka wanyama. Yaani pamoja na aibu na mateso yaliyompata Gadhaffu sorry Kashafi bado watu wanatamani madaraka hata kwa kutoa roho za wenzao! Inatisha sana wajameni. Kwa mfano mie na Kijiwe changu tuna nini hadi watu kutaka kuninyotoa roho? Au ni huu ujiko wa shilingi mbili wangu na bi mkubwa kujidai na madaraka ya kijiwe utadhani hayatatutoka siku ikifika?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasisitiza. Mie siyo kama Kashafi au M7 na Kaga…malizia. Watu kwa umaskini wa matumbo na vichwa bwana. Kuna nini kwenye kijiwe changu cha ombaomba kila uchao? Kahawa na kashata vya dezo? Mungu naomba uniepushe na makafiri hawa wapenda madaraka hata kama hawana uwezo wa kuyatumia vizuri kama Kashafi. Mtakuja kufanyiwa nchezo mbaya kama Kashafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Turejee kwenye mipango ya kutaka kwenda Ugabacholini. Kwanza nikishafika kule, nitahakikisha narejea na siri inayowapeleka kila mtu kule. Je, yawezekana Ugabacholini kunatumika kama kisingizio cha kutoendeleza huduma bora hapa kayani? Kweli yawezekana. Tangu uchumi wa kaya ulipowekwa mikononi mwa kunguru unategemea nini? Mambo yanazidi kuongezeka. Baada ya kuweka uchumi wa kaya na kuridhika na ten percent sasa tunaweka hata afya zetu mikononi mwa magabacholi yarabi. Hili halitakuwa chini ya utawala wangu kama nitafanikiwa kuchaguliwa kuwa mkuu wa kaya piga ua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwa siachi kujiuliza. Kama Kashafi aliweza kutoa elimu bure, wake bure, umeme na makando kando mengine na bado akanyotolewa roho na kufanyiwa vitendo vibaya, ikifika hapa itakuwaje? Hivi hawa wanaofanya madudu wana akili kweli au ni mataahira wasio na hata kumbukumbu? Mwenzenu Kashafi kanyolewa kwanini msitie maji badala ya kuendelea kukenua na kujipa matumaini kama paka kukalia mkia akadhani kakalia bonge la kochi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shauri yenu. Mwenzenu naelekea Ugabacholini hivi karibuni ili kufichua siri zenu na kuja hapa na kuwaumbua. Maana sielewi kwanini hata mwenye ugonjwa wa ukurutu anaenda kutibiwa India? Kaeni chonjo Mpayukaji aja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha niwahi eapoti kununua tiketi kwa ajili ya safari yangu ya Ugabacholini. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Novemba 2, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4742975168630245864?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4742975168630245864/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4742975168630245864&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4742975168630245864'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4742975168630245864'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/mpayukaji-kwenda-kuchunguza-afya-india.html' title='Mpayukaji kwenda kuchunguza afya India'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-8589037949447749218</id><published>2011-11-02T19:35:00.000-07:00</published><updated>2011-11-02T19:40:21.736-07:00</updated><title type='text'>Makinda amedhalilishwa au kuambiwa ukweli?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-LNJipuq48rs/TrH--EJIVmI/AAAAAAAABlc/wJ5lPuueYf0/s1600/Sitta2%252818%2529.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 250px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-LNJipuq48rs/TrH--EJIVmI/AAAAAAAABlc/wJ5lPuueYf0/s400/Sitta2%252818%2529.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5670593748053546594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-a-OApRJSIsk/TrH--J66UDI/AAAAAAAABlQ/gn5c7FVrDuE/s1600/Anne%252520Makinda%25286%2529.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 350px; height: 250px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-a-OApRJSIsk/TrH--J66UDI/AAAAAAAABlQ/gn5c7FVrDuE/s400/Anne%252520Makinda%25286%2529.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5670593749604519986" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Vyombo mbali mbali vya habari  hivi kariubni viliripoti kile vilichokiita kudhalilishwa kwa spika wa Bunge Anne Makinda kunakodaiwa kufanywa na mtangulizi wake Samuel Sitta waziri wa ushikiano wa Afrika Mashariki. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa safu hii si mara ya kwanza wala ya mwisho kuandika kuhusiana na mnyukano huu baina ya maspika wawili aliyepo na aliyepita.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maneno yaliyochukuliwa na vyombo vya habari kuwa yalilenga kumdhalilisha au yalimdhalilisha Makinda yalisemwa na Sitta aliyenukuliwa akisema, "Mwanzoni hakukuwa na suala la viti maalumu katika suala hili (la kuwania uteuzi wa kugombea uspika)...walidhani wataweza kutumia fedha kwa wabunge ndiyo maana tukagombea wengi, lakini wakaona haiwezekani kabisa, nikiingia nitashinda kwa kura, siku moja kabla ya uteuzi ndiyo wakaweka sharti hilo la mgombea awe mwanamke, hilo likanishinda..." &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuangalie maneno ya Sitta. Je pesa haikutumika? Je ubaguzi, tena wa kijinsia, haukutumika tofauti na katiba isemayo ubaguzi ni mwiko? Je Makinda hakuchaguliwa kwa shinikizo la watu fulani waliotumia jinsia kama sababu tu? Kwanini Makinda siku zote alipokuwa akitakiwa kukanusha kuwa ni chaguo la mafisadi alikuwa akikaa kimya? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa safu hii haina tabia ya kumtetea mtu kutokana na kwamba hailipwi kwa kazi ya utetezi kama wasemaji wa wakubwa, kwa hili Sitta hajakosea. Amepiga kwenye kidonda na huenda bubu atasema kujibu mapigo na ukweli kujulikana. Maana, kwa wanaokumbuka mzengwe uliotembea kuhakikisha Sitta hakalii kiti cha spika bado wanakumbuka jinsi Makinda alivyochomolewa huko alikochomolewa na kusimikwa hapo alipo. Hili halina kudhalilishana wala kusingiziana. Je hawa wanaoona Makinda kadhalilishwa au hakupatikana kwa mizengwe wanawaona watanzania kama dagaa ambao hawana hata kumbukumbu? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata ukiwalinganisha Makinda na Sitta kielimu na uzoefu, Makinda hana uwezo wala sifa ya kumzidi Sitta kama tukiondoa makengeza. Kazi ya spika mara nyingi ni kazi ya kisheria yaani kutunga sheria. Ukiangalia mabunge yote ya nchi za Afrika Mashariki, ni Tanzania tu ambayo ina spika asiye na taaluma ya sheria.  Hata ukiangalia kiwango cha elimu cha wawili hawa, utagundua kuwa Makinda hana elimu kumzidi Sitta hasa kwa kuzingatia uzito wa kazi ya spika. Je kwanini Makinda alifaa kuliko Sitta? Jibu ni rahisi kuwa kwa vile hana elimu wala uzoefu wa kutosha, ni rahisi kutumiwa na watu wachache kupitishia mambo yao bungeni. Makinda si hatari kwa mafisadi kama alivyokuwa Sitta. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu Makinda aingie madarakani, ameishanusuru wakubwa zake. Mfano mzuri ni pale alipoamua kumfukuza mbunge wa Arusha Godbless Lema kwa kudai waziri mkuu Mizengo Pinda alilidanganya bunge na taifa aliposema watanzania waliouawa na jeshi    la polisi kwenye maadamano ya CHADEMA ya Arusha ni watatu wakati ni wawili. Spika alipandwa na hasira kana kwamba aliyekuwa kaambiwa kadanganya si binadamu bali Mungu. Mfano huu mdogo waweza kukuonyesha tunachomaanisha tunaposema kuwa Makinda ni rahisi kutumiwa kutokana na upeo mdogo wa masuala ya kisheria na bunge.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia kiwango cha elimu na uzoefu, hata ukiangalia nani anajulikana kwa watanzania kati ya Makinda na Sitta utaona tofauti. Kwa mfano, mwandishi wa makala hii anajua kuwa Sitta ni mume wa Magreth Simwanza Sitta. Ukimuuliza mwandishi mume wa Makinda, hawezi kukupa jibu. Japo suala la familia ni suala binafsi lina umuhimu katika uongozi wa umma. Familia zetu ni kielelezo cha sifa na uwezo wetu kwa taifa. Hivyo, kuna haja ya kujua maisha ya Makinda ya kifamilia na ikiwezekana kwa spika ajaye sawa na rais lazima familia yake ijulikane. Tunasema hivi kutokana na hivi karibuni nchi ya jirani ya Kenya jaji mkuu wa sasa Dk Willy Mutunga aliponea chupuchupu baada ya habari kutoka kuwa alikuwa kwenye taratibu za kuachana na mke wake. Ingawa alifanikiwa kuvuka kikwazo hiki, bado ithibati ya kifamilia ilionekana kuwa kitu muhimu katika uongozi. Hapa najua kuna wanaoweza kuja na utetezi kuwa watu kama Askofu Makarios wa Cicilia hakuwa na mke wala imla wa zamani wa Malawi Hastings Kamuzu Banda. Ukweli ni kwamba walikuwa na udhaifu mkubwa sana hasa Banda aliyefikia mahali pa kutaka kufilisi taifa kwa kutumia kimada wake Cecilia Kadzamira.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Turejee kwenye mada ya leo ya udhalilishaji.  Makinda, kama hakupatikana kutokana na mizengwe baada ya mtangulizi wake kuonekana habebi mafisadi hasa kashfa ya Richmond, ni sifa gani ya muda aliyo nayo angalau moja acha nyingi? Tumalizie kwa kumshauri Makinda akubali ukweli kuwa uspika wake ulipatikana kwa njia haramu ya ubaguzi wa kijinsia ili kumkomoa Sitta kwa kuwashughulikia wezi wa Richmond ambao bado wana ndoto za kuwa rais wa Tanzania. Bila Makinda ama kutoa maelezo yanayoingia akili au hata kujiuzulu kutokana na kuendelea kuonekana tunda la mafisadi, ataendelea kukumbushwa ukweli huu. Historia ndivyo ilivyo. &lt;br /&gt;Chanzo: Dira Novemba 3, 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-8589037949447749218?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/8589037949447749218/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=8589037949447749218&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8589037949447749218'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/8589037949447749218'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/11/makinda-amedhalilishwa-au-kuambiwa.html' title='Makinda amedhalilishwa au kuambiwa ukweli?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-LNJipuq48rs/TrH--EJIVmI/AAAAAAAABlc/wJ5lPuueYf0/s72-c/Sitta2%252818%2529.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6603164356421344269</id><published>2011-10-28T07:43:00.000-07:00</published><updated>2011-10-28T07:46:53.841-07:00</updated><title type='text'>Aibu serikali kutolewa vyombo nje</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-5WmKj_XbLZY/TqrAWWxr1AI/AAAAAAAABlE/1YtybzQYx48/s1600/Dr-Nchimbi-na-NSC.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-5WmKj_XbLZY/TqrAWWxr1AI/AAAAAAAABlE/1YtybzQYx48/s400/Dr-Nchimbi-na-NSC.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5668554571302818818" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Habari kuwa wizara ya Habari Utamaduni na Vijana na Michezo ilitolewa vyombo vyake hivi karibuni baada ya kutolipa pango la nyumba kwa mwenye nyumba yaani NHC ziligonga vichwa vya habari. Wengi wanajiuliza. Inakuwaje wizara inayopangiwa bajeti kila mwaka kushindwa kulipa pango la nyumba kama hakuna ufisadi? Je pesa inayotengwa kwenye bajeti kwa ajili ya kulipia pango inakwenda wapi na kwa nani? Ajabu utashangaa kusikia kuwa wakubwa wa wizara wanaishi kwenye mahekalu ya serikali ukiachia mbali kuporomosha mahekalu yao binafsi? Je pesa ya pango inaishia kwenye mifuko na miradi ya wakubwa wa wizara? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumejuzwa deni la pango. Vipi madeni ya maji, simu umeme na mambo mengine? Maana kwa hali ilivyo, ni kwamba kila mtu anajifanyia atakavyo ilmradi ni wakati wa madili uliopindua maadili. Anayebishia hili ajiulize ni matajiri wangapi anawaowajua tena watu walioanza kazi jana kwa vyeo vya chini lakini wana mimali ya kutisha. Nenda ukachunguze wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere au KIA utajua ninachomaanisha. Usiishie hapo. Nenda bandari, uhamiaji, mita za mafuta, TRA hata mbuga za wanyama utajua nimaanishacho. Ukitoka hapo malizia benki kuu na wizara ya biashara utaona ninachomaanisha. Tunaipeleka wapi nchi? Ajabu hakuna anayejali. Hata wakubwa wanaotuaminisha kuwa wako makini hawastuki wala kushangaa!  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Turejee kwenye kashfa hii ya wizara kushindwa kulipa pango la nyumba. Kwa ufupi ni kwamba NHC, Kama Tanesco haipaswi kuwa maskini kama ilivyo. Nani hajui kuwa wapangaji wengi ni watu wa mbari fulani tena wenye uwezo lakini wakilipa kiduchu ukilinganisha na wapangaji wa Kiswahili wanaopanga uswahilini? Ingawa NHC inaitwa Msajili wa Majumba, kimsingi si msajili wa majumba bali msajili wa Wahin… malizia tusijeambiwa tunahubiri ubaguzi. Ajabu ubaguzi kwenye upangaji wa nyumba na umilki wa biashara tena zitokanazo na ufisadi si ubaguzi! Nani hajui kuwa wezi kama akina Chavda na wengine wengi wanaendelea kutanua huku vibaka wakimalizwa kwa moto?   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii maana yake nini? Serikali inaona uchungu kwa wizara yenye kutumia pesa ya walipa kodi, kutimuliwa  kwenye nyumba wakati serikali hiyo haioni uchungu pale makapuku wanaponyanyaswa na kunyonywa na wenye nyumba wanaoweza kujipangia kiasi cha kodi bila kubughudhiwa. Hivi nani hajui kuwa wapangaji wengi mijini wamegeuka watumwa wa wenye nyumba wenye tamaa wanaodai kiremba hadi kodi ya mwaka kwa mtu anayelipwa kwa mwezi? Hii ndiyo maana hatuna uchungu na wizara kutupwa nje ya nyumba. Tungeshauri na Tanesco na DAWASA wawakatie huduma hadi walipe. Maana kwa kuendelea kuwavumilia tunaumiza watu wetu. Kwanini kuwavumilia wakati ni hao hao wakwepa kodi ya pango wanaoingia mikataba ya kipumbavu na wezi kama Dowans na kuishia kugawana mabilioni ya kodi zetu huku tukilazwa kwenye kiza kama mende?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wenye uchugu na taifa letu wana hasira na kisasi na watendaji wanaotumia mamlaka yao kuzidi kuwaibia maskini kodi zao.  Kwanini wizara inapata pesa ya kulipa posho za vigogo wake, pesa ya kupitisha bajeti, kujipongeza hata ya kukirimu wageni lakini wizara hiyo hiyo ikakosa pesa ya kulipa pango la nyumba? kunani hapa? Ingawa Afrika inasifika kwa umaskini na uomba omba wake, ukweli ni kwamba hivi havijaumbwa na Mungu bali ombwe la uongozi na vipaumbele uchwara. Inashangaza nchi inayoweza kutumia mabilioni kwenye jimbo moja la uchaguzi kushindwa kulipa pango la wizara yake na hakuna anayewajibishwa.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani hajui kuwa tatizo letu ni kuvipa umuhimu vitu vya hovyo na kuvipuuzia vitu vya muhimu? Hebu angalia tunavyowekeza kwenye siasa badala ya huduma za jamii. Jiulize ni helkopta ngapi zilitumika Igunga lakini kura zikasafirishwa kwa mikokoteni na punda? Je hapa tatizo ni raslimali au busara akili na utashi katika kuweka vipaumbele? Kwanini, kwa mfano, serikali inapata pesa ya kununua mashangingi mawizarani, mikoani na wilayani lakini ikashindwa kulipia pango, umeme, simu, maji na huduma nyingine? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu nchi isiyo na pesa ya kutosha kulipia pango, inaruhusu majambazi wachache kutorosha madini na wanyama na hakuna anayestuka? Nani hajui kuwa pesa nyingi ya kodi inaishia kwenye mifuko ya watendaji wachache wa umma kama tulivyobainisha kuhusu TRA, viwanja vya ndege, mipakani na kwingineko? Kwani hili halijulikani au kwa vile waajiriwa kwenye maeneo haya ni watoto wa wateule au vibaraka wao wanaokula nao? Nani hajui kuwa wengi wa matajiri kwa mfano wa viwanja vya ndege ni waajiriwa wa serikali na wauza unga? Kwani siri? Ajabu utasikia TAKUKURU ikitoa kila maigizo na kushindwa kuwachunguza watu ambao utajiri wao haulingani na vipato vyao. Lakini TAKUKURU itafanyeje hivyo wakati watendaji wake wengi nao wana mali nyingi zilizopatikana kifisadi sawa na wenzao wanaopaswa kuwachunguza.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo askari wa usalama barabarani wamegeuka askari wa balaa barabarani kutokana na kula na wahalifu wanaoendesha magari kinyume cha sheria huku polisi wakila na majambazi, wanasiasa na wafanyabiashara haramu na majambazi wakubwa na wananchi wakiendelea kuwa mashuhuda.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumalizie kwa sakata la wizara kufungashiwa virago. Ajabu ni kwamba wakubwa watang’aka na NHC itanywea na wizara kuendelea kufanya vitu vyake. Nani anajali kwenye taifa ambalo halina mwenyewe na kila mtu anatesa kwa zamu. Hivi kweli haya nayo yanahitaji rais kuingilia au wananchi wenyewe wanaweza kufanya hivyo kwa kushinikiza serikali iwajibike vinginevyo waitimue? Hata kama wananchi kwa ujinga, ukondoo na kuishi kwao kwa matumaini ni waathirika, wasipopaza sauti nani atawasaidia badala ya wao kujisaidia wenyewe? Tieni akilini. &lt;br /&gt;Chanzo: Dira Oktoba 2011.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6603164356421344269?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6603164356421344269/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6603164356421344269&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6603164356421344269'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6603164356421344269'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/aibu-serikali-kutolewa-vyombo-nje.html' title='Aibu serikali kutolewa vyombo nje'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-5WmKj_XbLZY/TqrAWWxr1AI/AAAAAAAABlE/1YtybzQYx48/s72-c/Dr-Nchimbi-na-NSC.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-7868130699310298052</id><published>2011-10-26T17:50:00.000-07:00</published><updated>2011-10-26T17:57:11.045-07:00</updated><title type='text'>Al Shabaab War: Did Kenya Count the Cost?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-AbqIhTPp1cY/TqisU6zifmI/AAAAAAAABk4/3b45pbHHiN8/s1600/Al_Shabaab_baabuur.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 265px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-AbqIhTPp1cY/TqisU6zifmI/AAAAAAAABk4/3b45pbHHiN8/s400/Al_Shabaab_baabuur.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5667969606428556898" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Since its independence, in 1963, Kenya has nary embarked on any war with any country. Now the “Ordnung” or unchallenged order has been broken. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Almost all Eastern Africa countries, except Kenya have had war either with neighbours or within their boundaries. Kenya has however known small scale riots namely, the shifta uprising (1967) and post-elections chaos (2007). The country has been relatively peaceful but the Al-Shabaab incursions are putting this record to test.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Should Kenya ignore all realities and shun taking on Al-Shabaab or let her security hang in the balance? Logically, the choice is obvious. However, before making it, there were some issues that needed analysis and consideration. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;First, before going to war with Al-Shabaab, Kenya ought to have secured support from neighbouring African countries. Unfortunately time and circumstances did not allow this. So too, neighbours are duty bound to support Kenya militarily and politically simply because Al-Shabaab’s activities in the region have always affected all countries. Refer to the piracy in the Indian Ocean that has badly affected the economies of the region, the Uganda attack during the World Cup games as well as the Dar es Salaam and Nairobi Al-Qaeda bombings in 1998. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;For other African countries to come into the big picture, they must obtain consent from the African Union (AU) which should have declared war against Al-Shabaab. This would avert the danger of other countries blaming Kenya for invading the failed state of Somalia. Countries such as Britain, United States and other that have already been affected by terrorism, must not sit back and watch.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Secondly, Kenya whose shilling is now in a free cascade should have ensured that the war will not damage the shilling further. Remember, Tanzania lost her economic stability in 1978 when it took on Idi Amin. The economy of Tanzania has never recovered even though this is not the only reason for the country’s sick economy and currency. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kenya’s economy depends heavily on tourism. Therefore, when Kenya is taking on Al-Shabaab for attempting to sabotage and suffocate tourism and security in Kenya, it must have ensured that the war does not stifle tourism. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;As for national security, this is sine qua non. Nobody can discuss or put a choice on this. Kenya has to fight to make sure that Kenyans and their visitors are secured so as to enjoy their lives. This, if anything, is non-negotiable.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kenya is not facing Al-Shabaab only. She has looming wars almost in all her boundaries except the boundary with Tanzania. On the west there is Migingo Island crisis with Uganda while in the north, Ethiopian bandits have always put Kenya on alert. Now that Kenya has decided to take on Al-Shabaab, the message for the rest will be crystal clear: a peaceful country can turn to war if it is forced to do so. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The Al-Shabaab spokesman recently warned that Kenya's beautiful buildings and tourism would be badly affected for engaging Al-Shabaab. Such verbiage must agitate Kenya even more to make sure that Al-Shabaab is exterminated soon. How can Kenya allow Al-Shabaab to keep on spitting on it and get away with it under the strength of issuing threats? Nunca mas, (never again)! &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Going to war depends on the seriousness of provocation especially when it has to do with national security; the personal behaviour of a country’s commander in chief and  the economy. Nobody wants to go to war games. But if you are forced as it is in this case, you have no choice but to go to war. It is not an easy choice, this is why Kenya is currently vacillating amidst many battles.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Source: The African Executive Magazine October 26, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-7868130699310298052?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/7868130699310298052/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=7868130699310298052&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7868130699310298052'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7868130699310298052'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/al-shabaab-war-did-kenya-count-cost.html' title='Al Shabaab War: Did Kenya Count the Cost?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-AbqIhTPp1cY/TqisU6zifmI/AAAAAAAABk4/3b45pbHHiN8/s72-c/Al_Shabaab_baabuur.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3087245781162099711</id><published>2011-10-26T17:48:00.000-07:00</published><updated>2011-10-26T17:50:31.042-07:00</updated><title type='text'>Sitta anataka kumdanganya nani?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-HJg_Mp6xGfI/Tqiqy6MOprI/AAAAAAAABks/5bb-OSSzwC4/s1600/sita"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 295px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-HJg_Mp6xGfI/Tqiqy6MOprI/AAAAAAAABks/5bb-OSSzwC4/s400/sita" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5667967922636498610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hakuna ubishi kuwa Waziri wa Jumuia ya Afrika Mashariki na Mbunge wa Urambo, Samuel Sitta, ni mmojawapo wa wanasiasa wakubwa nchini tena wenye historia ndefu na pana ya taifa letu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitta, ni kati ya wazee walioonekana kama wenye msimamo wa kuleta maendeleo kwa taifa hasa kwa jinsi alivyoendesha Bunge alipochaguliwa kuwa spika wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna kitu kilimpatia sifa na heshima kubwa kama kuridhia kuundwa kwa Kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe, ambaye ni Naibu Waziri wa Ujenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana ni kupitia maamuzi ya Kamati ya Mwakyembe, kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa, waziri mkuu aliweza kulazimishwa kuachia madaraka yake baada ya kubainika kuwa nyuma ya kashfa ya Richmond. Leo hatutaongelea maana ya Richmond maana wengi wanaijua kutokana na kuwa sehemu ya kongwa shingoni mwao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunachoweza kusema ni kwamba tutaongelea kampuni mtoto wa Richmond yaani Dowans ambayo imeshinda tuzo la shilingi 111,0000,0000,0000 ambazo zinapaswa kulipwa na Shirika la Umeme la Taifa (TANESCO) kwa kuvunja mkataba na kampuni hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuzo hili lililotolewa na mahakama hivi karibuni limeigawa nchi baina ya watu wachache wenye madaraka na wanaodhaniwa kuwa nyuma ya hujuma hii na wengi wasiopenda kusikia neno kulipwa Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mmojawapo wa watu wanaotaka Dowans isilipwe ni Sitta. Kupinga pesa ya umma kulipwa kwa mafisadi si jambo baya. Ila kwa mtu wa aina ya Sitta kusema Dowans isilipwe pekee hakutoshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo wanaouliza: Yeye kama mwanasheria kitaaluma na waziri kwenye serikali yenye kuonyesha kasi ya ajabu kuilipa Dowans anachukua hatua gani binafsi? Hivi kujiuzulu nako kunahitaji ushauri zaidi ya uzalendo na utayari kuwa serikali husika haifai?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, mtu anayekaa ndani ya serikali hiyo hiyo na kuwaaminisha umma kuwa anaichukia si mbaya kuliko hata wale wanaokaa kimya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo wanaokwenda mbele na kuhoji: kwanini Sitta asijiuzulu toka kwenye serikali inayoonyesha wazi kulalia ufisadi badala ya kukaa humo humo na kupiga mdomo na kulalamika?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wanashangaa kwanini Sitta hataki kujua kuwa kikwazo cha kila kitu ni bosi na rafiki yake Rais Jakaya Kikwete. Je, Sitta anadhani watanzania wamesahau yeye na Dk. Mwakyembe walipowasaliti kwa kutotoboa ukweli wote kuhusiana na walioko nyuma ya Richmond?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo anakuja na maneno kuwa waziri mkuu akijiuzulu serikali yote inaanguka. Kama ni kweli mbona kamati yake na Bunge lake hawakushinikiza serikali ijiuzulu na badala yake walidandia kupewa vyeo vidogo kwenye serikali hiyo hiyo? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Namheshimu sana mzee Sita. Heri ajinyamazie na kuendelea kusutwa na nafsi yake kama ana udhu kiasi hicho au aendelee kutetea mkate kwa kutetea serikali legelege iliyoshikwa na mafisadi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hali hii you must either be pregnant or not pregnant but not both.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu Sitta hivi karibuni alikaririwa akisema kuwa hakutegemea Lowassa aachie ngazi na kama angefanya hivyo basi alijua serikali nzima ingeporomoka. Hii maana yake ni kwamba sifa inazopewa Kamati Teule ya Bunge haizistahili ikichukuliwa kuwa haikuwa imedhamiria kumtimua waziri mkuu na kama ingekuwa imedhamiria, alipojiuzulu kwanini kamati haikushinikiza serikali nzima iachie madaraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili ni swali ambalo Sitta na wenzake litawaandama daima huku nafsi zikiwasuta kuwa walisaliti umma kwa ajili ya vyeo tena vidogo vya muda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaokumbuka kashfa ya Watergate iliyomuondoa madarakani rais wa Marekani Richard Nixon watakumbuka jinsi mambo yalivyokwisha tofauti na ilivyotegemewa kama ilivyotokea kwa Lowassa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, Lowassa alijiachia madaraka kwa hiari yake kama sehemu ya uwajibikaji? Kama ni hivyo mbona alilalamika baadaye? Kama ni hivyo kwanini aliendelea kutoelezea alichojua kuhusiana na Richmond? Kama ni hivyo kwanini Lowassa hakutaka kuongelea tuhuma mbali mbali za ufisadi hata kabla ya Richmond zinazoendelea kumwandama?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, Lowassa alilazimishwa na bosi wake yaani rais Kikwete kuepuka siri zote kumwagwa hadharani? Je, aliachia ngazi kuokoa serikali akitegemea angerudishwa kwa mlango wa nyuma? Je, Lowassa alifanya uamuzi kutokana na hasira au kuogopa hatari ya kuletewa ushahidi zaidi na kuishia kifungoni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa Lowassa ana zigo lake la tuhuma, spika aliyeunda tume iliyommaliza Lowassa, Sitta hawezi kuendelea kujionyesha kama mtu mwema wakati anatumikia serikali hiyo hiyo inayonuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawezi kueleweka kuiambia serikali isiilipe Dowans wakati anaendelea kubaki kwenye serikali ile ile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Laiti Sitta angekuwa mkweli pamoja na mwenzake Dk. Mwakyembe wangeeleza yaliyofichwa na kamati teule ya Bunge na kuomba msamaha yakaisha. Bila kufanya hivyo nao wataendelea kuwa wanafiki na mfisadi wa kawaida waliohongwa vyeo uchwara kwa kuisaliti nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatizo kubwa la wanasiasa wetu wengi ni kudhani kuwa umma hauna akili wala kumbukumbu kujua nani ni nani katika nini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwakyembe na Sitta wamekuwa wakiisakama serikali lakini ajabu hawataki kutoka kwenye serikali hiyo hiyo! Wamekuwa wakitaka waonekane kama wapiganaji dhidi ya ufisadi kwa kuendelea kutumikia serikali wanayoituhumu kuwa fisadi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huwezi kusema kuwa serikali ya Kikwete ni ya kifisadi lakini bado ukasema eti Kikwete si fisadi. Ni ajabu hata Kikwete anawavumilia au ni kwa vile wote wanatumiana? Yale yale ya Magomeni! Aliyeuza dhahabu feki kapewa noti feki. Mchezo kwisha!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, Sitta anataka kumdanganya nani wakati kila kitu kiko wazi? Heri mzee Sitta angejinyamazia na kuendelea na cheo chake kitokanacho na kazi pevu aliyofanya kuinusuru serikali anayoishambulia kila siku.&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Oktoba 26, 2011.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3087245781162099711?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3087245781162099711/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3087245781162099711&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3087245781162099711'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3087245781162099711'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/sitta-anataka-kumdanganya-nani.html' title='Sitta anataka kumdanganya nani?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-HJg_Mp6xGfI/Tqiqy6MOprI/AAAAAAAABks/5bb-OSSzwC4/s72-c/sita' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4273115586321110823</id><published>2011-10-26T17:47:00.001-07:00</published><updated>2011-10-26T17:48:19.259-07:00</updated><title type='text'>Badala ya kujivua gamba Ewassa amejivua nguo</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-C6BU771pmBg/TqiqQYJ5__I/AAAAAAAABkg/IUeQn5GGaOA/s1600/Katuni%2B8.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 319px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-C6BU771pmBg/TqiqQYJ5__I/AAAAAAAABkg/IUeQn5GGaOA/s400/Katuni%2B8.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5667967329384398834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;INGAWA amejitahidi kula kobisi, kwa wale wenye kufuatilia mambo watakubaliana nami kuwa Eddie Ewassa aliyependa kujionyesha kama kidume kumbe ni mwoga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamaa si alitupata wanywa kahawa lilipopigwa talalila kuwa angefanya kweli na kutoa somo kwa dunia tusijue atageuka mwoga!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukiwa hatuna hili wala lile si wambea wakatangaza kuwa Ewassa angeitisha kigwena na kumwaga mtama kwa kuku ili watafune! Usiambiwe! Kila mnywa kahawa na mlevi alijiweka tayari kupokea ufunuo huu wa kumwaga mtama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpayukaji kama ada nilinunua kabrasha kubwa tayari kuchoronga yote ambayo yangenenwa na kigogo huyu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi tulijiandaa hata kumuuliza maswali mazito juu ya mambo mazito na tuhuma nzito. Wapo waliojiandaa kuzomea zomea huku wengine wakijiandaa kwenda kwake kujipendekeza ili awape mshiko kama ilivyotokea kwa wasomi uchwara hivi karibuni. Jamani kujigonga kwa fisadi ni uchangudoa wa kimaadili hata kama wahusika wanaona ni dili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hauchi hauchi kuchile. Kule Richmondoli nyasi zilitandazwa tayari farasi kufungiana nyama na nyangwa. Saa ilipowadia tukamuona jamaa akiingia ukumbini na waramba viatu wake kina EF. Kibondemaji na Kayaanda waliokuwa wakihanikiza kwenye runinga kutukana watu kwa vile eti wanamsakama mungu wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku viroho vikitweta na kijasho chembamba kikituchuruzika tayari kusikia yasiyosikika jamaa si alianza sanaa .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatukuamini masikio yetu kutokana na yale aliyoanza kusema. Ilibidi tuvumilie maana mvumilivu hula mbivu ingawa wakati mwingine aweza kuambulia mbovu kama sisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wajua nini? Badala ya kumwaga mipwenti si alianza kumsifia mshikaji wake wa barabarani wa Chama Cha Mafisadi (CCM), Sio CCM unayoijua, hii ninyine kabisa. Wengi hatukuamini macho na masikio yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tulizidi kuvumilia tukifiri kuwa yale yalikuwa maroroso na makando kando ya kutuandaa tayari kupokea injili. Hola! Jamaa alizidi kujiweka karibu na mshikaji wake hadi muda ukazidi kuyoyoma huku mie nikitamani niamke nimwulize swali baya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamaa aliendelea kujivua gamba kiana katika kila mstari aliosoma toka kwenye hotuba yake uchwara. Mara aseme, “ sie ni damudamu na hatukukutana baharini wala relini. “Mara wanatuzushia kuwa sisi si wamoja na ulaji wetu si mmoja. Mara namheshimu na kumhusudu Njaa Kaya. Mara hivi mara vile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilitamani nimwambie akajiunge na akina Isha Mashauzi na Hadiji Kopo akaimbe mipasho badala ya kujiita mwanasisasa. Maana maongezi yake haikuwa siasa bali mipasho tena mipasho kwa Nepi Nnaunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi walianza kujiuliza nani kamroga huyu. Utadhani alikuwa ameambiana na habithi Kashafi wa Libia aliyekuwa akijidanganya na kuudanganya ulimwengu kuwa walibia walikuwa wakimpenda hadi kumfia asijue wakimpata wanampiga hadi kumdedisha kama ilivyotokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna aliponiacha hoi pale alipojua ukweli mchungu pale walipomtia mbaroni na kuanza kuzoza akiuliza eti alikuwa amewakosea nini NTC asijue walibia walijua kila janja na ukatili wake. In the end walimdedisha kwa kichapo cha mwizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuendelee na huyu, kusema ukweli hajarogwa. Kama niliyosikia ni kweli basi nasikia anasumbuliwa na Richmonduli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapo wanaosema eti alilaaniwa na mzee Mchonga pale alipomtolea uvivu. Iwe kweli au la mie simo. Tuendelee na stori zake. Kadili alivyozidi kuchafua hewa kwa mipasho uchwara tulizidi kukodoa mimacho huku mshawasha na hamu vikizidi kuongezeka jamaa asiongee hata pwenti moja!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wenye akili tukajua tumeingizwa mkenge kuletwa kusikiliza rongorongo za mfa maji. Kwa ufupi ni kwamba jamaa tuliyetegemea ima avue gamba au kumkaba mtu shati si aliishia kujivua mwenyewe na kubaki kama alivyozaliwa kiakili!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tafsiri ya haraka iliyonijia ni kwamba jamaa alikuwa anaandaa mazingira ya kujivua gamba kwa kujionyesha ana heshimu genge lao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najua. Siku ya kufanya kweli atasema, “kwa kuheshimu genge na mwenyekiti wake, ingawa sikutenda kosa lolote, nimeamua kujivua gamba ili kuleta mshikamano wa genge.” Wengi wataguna. Jamaa hatajali miguno. Badala yake atabwabwaja sifa za genge lililomlea na kumpa ulaji hadi akawa mkwasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama haitoshi, wenzake watatuma salamu za pongezi kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa na uzalendo. Ebo, wengi wataguna. Uzalendo gani wa kuleta Richmonduli?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, radio mbao zimenitonya kuwa alikuwa ana usongo wa kumwaga mtama lakini akiwa amebakiza dakika tano na ushei simu ilipigwa toka Vigogoni kumuonya kuwa akimwaga mtama atashughulikiwa kwa kupelekwa mbele ya pilato.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nasikia simu ilitoboa wazi kuwa Ewassa anapaswa kujua wazi kuwa ana kigwena ingawa wameamua kumnyamazia. Jamaa kusikia hivi, nasikia alianza kunonihino kwa presha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naona gari lile kama la fisadi linakuja, acha niwahi nikalimwagie maji machafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;See you guys!&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Oktoba 26, 2011.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4273115586321110823?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4273115586321110823/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4273115586321110823&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4273115586321110823'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4273115586321110823'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/badala-ya-kujivua-gamba-ewassa-amejivua.html' title='Badala ya kujivua gamba Ewassa amejivua nguo'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-C6BU771pmBg/TqiqQYJ5__I/AAAAAAAABkg/IUeQn5GGaOA/s72-c/Katuni%2B8.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2128705967269626204</id><published>2011-10-24T18:13:00.001-07:00</published><updated>2011-10-25T14:35:31.492-07:00</updated><title type='text'>Go Gadaffi go!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-UysoAlXjvUc/TqYQKFVEEqI/AAAAAAAABkI/OavOTYh9aew/s1600/gadafu.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 225px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-UysoAlXjvUc/TqYQKFVEEqI/AAAAAAAABkI/OavOTYh9aew/s400/gadafu.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5667234946507608738" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ya Muammar bin Mohammad&lt;br /&gt;bin Abdussalam&lt;br /&gt;bin Humayd &lt;br /&gt;bin Abu Manyar&lt;br /&gt;bin Humayd &lt;br /&gt;bin Nayil &lt;br /&gt;al Fuhsi Gaddafi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Go Gadaffi go ye Muammar &lt;br /&gt;Go without turning thy head back ever &lt;br /&gt;The game is up and over sir &lt;br /&gt;Go son of hell, a coward in your own light &lt;br /&gt;Go Muamar go down standing like a dolt &lt;br /&gt;In flames go down like that &lt;br /&gt;In a shame go even faster &lt;br /&gt;Go go Abuminyal go go and others will go&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Museveni will go &lt;br /&gt;Kagame will also go&lt;br /&gt;Obiang will go&lt;br /&gt;Eyadema Jr will go&lt;br /&gt;Kabila Jr will go&lt;br /&gt;Bongo Jr will go&lt;br /&gt;CCM will too go&lt;br /&gt;Like Mutassim they will go&lt;br /&gt;Just like Hamis they will pack and go&lt;br /&gt;Go leave the mark back &lt;br /&gt;Go like a goon and a stooge &lt;br /&gt;Go the ignoble way go.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;After being butchered like a thief&lt;br /&gt;Just a chicken thief&lt;br /&gt;Beaten in so much grief&lt;br /&gt;Pleading and kow-tow&lt;br /&gt;Nobody did hear you&lt;br /&gt;They shamed you like never before&lt;br /&gt;You got what you deserved&lt;br /&gt;Go Gaddafi go!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Go the world will remember you &lt;br /&gt;Just as a symbol of bulimia &lt;br /&gt;Go son of man &lt;br /&gt;Go Muamar go&lt;br /&gt;The man who a wig don'&lt;br /&gt;The megalomania and baffoon &lt;br /&gt;It is time to go&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Never look back go &lt;br /&gt;Go Gadaffi go &lt;br /&gt;It is time to go.&lt;br /&gt;Go from thy man-made no-go &lt;br /&gt;Go go it’s time to go &lt;br /&gt;go go go go &lt;br /&gt;Don’t turn back go!&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Those that you called rats &lt;br /&gt;Are now coming in scores &lt;br /&gt;Who’s between you and em a rat? &lt;br /&gt;Cornered is you tyrant&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;You are yourself indeed a rat &lt;br /&gt;You called em drugged braggarts&lt;br /&gt;Little knowing you are but a rat &lt;br /&gt;You wrongly thought you’re smart &lt;br /&gt;Cornered is you braggart &lt;br /&gt;Go Gadaffi go. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tripoli was a no-go &lt;br /&gt;Libya became a no-go &lt;br /&gt;There was only to Zimbabwe you'd go &lt;br /&gt;Go Gadaffi go &lt;br /&gt;Go Gadaffi go &lt;br /&gt;Go go go!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Those that don't know you&lt;br /&gt;Evy  and glorify you&lt;br /&gt;They wrongly think you're a hero&lt;br /&gt;They don't know you're a butcherer&lt;br /&gt;Poor them and their bulimia&lt;br /&gt;Poor such megalomaniacs&lt;br /&gt;Some are referred to as elites&lt;br /&gt;While in actuality they are but zombies&lt;br /&gt;Go in shame and flames&lt;br /&gt;Go meet those that you killed&lt;br /&gt;Go Gaddafi go&lt;br /&gt;  &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2128705967269626204?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2128705967269626204/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2128705967269626204&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2128705967269626204'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2128705967269626204'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/go-gadaffi-go.html' title='Go Gadaffi go!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-UysoAlXjvUc/TqYQKFVEEqI/AAAAAAAABkI/OavOTYh9aew/s72-c/gadafu.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-4516904799305855909</id><published>2011-10-22T18:58:00.000-07:00</published><updated>2011-10-22T20:10:34.116-07:00</updated><title type='text'>Bad start for Libya</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-2T63LqhMPCc/TqN1WMumErI/AAAAAAAABj8/wmYMkoIKDUY/s1600/gA.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 225px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-2T63LqhMPCc/TqN1WMumErI/AAAAAAAABj8/wmYMkoIKDUY/s400/gA.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5666501780396446386" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Bad start for Libya&lt;br /&gt;Although former Libya strongman Muammar Gaddaffi was almost hated by everybody except those who were closer to him, what the new regime did to display his remains for public to ridicule was unreasonable.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The author personally needs to divulge his interests-in short he did not like Gaddafi not just he hated him because of being a human being but a tyrant. Again, despite author’s freedom to hate or love, he did not like the way Gaddafi’s remains were abusedly maltreated so to speak. Gaddafi is still a human being even posthumously. This is the fact like it or not. Gaddafi, therefore, deserved to be treated humanly just like any other human being. What the new regime did is to punish the corpse whereby the law is clear that once someone is dead, his sins or offences are forgiven. This is why you cannot hear ICC baying for Gaddafi’s blood anymore. Actually there was no logic or necessity to dress down a desperate dead body. Indeed, this is a bad precedent NTC has set for its leaders in the future.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;For whoever with rational thinking that saw how Gaddafi’s body and those of his defence minister, Abu Bakr Younus and security advisor who also was his son Muattassim hated the act of displaying the copses for people to photograph and scoff at.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Half naked and bullet ladden, the bodies were displayed for longtime against Islamic practices. Though many Libyans said Gaddafi was not a Muslim thanks to their pent-up anger, he was a human being and the head of the state. This is the fact that no sane person can dispute. Why then did the new regime allow this inhumane treatment to dead bodies? Dead bodies are no flowers or something good to look at given that everybody will die; and nobody knows when and how. Even when Gaddafi took power, abused it and clung to it, he did not know he would end his life the way he did. If he knew, he’d not have behaved the way he did.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Looking at how Gaddafi’s body was ridiculed and abused, reconciliation for Libya will become very difficult if we face it that Gaddafi still has sympathizers especially those that used to benefit from his rule however brutal it was. What adds insult to injury is the fact that even children were brought in the supermarket where the bodies were for long displayed. Indeed, if anything, this is but abusing children and teaching them such bad behaviuor and cruelty.&lt;br /&gt;We all know that Libyans suffered a lot under Gaddafi. It is obvious they had vengeance against Gaddafi. Yet again, one must avoid behaving like a madman so that people onlooking at him should nary fail to notice the difference.&lt;br /&gt;Ironically, most of people forming a transition government, apart from working with Gaddafi before ditching him, are the same people who made Gaddafi a stinking dictator. They don’t ask themselves what would happen to them shall the mass decide to completely scrap Gaddafi’s legacy. This is possible given that Gaddafi’s autocratic rule was defined by many cheerleaders and bootlickers among who are in the current regime.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-4516904799305855909?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/4516904799305855909/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=4516904799305855909&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4516904799305855909'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/4516904799305855909'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/bad-start-for-libya.html' title='Bad start for Libya'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-2T63LqhMPCc/TqN1WMumErI/AAAAAAAABj8/wmYMkoIKDUY/s72-c/gA.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2989879877549991926</id><published>2011-10-21T11:33:00.000-07:00</published><updated>2011-10-21T11:39:50.811-07:00</updated><title type='text'>Watawala wetu na ufisadi wa kielimu</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-fUgCMVVupqI/TqG8ceaXeHI/AAAAAAAABjw/btyaqd8cvUY/s1600/GO9G3946.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 390px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-fUgCMVVupqI/TqG8ceaXeHI/AAAAAAAABjw/btyaqd8cvUY/s400/GO9G3946.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5666017003594807410" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Zamani shahada ya heshima haikutolewa hovyo hovyo. Siku hizi, hata hivyo, rais wa nchi anaweza kupewa shahada kama njugu kiasi cha maana ya kusoma na shahada husika kupokea. Ajabu ya maajabu rais anayepewa shahada za heshima hupenda kuitwa daktari utadhani kasomea! Hii matokeo yake ni kuzuka kwa madaktari wa kughushi wengi sawa na waganga wa kienyeji. Tumefikia mahali kuwa na mawaziri walioghushi shahada za udaktari huku rais akiwafumbia macho. Je atawezaje kuwashughulikia iwapo gonjwa lao la kupenda sifa hata wasipostahili ni moja?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyuo vyetu vikuu vimeanza kugeuka vyoo vikuu. Maana vinatoa shahada bila kufuata hata vigezo wala utaratibu. Inakuwaje mtu mmoja hata kama ni rais kupewa shahada za juu za heshima karibu kila mwaka na kusiwepo kuvunjwa taratibu? Je ni kwanini vyuo vyetu viko tayari kupinda kanuni na kujishushia heshima kwa kutoa shahada kama njugu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa Kanada mkuu wa nchi ni Malkia Elizaberth anayewakilishwa na Governor General of Canada. Sikumbuki kusikia au kuona malkia au mwakilishi wake hata waziri mkuu wakigawiwa shahada. Je kwanini watawala wetu wanapenda shahada za dezo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watafiti tafitini mjue chanzo cha ugonjwa huu. Je yaweza kutokana na wakuu wengi wa vyuo kuwa marafiki na wateule wa rais au rais anatumia watu wake kulazimisha apewe shahada kama njugu? Hakika huu nao ni ufisadi wa kielimu.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2989879877549991926?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2989879877549991926/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2989879877549991926&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2989879877549991926'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2989879877549991926'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/watawala-wetu-na-ufisadi-wa-kielimu.html' title='Watawala wetu na ufisadi wa kielimu'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-fUgCMVVupqI/TqG8ceaXeHI/AAAAAAAABjw/btyaqd8cvUY/s72-c/GO9G3946.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2152760189785873473</id><published>2011-10-20T04:58:00.000-07:00</published><updated>2011-10-20T05:02:17.937-07:00</updated><title type='text'>Breaking News Gadaffi ameuawa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-_Y4R2uXL1Ws/TqANxZHUW9I/AAAAAAAABjk/JlHR6geXXEU/s1600/m01.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 255px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-_Y4R2uXL1Ws/TqANxZHUW9I/AAAAAAAABjk/JlHR6geXXEU/s400/m01.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5665543473438415826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Habari zilizorushwa na kituo cha Televisheni cha Al Jazeera zinasema kuwa imla wa zamani wa Libya Muamar Gadaffi ameuawa leo baada ya kustukiwa na wapiganaji wa serikali ya mpito (NTC). Hata hivyo habari za uhakika hazijatolewa na serikali. Hivyo habari zinazozidi kutoka zinachukuliwa kwa umakini mkubwa. Habari za uhakika ni kwamba msemaji wake Musa Ibrahim yumo mbaroni baada ya kuanguka mji wa Sirte ambao ni nyumbani kwa Gadaffi na ngome ya mwisho ya imla huyu.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2152760189785873473?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2152760189785873473/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2152760189785873473&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2152760189785873473'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2152760189785873473'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/breaking-news-gadaffi-ameuawa.html' title='Breaking News Gadaffi ameuawa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-_Y4R2uXL1Ws/TqANxZHUW9I/AAAAAAAABjk/JlHR6geXXEU/s72-c/m01.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5287637749341406551</id><published>2011-10-19T06:00:00.000-07:00</published><updated>2011-10-19T06:06:43.107-07:00</updated><title type='text'>Hatimaye Lowassa afikia mwisho</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-wgvI7-1hSTs/Tp7LTDc8GDI/AAAAAAAABjY/qhqaKHSHc-M/s1600/ALeqM5ghVLxVu00ehy8Oo5QwZk95vkUhTw.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 186px; height: 279px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-wgvI7-1hSTs/Tp7LTDc8GDI/AAAAAAAABjY/qhqaKHSHc-M/s400/ALeqM5ghVLxVu00ehy8Oo5QwZk95vkUhTw.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5665188909483300914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kwa waliosoma u kusikiliza hotuba ya mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani aliyetimuliwa, Edward Lowassa, watakubaliana nasi kuwa sasa amefikia mwisho. Wengi walitegemea Lowassa angekuja na jipya. Ajabu alikuja na mipasho dhidi ya waandishi wa habari na maadui zake wa kutengeneza.&lt;br /&gt;Hakuna kinachochekesha kama Lowassa kujigonga na kujikomba kwa Kikwete akirai na kubembeleza. Anaendelea kushikilia msimamo wake kuwa yeye na Kikwete hawakukutana barabarani. &lt;br /&gt;Kwa ufupi ni kwamba hakuna jipya alilosema Lowassa zaidi ya kuiangukia CCM. Kimsingi, alichofanya ni  kuihadaa CCM kuwa yeye ni mtiifu huku akimwaga sifa kwa Kikwete ili abadilishe uamuzi wa kumvua gamba. Hakuongelea ufisadi wala tuhuma yoyote ya kifisadi dhidi yake. Kabla ya kuandaa mkutano huu, wengi tulimuona Lowassa kama jasiri.Lakini baada ya kumalizika mkutano tumemuona kama mwoga wa kawaida. Na hii ni mara ya tatu Lowassa kuonyesha kuwa ni mwoga wa ajabu. Mara ya kwanza aliionyesha mwaka 1995 pale marehemu Mwalimu Julius Nyerere alipomrushia kimondo kuwa amejilimbikizia utajiri usioweza kutolewa maelezo ambao ni matokeo ya rushwa na wizi. Mara ya pili ni mwaka 2008 alipokurupuka na kuachia madaraka ya Uwaziri mkuu ambao anaendelea kuulilia. Na mara ya tatu ni leo tarehe 19 Oktoba 2011. Kama huyu ndiyo Lowassa wa sasa, kwisha kazi. Maana hana ubavu tena zaidi ya kutumia na kutegemea sanaa ku-survive.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5287637749341406551?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5287637749341406551/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5287637749341406551&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5287637749341406551'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5287637749341406551'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/hatimaye-lowassa-afikia-mwisho.html' title='Hatimaye Lowassa afikia mwisho'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-wgvI7-1hSTs/Tp7LTDc8GDI/AAAAAAAABjY/qhqaKHSHc-M/s72-c/ALeqM5ghVLxVu00ehy8Oo5QwZk95vkUhTw.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-2781170508595072999</id><published>2011-10-18T20:15:00.000-07:00</published><updated>2011-10-18T20:18:07.379-07:00</updated><title type='text'>What is Wrong with Mutharika?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-2MW23ulGWyA/Tp5BarejqwI/AAAAAAAABjM/j3XZi429TIw/s1600/Bingu_1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 303px; height: 314px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-2MW23ulGWyA/Tp5BarejqwI/AAAAAAAABjM/j3XZi429TIw/s400/Bingu_1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5665037307881958146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;When Malawi’s president, Bingu wa Mutharika won elections after a lot of scuffles with his boss former president Bakili Muluzi, many thought: at least fresh air had come to Malawian politics. Those who thought fresh air was coming into Malawi’s political landscape goofed badly. For, before long, Mutharika was at loggerheads with his vice president Dr. Cassim Chilumpha who was his running mate thus automatically Vice President. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;After the Mutharika government was sworn in, it did not take long before Mutharika found a hunch to start machinations to get rid of his VP. The situation worsened so much so that Mutharika alleged that Chilumpha attempted to kill and overthrow him. These allegations against Chilumpha sparked off a legal battle that saw Mutharika sacked Chilumpha. However, Mutharika’s tricks did not hold water. Chilumpha went to court in 2006 to seek interpretation of the constitution of Malawi. The court ruled against his firing. The government however refused to re-instate Chilumpha but arrested and charged him for treason. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chilumpha’s fate was sealed on 28 April 2006 when he was arrested at his home and sent to Lilongwe where he was put in the custody. It was alleged that Chilumpha conspired with another person to have Mutharika assassinated. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Now that Vice President Joyce Banda is doing the same after her boss wanted to flush her out the way he did with her predecessor, what is going in the Malawi power struggles? To begin with, Mutharika sacked his Vice President Banda from the ruling Democratic Progressive Party (DPP) after finding that Banda was a threat to his brother, Peter who Mutharika would have liked to see succeeding him. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Will Mutharika succeed where former president Bakili Muluzi failed? Does Mutharika intend to appoint his wife VP or his brother? This is the question many Malawians are asking after Mutharika appointed his wife minister of Safe Motherhood in a hurriedly cobbled up ministry - a very unique ministry all over the world. Mutharika went ahead and appointed his brother Peter minister for Foreign Affairs.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;After finding no hunch to fire his VP, Mutharika is now asking the high court to rule on how the VP can work against her own government and constantly fail to attend cabinet meetings and still be considered a legitimate and continuing vice president.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malawians are keen to what the High Court will rule as far as this impasse is concerned. The hope of the majority is that the High Court will never allow itself to do Mutharika and his Dynasty’s dirt laundry. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;A holder of a PhD in economics, Mutharika ought to know and appreciate rule of law that does not accommodate cronyism, nepotism and nihilism. It does not require one to be an astrophyist or a guru in science to know that Africa is abaft in development just because of being manned by people like Mutharika. One does not need to know Fibonacci sequences, number and rabbits or first second and third newton’s laws of motion to fault Mutharika and the like.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Source: The African Executive Magazine October 18 ,2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-2781170508595072999?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/2781170508595072999/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=2781170508595072999&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2781170508595072999'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/2781170508595072999'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/what-is-wrong-with-mutharika.html' title='What is Wrong with Mutharika?'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-2MW23ulGWyA/Tp5BarejqwI/AAAAAAAABjM/j3XZi429TIw/s72-c/Bingu_1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-7546613602835500959</id><published>2011-10-18T19:30:00.000-07:00</published><updated>2011-10-18T19:35:07.304-07:00</updated><title type='text'>Huu ni mtihani mzito kwa Rais Kikwete</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-UIwgab7QHAo/Tp43V5w0pJI/AAAAAAAABjA/XgXGHA2Kipo/s1600/wtcoj.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 275px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-UIwgab7QHAo/Tp43V5w0pJI/AAAAAAAABjA/XgXGHA2Kipo/s400/wtcoj.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5665026230701040786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;   &lt;br /&gt;KADIRI siku zinavyokwenda Watanzania wanangoja kwa shauku kubwa kujua mwisho wa tishio la Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa watuhumiwa wake wa ufisadi yaani Andrew Chenge, mbunge wa Bariadi Mashariki, waziri na mwanasheria mkuu wa serikali wa zamani na Edward Lowassa, mbunge wa Moduli na waziri mkuu waliong’olewa madarakani na kashfa ya Richmond.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na vuta ni kuvute na kurushia vijembe na tambo kwa muda mrefu. Baada ya kujivua gamba kwa mbunge wa zamani wa Igunga na mmojawapo wa watuhumiwa wakuu wa ufisadi Rostam Aziz, wengi walijua Chenge na Lowassa wangefuatia. Lakini wapi! Kimsingi, huu ni mtihani mzito kwa Rais Jakaya Kikwete mwenyekiti wa CCM na CCM yenyewe. Je, nani ataondoka kwenye kitanzi hiki na kicheko ama kilio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CCM na Kikwete wako kwenye kitanzi ambacho ni Chenge na Lowassa huku Chenge na Lowassa nao wakiwa kwenye kitanzi yaani kujivua gamba. Kitanzi cha Chenge na Lowassa kilifanywa kuwa dhahiri na hatari na uamuzi wa Rostam kujivua gamba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi karibuni “magamba” haya yalisikika yakikejeli miito ya kuwataka waachia ngazi. Bahati mbaya au nzuri, CCM haikutaka kutoa majibu kwa kejeli hizi. Je, huu ulikuwa mwanzo wa CCM kukubali yaishe iishie kulamba matapishi yake na kuendelea kuonekana kama chama cha mafisadi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Joto la uchaguzi mdogo wa Igunga lilileta nafuu ya muda kwa CCM hata watuhumiwa. Lakini sasa uchaguzi umebakia kuwa historia. Je, CCM itakuja na kisingizio kipi kuacha kuwachukulia hatua watuhumiwa? Je, CCM na mwenyekiti wake wanaogopa nini? Je, wanaogopa yale aliyosema mwenyekiti wa kamati teule ya Bunge iliyomng’oa Lowassa, Dk. Harrison Mwakyembe kuwa kama wasingeficha baadhi ya mambo serikali yote ya Kikwete ingetimuliwa? Je, umma wa Watanzania utegemee usanii mwingine au ukweli kuwekwa wazi kiasi cha yale yaliyofichwa kufichuliwa na wahusika kuwajibika zaidi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huo ni upande mmoja wa habari. Je, kina Mwakyembe na spika aliyesimamia uundwaji wa kamati teule ya Bunge, Samuel Sitta wataendelea kuficha ukweli ili waendelee kufaidi ulaji wa uwaziri waliopewa kama fadhila kwa kuikoa serikali? Je, Watanzania ambao, kimsingi, ndio waathirika wakuu wa kashfa hii kutokana na kuwekwa kwenye kiza miaka nenda rudi huku pesa yao ikiendelea kuchotwa kuwalipa wezi wachache wataendelea kuwa mbuzi wa shughuli? Hakika maswali ni mengi kuliko majibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadhani huu ni wakati muafaka kuwakumbusha CCM na mafisadi kuwajibika maana hawakulazimishwa kufikia uamuzi wa kuvuana magamba. Kuna haja ya wananchi kushinikiza haki itendeke tena haraka sana iwezekanavyo kabla taifa halijaangamizwa na mdudu huyu mchafu wa tamaa, uongo na woga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, watuhumiwa wataiheshimu CCM na kujivua gamba au kuidharau na kuendelea kupeta? Je, CCM itaendelea kuwagwaya na kuendelea kuonekana kama kikaragosi kinachoweza kutishwa na mafisadi wachache? Je, upinzani ulioibua kashfa hii nao utaendelea kuwa kitanda kimoja na CCM ili kuwaokoa mafisadi wake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinachozidi kuiweka CCM pabaya ni ile hali ya mahakama hivi karibuni kuridhia kampuni yenye utata ya Dowans ambayo ilirithi mkataba tata wa Richmond ilipwe tuzo . Wengi wanashangaa uhalali wa Dowans kulipwa mabilioni ya Watanzania. Pia inashangaza ni kwanini serikali iko tayari kulipa kampuni ambayo ni zao la biashara haramu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanasiasa wana kitu kinaitwa presumption- sina Kiswahili chake ambapo husema kuwa kitu chochote hata ni kizuri namna gani kilichopatikana kutokana na njia au kwa kitu haramu nacho ni haramu. Inashangaza kwanini wanasheria wa serikali hawakutumia presumption hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, hawakujua au walijua lakini kwa vile walikuwa na masilahi kwenye wizi huu waliamua kuuchuna hata kutoa msaada wa kuepuka hili? Maana tunaambiwa Mwanasheria mkuu wa serikali hakuhangaika hata kuweka pingamizi kwenye shitaka husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine kinachoshangaza ni ile hali ya wahusika wa Richmond ambayo kimsingi ndiyo Dowans yaani Rostam, Chenge na Lowassa wanashughulikiwa kisiasa badala ya kisheria. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii inajenga hisia kuwa kuna wakubwa serikalini ambao wamo kwenye racket hii bila shaka. Je, hawa ni nani? Je, tutayajuawaje majina ya watu hawa iwapo kina Mwakyembe hawataki kuwataja kwa faida zao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu nao wanataka kutuaminisha kuwa wanapingana na ufisadi wakati wanaukingia kifua hadi kuufichia siri!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengi wanadhani kuwa hawa walioko nyuma ya pazia mmojawapo ni Kikwete. Maana aliwahi kuwahakikishia wananchi kuwa angetatua tatizo la umeme na alikuwa akifuatilia mazungumzo baina ya Lowassa na Richmond.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na si hilo tu. Kama hana anavyonufaika, ni kwanini hataki kuwashughulikia watuhumiwa vilivyo? Je, Kikwete ana ubavu wa kuwashughulikia Lowassa na Rostam wakati ndio waliomweka madarakani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani mara hii kasahau kuwa, licha ya Rostam kuwa Richmond na hatimaye Dowans ndiye Kagoda wa EPA? Je, kwa Kikwete aliyenufaika na pesa ya EPA anaweza kumkamata mwezeshaji wake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, anaweza kumshughulikia Lowassa naye akawa salama? Hapa ndipo kitendawili cha nini kitatokea kuhusiana na kitendawili cha kujivua gamba kitakapoteguliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watanzania wengi wangetaka kujua hatima ya nchi yao. Wanataka kujua kama itaendelea kuwekwa rehani kwenye mifuko na mikono michafu ya mafisadi au kurejeshwa kwao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama watafikiri sawa sawa, kadhia ya Dowans-Richmond inaweza kuwa kitufe cha kufyatua hasira zao na kurejesha taifa lao kutokana na wale waliowaamini kushindwa kutimiza wajibu wao na badala yake kuwa washirika wa uangamizaji wa taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukubaliane. Kuna ombwe kubwa la uongozi. Tumekuwa na ombwe kubwa kiasi cha kukosa hata utawala achia mbali uongozi. Maana viongozi walikufa zamani. CCM imeshinda ubunge Igunga. Je, itashinda gamba itakapokaa Dodoma au Dar es Salaam au kwingeneko? Time will surely tell. Tia akilini.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Oktoba 18, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-7546613602835500959?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/7546613602835500959/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=7546613602835500959&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7546613602835500959'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7546613602835500959'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/huu-ni-mtihani-mzito-kwa-rais-kikwete.html' title='Huu ni mtihani mzito kwa Rais Kikwete'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-UIwgab7QHAo/Tp43V5w0pJI/AAAAAAAABjA/XgXGHA2Kipo/s72-c/wtcoj.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-7160806024810023682</id><published>2011-10-18T19:28:00.000-07:00</published><updated>2011-10-18T19:29:59.876-07:00</updated><title type='text'>Tathmini ya Mpayukaji kuhusu uchaguzi</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MWENZENU ndiyo nimerejea kutoka Igunguli kwenye kampeni za kamupani za uchafuzi wa uchaguzi. Nilikuwa chama gani zaidi ya UNM yaani Ugali Nyama na Maharagwe usiniulize tafadhali. Je, chama change kimepata kura ngapi? Please don’t ask. If you do I shall commit suttee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa nimechelewa kutoa tathmini yangu ya uchaguzi wa Igunguli, bado sijachelewa sana. Hivyo ifuatayo ni taarifa yangu na tathmini ya uchafuzi sorry uchaguzi mzima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, Chama Cha Mafisadi kilitembeza pesa chafu hakuna mfano. Ukiachia mbali kuhonga pesa, Chama Cha Mafisadi (CCM siyo CCM chama tawala), kilihonga ubwabwa, gongo hata fulana na kofia. Mtonyaji wangu amenitonya kuwa chama cha wasanii kilitumia zaidi ya madafu bilioni thelathini katika uchaguzi mdogo hivi! Ajabu hawa wanaotapanya pesa kama hizi, wanaendesha kaya isiyo na hata pesa ya kulipia pango la wizara zake! Hebu niulize kwa herufi kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inakuwaje wizara inashindwa kulipia pango lake wakati kila bajeti inatengewa pesa ya kufanya hivyo? Au ni yale yale ya kuchukua pesa ya pango na kwenda kujenga mahekalu binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna mnywa kahawa alisema kuwa hizo wizara furushwa hazidaiwi pango tu bali bili za maji, umeme hata simu. Ajabu wizara hizo hazikosi pesa ya posho ya wakubwa zake, pesa ya kukirimu wageni, pesa ya kupitisha bajeti, pesa ya kuandaa tafrija za kujipongeza na upuuzi mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, CCM ilitumia vyombo vya dola kama ndata na Uhasama wa Taifa kuhujumu vyama vingine. Hebu uliza yule mama aliyekamatwa akipanga kuhujumu uchaguzi kwa kutumia madaraka yake hadi akanyofolewa mtandio na kukabidhiwa kwa polisi amefanywa nini zaidi ya kungojea kuteuliwa kuwa mkuu wa nkoa? Je, hapa vyombo vya dola la kaya havijatumika kuwabeba wachovu na mafisi na mafisadi? Ndiyo. Hebu jiulize. Kwenye uchaguzi Fanya Fyoko Ukome wa nini? Kwenye uchaguzi bastola kiunoni za nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hamkusikia wahuni wasio na heshima waitwao waheshimiwa walifikia hata kufyatua risasi? Mwenzenu nina bahati tena ya mtende. Si yale mapumbavu na malimbukeni ya silaha yalirusha risasi utadhani mawe! Kama siyo kutumia mbinu zangu za kikomandoo nilizojifunzia Kyuba nilipoarikwa na kugharimiwa na rafiki na komandoo mwenzangu Fidel Castro ningekuwa al marhum wallahi! Una habari risasi moja ilipitia sikioni kwangu na kuangukia pembeni yangu? Hivyo ndiyo ilivyokuwa niaminini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia mbali uhuni na ushamba wa watu wazima, kulikuwa na sakata la ngono nje nje. Ngono zilipamba moto hadi kada mmoja wa chama hicho hicho cha mafisiduni akamkada mke wa kada mwenzake wakafumaniwa. Nadhani kisa cha yule Mchembe Mwingilu hamjakisahau. Aibu sina mfano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawa kweli wanaweza kupambana na ukimwi wakati wao ni wa kuogopwa kuliko ukimwi wenyewe? Achene kupenda chini hata kama mna madaraka ya juu. Mgoni na mzinzi aliyefumaniwa hapaswi kuendelea kuwa madarakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maana atayabaka na kuyanajisi madaraka haya kama anavyonajisi na kubaka wake za wenzake wenye nafasi za chini akitumia madaraka ya juu. Kweli cha maskini huliwa na tajiri! Walijisemea wahenga. Mie nasema wazi. Ukimmendea mshirika wangu wa bedroom navaa bomu na kukulipua kama al Kaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachia mbali ngono, udini nao haukubaki nyuma. Bila shaka mnakumbuka wale viherehere mashehena waliojiita mashehe wakati si mashehe walivyotishia kumtoa mtu roho eti mkuu wa wilaya alivuliwa hijab wasijue mwezao si dini yao bali mtawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnaweza kudhani ninawasingizia au kuwakandia na nina chuki za kidini. Hasha. Wako wapi baada ya kugundua kuwa kumbe waliyekuwa wakimtetea si mwenzao? Si wameishia mitini kwa aibu. Watu wengine bwana kupenda kujikomba na kununua kesi. Nani aliwaambia kuwa yule mama ni wa dini yenu wakati ameolewa na mla kiti moto? Achene kudandia mambo dandieni magari. Hayo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yaone yanavyotoa toa mimacho. Tumeishawastukia nanyi ni mafisadi mnaotumia dini sawa na wale wanaotumia siasa. Komeni na mkomae nyang’au wakubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kulikuwa na kampeni za uongo mtupu. Nilimsikia mpuuzi mmoja akipanda jukwaani na kusema eti ameleta maendeleo wakati ameleta maanguko. Jamaa mwenyewe wamjua? Si Tunituni aliyeiba hadi migodi na kuuza nyumba za walevi halafu anasema eti hayo ni maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwe! Njomba hii hunipati na chikuchapoti kwa hili njomba. Huwezi kuamini, Igunguli iligeuka uwanja wa uongo na upuuzi. Hata lile gamba lililojivua hivi karibuni eti nalo lilikuwa likiwahimiza wananchi walisikilize wakati ni jizi la kawaida! Kaya hii! Kweli imegeuka danguro la kila changu wa kisiasa kufanyia ufuska wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiachana na uongo, kulikuwa na mashindano ya vyama kama vitatu kuonyeshana utajiri. Vyama hivyo sitavitaja leo. Huwezi kuamini kuwa vilikuwa vikishindana kutua kwa helkopta huku wanaohutubiwa wakiwa maskini hata wasio na makubazi miguuni!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani angeamini kuwa wakati wapiga domo walibebwa kwa mahelkopta, kura zilisafirishwa kwa punda na mikokoteni! Akili au matope? Cha muhimu nini kati ya walaji wachache na wababaishaji kibao na kura zenyewe? Hata hivyo siwalaumu. Kwao kula ni bora kuliko kura na kura ikiwa bora basi iwezeshe wao kula. Hizo ndizo siasa uchwara alizosema Roast Tamu bin Gamba bin Fisadi bin Kagoda al Ajemia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lol! Nilitaka kutenda dhambi isiyo na kitubio wala msamaha! Wiki iliyopita nilighairi kwenda Mwitongo kumkumbuka Mchonga baada ya kuona wezi, majambazi, wanafiki na maadui zake wakijaza kule kumsanifu eti wakimuenzi. Tangu lini mbwa akamkumbuka samba? Tangu lini juha akamkumbuka mwenye busara zaidi ya kumkumbuka juha mwenzake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akifanya hivyo jua anasanifu kama jamaa zangu waliojazana Mwitongo kumsanifu Mchonga. Hata wale walioghushi shahada eti nao walikuwapo! Kweli simba akifa mzoga wake waweza kuliwa na hata panya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitaendelea na tathmini ya uchafuzi mwaka 2015 baada ya kuwachunguza hawa wanaojipitisha pitisha eti tuwachague wakati hawana maana wala udhu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naona kali la Mwiguli linaelekea mtaani kwangu. Acha niwahi nikamfumanie na yule mke wa kada mwenzake. Au naye ana powers of attorney kuwanonihino wake za wenzake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetoka hiyo! Ikirudi? Mtajaza wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima Oktoba 18, 2011&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-7160806024810023682?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/7160806024810023682/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=7160806024810023682&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7160806024810023682'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/7160806024810023682'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/tathmini-ya-mpayukaji-kuhusu-uchaguzi.html' title='Tathmini ya Mpayukaji kuhusu uchaguzi'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-3015759317727969246</id><published>2011-10-17T06:32:00.000-07:00</published><updated>2011-10-17T06:42:23.822-07:00</updated><title type='text'>Kumbe wanyama ni bora kuliko watanzania!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-4i76mjzGm_I/Tpwwu8yoLLI/AAAAAAAABi0/SrgZb6aZ_3w/s1600/1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-4i76mjzGm_I/Tpwwu8yoLLI/AAAAAAAABi0/SrgZb6aZ_3w/s400/1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5664456014475832498" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Tarehe 5 Oktoba vyombo vya habari vilimkariri waziri wa Waziri wa Maendeleo Mifugo na Uvuvi Matayo David akisema kuwa serikai itawachukulia hatua watakaosafirisha wanyama kikatili. Waziri alibainisha kuwa watakaovunja sheria hii ya ustawi wa wanyama watafungwa mwezi mmoja au kutozwa faini kati ya shilingi 20,000 na 100,000. Hiki si kiasi kidogo kwa mtanzania anayeishi kwa kubangaiza kama vile kuchinja kuku na kusafirisha wanyama wake kwenda sokoni.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inashangaza kugundua kuwa waziri hajui kuwa baada ya kuua Mamlaka ya Reli, watanzania hawana namna ya kusafirisha mifugo yao zaidi ya kuwaswaga na kuwatembeza makumi ya kilometa. Kama wanafunzi wa vijijini wanajiswaga kwenda kurundikana madarasani kama vifaranga huku wakikalia mawe, itashindikanaje wanyama kuswagwa?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inasikitisha na kufedhehesha sana. Je wanaosafirisha wanadamu kikatili kama wale waliopoteza maisha kwenye meli ya Islander mbona hawakupata kinga hii? Je ni wangapi wanasafirishwa kikatili kwenye dala dala, mlori, na mabasi ya vijini na serikali inaona na kukaa kimya? Kulikoni kujali wanyama na kupuuzia wanadamu?   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je ni watoto wangapi hawana mahali pa kuchezea kutokana na sehemu za wazi kuvamiwa na wezi wachache wenye pesa na ushawishi na serikali ikikaa kimya kwa miongo mingi? Je hawa hawafanyiwi ukatili? Je ni sehemu ngapi za beaches pwani zimevamiwa na vibaka wajiitao wawekezaji na kuzizungushia seng’enge wakiwaacha watanzania wakitamani kwenda kuogelea? Rejea mauji ya Kigamboni ya kijana wa kitanzania yaliyofanywa na mwekezaji uchwara wa kihindi hivi karibuni.  Je ni kwanini serikali inaona mateso ya wanyama na kutoona ya watanzania? Je ni watanzania wangapi wanababanishwa kwenye magereza na kutunzwa kikatili wakati serikali ikiangalia?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Japo wanyama wanahitaji kuonewa huruma iwapo wananchi wa kawaida hawaonewi huruma? Nani hajui kuwa watanzania kwa sasa wanaishi kizani kama wadudu huku serikali hiyo hiyo inayohusika na kiza hiki ikiendelea kujifanya kama aihusiki na jinai hii! Kama serikali aihusiki inakuwaje inawavumilia watendaji wabovu kama mawaziri husika wa wizara ya Nishati na Madini au wale wa Wanyama na Utalii?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ni jambo na kusikitisha na kushangaza kwa serikali inayoruhusu kutoroshwa kwa wanyama wa mamilioni kujifanya inajali wanyama wa kufugwa. Ingawa lengo letu hapa si kutetea ukatili wa wanyama, ila ukiangalia kiwango kikubwa cha utesaji wa wanyama kilichofumbiwa na macho wakati wa kuwatorosha, unashangaa hii huruma, kama kweli ipo, inaanzia wapi na itaishia wapi? Je kuna wafadhili waliolalamikia hili au wanaotaka kutoa pesa kwa serikali hivyo inajenga mazingira ya kujipatia pesa kwa kujifanya inawajali wanyama? Huwezi kuwajali wanyama kabla ya kuwajali watu. Hivi wagonjwa wanolazwa watatu kitanda kimoja au wanafunzi wanaokalia mawe au kwenye sakafu hawafanyiwi ukatili hasa ikizingatiwa kuwa nchi yetu imejaliwa utajiri wa kumwaga ingawa tunautapanya kutokana na upogo na uroho wa watu wachache?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Safu hii huwa haina muda wa kumtetea mtu au kikundi cha watu zaidi ya kumwanga ukweli kama ulivyo hata kama unauma ili wahusika waelewe na kuchukua hatua. Hivyo, tuseme wazi. Badala ya serikali kuja na mipango ya alinacha ya kuwajali wanyama ianze kuwajali wanadamu ambao wamepewa umilki juu ya wanyama.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri Matayo aabiwe bila woga kuwa kipaumbele chake hakina maana iwapo waziri huyo huyo anashindwa hata kuwashauri mawaziri wenzake wanaohusika na utalii kuacha ukatili wa wanyama na wanadamu. Maana unapowatorosha wanyama bila kupitia mikondo ya kisheria, licha ya kuwahujumu watanzania, unawaongezea umaskini ambao mwisho wake ni ukatili kutokana kushinda wakihangaishwa na maisha wasipopaswa kufanya hivyo.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali yetu ni ya ajabu wakati mwingine. Hebu tutoke nje ya mada kidogo. Nani amesahau ilivyoweza kuandaa uchaguzi mdogo wa Igunga kwa kuweza kusafirisha wapiga kampeni kwa helkopta huku kura zikisafirishwa kwa punda na baiskeli. Hii kweli ni akili? Nani hajui kuwa kuna vyama vimetumia mabilioni ya shilingi yakatwayo kwenye kodi za wananchi maskini kwenda kuwapigia kelele na wengine kuzini na wake zao? Nani hajui kuwa pesa nyingi imetumika kuwarubuni wananchi ili mtu wa chama apite na chama kiendelee kuzoa ruzuku huku wananchi wakiendelea kusota? Je hawa na wanyama ni wapi wanapaswa kuonewa huruma kwanza?   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi nani hajui kuwa wananchi wa Igunga wametapeliwa mchana kweupe?  Kwanini wasitapeliwe iwapo tunaambiwa waliojiandikisha kupita kura walikuwa zaidi ya 150,000 lakini walipiga kura ni theluthi moja, kwanini?  Je waligundua baadaye kuwa ulikuwa ni upotezaji wa muda kwenda kupiga kura wakati maisha yao hayabadiliki kama ya wanyama? Imebidi tuunganishe kisa hiki na hiki cha wanyama kuonyesha jinsi vipaumbele vya serikali yetu vilivyo vya hovyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo waziri anapata jeuri ya kutangaza hadharani kuwa atakayewatesa wanyama atatoza faini au kufungwa huku waziri huyo huyo akishuhudia wamachinga wakiteswa na wezi wa baadhi ya halmashauri za miji. Waziri huyo anajua fika kuwa wakati wamachinga wapiga kura wakinyanyaswa, kuna wamachinga toka ima India au China wamejaa kwenye miji yetu wakilindwa na serikali hiyo hiyo inayovunja sheria kuwaruhusu wafanya umachinga wakati sheria hairuhusu. Je haya hayafanyiki? Kama ni kutimiza wajibu na kutekeleza sheria basi serikali ifanye hivyo bila kubagua wala kuendekeza pale kwenye maslahi yake tu. Hii nchi ni ya wananchi wote hata kama hawana sauti wala mamlaka zenye uzalendo za kuwatetea. Ni aibu kufikiri kulinda haki za wanyama kabla ya kuanza kulinda za wanadamu. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Dira Oktoba 17, 2011&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-3015759317727969246?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/3015759317727969246/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=3015759317727969246&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3015759317727969246'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/3015759317727969246'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/kumbe-wanyama-ni-bora-kuliko-watanzania.html' title='Kumbe wanyama ni bora kuliko watanzania!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-4i76mjzGm_I/Tpwwu8yoLLI/AAAAAAAABi0/SrgZb6aZ_3w/s72-c/1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-5084447819818752741</id><published>2011-10-15T09:13:00.000-07:00</published><updated>2011-10-15T09:20:43.559-07:00</updated><title type='text'>Tanzania inapoathimisha zoezi la kunawa mikono bila maji!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-a5rKfMeZB_0/Tpmyu5hZulI/AAAAAAAABio/7hfttuzDm_8/s1600/mama%2Bakonyesha%2Bwatoto%2Bzoezi%2Bla%2Bkunawa%2Bmikono.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-a5rKfMeZB_0/Tpmyu5hZulI/AAAAAAAABio/7hfttuzDm_8/s400/mama%2Bakonyesha%2Bwatoto%2Bzoezi%2Bla%2Bkunawa%2Bmikono.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5663754525179755090" /&gt;&lt;/a&gt; Salma Kikwete akiongoza watanzania kunawa mikono kwa maji yasiyokuwepo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;T&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;umeona picha nyingi zikiwaonyesha watanzania wakiadhimisha siku ya kunawa mikono duniani. Ni jambo bora kiafya kunawa mikono kila wakati. Je watanzania wangapi wananawa mikono kila mahali wakati maji ni tatizo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bahati mbaya sana, nchi zetu huwa zinadandia kila jambo bila hata kutafakari. Huwezi kuadhimisha siku ya kunawa mikono kwa kunawa maji yasiyokuwepo. Mie nadhani maadhimisho haya yangeelekezwa kutoa maji kwa watanzania wote. Hivi jijini Dar es salaam, kwa mfano,ambalo ndilo uso wa nchi ni wangapi wana maji ya uhakika? Ni ajabu kwa nchi inayoruhusu hata watu kufungua biashara bila kuwa na vyoo kuwa na jeuri ya kusherehekea siku ya kunawa mikono.&lt;br /&gt;Kuna haja ya kuelekeza vipaumbele vyetu kwenye matatizo ya kweli badala ya kuwa wadandizi wa kila kitu hata kile kinachotusuta.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-5084447819818752741?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/5084447819818752741/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=5084447819818752741&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5084447819818752741'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/5084447819818752741'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/tanzania-inapoathimisha-zoezi-la-kunawa.html' title='Tanzania inapoathimisha zoezi la kunawa mikono bila maji!'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-a5rKfMeZB_0/Tpmyu5hZulI/AAAAAAAABio/7hfttuzDm_8/s72-c/mama%2Bakonyesha%2Bwatoto%2Bzoezi%2Bla%2Bkunawa%2Bmikono.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6485507136597031850</id><published>2011-10-15T05:54:00.000-07:00</published><updated>2011-10-15T05:55:32.068-07:00</updated><title type='text'>Mpayukaji apewa ‘Power of Attorney’ kuibia taifa</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BAADA ya wakubwa fulani kuingizwa mkenge na Mpayukaji na kuunda kampuni ya ujambazi ya Richmonduli iliyobadilisha jina na kujiita Downs, anazidi kufanya vitu vyake kama hana akili nzuri!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msichanganye na TRA tuliyoongelea wiki iliyopita ambapo tulikuwa tukisaidia wafanyabiashara maarufu kukwepa kodi na kugeuka matajiri wa kutupwa kiasi cha kuwa na ushawishi juu ya nani awatawale walevi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kufanikisha azma ya kuliibia taifa kiulani, mimi na washirika wangu wenye madaraka ambao ni top secret, tutanzisha miradi ya kijambazi mmojawapo ukiwa ni kusambaza kiza nchini. Tutafanikiwa sana hasa kwa kusingizia ukame ingawa ukame wenye haukuwa wa mvua bali uadilifu na akili. Mradi huu tutaupa jina la Downs. Hii ni baada ya wanoko fulani kustukia jina la kwanza la Richmonduli. Ili kufanikisha ujambazi wetu, tuna mpango wa kujipa tenda ya kusambaza zana zote za kuzalisha kiza nchi nzima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kwa kutumia kampuni yangu ya TRA, tutahakikisha tunakwepa kodi. Ili kuhakikisha hili halikwami, tutaagiza mitambo mikangafu toka kwa Joji Kichaka ili itusaidie kufua kiza ambacho kitaenezwa nchini mapema zaidi. Ili kuhakikisha mambo yanakwenda tulivyopanga, tutaipa sirikali shea kwenye kampuni yetu hewa ili kuwafumba macho walevi wapendwa wa Danganyika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kufanikisha hili, tutasema kuwa taifa linahitaji kiza cha dharura hivyo kila kitakachofanyika kitafanyika kwa dharura. Hii itatusaidia kukwepa vyombo vingine vya dola kama Bunge, tume za manunuzi na vingine kupata muda wa kuchunguza na kupitia michanganuo yetu. Maana bila ya taifa kuwa kizani, wananchi watapata shida ya kukosa usingizi au kulala kwa taabu. Hatutaki wananchi wetu wateseke wakati tuna uwezo wa kutengeneza kiza hata mvua hapo baadaye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunajua katika kufanya vitu vyetu, kuna vyombo vya dola ambavyo havitaridhika kutokana na kutokuwemo kwenye ulaji huu. Hivyo, hima vitapiga kelele kupinga mradi wetu au vitatia veto. Katika kukwepa hili au kulitumia kwa faida, tumeajiri wanasheria mahiri kuandika mikataba ambayo inatupa nguvu kubwa kuliko asasi nyingine za umma. Hivyo kwa kutumia uchochoro huu, tutahakikisha kuwa kama mashirika mengine ya serikali au vyombo vyake vitapinga au kutusimamisha kusambaza kiza, tunakwenda mahakamani na kushinda mabilioni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia tuna mkakati wa kwenda banki kubwa kuchukua mikopo ya mabilioni ambayo yatalipwa na serikali kwa vile ndiyo itakayotudhamini mikopo hii. Hii inatokana nasi kutokuwa na mtaji zaidi ya akili na hila zetu na usuhuba na wenye maulaji kama vile waziri mkubwa. Ambaye tutamwita Eddie Ewassa Ngoyali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kuhakikisha hatustukiwi, mmoja wetu ataachana na siasa ili kuanzisha mjadala kumhusu huku mambo yetu yakienda bambam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa tutahakikisha tunawahadaa walevi kuwa nimeacha siasa uchwara kwenda kushughulikia madili yangu. Wao wasivyo na akili waliponiona Igunguli nikitwanga kampeni ya uchafuzi wala walishindwa hata kunizomea!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kweli walevi ndiyo waliwao! Yaani hawakuwa na hata ubavu wa kuniuliza ni kwanini nilikuwa nikishiriki kwenye kutafuta mrithi wangu kwenye siasa uchwara kama kweli ni uchwara! Laiti wangeniuliza swali hili ningeumbuka hakuna mfano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakika nawasikitikia walevi kila uchao ingawa sina huruma nao. Yaani wanachagua mtu kula na kuwala tena kwa kuhongwa upuuzi kama ubwabwa bado wanashangilia! Hivi nani aliwaroga viumbe hawa wasiotaka kujifunza kukubali ukweli? Tangu lini mtu anayewakilisha tumbo lake akawawakilisha wenye njaa wakati kuna matajiri wa kujaza tumbo lake kama nilivyofanya mimi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku hizi uwakilishi na uishiwa ni madili mtindo mmoja. Mnakodishiwa madege na makampuni ya madini na kwenda kuhomola mkirudi mnawaweka sawa waliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnasaini mikataba uchwara na hatari halafu mnahomola kama tutakavyohomola kwenye Richmonduli baba Downs. Upo hapo mshirika? Nani wa kunizuia iwapo nina Powers of Attorneys and attorneys, judges and whatnot? I have tweaked my strategies. I am using the court of law to steal from wajinga. Woooii! Nimesahau na kumwaga umombo nisijue kuwa nilishahama uingerezani na kurudi ulevini Danganyika Danganyatoto Bongolalalaland ya Mafisi na Mafisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nashukuru Mungu imelipa huku ikila kwao. Si juzi pilato alitoa tuzo la vijisenti kwa mradi wetu wa kiza tuliouanzishia kule Monduli tukauita Rich-Monduli. Mungu anipe nini sorry Mungu atupe nini? Maana nikisema Mungu anipe nini wenzangu wa nyuma ya pazia ambao ni mabosi na waajiri wangu wanaweza kudhani nina mpango wa kuwaacha Solemba. Msihofu wakuu mie ni wenu na bila nyinyi si ningenonihino kwenye debe kule rupango.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa taarifa ya wanoko wote popote mlipo, huu ni mwanzo. Baada ya jaribio letu kufanikiwa na kukwanyua mabilioni, kaeni mkao wa kuliwa. Mtaliwa wote bila kujali mkubwa au mdogo mwanamke au mwanamme na mengineyo. Tutahakikisha tunaingia kwenye orodha ya akina Warren Buffet na Bill Gates kupitia migongoni mwenu. Mbuga za wanyama na wanyama tele, madini, mabenki na madili vipo kwa sana. Mungu atupe nini zaidi ya wadanganyika na walevi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Acha niwahi nikagawane mabilioni na Ewassa na tukapange jinsi ya kukwanyua mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Are you there guys?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washirika na wawezeshaji wengine ambao bado wako kwenye powa siwataji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetoka hiyo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamani, leo tusameheane. Nawahi kwenda zangu San Fransisco kwenye mazishi ya genius mwenzangu Steve Jobs muasisi wa Kampuni ya Apple ambayo huwa naihusudu. Pia jamaa huyu naye alikuwa mlevi mwenzetu.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chanzo: Tanzania Daima.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/8636874348650313883-6485507136597031850?l=mpayukaji.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mpayukaji.blogspot.com/feeds/6485507136597031850/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=8636874348650313883&amp;postID=6485507136597031850&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6485507136597031850'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/8636874348650313883/posts/default/6485507136597031850'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mpayukaji.blogspot.com/2011/10/mpayukaji-apewa-power-of-attorney.html' title='Mpayukaji apewa ‘Power of Attorney’ kuibia taifa'/><author><name>NN Mhango</name><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='32' height='24' src='http://2.bp.blogspot.com/_lDbz8Ktw_N0/TGnKu6iThkI/AAAAAAAAAaA/JClzATCMQ4g/S220/Sammy+Drawing+156.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-8636874348650313883.post-6342242394643119754</id><published>2011-10-13T05:05:00.000-07:00</published><updated>2011-10-13T19:54:45.059-07:00</updated><title type='text'>KUMBUKUMBU MAALUM YA MWALIMU NYERERE</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-7U-Ag8y7b0E/TpbU3DW8aeI/AAAAAAAABic/sanzqe3mPf0/s1600/julios.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-7U-Ag8y7b0E/TpbU3DW8aeI/AAAAAAAABic/sanzqe3mPf0/s400/julios.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5662947623724411362" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mwalimu  Nyerere sikia &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpendwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baba wa taifa letu, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naadika ujumbe huu kwako maalum nikiamini kuwa utausoma na kuwasomea mashujaa wenzako kama vile Edward Sokoine, Horace Kolimba, Jenerali Imran Kombe na wahanga wengine waliouawa na watu wachafu wenye chuki na yale yote uliyopigania, kusimamia na kutekeleza. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu,&lt;br /&gt;Leo ni siku maalumu kwa wapenda haki nchini na duniani. Kwani ndiyo tunaadhimisha miaka 12 ya kifo chako. Ingawa kimwili hatuko nawe, kiroho tuko nawe. Ingawa miaka 12 inaweza kuonekana mingi. Sisi wapenzi wako tunaona ni kama jana ukiachia mbali mateso kutufanya tuone kama ni karne moja imepita baada ya kurudishwa nyuma kwa mamilioni ya miaka. Najua mwalimu kuna mengi yametokea ambayo huyajui. Yapo ya kuudhi na kufurahisha. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cha mno ni kwamba kile Chama chako ulichokiasisi na kukifanya kiwe kipenzi cha watanzania ni kama kiko ICU kikipumlia mashine tayari kwa kukata roho wakati wowote. Hakipendwi tena wala kuheshimika. Kila mtu anajisemea na kujifanyia atakavyo kana kwamba hakuna mwenye nyumba. Wale mafisi wenye uchu wa pesa uliokuwa ukipigana nao vita sasa wameshika kani kama alivyowahi kuseme Profesa Issa Shivji. Wezi siku hizi wanaitwa wafanyabiashara maarufu huku mafisadi wakiitwa magamba ya nyoka. Ni juzi juzi kimetoka kwenye uchaguzi na ushindi wa aibu. Hakiitwi cha mapinduzi bali majina mengi ya ajabu ajabu. Mara wakiite chama cha magamba, maangamizi, mafisadi, wauzauza na mengine mengi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu, katika hili la magamba, hata yule jamaa uliyemtolea uvivu kuwa alikuwa amejilimbikizia mali nyingi za wizi yumo. Kwa sasa yumo msambweni kuvuliwa kama gamba ingawa anasitasita. Hayuko peke yake. Wapo wengine kama vile Andrew Chenge na Rostam Aziz ambaye amejivua gamba siku za hivi karibuni ingawa kwenye ulaji hajavuliwa. Umma unatamani ungekuwepo uwatimue kama mbwa au kuwapa vipande vyao kama ulivyowahi kumpa jamaa mmoja uliyemuita mhuni. Maana hali ilivyo ni kwamba kuna watu wanasitasita sijui kwa kuwaogopa wasitaje uchafu wao. Sijui ni kwanini, ambao wanamwambia leo toka na kesho wananywea kama hamna namna nyuma ya pazia?  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu, unakumbuka? Siku hizi uadilifu na maadili ulivyokuwa ukipigania na kusisitiza hakuna. Kuna ubadhilifu badala ya uadilifu na madili badala ya maadili. Mambo yamezidi kuchacha. Nakumbuka mpendwa mkeo mama Maria hakuwa na shea kwenye uongozi wako. Siku hizi ni tofauti. Kijana wako Yoweri Museveni siyo yule mwanampinduzi wa zamani. Ni king’ang’anizi na dhalimu hakuna. Una habari yeye na rais wa Malawi Bingu wa Mutharika wameishawateua wake zao kuwa mawaziri? Najua hutaamini lakini hivyo ndivyo hali ilivyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu, &lt;br /&gt;Nakumbuka mkeo hakuwa na ASIZE. Usiniulize Asize na ugonjwa au mnyama gani. Ni vifaa fulani watumiavyo wake za wakubwa kukusanyia pesa na kuchuma utajiri kupitia migogoni mwa madaraka ya waume zao. Una habari mwalimu? Siku hizi yale madini uliyokuwa umekatalia kuchimbwa yamegeuka balaa badala ya Baraka. Watu walioko kando kando yake wamegeuka watumwa na wageni katika nchi yao. Wanazuiliwa kupita karibu na machimbo ili wasiibe madini na wakipita wanapiga risasi. Mazingira ndiyo usiseme. Mito imechafuliwa na mashimo makubwa yamechimbwa kiasi cha huko tuendako kuwa jangwa kama hali haitabadilika. Nani aibadilishe? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu, &lt;br /&gt;Kile chama alichoanzisha Gavana wako wa benki kuu Mzee Edwin Mtei kiitwacho CHADEMA kama ulivyokitabiri kinaanza kuonyesha makali kiasi cha kukubalika nchini hakuna mfano. Kimeishafichua ufisadi ambao ulifikia mahali pa kutishia kuiangusha serikali hadi waziri mkuu Edward Lowassa akatimuliwa. Najua mwalimu unamkumbuka mtu huyu ambaye ulimsemea mbaya alipokuja Msasani kutaka Baraka zako ili agombee urais. Ulisema wazi kuwa wengine wananuka na wamejilimbikizia mali za wizi.  Rafiki yako Lowassa alitimuliwa na kashfa iliyoiacha nchi kizani huku ikipoteza mabilioni ya shilingi. Mpaka ninavyoandika, kampuni hii iliyojivua gamba na kuvaa jingine kwa kujiita Dowans inakaribia kufilisi nchi yako. Maana mahakama juzi iliipa tuzo la kusababisha kiza la shilingi 111,000,000,000.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kingine mwalimu, mambo yamebadilika sana. Serikali imefilisika huku watu binafsi wakitajirika. Unaweza kuamini kuwa kuna wizara zimeishafungashiwa virago na kutupiwa vitu nje kwa kushindwa kulipa pango la nyumba zile ulizotaifa? Hizi ni zile zilizonusurika kuuzwa na kijana wako Ben ambaye baada ya wewe kufa aligeuka na kuwa kituko cha mwaka. Huwezi kuamini kuwa alipokuwa akiondoka madarakani alifikia hatua hata ya kujiuzia mgodi huku akigeuza ikulu yako pango la wezi na wanyang’anyi. Siku hizi yupo yupo tu na haonekani kutokana na watu kutokuwa na hamu naye. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu,&lt;br /&gt;Itakuwa ni utovu wa nidhamu kumaliza waraka huu bila kukupa habari mbaya za kifo cha swahiba yako Simba wa vita. Alikuwa miaka miwili iliyopita akiwa amesononeka kutokana na kuona machukizo yakifanyika mbele za macho yake. Halafu mwalimu, unamkumbuka yule tapeli mmoja wa Magomeni karibu na nyumba yako ya zamani aliyejiita mtabiri? Jamaa aliharibikiwa akaanza kutabiri maafa hatimaye yakamkumba yeye. Ajabu alipokuwa akitabiri upuuzi wake hakuna aliyekuwa  tayari kumkabili na kumnyamazisha. Kitu kingine mwalimu, siku hizi biashara ya uga imekuwa kero kwa taifa. Huwezi kuamini kuwa kuna hata viongozi wa kidini na wa kiserikali wanafanya biashara hiyo. Haya si maneno yangu. Ni maneno ya rais Jakaya Kikwete. Nadhani mwalimu unamkumbuka. Ni yule kijana uliyemwambia mwaka 1995 kuwa asubiri akomae aongeze nchi. Kwa sasa ndiye rais.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu nadhani unamkumbuka kijana wako Samuel Sitta. Miaka michache alichaguliwa kuwa spika wa bunge na kufanya mapinduzi yaliyosababisha Lowassa auteme uwaziri mkuu baada ya kuteuliwa huku kukiwa na shinikizo la kutaka rais asimteua kwa vile ulivyomuacha unajua na wananchi wanakumbuka. Hakudumu. Uliyosema hayakukawia. Yalijitokeza na jamaa akajikuta anatupwa nje kwa aibu huku mkewe akiangusha chozi kama kichanga. Hayo tuyaache mwalimu.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu kuna mengi ya kukwambia ila nafasi haitoshi. Nimalizie kwa kukutaarifu kuwa siku hizi uongozi haupatikani kwa ambaye hana pesa wala jina kubwa au ku
